This is my best choir in Tanzania you have an amazing and golden voice I will visit this church when I come to Mwaza Kilimahewa good teamwork I wish you donate on side of the choir to our church please
Ameen...Ameeen.....Ameeen....Utukufu kwa Bwana.....Sifa kwa Mungu wetu wa mbinguni,aliyeweka vipaji na karama ndani yenu na kuwapatia njozi hii nzuri sana wana Kirumba. Huu wimbo nimeurudia zaidi ya mara 20 na bado naendelea kuutazama. Tangu season One...improvement ni kubwa sana. Mbarikiwe sana. Mziki mzuri,sauti tamu,video kali.....Mungu azidi kuwainua juu juu juu zaidi. Nasubiri kwa hamu nyimbo nyingine zaidi kutoka kwa season hii. I hope one day nitahudhuria live hapo kirumba. MUNGU AWABARIKI SANA,MIMI NA FAMILIA YANGU TUNAWAPENDA SANA.❤❤❤❤
Just started the sabbath with blessings from my favorite choir in Tz❤.. God bless Kirumba,,. I wishes to invite you to our church in Kenya 😊, buy I've no connection
Wow Hongereni sana Mmezitendea haki nyimbo hizi. Ushauri wangu mkiamua kuimba medley mjitahidi pia kutazama themes za nyimbo kama zinaendana.Kwa mtazamo wangu nyimbo hizi zina ujumbe tofauti japo zimefanana tu rythm
Tunawambea baraka za Bwana ziendelee kuwalipa
,Kukumbusha kurudi kwenye uimbaji wa kiadventista💗💗
Bwana awaongoze daima katika uimbaji wenuu nabarikiwaaaaaaaaa sana wajoli
Kac kac kac mbarikiwe sanaaaaa tunawapenda na tuko pamoja nanyi barikiweni sana
Wow. So heavenly. I'm Blessed. God bless
This is my best choir in Tanzania you have an amazing and golden voice I will visit this church when I come to Mwaza Kilimahewa good teamwork I wish you donate on side of the choir to our church please
Hymns at its best❤❤❤
Bwana misso umetisha sanaaa
Amina sauti tamu hizi
Ameen...Ameeen.....Ameeen....Utukufu kwa Bwana.....Sifa kwa Mungu wetu wa mbinguni,aliyeweka vipaji na karama ndani yenu na kuwapatia njozi hii nzuri sana wana Kirumba.
Huu wimbo nimeurudia zaidi ya mara 20 na bado naendelea kuutazama.
Tangu season One...improvement ni kubwa sana. Mbarikiwe sana.
Mziki mzuri,sauti tamu,video kali.....Mungu azidi kuwainua juu juu juu zaidi.
Nasubiri kwa hamu nyimbo nyingine zaidi kutoka kwa season hii.
I hope one day nitahudhuria live hapo kirumba.
MUNGU AWABARIKI SANA,MIMI NA FAMILIA YANGU TUNAWAPENDA SANA.❤❤❤❤
Amina na karibu kwa msimu wa nne tar 28.12.2024
Amen 🙏
Amen Amen❤❤
Amen
Muririmba neza cyane muzaze ikigali mu rwanda
This is superb! Glory to God🙏
Amen, Amen hakika mimi ni mwana wake 🙏🙏🙏🙏
Mubarikiwe
❤❤❤❤woooow
KAC waoooh
Amen 🔥
Nimebarikiwa Sana
Amina na karibu kwa msimu wa nne tar 28.12.2024
Nimekombolewa na Yesu halafu tena aliyenikomboa ananipenda wow!!! Mbarikiwe sana Kirumba Adventist Choir (KAC)
Amina. Karibu msimu wa nne tar 28.12.2024
@@slyvestermayala7045 Asante sana, nitakaribia. InshaAllah 🙏
Wow how nice is
Asante tume barikiwa na byimbo
Mungu atukuzwe
Amina ubarikiwe mtu wa Mungu
Najua taji imewekwa mbinguni tayari kwangu hakika ni furaha kukombolewa
I love you Kirumba. Your originality and energy is top notch. Praise God. ❤ Kenya
We love you too. Your welcome
Jina la Bwana litukuzwe kwa kazi mnayoifanya KAC.
Amen
Kumekuchaaaaaaaa
Amen Amen Amazing and happy Sabbath
Amen. Happy day
Ameeen mpo vizur ❤❤
Amina be blessed kirumba
Powerful voices with rich messages. May God add you energy to do More. You are smart and amazing choir. Be blessed. CHERUIYOT MSA Kenya.
Just started the sabbath with blessings from my favorite choir in Tz❤.. God bless Kirumba,,. I wishes to invite you to our church in Kenya 😊, buy I've no connection
Which church i give you connections
Wonderful performance
Amen
This is why we are the followers of our Lord and Savior.✅
Amen amen
I❤❤❤ KAC
I think this song is better
So amazing... God bless KAC in Jesus name...... ❤
Amen. We welcome you for season 4 at 28.12.2024
Kumekucha!
Bwana asifiwe Sana KAC. Haleluuuuuuuuuuuya aah. Jamani waooooooo.
Amen
Wawoooh
Kawaida sana
Stay positive
Wow Hongereni sana
Mmezitendea haki nyimbo hizi.
Ushauri wangu mkiamua kuimba medley mjitahidi pia kutazama themes za nyimbo kama zinaendana.Kwa mtazamo wangu nyimbo hizi zina ujumbe tofauti japo zimefanana tu rythm
Asante, tumepokea kwa unyenyekevu mkubwa.
Sifa zimrudie mwenyezi Mungu.
Amen
Mungu wa Mbinguni Awabariki kwa Uimbaji huu mzuri
Waooh Mwenyezi Mungu awabariki kwa huduma nzuri ❤❤
Amina na karibu kwa msimu wa nne tar 28.12.2024
Amen,Mungu azidi kuinuliwa kwa nyimbo zetu ili injili isonge mbele ulimwenguni kote.
From Tiktok am here❤❤❤a very nice song, Nimekombolewa na damu, Bwana awabariki
God bless you all Kirumba choir
😊 🙏 🙏 🙏
Hongreni mnaimba vizuri sana tena mnoo 🎉🎉🎉❤❤
Mungu azidi kuwatumia vyema
Amen
Haleluya, Bwana atukuzwe.
Mmetenda haki kwa nyimbo hizo
Amina na karibu kwa msimu wa nne tar 28.12.2024
Amina sifa na utukufu zimrudie Mungu❤
Muziki wa nyumbani huu...KAC mbarikiwe sanaaa
Amina, tubalikiwe sote
asante kwa kazi.mungu awabariki
Amina
Tunawasubir kwa hamu kubwaaaa... Sana
Amina. Tunakaribia
Utukufu, sifa kwa Bwana wa Majeshi
Amen
Redeemed Redeemed by the blood of the lamb...
Blessings and powerful
Hivi ni fomu ya Kwaya ya Kanisa langu ndo inaelekeza Kwa Mwiambaji wa kiume kuvaa mkanda
MBARIKIWE KIRUMBA HAKIKA MNANIBARIKI NA NYIMBO ZA KIKRISTO
Amina
Hakika,nimekombolewa na Yesu.
KAC mmetishaaaaaa
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩From DRC, we loves you
Blessings KAC
Aminaaaa!! Happy Sabbath wapendwa
Blessings.
Amina na karibu kwa msimu wa nne tar 28.12.2024
@@slyvestermayala7045 Asante
Jina la Bwana na litukuzwe!!!....
Mungu awabariki sn KAC kwa nyimbo taamu
So nice and attractive God bless you
AMINAAAA
Amina na karibu kwa msimu wa nne tar 28.12.2024
Safiiiii
Kitu fire sana hiki Mungu awabaki sn
Amen
Amen
Nmebarikiwa sanaa naamini na wengine wamebarikiwa pia
Hii imeenda.
Bwana awabariki KAC ❤❤❤
Mungu azidi kuwainua KAC 🙏
its so wonderful song be blessed from Dodoma Tz
🔥🔥🔥
Hallow kaka mkubwa hapo umeimbaje😅😅😅I like it
Mko vizuri Bwana awabariki sana
Mbarikiwe na BWANA
Hallelujah hallelujah
Mungu atukuzwe sana..
hatimae sasa
Huu wimbo hauchoshi kuusikiliza
Amina Amina.
Mbarikiwe sana.
Mungu awabiriki sn
Wow!just wow🙌🙌🙌
Bwana Asifiwe🎉🎉
Aminaaa
Be blessed more
Nabarikiwa sana
Hakika Yesu anipendaaaa
Katika season III ya uimbaji mtu wa picha ametengeneza kitu quality 4K kabisa barikiweni kwaya kirumba
Wow so good
Kazi nzuri sn
Amina ❤
🔥🔥💯❤️💙💙💙
Kama Duniani ni hivi Mbinguni je? KAC jina la Bwana litukuzwe.
Khaaa mmejua kututesa, tumekaa tunasubir hadi taa zikaanza kuzima ni vile tu tulikuwa na mafuta ya akiba😂
😂😂😂Ata me nilisubili san hii kitu lakini Mungu ni mwema tumebarikiwa
th-cam.com/video/Kc8tSo99ktU/w-d-xo.htmlsi=vwlYpb9unm7XcnvS. Ni Hakika kabsa
Amen 🙏
Amen amen