Mtangazaji Wa Zamani Wa RTD - Radio Tanzania Atoa Neno Kwa TBC
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Mtangazaji Wa Zamani Wa Redio Tanzania RTD ambayo hivi sasa ni TBC TAIFA Salim Mbonde Alivyotembelea Banda La TBC Katika Viwanja Vya Maonesho Ya 43 Ya Kimataifa Ya Biashara 77
Na Kuhojiwa na Mtangazaji Stanley Ganzel Wa TBC
Salim Mbonde, gwiji la habari RTD, enzi hizo. Asante kwa clip!
mpaka hapo bado sauti yake ni kitangazaji mbonde
Swed mwingi,malima ndelema,Shaban kisu,Sima erinesti,jmn majira uck majira asbh nikisikia ule mlio ndindii komoa mm ndonakurupuka naamka kwenda shule nisiposikia majira cjiandai ,nilimpenda sana siiiiimaaaa erineeeesti alikuwa anaivuta kwa mbwembwe jina lake duh wako wapi jmn Shaban kisu namuonaona
Dah jamani kumbe salim bonde huyu. Nilikua namskiaga tu kwenye radio
Salmu adinan mbonde
Hongera.Sasa leteni mashamshamu-matangazo ya mapambano ya mpira,kati ya yanga na simba,yanga na timu zingine za afrika,simba na timu zingine za afrika pia.tutashukuru kusubscribe na kusupport.RTD NANI KAMA WAO?Watangazaji juma nkamia,salim mmbonde,Ezekiel malongo,Ahmed jiongo na wengine.
Hongera Mzee Salim Mbonde, Mzee Barnabas Mluge pia mtangazaji wa zamani yuko wapi? Tunawatakieni afya njema magwiji wetu wa TBC.
Nimefurahi mno kumuona Salim Mbonde bado yuko fit. Mmengetukumbusha na utangazaji wao nyakati zile
Jambo ndugu Mimi nimsani mdogo kutoka Tanzania Mimi Niko mbali kidogo na inchi yangu minataka supot zenu
Mbona hukumtaja jina anatwaje huyo Mtangazaji wa zamani
Salim mbonde wow! Safisana
Wapi Masuod Masuod?
😭😭😭