USICHOKIJUA KUHUSU WANAOHAMIA MSOMERA KUTOKA NGORONGORO, JKT WANAENDESHA OPARESHENI KWA MIEZI 6

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 116

  • @sephaniangulo4035
    @sephaniangulo4035 3 หลายเดือนก่อน +6

    Good job vijana wa JKT Mungu atawalipa kwa kazi yenu njema

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Raise wetu mama Samia umebadilisha maisha Hawa wafugaji kiukweli no mazuri

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 2 หลายเดือนก่อน +1

    Msisahau na masikiti na chuo cha watoto kusoma quran. Allah atuwezeshe.

  • @afamatv4848
    @afamatv4848 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo Mwenyekiti wa Kijiji Ana akili na nusu 🎉🙏👍👍

  • @johnmwalingo5218
    @johnmwalingo5218 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kwa Serikali yetu kwa kazi nzuri

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana serikali yetu unafanya vizuri sana

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 3 หลายเดือนก่อน +3

    I wish them good luck, Mungu awalinde na awatie nguvu sana, Asanteni kwa kueshimu maamuzi ambayo yanania njema,❤

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 หลายเดือนก่อน +3

    mmewaamisha wamaasai ili muuze ngorongoro. wananchi kazi kutukuza tu

  • @harunahassani7882
    @harunahassani7882 3 หลายเดือนก่อน +4

    Lakini kwa nn wahame?? Hiyari imetoka wapi wkt mwanzo walikataa?? Hifadhini wameishi miaka mingapi toka tz iumbwe? Kwa nn watumie gharama kubwa Ivyo kuwajengea nyumba na kuwahamisha?? Ngorongoro kunani? NI masuala ya hifadhi tu au Kuna kingine?

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 3 หลายเดือนก่อน

      hukuki nikuha kwa kulazimishwa huwezi kosa huduma zamsingi ukaendelea kukaa pale yani kunahuduma zimesitishwa kutolewa ili uhame mwenyewe kwahiyo unaona kwanini nifie hapa misri unaondoka mwenyewe kwwli tanzania nishidaa tupu

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wanajeshi wetu wamefanya vyema sana ,nachotamani ni kuona wamasai hawaachi utamaduni wao

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mshenzi tuu amehongwa..umehogwa nyinyi ni watumwa.tuu.

  • @octiminja5260
    @octiminja5260 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mama Samia Mungu akupe maisha marefu .......

  • @augustinejacobs9657
    @augustinejacobs9657 3 หลายเดือนก่อน +1

    wanajeshi ni waaminifu sana, wapewe na sehemu nyinginezo

  • @roggoyacny
    @roggoyacny 3 หลายเดือนก่อน

    MIRAD AYO,,NDIO MOJA YA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NAVIKUBALI,,, HONGERA SANA RAIS MAMA SAMIA KWA KUWAJALI WATU WETU,,,

  • @emanuelmselle637
    @emanuelmselle637 3 หลายเดือนก่อน +2

    JKT❤

  • @user-oh6wc8xr5w
    @user-oh6wc8xr5w 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli mungu awabariki kweli zaidi ya sans

  • @dismasdastan5493
    @dismasdastan5493 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wote wanaoshiriki kuuza Ardhi hii ya tanzania nina uhakika mbali na kifo ambacho kinatusibiri sisi wote ....Ila nasema yeyote Alieshiriki kuuza Aridhi hii ya Tanzania kwa waarabu huko falme za kiarabu Nasema itawatafuna kabla ya kifo chao hakijafika kwamana hii lazima ulimwengu ushuhudie ulichofanya❤

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe umeletewea dini mpaka na mzungu au hujajiona? Babu zako wa 1800 walikua dini Gani?

    • @dismasdastan5493
      @dismasdastan5493 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-mq6lu2po3y so maendeleo ni dini?...🤺

    • @bikoolaizer2737
      @bikoolaizer2737 3 หลายเดือนก่อน

      Acha bangi kuna maana hauelewi nn au unatetea nn?​@@user-mq6lu2po3y

  • @Visualizer110
    @Visualizer110 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kinachoendelea hapa sio sawa ila wengi hatuwezi kuona wala kuelewa kwa sasa. Let’s just wait and see

  • @user-xz4dh8jq6w
    @user-xz4dh8jq6w 3 หลายเดือนก่อน

    Salut kwa jkt❤

  • @sephaniangulo4035
    @sephaniangulo4035 3 หลายเดือนก่อน +1

    Lakin msiwazuie kutumia miti shamba , hzo ndyo dawa zao za asili na zinawafanya kuishi mda mrefu pia

  • @user-zn4fw9cl1g
    @user-zn4fw9cl1g 3 หลายเดือนก่อน

    Hongereni makamanda. Mko makini

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 3 หลายเดือนก่อน

    Aya bana yote tumwachie Mungu mkuu. Amen.

  • @simonhombo9767
    @simonhombo9767 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmh naona magari ya mjombaaa .....ama kweli maji hayaendi mlimani

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary 3 หลายเดือนก่อน +1

    Saluti sana kwa askari wetu

  • @user-ni5bl7zs2w
    @user-ni5bl7zs2w 11 วันที่ผ่านมา

    nyinyi niwangiji sana

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzani hawo ni watumwa wa mwarabu . Mnanyanyasa. Wenzenu kwa vipande vya pesa mungu yupo ,.

  • @user-se3wg5pe3u
    @user-se3wg5pe3u 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana selikari

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri sana

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona sahivi mnawajengea slop

  • @logicsportsandentertainmen105
    @logicsportsandentertainmen105 3 หลายเดือนก่อน

    Afisa Tarafa ni one of the best English teacher hajawai tokea Tanzania kafaulisha watu wengi sana

  • @user-nd2fw7nm4x
    @user-nd2fw7nm4x 2 หลายเดือนก่อน

    Kama wanapata mahitaji stahiki bora ya kibinadamu hakuna ubaya,na siyo ngorongoro tu kuna maeneo kama Ngarenaro, ungalimited sio sehemu salama kwa binadamu, hakuna njia faire,TANESCO idara maji wapite kutoa huduma

  • @yonasaimoni1302
    @yonasaimoni1302 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ndani ya inchi yako unakua mkimbizi halafu chamana ni kuzwa kwa inchi na washenziiiiii

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huwez kuwajudge kama wakimbiz kwa sabb unakuta nyumba sio kutelekezwa

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 3 หลายเดือนก่อน

    MIMi HUWA NASHANGAA.KWANN WAWEKEZAJI WANATAKA SEHEMU TULIZO WEKEZA SISI SI NAO WAKAANZE WAONE UCHUNGU WA KUANZISHA JAMBO

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 3 หลายเดือนก่อน

    Bado safari ni ndefu sana.

  • @user-co3ee9nb5q
    @user-co3ee9nb5q 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmehoji wageni au wahamiaji mbona hamjawahoji wenyeji kujua changamoto wanazozipitia kutokana na ujio wa wageni?

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤Thanks Commander's Kazi Kazi

  • @YohanaKuroo-jz1dr
    @YohanaKuroo-jz1dr 2 หลายเดือนก่อน

    mujue mutakufa tu muache kila kitu munanyanganya kimabafu😂😂😂😅

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atawalaani na tayari mnalaana kinacho fuata mtakiona,

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunavyojua kabila letu ni kuwa na mke zaidi ya moja je hilo mmezingatia?maana naona family inakabidhiwa nyumba moja

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 3 หลายเดือนก่อน

      NA ENEO LA EKARI 2.5 ILI MWENYE FAMILIA KUBWA AWEZE KUWA NA SEHEMU YA KUONHEZA NYUMBA

  • @user-co3ee9nb5q
    @user-co3ee9nb5q 3 หลายเดือนก่อน

    Ng'ombe mmoja anahitaji eka moja je mtawatosheleza au mnakaribisha ugomvi kati ya wageni na wenyeji. Je ardhi mnayoichukua kutoka kwa wenyeji je mnawafidia? Maana sheria zipo wazi kua hata kama ni kwa manufaa kwa nchi, serikali inatakiwa itoe fidia. Sasa ukweli ni kua hakuna fidia inayotolewa.

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi siungi mkomo unatowa watu unapereka watu ???🇹🇿🇹🇿🇹🇿😳😳😳

  • @giztony2009
    @giztony2009 3 หลายเดือนก่อน

    I really dont know the motive behind!

  • @graysonpastory1918
    @graysonpastory1918 3 หลายเดือนก่อน

    😢😢

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 3 หลายเดือนก่อน

    Hata miirqdibyq serikali ktk halmashauri wape jeshi. Maana rqsilimqli vijana tunao wengi. Wakurugenzi na wahasibu wanaiba pesa

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 3 หลายเดือนก่อน

    That place is really beautiful can i get a land ?

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wamasai mtajuta

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 3 หลายเดือนก่อน

    Arthi ya asili ina thanani Sana kuliko hizo nyumba. Asili nibora kuliko artficial

  • @thomasmcheri
    @thomasmcheri 3 หลายเดือนก่อน

    Maybe

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kuuliza tu, hii fedha ya ujenzi na gharama zote za uhamaji inatokana na nini?

    • @Visualizer110
      @Visualizer110 3 หลายเดือนก่อน

      swali zuri hapa kinachoendelea……..

  • @reginas1832
    @reginas1832 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini msiwape waarabu huko??? Mungu anawaona

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 หลายเดือนก่อน +2

    Naipongeza serikali kwa hizi juhudi. Kwanza kuwawezesha makazi mapya. Pili tanga ina ardhi yenye rutuba watapata chakula na mifugo itapata chakula.
    Ngorongoro ni hifadhi ya wanyama pori ile hifadhi inatakiwa irudishe uhalisia wake. Kuongezeka kwa watu ngorongoro kunaharibu mazingira halisi ya eneo hilo. Na ikumbukwe kuwa eneo hili la hifadhi ni zawadi Mungu alitupa hakuna eneo lingine duniani ambalo lipo kama ngorongoro.
    NAIPONGEZA SERIKALI KWA HATUA HII.
    Na mimi nafikiri huu ni mpango wa mungu, maana Mungu hatorudia kuitengeneza eden. Sisi wenyewe tutairudisha eden

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie wamasai mnaoshangilia maafa mtakuja shangaa na kujuta na Maisha baadhi yenu mnavyoambiwa mseme mtandaoni. Mmeonyeshwa mahali pa malisho ya ngombe zenu au kuanzia sasa ufugaji bye bye?

  • @user-dg9js4cb7e
    @user-dg9js4cb7e 3 หลายเดือนก่อน

    Good job

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 3 หลายเดือนก่อน

      Safi sana kwa point yako

  • @osiahstimah
    @osiahstimah 3 หลายเดือนก่อน

    Wamasai mpk wamejengewa ndio wamehamaaaaa😅😅😅

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 3 หลายเดือนก่อน

    jamani kweli ni nyumba ambayo anastaili kushi mtuu karnee hii utasema ni nyumba yamabox watoto anajifunza kujengaa huu nimsiba ndugu zangu msipo badilika kubadili hii serekali kunasiku mtachimbiwa mashimo chini ya arizi muambiwe muishiii

  • @husseinally6699
    @husseinally6699 3 หลายเดือนก่อน

    Maana yake kero ya zanzibar kushiriki jumuiya ya africa mashariki , maana yake Tanganganyika ishiriki kama tanganyika na sio Tanzania , sasa hapo tunasema serikali 3 muhimu ambayo itakua , Tanganyika. Zanzibar na Tanzania
    Maswala ya Tanzania na zanzibar au Tanzania bara hakuna nchi duniani inaitwa Tanzania bara au visiwani maana hata Tanganyika ina visiwa

  • @louisisd1090
    @louisisd1090 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sanaaaaaaaaaaaa nimependaa

  • @MmTt-gb5xh
    @MmTt-gb5xh 3 หลายเดือนก่อน

    Kamaniraha

  • @LOSIHVASONGOYO-qh9vy
    @LOSIHVASONGOYO-qh9vy 2 หลายเดือนก่อน

    Losihvp songoyo

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 3 หลายเดือนก่อน

    SEMENI MABANDA SIYO NYUMBA. NINA FAMILIA YA WATU 14 VYUMBA 3? ILA MMEFANYA VEMA.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 หลายเดือนก่อน

    Mabus mwiguru nchemba

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 3 หลายเดือนก่อน

    Bado naskiliza

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 หลายเดือนก่อน

    Pongezi kwa JKT UZURI HAWO NI WAMASAI HAWATAJAL HAYO MAENEO

  • @MajukaSindole
    @MajukaSindole 3 หลายเดือนก่อน

    Wana ngorogoro msiache arizi yenu

  • @user-mn3yd7jg3q
    @user-mn3yd7jg3q 3 หลายเดือนก่อน

    Asa eka mbili itatosha kwel Kwa masai kuchunga ngombe au mnatengeneza bomu uko

  • @jameskiroka2549
    @jameskiroka2549 3 หลายเดือนก่อน

    🇹🇿mbuga Imeuzwa kwa kwa waarabu.
    Mwaarabu ana nguvu ya pesa

    • @Abuu-lr5bz
      @Abuu-lr5bz 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo ufinyu wa akili ndio janga Lataifa
      Sasa unauhakika kua wameuzuwa waarabu au unachuki za kupandikizwa

    • @giftchristianmeela1409
      @giftchristianmeela1409 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo lenu nyie mnashindwa kutofautisha kati ya Ngorongoro na Loliondo.

  • @damasmassawe3601
    @damasmassawe3601 3 หลายเดือนก่อน

    nyumba haipigwi hata plaster

  • @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
    @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM 3 หลายเดือนก่อน

    Maaai wa tanga 😂😂😂

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 3 หลายเดือนก่อน

    ESther Luxury ya Mwigu boy

    • @JoyceStive
      @JoyceStive 3 หลายเดือนก่อน

      Mwiguri ni Frester, Dar to Bukoba na sio hizo

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 3 หลายเดือนก่อน

    Uhame kwenu .. ukafurahie ugenini ..labda uwe kichaa .. msituone wajinga ... tunalala gest nzuri kuliko nyimbani na hatutaki

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera raaisi wetu mpendwa kwa kuwajali raia hawa wa kimasai!!hakika unaupiga mwingi,wanaojiita wapinzani watasubiri sana!!
    alllah akulinde na MAHASIDI!!

    • @hallin9561
      @hallin9561 3 หลายเดือนก่อน

      umeanza uchama

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naona wamesaidiwa sana, Kwa sababu nadhani wengine hawakuwa na makazi mazuri ya kuishi lakini hapo wamepata nyumba.

    • @serndaynjumbo6912
      @serndaynjumbo6912 3 หลายเดือนก่อน

      we jamaa acha kuzima data sisi tunauzwa nyie mnashabikia

  • @othmanramadhani6962
    @othmanramadhani6962 3 หลายเดือนก่อน

    Tanga wameletewa vita😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sanahongera

  • @serndaynjumbo6912
    @serndaynjumbo6912 3 หลายเดือนก่อน +1

    watanzania fungukeni akili sio mnapongeza tu serikali huku wanauza urithi wetu mbona mnakua manyumbu sana hawa wameondolewa kwasababu miaka ijayomtanzania ataingia Ngorongoro kwa paspot

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 3 หลายเดือนก่อน

      Acha akili yako finyu wewe. Leta ushahidi kwa hilo

    • @glorymarima5611
      @glorymarima5611 2 หลายเดือนก่อน

      Siyo miaka ijayo, tayari tunaingia na passport ya mpiga kura ambayo umepigia ngorongoro, kama hujapiga huingii labda ulipie permit kama wazangu vyenye wanafanya

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui 3 หลายเดือนก่อน

    Sema sababu Ni wamasai wanaishi popote

  • @ibrahimlukumay8430
    @ibrahimlukumay8430 3 หลายเดือนก่อน

    Unatolewa pazuri unapelekwa pakame

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 หลายเดือนก่อน

      Hifadh ni mateso kwanza si salama kwa watoto kuna wajinga wanafundisha ushoga huko huruhusiwi kulima wala kumilik ardh ya nini kuishi huko

  • @user-em7bm2tw9b
    @user-em7bm2tw9b 2 หลายเดือนก่อน

    Wahamiaji haram

  • @agathakimatile4999
    @agathakimatile4999 3 หลายเดือนก่อน

    Naona wamasai wakirudi Tena ngolongolo😢😢😢

  • @yohananyamaruri9105
    @yohananyamaruri9105 3 หลายเดือนก่อน

    Mm najiuliza, Unajenga nyumba ya vyumba 3 maana yake vyumba 2 na sebure Moja!
    Mimi nanvyojua wamasai Huwa mwanaume Mmoja anakuwa na wanawake 3 had 4 na watoto zaid ya 12 .
    Je, kama unampatia familia Moja nyumba Moja ataishijee lkn??
    Mnanyanyasa watu Kwa mamlaka mliyonayo!
    Hizo mbazoliport nyie maliporta mnalipo hizo ndogo tu za walio maskini ambao wanafurahia, je wake walio na Mali nyingi wanapigwa wanakufa .
    Mbunge hasikilizwi

    • @Myplusbee
      @Myplusbee 3 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo ulitaka wajengewe nyumba za vyumba 12 au killa mwanaume mwenye familia ajengewe nyumba 3 hadi 4 kwavile tu unaamini kila Mmasasi ana wake 3 hadi 4? Na kwanini useme eti "...maana yake ni vyumba 2 na sebule 1" wakati umeshaambiwa vyumba 3? Yaani wamekufafanulia kabisa kwamba chumba 1 cha wazazi, 1 cha watoto wa kike, na kingine cha watoto wa kiume lakini bado unatoa tafsiri zako za eti "chumba 2"?

    • @Mamodel-Park
      @Mamodel-Park 3 หลายเดือนก่อน

      Mtu kashasema chumba kimoja cha wazazi viwili vya watoto wakike na kiume sasa unataka upindishe kauli za wenye nyumba uweke fikra zako
      Heka 2 na nusu makazi
      Heka 5 za kulima serikali ulitaka iwape nini tena Nyonyo???
      Wengine ad wanafurahia na wamesema ila ww tena kwavile unepewa mdomo wa kuongea basi huna budi kuongea lako

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 3 หลายเดือนก่อน

      HUJASIKILIZA MPAKA MWISHO. HAPO WAMEPEWA NA EKARI 2.5 KWA KILA MTU ILI KAMA FAMILIA YAKO ITAONGEZEKA UWE NA NAFASI YA KUJENGA

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 หลายเดือนก่อน

    Mmebaki nyie mnaoopongeza serikali siku wakiamka wakawaambia nyie sio watanzania sijui mtasemaje yaani mtaambiwa nyie muame nchi hii mpelekwe Malawi ukoo😅😅😅😅😅😅😅

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 3 หลายเดือนก่อน

    Wajinga watafurahia hicho kitu

  • @user-zg7yo2nl7t
    @user-zg7yo2nl7t 3 หลายเดือนก่อน

    CT suck

  • @user-to5pz6ko8f
    @user-to5pz6ko8f 3 หลายเดือนก่อน

    Maasai.makao.mapyamema

  • @user-to5pz6ko8f
    @user-to5pz6ko8f 3 หลายเดือนก่อน

    Hii.imenikumbusha.op.ngodano.kigoma.naop.vijiji.74.75.hongeleni.sans

  • @officialngassama2539
    @officialngassama2539 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alaf anatokea mhaya mmoja amevimbiwa ndiz anasema jkt kisiwe kigezo cha ajira za majeshi ili hali vijana hao wanafanya kaz kubwa sanaa cijui hawaoni

    • @exprodigitaltechtv5571
      @exprodigitaltechtv5571 3 หลายเดือนก่อน

      ulielewa alichomaanisha yule mbunge? ni kwamba kuwe kuna usawa katika kupata Ajira kati ya vijana wanaopitia jkt na wasipita jkt kwa sabab wapo vijana wanaofanya vizur lakin hawakupita jkt na wapo vijana wasiofanya vizur na wamepita jkt

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 3 หลายเดือนก่อน

      Jkt kisiwe kigezo cha kupatia kazi serikalini.

    • @exprodigitaltechtv5571
      @exprodigitaltechtv5571 3 หลายเดือนก่อน

      @@hamadsheni8997 yeah mbunge alikua na hoja kweli na jkt iwe hiari sio lazima

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 หลายเดือนก่อน

      Acha kuchanganya mada kama sio ajira za majeshi ni waajiriwa wa sekta nyingine mwanajshi anaajiriwa akifamaliza mafunzo yao yaani unaongea ukiwa umejiamini na kiwatusi wahaya

  • @user-co3ee9nb5q
    @user-co3ee9nb5q 3 หลายเดือนก่อน

    Ng'ombe mmoja anahitaji eka moja je mtawatosheleza au mnakaribisha ugomvi kati ya wageni na wenyeji. Je ardhi mnayoichukua kutoka kwa wenyeji je mnawafidia? Maana sheria zipo wazi kua hata kama ni kwa manufaa kwa nchi, serikali inatakiwa itoe fidia. Sasa ukweli ni kua hakuna fidia inayotolewa.

    • @giftchristianmeela1409
      @giftchristianmeela1409 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ardhi ngorongoro, huwezi fidiwa kitu ambacho humiliki.