Jinsi ya kumfanya mchawi anase asiweze kuondoka ( @mtavassy tv Tanzania)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 8

  • @dab8859
    @dab8859 7 หลายเดือนก่อน

    A.alaykum shekh samhni nimeota natmbea njia imenyooka nkoshna n kijana makamo yngu lkn nimvuta unga uyo kijana tulipopishna kw mbli kulikua n kjna mwngne aknitupia isha y slmu n mm nkrudsha nlipotembea mble klkua n hrc lkn hkkua n b hrc wla bw hrc ilikua shereh tu kubwa n makeki ila iyo hrc n kma ilkua kw shngaz yngu shukran kkngu ubrikiwe🙏

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 8 หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum sheikh naomba nikuulize swali ila ni nje ya mada hii, kama umeota ndoto tarehe 13,14ambayo ni ndoto mbaya ! Sasa kama uliswali istikhara na ukapata majibu tarehe hizo, je Huwa ni majibu mabaya au?

  • @ZenaMoshi
    @ZenaMoshi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam a.eykum shekh

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  7 หลายเดือนก่อน

      wa,salamu warahmatullahi wabarakatuh

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani ukapata majibu tarehe 14 au 15 sasa itakua majibu mazuri au mabaya?

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 8 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi kuota kila siku mama Yako kukuchukia kupeleka njiwa ugangani au kuambiwa Kua mama Yako ana fitna nini maana Yake Mkuu na Mawasiliano yake kwangu Mimi Mtoto wa Kiume Sio mazuri Zaidi ya Ndugu zangu😢😢😢

  • @NeemaMaloda-j3k
    @NeemaMaloda-j3k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sheh samahani naomba unisaidie nimeota viatuvyangu vinagawiwa nini maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  7 หลายเดือนก่อน

      haumshughurikii vyema mwenza wako hivyo ataamua kwenda kuwa na mtu mwingine au kazi yako itafika mwisho