ZIJUE DALILI ZA HOMA YA INI, HUDUMA YA UPIMAJI MUHIMBILI NI BURE, DAKTARI AFUNGUKA HAYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 มี.ค. 2023

ความคิดเห็น • 21

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 ปีที่แล้ว +10

    Mbona huwa hamwendi na vijijini !? Kilaau mkafanya pia na mikoani he hamuoni kama mnawakosea baadhi ya watanzania kwani wote wanahitaji huduma sawasawa na wengine?

    • @hamisijuma2425
      @hamisijuma2425 ปีที่แล้ว

      Kwel kabis

    • @emmanuelchilimo
      @emmanuelchilimo ปีที่แล้ว +1

      Uko sawa kabisa Mama,Kama Wilayami Mvomero,Gairo ,Dumil-Kilosa na mikoa mingine Bado watu hawana elimi kabisa.
      .
      .
      Mai hanikutumila ujumbe DM Instagram nimanya kuwa busy naa huduma na Imani yangu Mulungu yu mwema,anie na mwanage wa Mwl.Chihhamilo Dumila.. Tafadhali nikogjage mawasilino gako

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atunusuru 😓 ini duh Stara ya Allah 😓

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atunusurii na aya maraziiiii jmn jmn jmn jmn jmn jmn

    • @AnitaMbekomize
      @AnitaMbekomize 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani tunakuja wap

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +1

    🙏😪

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 ปีที่แล้ว +2

    Magwanjwa mengi adi tunajiogopa

  • @user-om1hn8ll9h
    @user-om1hn8ll9h 8 หลายเดือนก่อน

    Yaan huh ugonywa ni hatari

  • @catherinemichael578
    @catherinemichael578 ปีที่แล้ว

    Mimi mume wangu anahilo tazizo na siwezi kumuacha nampenda na nitampenda milele

    • @fahidashishi255
      @fahidashishi255 7 หลายเดือนก่อน

      Dada naomba namba yko

    • @evenymathias3788
      @evenymathias3788 5 หลายเดือนก่อน

      Unaweza kujua dawa yakutibu dada?😊​@@fahidashishi255

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mpaka nimelia nipo apo muimbili karibu unaisha mwaka ini yangu ilikuwa ina mafut nimepewa dawa yakaiisha nikashauriwa nipimwe dam,nikaambiwa haipo sawa nakunywa daw kila siku mpaka nachanganyikiwa jaman sijawahi kupewa dawa bure jamani natamani nikuone doctor sina uwezo sipatag mualiko huu naombeni muwe mnatusaidia

    • @fahidashishi255
      @fahidashishi255 10 หลายเดือนก่อน +1

      Dada nitafute

    • @Asma-ym9dt
      @Asma-ym9dt 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahidashishi255habari na mm nataka kukutafuta

    • @fahidashishi255
      @fahidashishi255 8 หลายเดือนก่อน

      @@Asma-ym9dt vipi unaendeleaje.

    • @fahidashishi255
      @fahidashishi255 7 หลายเดือนก่อน

      Naomba nambar yko

    • @emmanuelminja9594
      @emmanuelminja9594 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahidashishi255 Dada ninashidaa nipigie jaman

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 10 หลายเดือนก่อน

    Kwanini vipimo vya Homa ya ini, visipimwe bure kama TB, na HIV