VIDEO NZIMA: Harmonize na Hamisa Mobetto Walivyotua Tanzania Wakitokea Dubai
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
Huyu ndio jicho au mboni ya Bongo harmonize always the best ever believe it... 🌟🌟🌟🌟🌟🌟
🙄🙄🙄🙄🙄
Unamsukuma Sana mtoto jeshi kwenye upendo kakaangu ishi maisha tofauti na usanii nakuombea muoane muishi kwa upendo mpendane kweli
Unamuombea kwanani kazi ya Sanaa nizinaa nasio kuowa au wajifanya hujui Hilo acheni Kumtaukana MUNGU😢
I always admire lady hamisa... Not us star bt business lady hop one day l will run a business like her🥰🥰🥰
Dope
Daa tugekuwa tuna kibiria wahubiri wa neno ra mungu Kama hivi hata mungu agefurahi xana
Miaka buku ijayo
Hakika
Watumish wengin matapel,ila sio wote
Mtumishi tulia
@@zulfahamissi9266😂😂😂😂😂akae kwa kutulia wajina wangu
Iyo sio hamisa😊
Kama ni kweli harmonize congratulations,hamisa mtoto mzuri sana 🎉
huyo ni Briana achana na hawa wauza habari
Katoka Ulaya Kuja Kuzini Zamani Mwanaume Unaangaika Kupata Mwanamke Kutoka Sehemu Moja Kwenda Mbali Kwasababu Dini Zilikua Zinasemewa Kwa Umakini Mkubwa Siku Izi Wanawake Wamekua Watumwa Kwa Wanaume Ukiwa Malaya Simu Moja Akujui Umjui Umemuona2 Mtandaoni Unamuita Mtoto Wa Kike Anakuja Bila Kujua Wewe Lusifa Au Nani Wanawake Baazi Yao Wamekua Adimu Kujua Wao Akina Nani Na Mungu Amewapa Amli Gani Kwanini Wanaolewa Na Awaoi Kwanini Wanatunzwa Awatunzi Kwasababu Mwenye Kuolewa Ni Zaifu Nilazima Wajue Kueshimu Wazazi Wao Na Ndoa Muimu Kwao
Umemaliza kila kitu master nipo pamoja nawe
You are the best harmonize
Mmakonde anatembea kama mlima korosho🤩🤩🤩
Sisi walima korosho mnatuchukuliaje😁
@@dostovan5142 pole limakonde hilo linakela
😁😁😁
Harmonize ni mtu serious Sana,waoane sasa
Yule na harmonize Sio hamisa hawa wahandishi waongo walichanganya video
Huyo siyo hamisa washenzi nyie hebu muacheni dada wawatu mungu amemuona
Ana damu ya kuoa wazungu tuu love harmonise
Huyo siyo hamisa hataaaa
Uyo so hamissa😊
Harmonize alikuwa akienda haja ndogo,acheni comments mbaya..alikuwa amezidiwa
Kwanza siyo hamisa
Kama kuna watu watakaoiona pepo kwa umbali ni nyinyi waandishi wa uongo munapenda umbea , uchonganishi uhasidi ili mradi mupate kujaza matumbo yenu tu hamjali binaadam wengine wapumbavu wakubwa.
Waandishi hawana kosa bali sisi tunaotengeneza habari.
Ushasema dada
Hamisa nae alishbiri waandishi wa Habari wamsjndikize Konde then Wamkujie na yeye😜bongo bana
😂😂
Umeona ee 😂😂😂
Diamond ana mtoto mzuri sana hongera zako baba wa mtoto
To me harmonize is the best in Tanzania
That's true body,e
Uongo huu sio hamisa🙅♀️🙅♀️
Hae harmonize I hope uko sawa so harmunize mimi nataka usaidisi wko
Yyooppppl
Hamisa mtawezana na harmonize kweli
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA
Look at Irene Namatovu and what she went thru till now alya butter and happily married with Lutaaya, omukazi omulungi agguma.
Video hiyi ni noma sana tena sana kinoma!
Hii ujinga kwetu Kenya🇰🇪 hakuna Kla Mtu Apambane na Hali Yake 😎
😂😂😂😂😂😂😂hatupangwigwi
Kweli kabisa 🤣🤣
Kenya ni kenya tz ni tz msifananishe
@@lisajonsony9246 eeee na Kenya ndio roho ya East and West Africa kwa mpigo....tz bado wachanga saaaana
@@elijahmugo9961 tulien mbona mnafatilia wasanii wetu 😂
Kwaiyo mnataka kusema tz hakuna mashine zakusachia airport daaaah mungu ibariki tz
😂Utisha
Harmonise hana time ya upuzi
Wifi karibu Na Tz waoooo
Huyo si Hamisa
Nice❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋that is so good
Yaan kazi ya uwaandishi inashinda sana haswaa adriana nashepu km mama teee
konde boy♥️♥️♥️♥️
Huyu jamaa mshamba kweli sasa kweni kaiba ndio kwenda kwa spidi hivi kisha anamsahau besti wa demu wake nyuma mpaka demu wake mwenyewe anaingiwa na wasi wasi
mashamba sana, ata ajuwi ku tembea na mwana mke, uta fikiri jeshi fulani.
Yea ndiomana anajiita jeshi😂😂😂
Sio ety hajui kutembea na mwanamke....wanahabari wa bongo ndio wasumbufu.....hapo hamo anatembea haraka coz hataki kuhojiwa
Yani anamkimbiza kama vita 😂😂
Yaa jeshi hatembei kama mwanamke
Tambua huyo ni jeshi alafu uache kujizimisha data
Konde boy is in fire
We say "on fire"😁
In fire🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio hamisa
Huyu Hermonise ni mshamba kweli. Mtu ametua home na anatembea kama mwizi. Haraka ni zankwenda wapi?
Anahisi mkojo
Upwiru ulimshika sasa alikua anawaia😂😂😂
Jeshiiiii tembo mkubwa ✌️🎶✊🏽🙌🔥🔥🫂
Wizi wote wa mapenzi,ndiyo maana hawataki kutembea pole pole,oneni tuuu vile hamisa anajifunga kama mgonjwa wa coronavirus
😂😂😂😂😂
Missa be great and tkcre
Konde akili nyingi mno vita unaiweza we jembe trust me
vita gani??
Harmonize mbona unamkimbiza hivyo?unafaa kuwacha atembee kwa style juu ucha kosea MTU
nakukubali sana kaka yangu jeshi
Harmonize mbn anamkmbiza kam mwz????
Mbona awa wasanii watanzania wanachekesha sana wanajisikia sana sasa ndio nini anatembea kama anaogopa
Then hata ana time na funs,that's where Diamond umshindia. Anatembea ka mwizi
One thing for sure he can protect his woman
Uyu ndo mwamba alobaki piga rungu hizo Pic kinyamwezi Kho Kho kho
Jamani mshaji wet ashakuwa bosi lakini bado anapanda garimbele hii siopoa kiukweli
Huyo si hamisaa na haezi kua
Still wondering kama kitu kama hiki kinawesa make news ama trend kenya.....kama hawa ni socialite wa ile inchi na mwimbaji wa pale...na socialite wa nchi za nji na mwimbaji....kenya ku trend unahitaji a lot of hard work
Huyo sio Hamisa
Jeshi 🔥🔥
Mmmm! Vyombo vyetu vya habari Bado jamani umati wote huu kisa mi harmo kulipoti matukio ya msingi huyaoni ujinga tu
Hamisa is such a humble lady
For me take way on this video, its the crafting of video title. 😂😂😂😂🙌🙌🙌
nashukuru brother hajaongea neno
MWENDOKASI TV YIYI WANDISHI MNATAKA KUOLEWA NA HARMONIZE AU MSHAFANYIWA KITU FULANI NA HARMONIZE MNAONA WIVU UWOGOWENU KUSEMA KAWA HUYO NI HAMISA NA WAKATI NI BIBI YAKE WAZAMANI WA ASRTWALI AU MNATAKA KUTONGOZWA NA HARMONIZE
Very good
Yaani kama waruwaru anatafuta tension kwa kuangalia huku Mara kule aone anaemtazama haijulikani haraka alionayo ni ya nini haswa
Hivi ni kweli harmonize yupo na hamisa siamini
Konde boy umemshika mkono na unavyo mkimbiza km mwizi🤣🤣🤣
Kama wapo Bulombola Kigoma 😂
Daa 😳
Huo ukaguzi wa mabegi ya Hamisa sijauelewa kucheleweshana tu
Hyo s hamisa
Ni yy
Jamani mbona konde hana noma? Kwanini tuumie sisi kutembea haraka siyo sababu wapendwa! Mbona wazungu atuwajaji? Poleni kwa hilo konde yuko pis kachoka umbea.
Mmepigwaa hapooo hzo nguo zimewachanganyaaa😂😂😂😂😂Hamissa kavaa kipensiiii kifuupii akiwa dubaaai.......afuu hio clip ya airpot tz uyo demu kavaa trausaaaa ndefuuuu😂😂😂😂😂
Haki hii ujinga haiko Kenya huku kila mtu anapambana na hali yake
Yani ati ...hatuna huu upuzi
Ujinga sanq
Mbona unasema ukwel
What kind of non sense is this shually 🤔🤔🤔🤔
Exactly.nonsense
Wasanii wa dar sjui mna akili gani! Mnakula wanawake kwa kupokezana? Huku mikoani wanaume hatuchangii wanawake!
Jamani anavo mkimbiza
Ilikuwa nalazima aonge😂😂😂😂😂😂😂😂siangetoka kma jeshi
Mimi naulikwanini nandy naamisa mobetto kwani awaongei
Aaaaahh! mbona anajificha hamisa? na konde anajifanya yuko bize jamaniiiiii.
Umalalaya pia wahojiwa na wana na wanahabari.... Najivunia kua mkenya
😂😂🤣
Tanzania nishida tupu,me too proud to be a kenya 🇰🇪
@@wifematerial8943 hatupangwigwi😂😂😂😂😂😂😂
Tunned
Nakunali
Waandishi Wana kazi khaaa
😂😂😂😂😂😂
He is walking too fast wamchokesha
Dope
Pamoja sana
Du !mapaparazi mtapata tabu sanaaa.......😂😂😂😂😂
Uyu si hamisa mobeto
I thought hii issue ya ku-search ma begi iliisha.. New Airport But using old fashioned procedures. This is Embarrassing 🙈. What r the “bag screen scanners” for!?!
I wonder
Ata sjajua kinachoendelea na huyu mwana wa akudo ndo wanatoka au sielewi lakini wakulungwa munieleweshe
jmn uyu Briana mnatuambia hamisa mweh
Jeshi kama jeshiiiiii
Waandishi wa bongo hao, dah ivi elimu yenu ni kiwango gani
Malaya anazungukwa na wana habari😳
Gig money kaongea uko cjui wamemuona anasema wadangaji wote wanajulikana sasa watunwanapata picha na ayo ndo maisha ya dar mnapokezana me namchukua nikichoka nakupa wewe .alafu wale watt waliotulia wamekwama home wajanja wanapush game
What is he doing with hammissa for god sake
Huyo ndo hamissa?Akuna muoaji apo ni mwendo wakufirisika na maradhi 😢😢
Teacher
Imagine kenya huu ujinga akuna
Kenya ushamba sana
@@ethanethan4437 sasa ushamba gani ?wa kushangilia ujinga ama
@@mamaupsanddowntv579 ujinga up?, mtu aww famous àlafu asishangiliwe🙄🤫🤔
Waambie 😂
Jeshiiiiiii
Safi bro
Sio hamisa yule
.niliskia ako na munaigeria Tena sasa tena Conde kina wolper waliachwa na wengine wewe utaeza ani tz munabadilishana tu kama nguo
Wasanii wana vibweka sana,Huyu Hamisa si alikuwa wa mtu furananiI...?
Hello mimi ni mwana muziki toka congo nilikua naomba kama hauwezi Ku post ngoma yangu ndani ya Channel yako
💥💥💥
Hahaha 😆😜😜😜 eti hamisa 😆😆😆😝😝😆Ricky Ross anapeleka boda boda Tanzania