Usifanye ngono kama una Homa ya Ini..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ส.ค. 2019
  • Dr Sizya ni Dactarikutoka hospitali ya Muhimbili,amezungumzia umuhimu wa chanjo ya Homa ya ini,tayari wapo wenye maambukizi na tunaishi nao bila kujua kinachowasumbua,wakubwa, watoto pia.Niungojwa usikuwa na tiba ya kupona. Insta @sizya_official @Tirarira2

ความคิดเห็น • 36

  • @nahodamussa6794
    @nahodamussa6794 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwakwel nilikua ninahofu sana
    Ila sasa umeniweka saw Ahsante sana Dkr

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 3 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli, ni vema kuwa makini, hasa kwenye wizara ya afya

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 4 ปีที่แล้ว +1

    TIRA you are best...tugonge likes hapa..

  • @saraqali3466
    @saraqali3466 3 หลายเดือนก่อน

    Mm naomb namb zko mn nnachng Moto hiyo naomb msaada wako

  • @ZenaHashimu
    @ZenaHashimu หลายเดือนก่อน

    Du hatari sana

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +3

    Jaman tb ilinipeleka nilikua nasubiri tu muda tu wa kufa , tena nikiwa na umri wa miaka 17 nilivyougua, mungu mkubwa kwakweli

    • @tiffsalum4002
      @tiffsalum4002 4 ปีที่แล้ว +1

      Ulitumia nini my

    • @najma3268
      @najma3268 4 ปีที่แล้ว

      Tiff Salum nilitumia dawa miezi sita

    • @gidiusharuna6993
      @gidiusharuna6993 4 ปีที่แล้ว

      0652102946 naomb nitaft nin tatz Kam lako ulilo kuwa nalo

    • @jacklinarwegasila3527
      @jacklinarwegasila3527 2 ปีที่แล้ว

      Ulipona je tusaidie jamani

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 2 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @mc_turuka
    @mc_turuka 2 ปีที่แล้ว

    Huyu dada hafai kuwa host wa Kipindi sensitive namna hii.
    Lugha yake inakatisha tamaa sana

  • @athumanikimwaga6734
    @athumanikimwaga6734 3 ปีที่แล้ว +1

    kipindi kizuri sana...unapata wataalam wazuri sana...hongera...ila neno la mwisho ili liwe the best iwe....."kuwakinga watu wote ambao hawana maambukizi" unao wapenda na usio wapenda ...the Good word is reward

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  3 ปีที่แล้ว

      🙏🙏🙏Ahsanteee

    • @athumanikimwaga6734
      @athumanikimwaga6734 3 ปีที่แล้ว

      @@thexoshowtira Can i have a phone number of dr. Sizya ? if need a permission from him pls do it on behalf of me...

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  3 ปีที่แล้ว

      0711520308 Dr Sizya

    • @athumanikimwaga6734
      @athumanikimwaga6734 3 ปีที่แล้ว +1

      @@thexoshowtiraWow thanks v.much may Allah bless and keep u fil-Janah

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  3 ปีที่แล้ว

      0655205458 nyingine kama hiyo hapatikani

  • @saraqali3466
    @saraqali3466 3 หลายเดือนก่อน

    Dokt naomb namba zako mn imenitokea ivo

  • @marymasanyiwa3529
    @marymasanyiwa3529 4 ปีที่แล้ว

    Mungu tuepushe na magonjwa

  • @RickChazy
    @RickChazy 5 ปีที่แล้ว

    ✅✅

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 2 ปีที่แล้ว

    ongeza vipindi

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 5 ปีที่แล้ว

    Huu ugonjwa upo sana india na china.

    • @dullahbakari4813
      @dullahbakari4813 8 หลายเดือนก่อน

      China wanadawa kweli maana Tanzania nihakuna kabisaaa

  • @salehalbasam41
    @salehalbasam41 4 ปีที่แล้ว +2

    Docta dalili zaugonjwa waini zipoje

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  4 ปีที่แล้ว

      Angalia show yote ameelezea vizuri

    • @salehalbasam41
      @salehalbasam41 4 ปีที่แล้ว

      @@thexoshowtira ajatoa dalili

    • @mc_turuka
      @mc_turuka 2 ปีที่แล้ว

      Kuna dalili za Awali na Dalili za Muda mrefu.
      Dalili za Awali zinaweza zisionekane kwa mtu aliye na maambukizi ya Awali kwa maana kwamba Maambukizi ya Muda Mfupi akbaho hukaa si zaidi ya siku 180 ambazo ni miezi 6.
      Na zaidi ya hapo Hutoka Katika Hatua za Awali na Badala yake Huingia katika maambukizi ya Muda mrefu (Chronic)
      Ambapo dalili zake ni Kama Ifuatavyo:
      1.Maumivu Upande wa Kulia Kwenye Mbavu.
      2.Kutokwa Jasho Jingi hasa Wakati wa Usiku.
      3.Mkojo wa Rangi ya kahawia iliyoiva ukiwa na harufu Mbaya.
      4.Muwasho Mwili mzima.
      5.Vipele Vyenye Muwasho sana visivyotoa Maji maji.
      6.Vipele Kwenye Kichwa cha Uume (Kwa Mwanaume)
      Japo wakati mwingine
      7.Macho ya (Njano)
      8.Tumbo Kuvimba
      9.Mwili kuwa Wa Njano.
      Hivyo ni vyema uonapo dalili moja wapo au zote ufike mapema Kwa Daktari kwa ushauri zaidi.
      Usichukukulie poa Afya ndiyo Mtaji.

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 ปีที่แล้ว

    KWA NINI VIPIMO VYA HOMA YA INI VINA GHARAMA KUBWA

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  ปีที่แล้ว

      Hapana labda ni mahali ulipofanyia wewe,lakini huduma ipo vituo vyote kwa afya,labda kama ni private ndio kidogo zipo juu

  • @odiwanyeri13
    @odiwanyeri13 2 ปีที่แล้ว

    Kanikweli

  • @habibahasan7816
    @habibahasan7816 3 ปีที่แล้ว

    Anapatikana wapi huyo Dk

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +3

    Jaman tb ilinipeleka nilikua nasubiri tu muda tu wa kufa , tena nikiwa na umri wa miaka 17 nilivyougua, mungu mkubwa kwakweli