Lissa mwalla ww mbn hivyo bandika bandua unajua kutupa mavituzzzzzzz wewe mdada ila nikuombe kitu kipnz story zako awe anasimulia anko jay wetu saw dada angu mzr fanya hivyo darling ake 🙏🥰
Big up sana Lissa mwalla, ireal wish nikuone jmn 😍 Hata kwa picha tuu.. I'm really enjoying listening to your story 👌 plus anko Jay voice jmn you're so talented 👏. Asanteen sana sana🙏
Thanks Anko for sweet simulizi...you've made my life easier in arab country....i only need head set and im good to go...i love your voice jay...much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaani sina shaka nikiona simulizi ya Lissa Mwalla naamini nitafurahi, lakini amenifanya nikisikiliza simulizi zingine naona bado sipati utamu.pia ana kipaji mno msimuliaji wake Anko Jei,sasa Lissa Mwalla mbona naona hii imekuwa fupi, naomba tuwekee ndefuuu mtu ajipimie mwenyewe, ili bando lisikatike kabla.Lissa najikuta kama hujatoa simulizi mpya narudia tena zilizopita na bado hazichoshi, ukweli Lissa Mwalla huna mpinzani,loo msimuliaji sasa hee anajua, ana kipaji, ana sauti nzurii, yaani ananifanya nione kihalisi wausika katika simulizi*★duu bado sijaanza kuisikiliza lakini sina shaka ni UTAMU HASWAA
@@ankojay_ apo ndo tatizo linapo anzia nimesha kina nachokumbuka kulikua na Lili Leila latifa na lusy na bint wa nne mmoja mchumba ake aliendaga kusoma nje ya nchi ndonakumbuka ilikua nzuli sana yani
Amazing story❤ thank u anko j tunakupendaga sanaaa🎉🎉🎉🎉
Second time naisikiliza hii story it's very interesting story ❤❤❤
Heshima kwako ANKO JAY kwa kuzidi kutupa elima mbali mbali za maisha na mapenz nk mungu akupe kila kher katika maisha yako❤
Waooooo simuliz nzuli ank j
Lkn funzo lizingatiwe,kwa vijana michanganyo sio poa
Lissa mwalla ww mbn hivyo bandika bandua unajua kutupa mavituzzzzzzz wewe mdada ila nikuombe kitu kipnz story zako awe anasimulia anko jay wetu saw dada angu mzr fanya hivyo darling ake 🙏🥰
Big up sana Lissa mwalla, ireal wish nikuone jmn 😍 Hata kwa picha tuu.. I'm really enjoying listening to your story 👌 plus anko Jay voice jmn you're so talented 👏. Asanteen sana sana🙏
Asante anko kwa simulizi nzur sana zinazotufundisha sana
What is a day without simulizi tupo ndani kabsaa❤❤❤❤❤❤❤
Jameni hadiraha jameni
Asanteee kwa simulizi nimejjfunza mengi
Anko jay tuna kupenda Sana😘😘
Lissa mwala dd uko juu unatisha xaan daaah we ni mkali ✌️🔥🥰anko j wetu ww unatupa Radha kila cku hujawah kukosea kabisa uko juu kk km obama😂🙌🔥🥰❤️
Anko Jay simulizi Zako zinatukosha sana
Amenzing Ankojay ❤❤🎉🎉from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Thanks Anko for sweet simulizi...you've made my life easier in arab country....i only need head set and im good to go...i love your voice jay...much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you so Much 😍
Thnk u anko j napenda san kaz zako 😍 nainjoy sana😘❤️
Mie saaaana
Ako jay msimulizi awe mmoja t ambaye ni anko jay hao wengine wanasimuliwa kama wana mafua
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
@@ankojay_😂😂😂😂
@@ankojay_kweli unayaweza kaka
Napenda simulizi zako anko jay
BACK TO BACK FROM OUR GREATEST STORY TELLER ANKO JAY MAPESA 🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏
Congratulations anko Jay for nice sounds
Jamani anko jay napenda sana unavuosimulia simulizi zako zinafanya siku yangu iwe nzurii ninaposikilizaa simulizi zako👌👌❤️
Thanks Lissa and anko Jay for good story,
Asante anko jay kwa sitory nzuri❤❤ uwa nazipenda sana hongera kwako
Kazi nzuri nashukuru
Nimetulia tu naenjoy simulizi Asante sana anko j❤❤❤❤
Anko jay wewe tupo kwenye swaum jamani lakini tunainjoi tuu waraabu na swaum hii nainjoi tuu na simulizi tamuuu🥰🥰🥰🥰 RAMADHAN KAREEM🌙🌙🌙🥰🤲
😂😂😂😂🎉🎉
❤❤❤🎉🎉🎉
No
Hi Anko Jay nimejifuza kweli simulizi hii nitam 🙌🙏 happy Holi _Holi dunguzangu🌙🌙
Ghaiiii nmependa sana thanks so much
Ila anko j uko vizuri sana jamani sauti yako yani sichomi kusikiliza jamani asnteni simulizi mix na mtunzi lissa mwalla❤️❤️❤️
Ancojey napenda sana unavyo simulia nisem asant🎉
Asante ankoj tuna kupensa sana ❤❤❤ Allah akuhifadhi na nakila baya
Anko oooooo Jay na Lissa Mwalla tena ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Ila anko jay 😂😂😂😂😂😂 unasifa sana ❤❤❤❤❤❤
Yaani simulizi ikiwa sio ya sauti yako tu atoaa maana hawajui kabisaa
Saut nzuriii jmn w kaka
Wow shukrn san anko j pamoj tunasonga mbele😊na lissa Kipenzi 😘💓
Asante Sana simulizi mix pamoja
Shukran sana Mwandishi wetu kipenzi Lissa Mwalla, msimulizi Anko Jay na crew nzima ya Simulizi Mix hongereni sana
L
P
Woow acha nisonge nayo lakin kafupi Sana shukran lissa mwalla bila kumsahau mapesa anko Jay mungu awabariki
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anko Jay unaniua jamani
Nmecheka kwa kelele ivi anko J hivi vituko vyako 🤣🤣🤣😂😂
Qq❤❤❤❤
😊napenda simulizi zako anko jay
Nko zangu na enjoy anko hapa n earphones uku job ya ramadan familia yangu imelala mm na enjoy sauti ya jay ❤❤❤❤❤❤
🎉🎉❤❤thank anko jay
Lisa alianza umalaya mapema sana
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ thanks Anko mapesa 🎉🎉🎉
Nasikia raha unavyosimulia 😃
Binti lisa acha ni enjoy ntarudi kutoa maoni 😂 one love 💙❤💚 wana simulizi mix.
Asante 💞💞💞💞
😭😭maskn kweli hatuna saman
This voice
Nikiona tu story ya Lissa Mwalla halafu kasimulia anko jay naisoma chap maana najua tu ni kali sana
Kabisa anko jay yuko juu
Tko pamoja mi pia huwa naipempenda sana
Kama kawaida yake kaz zao hazina mbaaambaaa
Jamn cmliz nzur san ❤❤❤❤ kaz nzur❤❤
😂😂😂😂😂 Hapo kwa mnyaduano nimecheka na niko pekee yangu
🎉🎉🎉
love you anko🥰🥰
Daaaah,kijana mshenz wa tabia huyo
😂😂😂Max kama max 😂😂😂😂😂😂🤣Ankojay wewe, unatutia nyege jamaniiii
😅😅😅😅😅😅😅😅umeonaereeeee
Kazi kweli
Good anko jay
Leo mm wa tatu,,haya wacha nisikilize lissa mwala😂😂ooo nimekosea kumbe sio mtunzi wetu lissa mwala 😅😅.❤❤
😂😂
Good job
To be continued
Ramadan Karem wapenzi wa simulizi jamani Lisa please usimutaje max 😁
Yaani wanaboooa😅😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Love you anko
Mbona back ground cy zuri anko
Yaani sina shaka nikiona simulizi ya Lissa Mwalla naamini nitafurahi, lakini amenifanya nikisikiliza simulizi zingine naona bado sipati utamu.pia ana kipaji mno msimuliaji wake Anko Jei,sasa Lissa Mwalla mbona naona hii imekuwa fupi, naomba tuwekee ndefuuu mtu ajipimie mwenyewe, ili bando lisikatike kabla.Lissa najikuta kama hujatoa simulizi mpya narudia tena zilizopita na bado hazichoshi, ukweli Lissa Mwalla huna mpinzani,loo msimuliaji sasa hee anajua, ana kipaji, ana sauti nzurii, yaani ananifanya nione kihalisi wausika katika simulizi*★duu bado sijaanza kuisikiliza lakini sina shaka ni UTAMU HASWAA
Asante sana dia, maneno haya yanafanya tuzidi kupata moyo wa kuleta simulizi nzuri zaidi. Barikiwa sana asnte sana dear, mazur yaja my lov
Lissa na anko nawapendaaa❤️❤️❤️❤️❤️
Ukipimwa ukutikane na mimba sema ulikunywa kwa chai maana umesema hukuwai fanya mapenzi eheee nicheke mie 😂😂😂😂 mimba ni kitu ya kuficha kweli mmmhh
Nmekua11 jamani humu watu mnawahi haya Lisa Naona anatutendea haki sikuizi twende kazi
Endelea kutupa rahaa jamani anko jay
Wale hukusuma mjengo kwa waiguru na hizi silulizi za anko j gather hear
Anko j tupia basi Ile simlizi ya kina Lili
Inaitwaje.?
@@ankojay_ apo ndo tatizo linapo anzia nimesha kina nachokumbuka kulikua na Lili Leila latifa na lusy na bint wa nne mmoja mchumba ake aliendaga kusoma nje ya nchi ndonakumbuka ilikua nzuli sana yani
🔥🔥🔥🔥🔥
Lisa mwambaaaaa
Hmmm jamni Kuna wanawke wngine wanajirahisisha kwa wanaume 🤔🤔Lisa duuuh
Aibu,,ndio somo liingie sasa
TUNANGOJA HIO SEHEMU YA PILI🎉🎉🎉
Aliyempa mimba Lisa ni mas john toka zambia khaaaa
Ulipo tupo
Siku zote epuka kumwambia rafiki Mambo yako ya ndani
Anko jay, I need to see you face to face ili nione uhandsome wako.
😂😂😂😂
@@ankojay_mkaribishe kwako
😂😂😂
Mko wa sazi eti na Uchafu wake wote uwo😂
Mapenz ya wanafunz wajihadhar yana madhara sana,ukifuatilia mmojawapo lazima aangukie pua
Hasaaante
anko j malizia
Jamani jaman
Leo mm niwakwanza ku comment
Wowuuuu simulizi zuli hiyi😘 Anko usikawiy na part 2
Ramadhan kareem tuishi kwaimani
❤ nzuri sana
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
Acha tuendelea Na sehemu yapili Na Saumu yetu
Hyo bite ni km mie hafai hta kdo
Mmmh,uwe makin binti wa mamaake
Jaman lisa ameapa hajawahi kufanya mapenzi tangu kuzaliwa🥸🥸🥸🥸
Binti zani hoyee umetajwa kwenye simulizi makubwa
❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
I like ❤
Napnda San simulizi zako znankoxha aisee😂😂
Jmn nyie mm nko hoi 😅😅😅😅😅 😮
Anko mauwa yako chukua bwana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Acha nijivinjali mie na anko j
Tunaomba muendelezo msitucheleweshe jamen
Jamnii. Itakuwaje sasa uwiii max atarudi kwa lissa kwelii
Team strong tunao pimiwa wifi tunasave vpi ili tuskize bdae, nmejarbu save ila bila net haifanyi