Usifanye ngono kama una Homa ya Ini..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ส.ค. 2019
- Dr Sizya ni Dactarikutoka hospitali ya Muhimbili,amezungumzia umuhimu wa chanjo ya Homa ya ini,tayari wapo wenye maambukizi na tunaishi nao bila kujua kinachowasumbua,wakubwa, watoto pia.Niungojwa usikuwa na tiba ya kupona. Insta @sizya_official @Tirarira2
Kwakwel nilikua ninahofu sana
Ila sasa umeniweka saw Ahsante sana Dkr
Ni kweli, ni vema kuwa makini, hasa kwenye wizara ya afya
TIRA you are best...tugonge likes hapa..
Mm naomb namb zko mn nnachng Moto hiyo naomb msaada wako
Du hatari sana
Jaman tb ilinipeleka nilikua nasubiri tu muda tu wa kufa , tena nikiwa na umri wa miaka 17 nilivyougua, mungu mkubwa kwakweli
Ulitumia nini my
Tiff Salum nilitumia dawa miezi sita
0652102946 naomb nitaft nin tatz Kam lako ulilo kuwa nalo
Ulipona je tusaidie jamani
Safi
Huyu dada hafai kuwa host wa Kipindi sensitive namna hii.
Lugha yake inakatisha tamaa sana
kipindi kizuri sana...unapata wataalam wazuri sana...hongera...ila neno la mwisho ili liwe the best iwe....."kuwakinga watu wote ambao hawana maambukizi" unao wapenda na usio wapenda ...the Good word is reward
🙏🙏🙏Ahsanteee
@@thexoshowtira Can i have a phone number of dr. Sizya ? if need a permission from him pls do it on behalf of me...
0711520308 Dr Sizya
@@thexoshowtiraWow thanks v.much may Allah bless and keep u fil-Janah
0655205458 nyingine kama hiyo hapatikani
Dokt naomb namba zako mn imenitokea ivo
Mungu tuepushe na magonjwa
✅✅
ongeza vipindi
Huu ugonjwa upo sana india na china.
China wanadawa kweli maana Tanzania nihakuna kabisaaa
Docta dalili zaugonjwa waini zipoje
Angalia show yote ameelezea vizuri
@@thexoshowtira ajatoa dalili
Kuna dalili za Awali na Dalili za Muda mrefu.
Dalili za Awali zinaweza zisionekane kwa mtu aliye na maambukizi ya Awali kwa maana kwamba Maambukizi ya Muda Mfupi akbaho hukaa si zaidi ya siku 180 ambazo ni miezi 6.
Na zaidi ya hapo Hutoka Katika Hatua za Awali na Badala yake Huingia katika maambukizi ya Muda mrefu (Chronic)
Ambapo dalili zake ni Kama Ifuatavyo:
1.Maumivu Upande wa Kulia Kwenye Mbavu.
2.Kutokwa Jasho Jingi hasa Wakati wa Usiku.
3.Mkojo wa Rangi ya kahawia iliyoiva ukiwa na harufu Mbaya.
4.Muwasho Mwili mzima.
5.Vipele Vyenye Muwasho sana visivyotoa Maji maji.
6.Vipele Kwenye Kichwa cha Uume (Kwa Mwanaume)
Japo wakati mwingine
7.Macho ya (Njano)
8.Tumbo Kuvimba
9.Mwili kuwa Wa Njano.
Hivyo ni vyema uonapo dalili moja wapo au zote ufike mapema Kwa Daktari kwa ushauri zaidi.
Usichukukulie poa Afya ndiyo Mtaji.
KWA NINI VIPIMO VYA HOMA YA INI VINA GHARAMA KUBWA
Hapana labda ni mahali ulipofanyia wewe,lakini huduma ipo vituo vyote kwa afya,labda kama ni private ndio kidogo zipo juu
Kanikweli
Nikweli
Anapatikana wapi huyo Dk
Jaman tb ilinipeleka nilikua nasubiri tu muda tu wa kufa , tena nikiwa na umri wa miaka 17 nilivyougua, mungu mkubwa kwakweli
Ulipon kbsa juml au