Mohamed marco kutoka nzega tabora simba nguvu moja tuache majungu tuwashabikie wachezaji wetu na tuwaombee kwa mungu wawe kitu kimoja waoneshe ubora wao Ili tumuaibishe mtani msimu huu alambe garasa namini hilo linawezekana tukishilikiana.
Simba mimi ninacho omba siku zote ni kumlinda au kuwalinda madalali ndiyo wanao tuuwa sisi wanapo mtafuta mchezaji hawana niya bali niya yao chochote kitu ndiyo maana timu yetu inashindwa kufanya vizuri
Dayna v. Naomba viongoz wa Simba msituangushe Tena kwenye tope zito jeus la moto Sana. hao wakina mkwala na uwanjan iwe nimwendo wa mikwala haswa mimi ninamaumivu makali ajabu😢
Mohamed Marco kutoka Nzega Tabora ushauli wangu katika banchi la ufundi Juma Mgunda asiachwe nae awepo ktk kitengo hicho tulud nyuma tuangalie uwezo wake mkubwa huwa tunampa timu mbovu lakin anakua makini mpaka anatuvusha pagum wanasimba tuone aibu .
Me Francisco cosmas luzunzu from geita nawaomba wasajili wa Simba spot clb wafanye jitihada za usajiri tumechoka kuwa nyumba kila mwaka
Napenda Simba
Naipena sana simba hadi wisho wamaishayangu❤❤
Simba nguvu moja wengine wanaiga yetu
❤❤❤simba
Julius Swai from Arusha,ninaombea simba iweze kusajili wachezaji wazuri
Nina imani wachezaji wanaosajiliwa watafanya vizuri kwenye timu yetu ya simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni shabikki la Simba kutoka DSM❤❤❤ I love Simba
Napenda tm yangu ya Simba isajili vzur
Simba
Good registration
Naipenda simba simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤❤❤
msifun kutoka ngara ,kagera❤❤❤❤❤
Sawa
Safisana viongozi wetu tunawamini kwenye usajiri simba yetu ❤❤
Watatosha mbona niwachezaji Bora sana
Ongera sana vingozi wa simba
Naomba wasaji vyuma kweli kweli tumechoka kuitwa mwaka robo
Fanyeni kweli kwenye usajili Simba nguvu moja
Nishabiki was Simba mwanza
I love simba
Kama nikweli basi Simba iko juu
Wako sawa
Mohamed marco kutoka nzega tabora simba nguvu moja tuache majungu tuwashabikie wachezaji wetu na tuwaombee kwa mungu wawe kitu kimoja waoneshe ubora wao Ili tumuaibishe mtani msimu huu alambe garasa namini hilo linawezekana tukishilikiana.
Safi sana viongozi sisi bado tunaimani na timu 🎉😢yetu wao nawaseme tu
Safi sana tena sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Naipenda simba napatikana dodoma❤
Big up San never give up
Simba mimi ninacho omba siku zote ni kumlinda au kuwalinda madalali ndiyo wanao tuuwa sisi wanapo mtafuta mchezaji hawana niya bali niya yao chochote kitu ndiyo maana timu yetu inashindwa kufanya vizuri
Makini san
Simba nguvu moja
meja from mahenge ulanga simb nguvu moja
Naitwa Augustino mpiluka iringa mufindi nzivi naipenda sana timu yangu ya simba.
Dayna v. Naomba viongoz wa Simba msituangushe Tena kwenye tope zito jeus la moto Sana. hao wakina mkwala na uwanjan iwe nimwendo wa mikwala haswa mimi ninamaumivu makali ajabu😢
Mbozii
simba nguvu Moja mafinga mufindi
Mohamed Marco kutoka Nzega Tabora ushauli wangu katika banchi la ufundi Juma Mgunda asiachwe nae awepo ktk kitengo hicho tulud nyuma tuangalie uwezo wake mkubwa huwa tunampa timu mbovu lakin anakua makini mpaka anatuvusha pagum wanasimba tuone aibu .
Usajili nimeukubali hakish bakari nondo mwamnyeto anapatikana
Xawxaw uñyama no mwingi🎉
Nice
💓💓chumy chumy💞💞
❤❤❤
Simba mnatukera viongozi mjiuzuru
Xawxaw uñyama no mwingi
sana viongozi wetu
Tunahitaji sis wanasimba kuwa na furaha endapo usajiri huu utakuwa ni kweli
Hesabu hiyo viongoz tunashuru simba nguvu moja
Mim ni mshabiki wa simba kutoka gombelo tanga
Nipo ddm town
jaman viongonzi fanyeni kweli
Xawxaw uñyama no mwingi🎉 10:38
Simba damudamu kutoka Mwanza
Mimi ni shabiki nikiwa tabora
Wachezaji hao wanatosha lakini ikiwezekan waongezwe jamani
Nakuba make naitaj Moto uliopotea urud pia tujpe moyo bado safae ndef tutairudsha heshmayet by Petro Raphael toka kilimanjaro
Tunaamini Simba yetu yarudi kivingine
Wanatosha
Wachezaji hao ni wazuri tu ila wakifika wasibweteke wafanya kazi kweli kweli tunataka turudishe vikombe vilivyopotea
Turijabu na kumuangalia kocha aliyetufikisha mbali Patrick uchebe no kocha ambaye hatumusahau Wana Simba maana alifanya makubwa Sc
Mwamnyeto kaongeza miwili yanga na kasema hana mpango wa kuondoka yanga labda wamfukuze
Fanyen kweli usajili
Je mayele sikuona kwann lkn mie watosha
Shabiki wa ssc Toka maeneo ya wela nzega
Waje hao wote Simba ili washindanie nafasiiii
Kama kweli wanatosha
Kwa mwamnyeto umezingua
Mi ni morrisi mulwe nipo Zambia
Waje na ubora mnyama aungurume
Uongozi JAU😅
Tuongeze majembe
Bad kulazmisha
Niswala la mda ukfka tutajua mbivu na mbichi
Sisi Ni wavumilivu hatuvunjika bwana hatuhami kwa kufungwa sisi sio Pita msigwa 😮😮😅 kukosa Kura anahama chama sio mm Mimi na Simba
msigwa!!?
Hatoki mtu
H
Nina human kubwa San Kwa wachezaji wanao sajiliw najuwa watakuj kufany makubw katka tmu yang ya SIMBA SPORTS CLUB
Janani mwamnyeto apana
Wako sawa
Naipendasimba
Mimi niko msata