TOKA KWA RUGE MUTAHABA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 มี.ค. 2019
  • Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
    • FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #RugeMutahaba #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
  • แนวปฏิบัติและการใช้ชีวิต

ความคิดเห็น • 171

  • @josephmkindi4633
    @josephmkindi4633 5 ปีที่แล้ว +75

    Nzuri sana kaka ezden clip bora zaid ya mwaka 2019 bila shaka itakua hii kama unakubal gonga like

    • @nabsonkifuge5115
      @nabsonkifuge5115 2 ปีที่แล้ว

      Alikuwa mzalendo asiye na mfano ,alipanda mbegu njema na kutufundisha wengi . Apumzike kwa amani

  • @josephinenestory2382
    @josephinenestory2382 5 ปีที่แล้ว +9

    Josphine. Tumempoteza mtanzania mwenye uzalendo wa hali ja juu. Tumhenzi kwa kuyatekeleza yale aliyoyasimamia. Poleni wote.
    Mungu amlaza mahali pema peponi.

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 5 ปีที่แล้ว +9

    R.I.P Genius Jasiri Muongoza njia, Umeacha ujumbe mzuri sana kwa sisi vijana. MUNGU akupumzishe mahari pema peponi.

  • @mudrickmudrick5215
    @mudrickmudrick5215 5 ปีที่แล้ว +28

    Tumempoteza Mtu muhimu sana kwenye Jamii..Allah Ampunguzie adhabu za kaburi

  • @musason1680
    @musason1680 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ampumzishe salama huyu baba

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 ปีที่แล้ว +15

    Mungu amlaze pema Ruge Ameen. Hakika atakumbukwa. That was very nice speech 🙌🏽👏🏼👌🏽👍🏽

  • @josedorothea7939
    @josedorothea7939 5 ปีที่แล้ว +5

    Waooh, kufundisha wengine kumbe ni vizuli weng wetu ni wachoyo wa elimu, now ntabadirika R. I. P Ruge Mtahaba jasili muongoza njia

  • @magdalenamwapinga4847
    @magdalenamwapinga4847 5 ปีที่แล้ว +5

    Ushukuriwe Mungu kwa ajili ya huyu Baba! Mtendee sawasawa na mapenzi yako.Hakika umetutoa matongotongo watanzania wengi

  • @prophetjoeAngel24
    @prophetjoeAngel24 5 ปีที่แล้ว +18

    Don't be driven away by ideas that don't add anything to your passion. Maneno yako yamekuwa mwanga kwa wengi brother. R.I.P

  • @amalahmad6590
    @amalahmad6590 5 ปีที่แล้ว +2

    Daah asante Sana umenipa njia ruge pumzika kwa amani kaka

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 5 ปีที่แล้ว +8

    Mashaallah! yaani huyu Baba Allah Ailaze roho yake mahali pema peponi 🙏

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 3 ปีที่แล้ว +1

    Aendelee kupmzika kwa amani Genius 💎🙏🙌💞💥

  • @siwemamelchior1686
    @siwemamelchior1686 5 ปีที่แล้ว +10

    Mbegu bora imeharibika . Pakacha limetoboka . Pumzika kwa amani. Repose en paix ➕

  • @alphamwipopo5725
    @alphamwipopo5725 5 ปีที่แล้ว +10

    Everyone should be a social entrepreneur by solving our problems internally. Dr Ruge.

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 5 ปีที่แล้ว +4

    R.I.p Ruge🙏.#tajiri wa roho.#jasiri muongoza njia.Tulikupenda ila Mungu alikupenda zaidi.Asante kwa busara zako.Tutakumiss ila tutaonana baadae inshaAllah.

  • @mwanahawarajabu1837
    @mwanahawarajabu1837 2 ปีที่แล้ว +3

    Rest in.peace boss ruge hadi leo 2/10/2021

  • @josephinenestory2382
    @josephinenestory2382 5 ปีที่แล้ว +6

    Ndiyo maana Mzee Mengi alisema kwenye mazishi ya Ruge, kwamba Ruge ataendelea kuishi.

  • @abdallahyahaya9760
    @abdallahyahaya9760 3 ปีที่แล้ว +1

    Brain boss
    Extra intelligent Man
    Ruge Mutahaba
    RIP

  • @stumaikaguna1033
    @stumaikaguna1033 5 ปีที่แล้ว +1

    Tunakumis sana Ruge Mutahaba,Mwenyez mungu akupumzishe kwa amani

  • @laurianj.luzwela2830
    @laurianj.luzwela2830 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimeipenda sana

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 5 ปีที่แล้ว +5

    Daaah bado inauma kwa mtu kama huyu alikuwa ana nondo za ukwel za kutuondoa vijana ujinga....Asante kaka kwa kutukumbusha hilo

  • @mwanaishasuleiman1653
    @mwanaishasuleiman1653 5 ปีที่แล้ว +24

    Mungu ana makusudi yake juu ya kila jambo lkn kama itafanyika kukusanya interview za Ruge zote zinaweza kuendelea kuwaelimisha wanaoziona kwa wakati huu kama mm ndio naanza kujifunza kutoka kwake wakati ameshaondoka Mungu amuweke anapostahili

  • @teresiamutua4487
    @teresiamutua4487 5 ปีที่แล้ว +11

    He was a genius Rest in peace

  • @telesiamkumbwa8888
    @telesiamkumbwa8888 5 ปีที่แล้ว +15

    hakika ruge alibarikiwa hekima na maono

  • @severnekazungu8892
    @severnekazungu8892 5 ปีที่แล้ว +5

    Daaah
    Good speech

  • @dorndet6179
    @dorndet6179 5 ปีที่แล้ว +10

    Ruge you were Genius(IQ).
    RIP.Dear.Thanks to God who brought you in this world.

    • @ramaamakasy1456
      @ramaamakasy1456 2 ปีที่แล้ว

      Mungu namuomba amsamsamehe madhambi yske

  • @Amylotu
    @Amylotu 5 ปีที่แล้ว +3

    jamani, mjasiri sana kijana wetu.Mungu ilaze salama roho yake pema peponi. Amen

  • @karenyunus3929
    @karenyunus3929 5 ปีที่แล้ว +5

    Kazi nzuri Ezden. Unatuelimisha kupitia Mtanzania huyu mahili aliyeisaidia jamii yake. Kupitia maisha yake wengi maisha yao yataboreka

  • @LazaroSamwel
    @LazaroSamwel 5 ปีที่แล้ว +5

    kazi nzuri kaka

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 5 ปีที่แล้ว +4

    napenda kumwita master mind

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob3414 5 ปีที่แล้ว +6

    RIP ruge umetuachia maneno mazuri kaka

    • @ezzlemill6502
      @ezzlemill6502 5 ปีที่แล้ว

      let us live with words of ruge mutahaba

  • @brightonshakila6406
    @brightonshakila6406 5 ปีที่แล้ว +6

    Nakutamani ...nipate kua na hiyo spirit...pumzika pazuri Jasiri.

  • @asheryissa6100
    @asheryissa6100 5 ปีที่แล้ว +21

    Tangu nianze kuckiliza clip zako Ruge ukiwa unaumwa nikagundua kitu kwamba ulikuwa unaumwa mda mref ila uliamua kuficha saut yako ndan yake km inaoneaha figo zilianza kukutesa kitambo Daah chaupole kisaut najua mengi titafaidika uloyaacha yataendelea

  • @shemahabdallah5594
    @shemahabdallah5594 5 ปีที่แล้ว +5

    Ipo vzur kaka ujumbe mzur kwa vjan

  • @lailazingbar935
    @lailazingbar935 5 ปีที่แล้ว +8

    Mwenyez mungu anakusudi rip

  • @imakulatasingo1983
    @imakulatasingo1983 5 ปีที่แล้ว +6

    nilikupenda nitakupenda sana kaka ulale salama tunajifunza mengi kwako

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 5 ปีที่แล้ว +6

    Santee sanaa kaka kwa kutufungulia dunia...... God bless you

  • @dominicmahega1970
    @dominicmahega1970 5 ปีที่แล้ว +8

    Nilikuwa naomba ushari kuhusu maisha yangu nilikuwa nahitaji nikueleze historia fupi

    • @musaemanueri7338
      @musaemanueri7338 4 ปีที่แล้ว +1

      nimekutana nae kwenye azimio LA kagela luge sitamsaau kaniachia USIA mkubwa sana

    • @ahmadomar2711
      @ahmadomar2711 3 ปีที่แล้ว

      @@musaemanueri7338 usia upi tujuze na sisi

  • @obachristopher4389
    @obachristopher4389 5 ปีที่แล้ว +3

    Kk asante sanaa

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa4245 5 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen, Mungu akulaze Mahal Pema pepon Rip bro

  • @stephahObimo
    @stephahObimo 5 ปีที่แล้ว +4

    Brother sikuzote mungu anakujalia kutokana na juhudi na mipango na kutokuwa mbinafsi Hakika tunajifunza kupitia wewe mungu akubaliki

  • @elipharajapetro8410
    @elipharajapetro8410 5 ปีที่แล้ว +5

    True

  • @jcomplext.v4409
    @jcomplext.v4409 5 ปีที่แล้ว +2

    safi sana kaka napenda sana kujifunza somo kubwa kwako ezden unajua kutumia frusa kaka natamani kuwa kama ww na histor ya ruge imenijenga sana na kivo chake ndio sababu ya mm kumjua cjawi mjua awali mungu amlaze mahali pema peponi

  • @boniventuremaduga8579
    @boniventuremaduga8579 5 ปีที่แล้ว +2

    umeongea point sn! haiwezekan kikund kizima kufanikiwa

  • @swalehebaraka4028
    @swalehebaraka4028 5 ปีที่แล้ว +2

    ruge was ahead of time

  • @dawsonkaaya4210
    @dawsonkaaya4210 5 หลายเดือนก่อน +1

    Vijana tusisahau kujifunz kutoka kwa Ruge Mtahaba Jumuia ya wazazi tuwakumbushe vijana wetu kuyaenzi ya RUGE.❤

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 4 ปีที่แล้ว +1

    Ruge alikuwa anakarama flani. Serikali ijaribu kuyaona mambo msingi kwa jamii. Nakubali jamaa alikuwa "Hero".

  • @stevekanemelakatembotz8829
    @stevekanemelakatembotz8829 5 ปีที่แล้ว +10

    Hakika huyu Ni JASIRI MUONGOZA NJIA
    Nachukua fursa hii kukuombea mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabuli bab pumzika kwa Amani #Baba yetu Ruge mtahaba. Hakika pengo lako halitazibika kirahisi

    • @ashelbisaga9558
      @ashelbisaga9558 5 ปีที่แล้ว +1

      Mutahaba alikua mtu wa pekee!!

  • @zaitunikivelege5569
    @zaitunikivelege5569 5 ปีที่แล้ว +1

    Thanks so much RIP Ruge ..kwa nini sikumfaham mapema nimemjua baada ya kufa ..

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 ปีที่แล้ว +12

    Hakika nimeguswa sana na maisha ya Ruge Mutahaba so nimejifunza kitu vingi sana ndani yako ama kwa hakika nimeamini kesho yako itengeneze leo punzika kwa Amani brother Ruge Mutahaba tumekulilia😭😭😭 hata sie tusio kufaham nimejifunza mengi naamini nafasi niliopo nayo kwa sasa ina nafasi kubwa nzuri ya kuongoza njia katika maisha yangu, vijana wenzangu ukigundua umepata hatua yakupiga hatua mbele ishikilie kwa kuing'ang'ani inueni familia zenu, hudumieni wazazi wenu inauma sana mimi naona kuanza sasa najiita ukhty hlm kuongoza njia napigana angalau nionekane angalau kinyota kidogo kinacho ng'aa tueni na moyo kama wa kaka Ruge Mutahaba washikeni wenzenu mikono msiache wanahangaika mitaani
    R.I.P brother punzika kwa Amani nasi umetuachia jina Ruge Mutahaba muongoza njia nasi tutaongoza njia Insha Allah

    • @thegirl1405
      @thegirl1405 5 ปีที่แล้ว +2

      Brother Ruge Mutahaba alikua na akili nyingi sana na mbunifu na alikua mjanja sana alikua anavuta vijana na kuwafanya wawe na maisha yao yawe imara

    • @thegirl1405
      @thegirl1405 5 ปีที่แล้ว +2

      Ndugu zangu tusiukubali umaskini hatujazaliwa tuwe maskini hivyo tupige sana vita🏹🏹🏹🏹 na ukiona watu wanakusema sana/kukukatisha tamaa ujue mti wenye matunda cku zote ndio unaopigwa mawe

  • @danchibomnyama4295
    @danchibomnyama4295 3 ปีที่แล้ว +1

    Daah mungu amlaze mahali pema peponi

  • @salumnjenje7415
    @salumnjenje7415 5 ปีที่แล้ว +1

    Aisee imebadili Sana mfumo wa maisha yangu from now...

  • @shijakongejatz8668
    @shijakongejatz8668 5 ปีที่แล้ว +5

    Kwel kabisa

  • @gembegeelias1254
    @gembegeelias1254 5 ปีที่แล้ว +9

    Ni kweli kbx kk unaendelea kubadil maisha yang kwa kunifany kuwa na mtazamo wa mafanikio barikiwa xn na kam kuna namna ya kuwez kynpa support xn km una group la wasap nataman kujifunz zaid

  • @bensonbisare1078
    @bensonbisare1078 5 ปีที่แล้ว +4

    Ruge alikua vizuri Sana, R. I. P

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali5430 5 ปีที่แล้ว +5

    We have lost the sun 💕😢😢😢😢😪😪😪

  • @hidayamussa2589
    @hidayamussa2589 5 ปีที่แล้ว +34

    RIP my bro.
    Please clouds can you compile all fursa semina and archive them into your library so that they can be available for generation to come

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 3 ปีที่แล้ว +1

    Yote yamenigusa Respect my brother n R-l-P

  • @castosawaka1473
    @castosawaka1473 5 ปีที่แล้ว +9

    EachOne TeachOne
    This Guy he was very deeply curiosity. Thanks Ezden For MoDetails

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 5 ปีที่แล้ว +1

    Asee kaongeza kitu kikubwa sana kweny akili yangu

  • @aishaomary7384
    @aishaomary7384 4 ปีที่แล้ว +1

    R.i.p Ruge kweli ulikua jasiri muongoza njia

  • @noeljailo7651
    @noeljailo7651 5 ปีที่แล้ว +1

    Voice of revolution in Tanzania

  • @clarapeter3662
    @clarapeter3662 5 ปีที่แล้ว +4

    dah asante umekuwa mchango katka jamii kuonyesha njia za mafanikio

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali5430 5 ปีที่แล้ว +4

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏gift from God 💕💕💕💕💕💕❣❣

  • @lightnessjohn7093
    @lightnessjohn7093 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamani. Poleni

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 5 ปีที่แล้ว +3

    Duuuu rest in peace mutahaba

  • @jeaff19
    @jeaff19 5 ปีที่แล้ว +4

    asalam alyqum hongera sana kaka kwa kutuonyesha samani iliyo jificha ambayo kila siku tunayo ila haitambuiiii big up.

  • @godfreykirway4324
    @godfreykirway4324 4 ปีที่แล้ว +1

    Mawazo yako yataishi kwa mda mrefu katika nchi hii!!najua ulipo una amani kwani umefanya makubwa!REST IN PARADISE BROTHER!! YOUR LEGACY WILL SURVIVE FOREVER

  • @saadaharoon9591
    @saadaharoon9591 4 ปีที่แล้ว

    Duu nimechelewa lkn cjakata tamaa mungu akuweke mahali pema

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 ปีที่แล้ว +5

    Very powerful

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 5 ปีที่แล้ว +2

    Bro ezden hii video ikifanikiwa kumfikia kila MTU itafungua kila tatz kwa kila MTU atakae angalia ...kiukwel nivitu muhim tu vimeongeleka

  • @tarikideu8380
    @tarikideu8380 5 ปีที่แล้ว +4

    jah bless ruge

  • @zawadikiss5551
    @zawadikiss5551 3 ปีที่แล้ว +1

    Rest in peace bro we miss u dah

  • @upendoj
    @upendoj 5 ปีที่แล้ว +4

    asante kwa ujumbe mzuri, Nakupogea huna matangazo ambayo hayana mantiki, upo tofauti.

  • @enockyohana6856
    @enockyohana6856 5 ปีที่แล้ว +2

    Wanao kupenda hawasemi ila wanao kichukia hawakujui..@ ruge

  • @mr.chenge5102
    @mr.chenge5102 5 ปีที่แล้ว +5

    Mr, uko vzr

  • @aliarkam1413
    @aliarkam1413 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza mengi Leo

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 5 ปีที่แล้ว +3

    nimejifunza
    asanteee

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 5 ปีที่แล้ว +3

    Pumzika kwa amani rugerilla

  • @chiomanonso274
    @chiomanonso274 5 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Rugee asilimia kubwa ya watanzania wachoyo wa material

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim9423 4 ปีที่แล้ว

    Elimu nzuri sana,ni vitu vya kujifunza.Hilo la Azam limenigusa Sana maana ni mfano uliohai.

  • @truthprinting8064
    @truthprinting8064 5 ปีที่แล้ว +3

    Truth printing, tunaprint Vitabu, kuanzia copy 50

  • @rumibarton2359
    @rumibarton2359 4 ปีที่แล้ว

    Genius huyu

  • @tarikideu8380
    @tarikideu8380 5 ปีที่แล้ว +12

    pigana kuwa mwezi ukixhindwa unakua nyota

  • @leticiaaugustin4993
    @leticiaaugustin4993 5 ปีที่แล้ว +5

    Nimejifunza mengi kupitia Ruge.Pumzika salama kaka.

  • @malekelachinyama9707
    @malekelachinyama9707 5 ปีที่แล้ว +4

    very conscious R.I.P #Ruge

  • @eliachavala2095
    @eliachavala2095 5 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa kaka......kazi nzuri.

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 ปีที่แล้ว +4

    Brother unazidi ku ni inspire kila siku ujumbe mzuri sana na nmeanza kusoma kitabu kiitwacho #THE SECTET CODE OF SUCCESS naendelea kujifunza kila siku na najiona mpya

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 ปีที่แล้ว

    Allah akurehemu ruge MUTAHABA

  • @mwanakidaally9740
    @mwanakidaally9740 5 ปีที่แล้ว +8

    Dah umenigusa natamani ungekuwepo na umenifundisha mengi Rip bro

  • @fridaynjenje992
    @fridaynjenje992 5 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli kaka unanitowa kila atuwa

  • @emmanuelmayombo6188
    @emmanuelmayombo6188 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 ปีที่แล้ว

    Amin

  • @brightonshakila6406
    @brightonshakila6406 5 ปีที่แล้ว +2

    Rip rugemalila

  • @sumainterprisis9702
    @sumainterprisis9702 4 ปีที่แล้ว

    Rip Ruge tuzienzini busara na maneno yake na tutembee kwenye maneno yake tutafanikiwa sana tu.

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 5 ปีที่แล้ว +3

    Jasiri
    Muongoza
    Njia

  • @mariammhoja7837
    @mariammhoja7837 5 ปีที่แล้ว +1

    nimekuelewa sana R.I.P

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 5 ปีที่แล้ว +1

    maneno Yake yataishi ktk kizazi na kizazi.

  • @bekarpaul
    @bekarpaul ปีที่แล้ว +1

    Dah life is too short.... Jamaa tunaishi na maneno yake mpaka sasa. R.I.P jasiri muongoza njia

  • @bennyfatel
    @bennyfatel 3 หลายเดือนก่อน +1

    Critical thinkers .may his soul rest in peace.....we need mutahabas sahii like never before kukomboa bara letu la africa