TUTASHINDAJE HUKUMUNI -KAC Feat The Sacred Music. Performed live from Kirumba Hymns Festival S'n II
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2023
- A Live performance from Kirumba Hymns Festival Season II.
Performed On 31.12.2022
Location: Kirumba SDA Church
Theme: INUKA TENA na Pr. Joshua Mbwambo - เพลง
I am not Adventist, but i imagine heaven will sound like this. Much love from Kenya
the feeling is heaven 😊😌
And that's not the best part... The better part is that we may not be able to fully capture how it will be then and odds are that it will be much better.
Thanks
You can become one through prayer
He tells us that eye had not seen nor ear heard, neither hath it entered into the heart of man the things which God hath prepared for those that love Him. @@andrewkibor9581
kiukwel now kirumba SDA choir MUNGU amewainua mnoo kwenye uimbaj had nataman nirud Mwanza@last 2015,, daaah mubarkiwe watumish wa BABA
Barikiwa sana Samwel, Karibu Mwanza
@@kirumbaadventistchoirkac6823 🙏🙏nitakarbia tenaa naiman hvyo mtumishi,, bt MUNGU aendelee kuwainua milele zote
Niliwahi kutamani kuwa na uimbaji wa viwango hivi nchini kwetu na katika kanisa letu. Matamanio yangu yamefikiwa.
This is just a wonderful rendition.
Mbarikiwe sana.
Barikiwa zaidi Elder, Endelea kuiombea hii kazi
Hivi ndivyo kanisa langu hufanya..... Kirumba you are very serious. Hiki ndicho kwaya zote za kiadventista zapaswa kufanya. Mbarikiwe mnoooooo......nasubiri full episod nibarikiwe zaidi. Kirumba you are the Best🔥👏👏
Barikiwa sana. Endelea kufuatilia akaunti yetu, zitakujia mapema.
@@kirumbaadventistchoirkac6823 AMINAAA
❤❤❤❤qq
I love the music, one day I will find myself listening this music live from kirumba adventist church.
BWANA Yesu asifiwe sana. Huu ndiyo Muziki wetu sisi Waadventista Wasabato. Midundo ya Rock, Jazz, Reggae, Blues kwa aina yake ni UPAGANI MKUBWA. Sisi tumepewa ujumbe Maalum kabisa kwa sayari hii ya Dunia, Ujumbe wa Malaika wa Tatu. Hatutakiwi kuimba nyimbo zikiwa na Muziki wa Kidunia.
Endelea kubarikiwa, share na jirani yako pia.
Kwani kunamziki wakimbinguni hapa dunian!!! Ila nyie!!!
Mbona hamkusema kuna wimbo namna huu mzuri hivi? Tulivu sana na ujumbe unafika neno kwa neno. Hakuna distraction kwenye instruments kuzuia ujumbe usipenye. The meaning of Gospel Music. May God bless each one of you that sang or contributed anything to this place.
Дорогие братья и сестри во Христе Ви благословени Славя Христа Прошу вас молитесь за Украину Благодарим вас🇺🇦❤️🙏
Je rends gloire au Créateur et sollicite de Son trône Sa bénédiction non seulement pour les membres de l'église, mais aussi pour la zone où habite ce peuple magnifique. J'écris ces lignes depuis Haïti.
This is one of most loved vocals on earth,much love from 🇰🇪
Sauti zinasikika vyombo ni vingi vinapigwa ki ustadi huyo mtt naye ana sauti nzuri ki ujumla mbarikiwe sana sana
Ngoja tuendelee kubarikiwa
My mom uses to sing to us this song every Friday night preparing for our sabbath,long live mama,such bring ur sweet memories jinsi ulivyonilea❤❤❤❤❤
Oh Amen Amen.
TUNAWAPENDA SANA @KIRUMBA SDA CHOIR BARIKIWA MILELE tuna wa miss sana, Producer from Hallelujah Family Choir-Rwanda
Watching from Kenya wauuuuw this is good music to God be glory
Amen Amen, be blessed..
Ombi langu mwaka huu ni...nipate nafsi ya kushuhudia njisi mnavyo imba kanisani mwenu.
Kila wakati naskia nyimbo mnazo imba nabarikiwa.
Karibu sana Vera
Ukifunga safari, remind me tuandamane pamoja
Bwana awabariki Tena na tena
Sasa huu ni muziki🔥🔥 najifunza mengi toka kweny wapendwa
Mzidi kumwimbia Bwana
Amina mtumishi
BWANA yuko upande wetu. Tutashinda Kwa msaada wa Bwana. Ule Muziki wa Kipagani unaong'ang'aniwa na baadhi yetu Tena ajabu wengine ni viongozi utakoma Kwa Jina la Yesu.
i wish to be in this congregation one day and watch this choir sing three nyimbo za Kristo. NZK 38 (Nasifu Shani ya Mungu), NZK 143 (Naamini) and NZK 14(Nitembee nawe)
Halleluiah, Karibu sana ndugu. We will be blessed too.
Bwana azidi kuwabariki kwa huduma hii makini ya uimbaji mzuri
Amen
Glory glory glory to the lamb. Helo, my name's guelord, I'm Adventist from Drc. I'm always amazed and blessed by this sound. May God bless you more. MUBARIKIWE
Amen
Nyasae ogwethu yawa
Very great performance. Exceptionally done. Well blessed on this sabbath.
mbarikiwe
Amen
Mungu aendelee kuwabariki hakika
Watching frm Nairobi,this ia so sweety..Kirumna Never give up songa songa mbele...be blessed...wapiga vyombo b blessed most so touched ❤
Kwa kweli, mmeubuni vema huu wimbo, na mmeimba vizuri sana, na kuiongezea thamani ngano. Huu mngeimba siku ya meza ya bwana, Kila mtu angefanya toba ya kweli. Na familia ya Pr.Manyonyi mmepatia sana, na Grace Sagati namuona hapo.Amekosekana Chief Mujaya, Mungu amlinde hadi asubuhi njema.
Barikiwa sana,
Ndg zangu Kirumba, Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki sana. Kazi yenu ni nzuri sana na inapendeza sana na inavutia sana. Na mzidi kuendelea na kuendelea katika kutimiza malengo yenu na hasa kumtangaza Kristo kwa njia hii ya uimbaji Amina.
Amen watumishi wenzetu. Bwna Awabariki na tunashukuru Sana kwa maneno haya. Barikiweni.
Amina. Hapo Yesu atakapoita... atakusanya ngano ghalani.
Reverence in here is majestic..... Blessed sabbath experience brethren
Nabarikiwa sana nikiwa Dubai Bwana awabariki sana msonge mbele kwa kazi ya Mungu 🙏
Amina
What a wonderful ministration my heavenly brethrens,thank you am blessed.
Be blessed richly.
Utukufu kwa Bwana!!
❤❤❤
Aminaaaa
Hakika wimbo umejaa UTUKUFU WA MUNGU ALIYE HAI.......
Amen
my best song ever, i love that song, i feel blessed
You just blessed my soul at the end of the Sabbath day, God bless you. Please pass by Kenya. This is soo Uplifting.
kazi nzur sana KAC nimeanza kufatilia toka nikiwa mdogo ni zaidi ya miaka 20 sasa still mziki wenu uko vizur, i can imagine hiyo heaven song itakuwa je. nimebarikiwa sana
Barikiwa sana na Karibu Kirumba
Barikiwa
Aminaaa afisaaa
You sing so well if I was there I would join the choir. God bless you.
Mungu atukuzwe
Am listening your songs from Nairobi and kwa ukweli, Mimi nimeona mkono wa Mungu katika Maisha yangu.
Munapendeza sana. Nawafuwatiliya kutoka Rwanda
Amen brethren
Mungu azidi kuwatumia vyema music umetulia
Amen
Lovely::The Kirumbas.. Feel blessed in Jesus'Name.
Gaither music band ya ki africa ,,,hongera Sana mmeni bariki kabisa 🙏🙏🙏
We are humbled, Endelea kuombea kundi hili. Mungu Pekee Akainuliwe. Barikiwa.
Amen Amen 🙏 Mbarikiwe sana
wimbo ulio na ujumbe wa kufanya nyoyo zimrejelee mwenyezi
Amen
O so beautiful talents
Tunabarikiwa sana kwa wimbo na uimbaji wa Mbinguni tukingali hapa duniani tuna kula na kushiba habari njema ya wokovu. Muende mbali katika kufikisha habari njema kwa ulimwengu ili yesu arejee mapema
Barikiwa sana
Mungu awabariki waimbaji hakika tumebarikiwa na wimbo huu
Amen
Utamu tu wamuziki Bwana awabariki sana
Amen
This is how we will sing in heaven
O how beautiful u sing dis touching song
Que Dieu soit loué pour la louange pour kirumba allez y loin
Mmepiga hatua nyingi mbele Kirumba, ni mwaka wa 10 toka niondoke hapo, nimefurahi kuwaona tena ktk muonekano mpya na kanisa jipya. Mungu atukuzwe ktk hili.Wengi nimewasahau majina lkn hawa nimewakumbuka; Lenard, mwimbishaji Pascal, Binti Sagati, Msafiri Paul, Daudi Masika.
Mungu atukuzwe.
Amen, karibu sana
Ki ukwel mnajua.
Mungu awabariki sana.
Kazi nzuri Mungu azidi kuwa nanyi
Barikiwa zaidi kaka
Hivi ndiivyo wakristo wote wanatakiwa kumwimbia Mungu
Ubarikiwe sana
Naamia kirumba
Karibuu
Awa wapiga vyombo ni balaaa na nusu
Mungu awabariki Kwa huduma ya viwango na ubora,huku ndiko kumtukuza Bwana inavyostahili kwa ustadi na kiroho
Amen, Ubarikiwe pia
Kambale kalendi samson kutoka Congo butembo ,hakika nimebarikiwa sana kwenye wimbo huu
This is another level of music 🎶
Mungu wa mbinguni awabariki sana Kirumba Adventist Choir. 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amen mtumishi Ubarikiwe pia kwa kazi mmefanya.
Barikiwa Abel na wenzako kwa kazi yenu bora
@@kirumbaadventistchoirkac6823 Amen Amen
@@machagejr Amen Amen
Amen ❤
Amen 🙏🙏🙏 Mimi nitakuwa ngano ktk Jina la yesu
Amen
Happy Sabbath from Kagwa SDA church kendubay ❤
Hakika Mungu aendelee kutangazwa na kuinuliwa kwa uinjilisti wa nyimbo.
Wimbo ni mzuri na umejaa ujumbe wenye tafakari muhimu juu ya maisha yetu ya kila siku sambamba na hatima ya maisha yetu yajayo. Mungu asiwapungukie Wana Kirumba.
Ubarikiwe sana Simon.
Powerful
Huwa natamani sana kuabudu siku moja hili kanisa Mungu awabariki sana wajoli wa baba
Mnanibariki sana watu wa Baba.Mavazi,uimbaji na vyombo vinanifanya niitafakari siku ile kuu ya kumwana Yesu akitupeleka kwa Baba Mbinguni
KAC huu Wimbo unesogeza wengi kwa Yesu.Kutafakari uwepo wa Mungu maishani mwetu
Amina shangaz Doris
Kitengo cha instruments mmenibariki sana ❤
Amina, Endelea kufuatilia.
May u Keep on Praising God Like this forever.Be Bless u Kirumba Choir.
Nasi tusio waamini tumebarikiwa pia ... Popote na Yesu nitakwenda
Amen, Bwana Akubariki na Karibu sana
Mbarikiwe sana wana mfalme
Amen
Nitashindaje hukumuni siku ya kihama
Niombi langu kwa Bwana niwe ngano safi.
Mungu atusaidie kuishi maisha ya usafi na utakatifu ili tuweze kusimama mbele zake siku ya hukumu.
Am so much touched with the song tunajifunza makubwa kutoka kwenu @KirumbaSdaChoir Mungu awabariki katika kazi kubwa mnayoifanya nyinyi ni hazina kubwa Mungu ametukuzwa tumeuhisi uwepo wake katika mioyo yetu kupitia wimbo huu.
Tunawaombea utumishi uliotukuka tunapoendelea kumngoja Kristo Bwana wetu anayekuja hivi karibuni sana.
Amen mtumishi, barikiwa sana na kama lilivyo tamanio letu hakikisha tunakutana katika meza ya kioo pamoja
Mungu awabariki sana❤🇹🇿🇹🇿😍😍💕💕🎵🎵🙏🙏💯💯💯
Good Music is man at Kirumba Sda Church ❤❤❤
Amen
Mbarikiwe sana na mzidi kwenda mbali zaidi. Nimebarikiwa sana na kazi hii na ikawabadilishe watu wwngine na wokovu ukapatikane kwao. Amina
Amen sana mtumishi
Muziki mzuri saana
Hadi machozi yuyo dada amejitoa kwelikweli.
Amen. Nice video and music.
Bwana awabariki sana
Amen
Mmbarikiwe sana KAC.
Amen
Inayokuja tufanye nitakuwepo❤
Aminaa
Mungu awabariki Sana
Barikiwa zaidi mtumishi. Wewe ni mbaraka tangu.
Barikiwa Mrisha
Mbarikiwe sana
Amen
Imekaa vizuri sana hii.
Barikiwa sana
I wish by Gods to attend there Camp meeting
Wimbo unanibariki sana
Kwa kweli ndugu neno linanenwa lafaa katika maisha ya Kiroho
Amen
Huu wimbo umeimbwa kwa kicho Sana, barikiweni Sana Kirumba. Showers of blessing be upon you.
Amina sana namuona kaka Philip ktk guiter hahaha safi sana
1:45
Mzid kusonga mbele
Amen
Amen amen, nimebarikiwa kupita maelezo na huu wimbo. Bwana azidi kuwabariki sana watumishi
Amen, barikiwa
Huu wimbo hauchoshi kusikiliza mbarikiwe mno
Amina Esther B.
So amazing...kuna faida kuwekeza kwa muziki!!!
Amen
your church service is higher aisee. mbarikiwe
Amen
Kirumba choir be blessed,asante kwa wimbo nzuri nimebarikiwa .
Amina