NDOTO ZAKO MAFANIKIO YAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Kila mmoja wetu ameumbwa ili kufanya kitu fulani maalum sana katika maisha haya. Na kama mtu atafanikiwa kukifahamu na kukifanya kitu hicho basi hupata pumziko kubwa au ahueni, au afadhali au urahisi mkubwa sana kwenye maisha kwa upande wa furaha na hata mafanikio ya vitu vya kumiliki.
Lakini kama ilivyo kawaida ya vitu vyote vyenye thamani ya kweli, mara nyingi havipatikani kirahisi mfano wa dhahabu, almas, lulu, Tanzanite na Madini mengine yoyote.
.
Jitahidi sana kufuatilia mambo haya manne muhimu ili uweze kuishi ndoto yako ambayo ndiyo muongozo katika maisha yako ya mafanikio makubwa.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
.
#NdotoZako #YourDream #EzdenJumanneTV
Mim ni msikikizaj mzur saan wa vipindi vyako,lkn nakuw mgumu kuyatendea kaz sijui kwann😔😔
Unatakiwa kuamua na kuanza. Tunayo nguvu ya maamuzi na kufanya uchaguzi maishani mwetu. Ukishaamua jilazimishe kwa siku 7 za mwanzo. Then 7 za pili halafu 7 za tatu kwani tabia mpya hujengwa ndani ya siku 21 tu baada ya hapo inakuwa automatic
Nakufatilia sana kaka ila sija fanikiwa kusoma vitab vya ko 0763168193 nipo mbya nitavipataje.?
Nimependa san uxhauli wako mkubwa
Kaa chini vikiri upya
Uko sahihi kabisa, lakini lazima ujishinde wewe mwenyewe lazima uamue, utabadilika tu
Oooohhhhhh my.mwenyezi mungu akujalie kila la kheri kaka kwa kutupa elimu.
Ahsante sana kaka Ezden
Upp sahihi. Magundisho yko yananguvu ya Mungu ndani yke lazima Anayesikia kitu fulni kifanyike ktk life yke so Kazana kitufundisha kaka maisha yetu yawe sehemu salama.
Napenda mafundisho yako pia nime nufaika kwa kiasi ki kubwa cz vile venye umenipa mwanga na maarifa katka njia na nia mungu aku barki popote ulipo aku inulie hekima forever nta penda mafundisho yako
WW na joell nanauka n watu ambao mnanifanya nijione cko mwenyewe atakama wote wameni kataaa mnani fanya niishi ndoto yng c atuna chakuwalipa zaid ya kushukuru na kumwomba munda ilimzid kuwanyanyua walio kata tamaaa
Neema Honorath nc
Asante sana kwa comment nzuri. Naam @joelnanauka anafanya kazi nzuri sana sana pia.
Yan mm huwa wananitia moyo Sana Hawa jamaa na ukiweza kuyaish maneno ya hawa jakaaa ahakkia utajikuta unakuwa wa tofaut sana aiseee.
Safi sana Kaka! Ujumbe mzuri.
Yaani hii Imenigusa sana katika maisha yangu.Asante sana Brother Ezden. Allah Akulipe kheri.
Umenigusa sana
M.mng akusimamie katika kila hatua. unaongea yale yaliondani ya mioyo yetu. kila m2 n m2 wa kujifnz kwa mwenzake. mm najifnza kupitia wewe. hongera sana Mung akubrk ktk kazi zako pia akusimamie ktk kila kona ya maisha yako. Upo juuu zaid💖
Pole ndugu kwakazi ngum naona wazi unatuelimisha bure nasema asante pia nashukuru kwakunikumbusha mengi maishani naona wewe nirafiki mzuri hasa ungekuapo tangu nikiwa mdogo,maana kila nilichoona hakifai kwangu leo naona nisababu hasa iliopelekea mimi kua hiv najilaum kwakutofata njia nilzoona hazifai leo ndio maisha halisi, NIKWELI NDOTO HUFA KUTOKANA NAKUTIMIZA NDOTO YA MWINGINE NAKUSAHAULIKA KABISA, Hofu yangu kuu nikuchelewa
I love the statement "Everyone is born unique but most of us die copies" Ezden Jumanne.......
Mamb..Ubarikiwe sana...umebadilisha sana maisha yangu nimejiajiri na nina ofis yangu kwasasa bt nilianza kukufatilia mwaka 2 iliyopita mungu akubarik sana Amin.
Asante sana mungu akubariki kwa hili hakika nimejifunza mengi kupitia wew na naamin nikiyafanyia kama nitafanikiwa
Safi sana broo nakufatilia sana nimejifunza vingi toka kwako na nitaenderea kuwa karibu ili nijifunze zaidi shukrani sana broo🙏🙏
mim naendelea kukuombea zaidi uwe na afya tele na Mungu akufunulie zaidi vingine undelee kutufundusha zaidi
Good good bless u unatufungua hakika
Yan co tu kukuelewa bali nimekupenda pia, leo hii umenifanya kusimama na kwenda na sio kurudi nyuma.
Asante sana bro
Mentor thank you for all this good staff
Honger unatuelimisha sana mungu akutie nguvu
katika watu wew una utu ili watu wengine wafanikiwe kupitia wewe .penda sana brother
Kwanza shukuraan zako zikufikie popote ulipo tunakushuru coz kila ufundishalo cjawai kusikia hamasa ambalo limenikatisha tamaa kila hamasa ufundishalo unazidi kuniweka niwe bora zaidi inshallah, Allah bless you naamini penye nia pana njia nasi tunatakiwa kumiliki business zetu Asanti🙏🙏🙏 Sana kwa hamasa unazotufundisha sijawai kujutia bando langu😂😂😂😂
Kazi nzuri broo
Tuna fanyia kazi sana. wanao kuponda akili azijafunguka
Ziliko nimependa sana vipindi viako
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri
Mm nakukubali sana brother uko vzr na mungu atakulipa maana hakuna atakaeweza kukulipa Kwa kazi unayoifanya
Shukran sana kaka nakufuatilia sana na iko siku nitakuletea majibu kwa yale nimejifunza
Asante sana madini yako nayapokea yanazidi kunijenga
Topic nzur sana .
Brother upo vizuri tatizo huwa unajisahau sana unakuwa mzito wakwenda direct kwenye point
Ahsante sana booos!!!!!!
Kweli Kaka nimechoka kuishi maisha yasiyo yangu nafanyia kazi kuanzia sasa
asante sana mkufunzi wangu nimepata shule! !!!
Safi sana brother unafungua fahàmu za wengi
Vizur sana elim unayotupa tunaipenda san kk tuko pamoj siku zot
Nashukuru kwa elimu nzuri
Karibu sana kaka.
thanks bro ezden,mungu akuongoze
Asante kwa somo zuri na lenye faraja ndani yake, Allah akulipe inshallaj
Ubarikiwe sana bro ni elimu nzur
Mungu akubariki brother message zako zinatia moyo sana na kunifundisha
Masha Allah
Now days kabla sijalala. Nasikiliza one of your video ili nikilala nifikirie nmepata nn from it. 🙏🏽
God bless you l love you so much, from burundi.
Dhaaa salut kwako bro
Mungu akubaliki unafanya poa sana
Asante
Asante kaka.
Asante sana kaka
Upo vizur kaka... leo ni tarehe 5 kuanzia leo nimejiunga kuwa mwanafunz katika darasa ili
Kujifunza na kukiweka katika matendo, watu wanaweza kukudharau leo lakini kesho wakaheshima matokeo ya kile unachokifanya yakionekana,
Allah azid kutupa afya njema ya mwili, akili na nafsi tuendelee kujifunza zaidi
hongera sana Kaka ezden kuwa motivational speaker si mchezo mchezo!.... hongera sana hata kwa speech hiii imesimama!
Safi sana kaka.
Sauti yako hakika brother imebarikiwa na mungu ahsante Sana natumaini nitaanza sasa na nitakapo fikia ndoto zangu nitajisifu kwa sauti yako iliyobarikiwa Brother Ezden Jumanne?
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Asante sana brother napenda sana kazi zako from belgium +32🇧🇪
Nashukuru sana sana. Please keep sharing this message kwa wale unaona hii channel inaweza kuwa msaada. Be blessed!🙏🙏
you're teachin' us many things about success
So inakuwa ni vizuri sana kwetu sisi kwani tunapata ushauri na mawazo mazuri kutoka kwako
WEWE SASA NI KIONGOZI JUST LEAD US TO GET SOMEMORE😍
I am so impressed with your lectures full of inspiration and thoughts our life
Safi Sana Kiongozi big up
Ahsante J4, una ni encourage sana. Mungu akuzidishie afya.
Pamoja sana brudha mii nilikuwa napenda sana kuigiza lakin sina kila kitu jeee naweza kufikia malengo yangu
Nakukubali sanaa broo
Napenda vipindi vyako.
Nakukubali kutoka ujerumani
Heshima kwako brow unafanya vitu vizur sikuzote
Nashukuru sana
Napenda unachokifa kaka mungu akupeuhai mrefu inshaa allhwah
Asante brother kwakaziako nzur naimani utawasaidia wale ambao wanaitajikusaidiwa kimawazo shukrani zote zikufikie popote ulipo asante mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏🙏
nashukuru sana sana. Pamoja
Napenda mafundisho yako
Bro you are good I like every thing of you like every thing don’t care about those who don’t know nothing keep it up , tuko pamoja sote
bomba mkuu
Allah akubariki sanaa kwa kutufunza vingi
Eeeeh bhana bro saf sana
Ahsante kaka kila siku napata jambo jipya kutoka kwako
ManshaAllah Jazakha Khaira Allah akuongoze uzidishe kutuelimisha... Mi pia nimmoja Kati yawanafunzi wanao kufuatilia kwa ukaribu .
Asante barikiwaa sana
Asante sana Erick Erick mboge kwa kufuatilia. Pamoja!
Broo uko vizur saana ✊👍
Hili Somo sichoki kukisikiliza.waoooi!
asante bro
Dah endelea kunipa madini kk one love
Asante kwa ujumbe mzuri
Thank you so much do you teach the pleople
That good I LIKE 👍👍👍👍
Asante sanah nmepata fundisho
saf sana bro nakuelewaga sanaa
Nimejifunza vitu vipya kwako hakika wewe ni mwalimu mzuri
Asante bro nimefaidika sana ktk kipindi chako ,kwa ufasaha
Vizur Sana kijana unafanya kazi nzur
Napenda kukusikiliza whenever i get time. Asante kaka Ezden. We learn a lot.You r one of a kind. Mola akubariki 😘👍🙌
Ongea baba nakuelewa sana
nakukubar#
Thanx bro,yan saiv siwaambichochote maana kila jojayangu wana ignore
Hubarikiwe sana bro kwakwely umekuwa shule kwangu kwa muda mfupi nilikufahamu kupitia hapa
Safi sana bro
Thanks brother kwa mafunzo yako
I have learn a lot today, much respect bro
I appreciate that
nakukubali sana kaka
Asante kaka kwa ujumbe,Mungu akulipe kher inshaaAllah
Bro Ezden! Unafanya vizuri sana ktk hii industry, kuna namna nikisikiliza na kutazama video zako huwa kuna namna najiona kuifikia ndoto yangu,
Ila kwa nyongeza hapo kuna kitu umesema kwamba kuna watu wanaishi maisha ya kukopy ila nahisi tatizo kubwa ni kwamba #wao wenyewe hawajijui ni akina nani.......
So njia zifuatazo zinaweza kumsaidia mtu kujijua yeye ni nani
1.fikiria ni kitu gan kinakuchukua mda mwingi kukiwaza? Kwa siku nzima wiki mwez au mwaka
2.hear the voice that defines you in you, yani kuna saut ya ndani ya mtu ambayo huwa inamwambia yeye ni nani so itii hiyo saut na uifanyie kazi
3.try everything that is in your ability, fanya kila unachoweza kufanya mwisho utajikuta kuna kitu kimoja unachoweza kukifanya zaid na kikakubalika
4.dont fear to fail, usiogope kufell maana kufel ni sehem pia ya kujifunza never fear to failure because the fear to failure is an absolutely failure
5.listen to what people say about you, and medutate what they say kwa sababu watu wanakuona na wanajua ni nn unafanya hivyo wakikwambia kwmb wanaona unaweza kufanya kit fulan. Usipuuzie kakifikirie huenda ikawa kwel
6.assess your ability, by yourself what are you capable to do.
Bro Ezden nafikiri hiki kinaweza kuwasaidia watu kujijua wao ni akina nani AHSANTE NAITWA FESTO AMOS 0766181367
thanks brother we can add value to the life if we're positive may God bless you! !
Dah,,, hii iko poa balaa
Ubarikiwe sana brother,
Ukweli mtupu kaka asante
Asante kaka mungu hakubariki Sana kakang
❤pamoja bro
Great!
Nakukubali sana bro
Kweli naona faida ya kukufolo!
Full respect I really appreciate your teachings. Long live successful path each one teach one.
Thank broh Kwa kunikumbusha
asant kaka je naweza jua ni vitabu gan nawez visoma
Makubali💯
Bro nakukubali sana tangia nianze kukufuatilia nimeji funza vingi sana sana
I like it Bro God bless you
Ni kweli kabisa