Kweli huyu kishimba yupo vizuri kwa hoja zake. Kama mm siwezi kwenda kabisa. Huu utaratibu ni waajabu kabisa kama mm naenda huko kufanya nini? Aliyepewa kazi ya kubeba mimba ni wanawake je! Wanaume wanaenda kuthibitisha wao ndio wamempatia mimba au ni nini jamani nilijiuliza sana lakini sijapata jibu kiukweli hii serikali inatuvua nguo. Hoja yako mh kishimba iko poa sana na hivyo ndio vitu vya muhimu katika maisha sio kupoteza dakika moja. Au hio ndio haki sawa?
Huu ndio ujinga nsiopenda...hivi wadhani kwenda na mwanaume wanasahau kuwa lengo ni afya ya mtoto..suppose Baba ni HIV positive..na mama ni negative huoni ni risk mtoto kuzaliwa positive kama hakuna intervention
hii ya kwenda ukapate dawa hospital na umezee hosoital hii haiko sawa,wauguzi na dr wana majukumu mengi ya kufanya,muwaongezee nahili?mtu unaumwa ni wajibu wako kumeza dawa au kutokumeza
Huyu mbunge ni kichwa hakika. Tunataka wabunge kama huyu. Ametulia ana Mapoint tupu,anajielewa. Ana akili na macho ya kuona mbali na kwenda na wakati... Sio hawa mapoyoyo wa ndiyoooooo
Lakin kwenda kiliniki Na mume ni nzuri ni kwaajili ya Afya kwa baba ,mama,mtoto ,,wangap.wanakutwa positive ilhali mwenz wake ni negative ,we mbunge fikiria vizur
Nilipoelewa zaidi amesema haiwezekani mimba zote ziwe na matatizo manàake Ka kuna ulazima wa kuhitajika mwanaume iwe ni Kwa issue special tu mimba ina matatizo
Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kwenda na mke wake ambaye ni mjamzitu. Mwanaume kwenda hospitali mke mjamzito ina saidi familia kuwa imari (will improve relationship and bonding to unborn child)
@@johnngowi6619 hamna uzungu au uafrika, watu wanazaa kama ng’ombe hawa wajali watoto wao. Serikali iendelea kufanya hivyo hivyo kupunguza watoto wa mitaani. Kwasababu malezi ya mtoto ni yawatu wawili mume na mke, na malezi haya yanaanza tangia mtoto yupo tumboni.
Genius man. Viva forever Royal brother Prince Kishimba
How? I only see madness in him from his points
Safi Sana kishimba kiboko ya wanafiki na wasanii wenye makaratasi badala ya elimu
Kwa bunge la sasa huyu ndo anaongelea maisha halisia na mh tabasam wengine wote waliobaki niwa namshukuru mh raisi kuliko hata Mungu
Ni kweli na hilo neno nali hukia hatari
Safi kabisa mh jumanne kishimba kwa hoja nzuri kabisa Safi kabisa
Nakubali sana mh jumanne hoja zako
Kweli huyu kishimba yupo vizuri kwa hoja zake. Kama mm siwezi kwenda kabisa. Huu utaratibu ni waajabu kabisa kama mm naenda huko kufanya nini? Aliyepewa kazi ya kubeba mimba ni wanawake je! Wanaume wanaenda kuthibitisha wao ndio wamempatia mimba au ni nini jamani nilijiuliza sana lakini sijapata jibu kiukweli hii serikali inatuvua nguo. Hoja yako mh kishimba iko poa sana na hivyo ndio vitu vya muhimu katika maisha sio kupoteza dakika moja. Au hio ndio haki sawa?
Ni kweli kabisa kama hujaenda na mume kwenye foleni utakuwa wa mwisho lakini ukienda na mwanaume unakuwa wa kwanza
Safi Sana mzee
Kwel kabisa MZee unaongea point
Genious sana
Genius
❌
Mzee kishimba unahoja nzuri sana lakini dawa hospital zetu hakuna unaandikiwa kwenda kununua maduka ya nje i
Hakika hakuna kama J4Kishimba kahama oyeeee
Kwa hoja hii duka la dawa zinalo
Huyu ndio MBUNGE
Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj
Wanawake wengi huwa wanakonda wakifikri jinsi ya kwenda kliniki,mana baba hataki kabisa kusikia upuuzi kama huo!
Nakubalii
Daaaa huyu kichwa kweli kweli
Kujifungua n elfu 70
Kweli hatumalizi dozii aise ni kweli
Huu ndio ujinga nsiopenda...hivi wadhani kwenda na mwanaume wanasahau kuwa lengo ni afya ya mtoto..suppose Baba ni HIV positive..na mama ni negative huoni ni risk mtoto kuzaliwa positive kama hakuna intervention
Wewe ndokukuwale wakisasa muuluze mama yako amekwenda malanagpi na bb ako kilimik
Ndio shida ya kuwa na wabunge wasio na elimu ya kutosha.
hii ya kwenda ukapate dawa hospital na umezee hosoital hii haiko sawa,wauguzi na dr wana majukumu mengi ya kufanya,muwaongezee nahili?mtu unaumwa ni wajibu wako kumeza dawa au kutokumeza
Kishimba upo vozuli Sana hebu zungumuzia naswala la michango mashuleni imekuwa shida Hasa shule za mkoa wa mbeya
🤣 🤣 Yani tungepata nafasi ya kumpa kero za huku mtaani
💯💯💯💯
Wa afyaaa
Kweli we profesa.
Upo sahihiii
tunajaribu kuiga ulaya eti,kwani huku ni kitu cha kawaida ...'supporting each other' TUACHE KUIGA CULTURE ZISIZO ZETU
Hani we MZee unaakili ngingisana hujawahi kukosea
Huyu mbunge ni kichwa hakika.
Tunataka wabunge kama huyu.
Ametulia ana
Mapoint tupu,anajielewa.
Ana akili na macho ya kuona mbali na kwenda na wakati...
Sio hawa mapoyoyo wa ndiyoooooo
Lakin kwenda kiliniki Na mume ni nzuri ni kwaajili ya Afya kwa baba ,mama,mtoto ,,wangap.wanakutwa positive ilhali mwenz wake ni negative ,we mbunge fikiria vizur
Mambo ya wazungu boss! Tunaiga ujinga
Kashakwambia mimba sio ugonjwa
Zee la hoja nyepesix2
We mwamba
Siyo kijijini tu hata mjini yapo
Mbunge anaejielewa
Nilipoelewa zaidi amesema haiwezekani mimba zote ziwe na matatizo manàake Ka kuna ulazima wa kuhitajika mwanaume iwe ni Kwa issue special tu mimba ina matatizo
😂😂😂😂 Mh Kishimba
Uyu apewe uwaziri
Muongeze wahudumu wa kugawa dawa maana follen itakuwa ni kubwa,
Wanampa mda mdg huyu mwamba
Rais kishimba wape darasa maporfesa mbumbu nafulahi hoja zako
eti Tanga na Pwani 🤣🤣
Hapa inahitajika Elimu. Mbona ni jambo zuri kwenda na mke wako hosp.
Lazima tutoke huko. Watu wajue kuwa suala la mimba ni la wote wawili.
Hyo tai inakudanganya
Unastahili kuwa raisi, baba unajicho la mbali snaaa
Tanga & Pwani😂😂😂
Huyu mh anastahili kuwa makamu wa rais ama waziri mkuu
Kishimba ukigombea Urasi mwaka 2025 utashinda maana Una akili sana unaongea maisha Ali ya wanyonge
Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kwenda na mke wake ambaye ni mjamzitu. Mwanaume kwenda hospitali mke mjamzito ina saidi familia kuwa imari (will improve relationship and bonding to unborn child)
Wewe mzungu , sisi waafrika.
@@abdirizakhtuke2882 ishu sio uzungu, itasaidia wanau kupunguza kusabibisha mimba zisizo na lazima kutokana na majukumu ya kulea
@@deohaule8161 wewe mzungu sisi waa frika broo
@@johnngowi6619 hamna uzungu au uafrika, watu wanazaa kama ng’ombe hawa wajali watoto wao. Serikali iendelea kufanya hivyo hivyo kupunguza watoto wa mitaani. Kwasababu malezi ya mtoto ni yawatu wawili mume na mke, na malezi haya yanaanza tangia mtoto yupo tumboni.
Sisi tunalengo la kuongezeka kuwa wengi ww unazungumzia kupunguza hizo ndo fikra za kisungu kisaikolojia waafrika tuzid kupungua
Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj