Nikisikia huu wimbo nahisi kulia lia2 mwaka 2000 nahic ndio ulitoka nilikuwa mdogo na niliupenda sana leo 2023 bado nausikiliza R I P Mama yangu nimekukumbuka sana
Ina lillah waina ilaihi rajiun Mwenyezi Mungu awasamehe maiti wetu wote. Alikwambie mtu ndoa raha sana upate mtu mupendane. Natamani ndoa vibaya mno ila kumpata wa Kweli ni shida
@@ramamudi749 Watu wa zamani walikua very talented kwenye kuimba & kuandika.Sasa hamna kitu kuna hatareeh wanaotamba leo tunaweza tusiwakumbuke tena miaka kadhaa ijayo
Quality, Quantity and Effective all in one song, jamani wimbo kama una mwezi tu vile kumbe kitambo. Old is gold 2022 August the 18th… ntarudi hapa tena na tena
Kipindi hicho muziki ulipokuwa muziki! Acha kabisa! Hakika tulifurahia muziki mzuri uliotuachia kumbukumbu nzuri zinazoishi mpaka Sasa kwenye vichwa vyetu! Upumzike kwa Amani Waziri!
Unajua ukiwa mmbaya katika usichana wako bas hata ukizeeka unakua mmbaya na mwisho wa siku unaitwa mchawi kumbe Wala sio mchawi nikutokana na ubaya wako Sasa kama uyo bint nkas cheki alivyo msicha na Sasa hivi Mzee ndio kazid kua mzuri❤❤❤❤❤❤❤❤
2023 January 21 Baba Umeacha Wimbo Umenikumbusha mbali Sana Adi 2004 Baba Ulikua Unanichukua Kutembea Na mwanao Sehemu Mbali Mbali za furaha... Leo hii Father Haupo...! Miss u Dad😢😢
Listening to this song, it brings back to 90s where I was running down streets of Kawe Mzimuni Dar es Salaam. Bear footed and happy like everything was pefect in the world. was just another refugee Kid a victim of Kagame's war that we thought it would only be temporary which turned out to be lasting, Im 30yrs old today and the war of Guns sound so fresh and women are raped and killed today bu Rwandan army. Their cries and tears have been given a blind eye and a deaf hear. Yet it seems like Ukwrain and gaza are the only places that matter simply because their skins don't look like that of Congolese people.
You just gave a vivid description of what is happening over there,I can feel your pain coz the mental picture is printed in my mind,freedom is coming 😢
Ni leo tu nimejua kuwa umeshatutoka kaka Ally baada ya kutazama wimbo wa Mbosso, nakukumbuka kaka. Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, kama kuna mbingu basi tutaonana😢 RIP Ally
Hapa ndo naamini kuwa Mungu aliwapa kibali baadhi ya malaika washuke toka Mbinguni kwa muda tu watuonyeshe utunzi uliiotukukaa asee.....Daah huu wimbo asee🔥🔥🔥🔥Rip Mzee Ally
Despite the fact that Mzee Waziri Ally he's no more, kamwe huu mziki utaendelea kuishi kumuwakilisha Let his soul Rest In Peace, forever he will be remembered haswaa kwa kizazi cha 95 kwenda chini
Duuuuuu Kiukweli kizazi cha muziki mtam kimekwisha potea sasaivi zimekaki nyimbo za hovyo ambazo huwezi angalia ukiwa na familia yako apumzike kwa amani wazil ally
Jamani nimekumbua mbali sana acha nilikua na mpezi wagu alikua ananiimbia sana ata mm nilikua nalegea sana mana nilikua nampa sana ata yeye ila shetani ni mbaya sana alivyo kwenda kwao akaumwa gafua akafaliki ata picha ninayo
me bado nausikiliza 2024.....❤❤❤❤❤
Tunaosikiliza chuma hichi 2025 tujuane
2025 tuko hapa bado nione kwa mikono❤
Ni wimbo ambao hauish hamu kusikiliza Kaz nzuri sana
Who is with me enjoying this beautiful 😍❤️ song?
Mimi hapa
thanks bro@@JackyNgowi
Kuna nyimbo bongo zinatakiwa ziwekwe makumbusho ya Taifa na moja wapo Ni hii nashangaa waziri wa utamaduni anafanya nini ofisini😌😌😌
Tena nyimbo zetu zinaonyesha kabisa utanzania
Hakika
Anakazi kufuatilia kina umber ruti 😅😅😅
😂😂😂
2025 mpo?
Old is gold wimbo bora wa mapenzi kwa vizazi vingi vijavyo ,mashairi yenye adabu na staha ,sio uchafu wa zama hizi
Kabisa
Nikisikia huu wimbo nahisi kulia lia2 mwaka 2000 nahic ndio ulitoka nilikuwa mdogo na niliupenda sana leo 2023 bado nausikiliza R I P Mama yangu nimekukumbuka sana
Ohhh pole sana ndugu yangu,Mwenyezi Mungu ailaze roho ya mama mahali pema peponi,Ameeeen
Pole sana😅😅
Hakika! Nyimbo mzuri sana na ni mafunzo ya maisha ya mahusiano
1qqq
Pole sana
Whose here 2024.
March 2024😊😊😊
Pole sana😢
Nipo Hapa
may 2024
Jun❤❤ 2024
Ina lillah waina ilaihi rajiun Mwenyezi Mungu awasamehe maiti wetu wote. Alikwambie mtu ndoa raha sana upate mtu mupendane. Natamani ndoa vibaya mno ila kumpata wa Kweli ni shida
utampata tu kaks
In shaa Allah utapata
Director aliipatia sana hii vid, waimbaji wanaendana na location, shelter... Alaf wapo na Tabasam muda wote wa nyimbo... 100%%%% old is gold! ❤❤❤❤
KAMA BADO UNAANGALIA HUU WIMBO 2024 JUA KUA UMEZEEKA SASA 😂
Kweeli
july 2024
wazee oye sema hizi nyimbo zilikua moto sana
acha uongo mbona ndokwanza Nina 27
@@MariamcomMariamcomMimi nina mpaka 21 😮😮😮 kwahiyo nimezeeka 😂😂
Ingekuwa. Wimbo ina waah, inama,cjui chura jmn koment zingekuwa million tatu like milion mbili lkn nyimbo kama hiz hakunaga hamasa cjui kwnn
Halafu hawaon nyimbo zao zinaisha utamu hiyo bado ipo palepale
@@ramamudi749 Watu wa zamani walikua very talented kwenye kuimba & kuandika.Sasa hamna kitu kuna hatareeh wanaotamba leo tunaweza tusiwakumbuke tena miaka kadhaa ijayo
Jueni siku hizimziki unawafanya biashara msikalili hawa wasanii wakina daimo do wanauwezo wa kutunga nyimbo zikawakosha ila ni wasaka tonge
Zile ni worldwide nakipindi hiii inatoka hakuna hata TH-cam wala instar
Shida sio uzuri wa nyimbo baba,sema hata hawajui kama kuna nyimbo kama hii ndio maana,lkn ni honge la nyimbo hata ikirudiwa leo itapata unachosema
Watoto wa 80 na 90 hatuwezi kusahau hii classic.
Humu tuna baa zetu duhh yaani 2000 ndiyo nina mwaka mmoja aisee
Ewaaaa
Kabisa
💯
Millennials,I remember tukiishi Migori Kenya, radio free Africa..
Quality, Quantity and Effective all in one song, jamani wimbo kama una mwezi tu vile kumbe kitambo. Old is gold 2022 August the 18th… ntarudi hapa tena na tena
Wow. Naupenda sana huu wimbo. Waniliwaza sana.👌👌
Mzee ata kila siku hapa ni noma 💯
2024 apa nausikiliza on 🔥 🔥 🔥 🔥 san hii song labla kuna mtu mwingine ata usikiliza 2040 nikiw nipo au sipo
RIP LEGEND NYIMBO HII TULIIMBA NA MKE WANGU TUKIINGIA UKUMBI WA HARUSI YETU. HAKIKA NYIMBO ITADUMU DAIMA. HAITACHUJA. !! POLE WATANZANIA WOTE...
Nafikiri hili dude mwenyewe nikipiga tukio kama hilo
Hakika kila nafsi itaonja umauti pumzika kwa amani mzee wetu R.P
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu. poleni sana ndugu na jamaa 😭😭
11 October 2023. Nimerudi kuusikiiza huu wimbo baada ya mambo yanayonikuta, najikuta nakumbuka mambo mengi ya zamani 😢
Kipindi hicho muziki ulipokuwa muziki! Acha kabisa! Hakika tulifurahia muziki mzuri uliotuachia kumbukumbu nzuri zinazoishi mpaka Sasa kwenye vichwa vyetu! Upumzike kwa Amani Waziri!
big love ❤ from Kenya 🇰🇪 let's hoping for the best in paradise together we shall sing the song RIP waziri.
Kama nyota na mwezi vinga'avyo angani... ❤
Unajua ukiwa mmbaya katika usichana wako bas hata ukizeeka unakua mmbaya na mwisho wa siku unaitwa mchawi kumbe Wala sio mchawi nikutokana na ubaya wako Sasa kama uyo bint nkas cheki alivyo msicha na Sasa hivi Mzee ndio kazid kua mzuri❤❤❤❤❤❤❤❤
Unfogetable song Mr njenje pumzika baba Kwa amani
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nyimbo hii inanikosh sana jamn,
Natamani haya mapenzi yangekuwa kwenye karne hii,
I like it
R.i.p waziri ally legendary keyboardist na musician kuwahi kutokea tanzania.
Huyu mwimbaji ndo Bi Nkasi filamu ya Bunji,kawa mama,hongera mama
Dah!!!!! Nyie huu wimbo , Vocal hii haipitwi nawakati, it's Magic Voice ❤❤❤❤
Nyimbo tamu ya mapenzi hadi raha❤❤❤❤. 17/4/2024
Umeongea fact mpnz❤
❤❤
@nyota waziri mzurii kitambo wallah 😍😍😍😍😍😍
Heard this in live band in Zanzibar and I had to look it up. Beautiful song
The melody is awesome...🔥🔥
R.i.p legend
Still here in August 2024 the song still rocks it takes me to another world ❤
Growing up listening to this masterpiece ❤
Mmeniliza mimi akiiii,,daaah wapendwa wangu wengi hawapo niliotazama nao huu wimbo,,MUNGU awapumzishe vyema,nimekumbuka mbali sana
Mzee Waziri Always did it with the smile🙌🏻 natural musician
2023 January 21 Baba Umeacha Wimbo Umenikumbusha mbali Sana Adi 2004 Baba Ulikua Unanichukua Kutembea Na mwanao Sehemu Mbali Mbali za furaha... Leo hii Father Haupo...! Miss u Dad😢😢
Nakumbuka mbali sana 😢😢life niliyopitia na wazazi wangu kuipenda hii nyimbo hususan mama na Leo hayupo 😭😭
Kiupand wangu mm siwezi kuacha kusikia wimbo huyu kbs ❤❤
Forsure this song haichuji na haitochuja daima , i wish niikumbuke niingie nayo ukumbini for my wedding day
Hii nyimbo siifutagi kwny simu. Inahisia Sana,mziki umetulia. Huwa naisikiliza Kwa kutulia pia.
Nuskiliza leo tena 2023 all the way from🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Listening to this song, it brings back to 90s where I was running down streets of Kawe Mzimuni Dar es Salaam. Bear footed and happy like everything was pefect in the world. was just another refugee Kid a victim of Kagame's war that we thought it would only be temporary which turned out to be lasting, Im 30yrs old today and the war of Guns sound so fresh and women are raped and killed today bu Rwandan army. Their cries and tears have been given a blind eye and a deaf hear. Yet it seems like Ukwrain and gaza are the only places that matter simply because their skins don't look like that of Congolese people.
God bless you my brother
Sorry brother we pray that the Almighty God help you guys
You just gave a vivid description of what is happening over there,I can feel your pain coz the mental picture is printed in my mind,freedom is coming 😢
Kati nyimbo Bora za mduara ambazo nime wai kusikiliza mungu akureheemu waziri ina umiza ila sote tuta rejea kwake mungu😭😭
Ni leo tu nimejua kuwa umeshatutoka kaka Ally baada ya kutazama wimbo wa Mbosso, nakukumbuka kaka. Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, kama kuna mbingu basi tutaonana😢 RIP Ally
Yanii acha tu
Mastermind ❤
Kibao hicho sio mchezo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 2024
@mbosso #tulizana nakubalii hii nyimbo saanaa
Huu wmbo umefny niwe n subra n nilienae 👌💞
Nasikiliza huu nahisi kulia kabisa nakumbuka mbali sana
Hapa ndo naamini kuwa Mungu aliwapa kibali baadhi ya malaika washuke toka Mbinguni kwa muda tu watuonyeshe utunzi uliiotukukaa asee.....Daah huu wimbo asee🔥🔥🔥🔥Rip Mzee Ally
Yaani nyimbo hii ipelekwe kwenye makumbusho Ya nchi haki ya mungu
Innalillah wainailaih rajiun 😭😭😭😭 kwakweli sisi ni udongo naupendaga Sana huu wimbo nikimuuzi baby namuekea mziki huu daaah mwenyew anacheka tuu
Hongera kwako
Tarehe 6 October 2024 nani anaangalia mwingine Leo hii?
Nipo apa naangalia Sasa hivi
Despite the fact that Mzee Waziri Ally he's no more, kamwe huu mziki utaendelea kuishi kumuwakilisha
Let his soul Rest In Peace, forever he will be remembered haswaa kwa kizazi cha 95 kwenda chini
very true
may he rest in eternal peace
ashura
mboso kanileta huku
This was 98. I remember it clearly katika kumi bora za Radio One back in the days!
The violin 🎻 dah inanimaliza kiukweli rest easy legend
One of the Gold we should always be proud of ,So pure and real
Daaahh hizi nyimbo zitarudi lini jamaniii 😭😭😭😭😭😭🙏 R.I.P Sir
Good things do not last longer
The legend, yes went never to come back again! However, he left us with great memories of his voice full of wisdom. RIP Ba Waziry Ally
Duuuuuu Kiukweli kizazi cha muziki mtam kimekwisha potea sasaivi zimekaki nyimbo za hovyo ambazo huwezi angalia ukiwa na familia yako apumzike kwa amani wazil ally
Nalipenda sana hii nymbo tam sana
Hatareeee❤❤❤❤❤❤❤ hii haichuji hata siku moja.time flys so fast
Tangu zama mpaka leo bado ni moja ya nyimbo bora sana
Kwel kibao ni kizuri sana ni kibao pendwa afrika mashariki na kati
December 2024 nani anaangalia hii
🙌
Nakupenda sana huu wimbo tena sana utadhani umeimbwa 2023 hautosahaulika hta kidogo
Rest in peace, Mungu amlaze pahali pema peponi. Beautiful song ❤️
Old is gold hakik sisi watot waleo tumeupenda sana uyu wimbo sio kam za leo eti we zombie😂
Iove this song's sauti zako mutual burudani🥰🌹pumzika kwa Amani 🤲 Mzee wetu
Finally am here .
Tulizana mpenzi beats .
Ilikuwa 2004 tunaangalia TVT daaah siku zinaenda sana now ni november 2024
Jamani nimekumbua mbali sana acha nilikua na mpezi wagu alikua ananiimbia sana ata mm nilikua nalegea sana mana nilikua nampa sana ata yeye ila shetani ni mbaya sana alivyo kwenda kwao akaumwa gafua akafaliki ata picha ninayo
Tutumie tumuone pia pole
Daaah wazir na nyota kazi nzuri jaman mmmh hatari sana
There’s no future without the past what a masterpiece ❤
Hii nyimbo nikisikiliza inaibua hisia kichiz sooo apriciate sana
Kama unamaliza mwaka 2024 unasikiliza huu wimbo ukiwa wapi
Katahoka biharamulo kagera
Daaah niondoke sasa kwa wazee maana hii nyimbo inatoka tayari mdimi mkubwa tu teh teh teh
Old is gold 🥇 still good 💯 2023 waliimba kwkwel mkokota one still I love this song
i nyimbo inaishi🔥🔥😊😊 Achana na aawa wa skuiz wako busy na Amapiano
😂😂😂wanaturetey eti we zombie
Mama yangu naamini huu ni wimbo wako penda siku zote Allah akupe kheri na noor kwny safar yako NAKUPENDA SNA PUMZIKA KWA AMANI NA FURAHA❤❤❤❤❤
From all I have these is one I love the most
💕💕💕 endelea kumpunzik kwa amani
Naielewa hii sana
Namkumbuka mzee wangu rip..😀
Siwez kukaaa wiki bila kusikiza 💪🔥🔥hot song 🎵
Very fantastic song ❤
Ni moja ya nyimbo ambayo inanifanya nisichoke kuisikiliza ❤❤
Wimbo mzuri sana❤❤❤ hongereni
Nyimbo zisizo kufa kabisa yaaaaaan 2024
Ogaaah! Baada ya kumuona Nyota Waziri kwenye Bunji ikabidi nije hapa
Legendary song
Rip WAZIRI ALLY
Wote njia yetu ni moja
Osi ni mwenga apyu yako ambere yehu nyuma....
Inalilah wainalilah rajiun
Leo ni tarehe 24 /07 /2026 nipo nasikiliza hii nyimbo ASANTE MUNGU kwakunijalia afya njema🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo nilikuwa naupenda sana huu when I was a kid daaaah mashairi mazur melody kali vipaji
R. I. P legend wazir ally inanikumbusha mbali sana hii nyimbo daaaah nlikua kijana ndogo enzi izo😭😭😭😭😭😭
2029 now and still listening to this masterpiece. 💥😍
Hakika Sisi Ni Wa Mungu Na Kwake Tutarejea 😢
Jamaniiii wimbo mtamuuu huu japo zilipendwa!
Inafariji na the song brings back the old memories..Dah