KESI YA SABAYA: WANANCHI WAFUNGUKA MWANZO MWISHO/WAKILI ANENA HAYA "WALIFUNGWA PINGU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Kaulize hai unawaulizaje watu ambao awamjui unakosea na unatumalizia bando bila sababu za msingi afu Sabaya atakua huru...Mungu atamsaidia kama ajafanya kosa
Kwa upande wangu kuhusu sabaya ctaki kumzungumzia vby!!lkn sikupenda jinsi alivyomwangalia Mama Ana Mwighira kwa dharau hapo ndipo nilivyomeona Hana adabu
HAPA HATA MIMI NILIUMIA KWA KWELI
Washirika wake wanasemaje mbona hmuwatafuti na pia nendeni Wilaya ya Hai
Mimi siamin alibaka wanawake 40 ?????????
Ajabu
Kweli hili bonge ni hewa.
Sijui ni mtangazaji au mvamia fani, na kama ni mwanahabari basi hujui mipaka yako ya kazi, unalazimishaje kumhoji mtu, taaluma ya wapi hiyo? Unadhalilisha taaluma.
Nendeni hai wahujiwe wale ndo wanajua ubaya wake na uzuri wake
Hawa waandishi mbumbumbu tukio linafanyika arusha ww unamuhoji mtu wa dar ni akili hyo?
Ukusanye maoni dar es salaam kwani hai hupajui
Hata dhahabu ing'aayo vema upitishwa kwenye moto,ila kama ni gonga uharibika,muda utatueleza ukwel Ndyo ninachokiamin
Muandishi Ingekua vizuri sana kama hilo zoezi Ungeenda kulifanyia ktk Wilaya ya Hai Kule Tungeweza kupata kipimo
Hizo hila tu wewe mama weka akiba ya maneno
Mtangazaji tunaomba ufike eneo lake husika alipokua akifanyia kazi Hai tunakuomba sana maana uko ndo watu wanaomjua Sabaya tamu na chungu
Hahaha nilitaka kusema kama wewe
Crazie unprofessional
@@iviejustified8109 HAWANA BAJETI YA KWENDA 🤣🤣🤣 WAMEISHIA DAR TUNAOMBA WENYE BAJETI ZAO WAFANYE HIVO ITAKUWA SAFI SANA👍👍👍👍👍👍
Hakika maana dar na Hai wapinawap!
@@immapoule3613 Ata Mimi nashangaa,awawaandishi,wanakula mb,2
Kwani mtu akiwa ndani tena kiongozi na makengeza yuko nje anapiga kampeni ya kumushindikia hata ukiwauliza watasema ni mbaya
Mwandishi bomu, hujui kutafuta watu mahsusi kuwahoji kuhusu tukio hilo, unakurupuka tu na kupoteza muda wako
Hiyo anajifunza kazi hajui kazi
Huyu mtangazaji kiazi kweli anahoji watoto ameingilia fani asiyoijua..
Sabaya ni chuki tuu zimempeleka hapo alipo
Hapo umebugi sasa mbunju na hai ni vitu viwili tofauti,,nenda kawahoji watu wa hai bhana
Wewe mtangazaji njaa inskusumbua unakula mb zetu
Kazi hizi,ushenzi tu.amejitumaaa Leo ananyanyasika.
Sio kujituma tu amehusika kudhulumu watu acha sheria ichukue mkondo wake hakuna huruma
@Emmaculate Kasinsa 😜😜😜😜😜
mi kweli sijapenda anavyodharirishwa utadhani hakuna wahrifu wengine. Inauma sana. ndo maana wengine wanaamua kutofanya chochote ili ukitumbuliwa utumbuliwe kivyako. sabaya sasa ndo antrend utadhani hakuna habari nyingine. nadhani hili si sawa
@@theresiakaruhanga1169 Kwa hiyo wafungwa wote wafunguliwe hadi wahalifu wooote wakamatwe...
@@imanmodern viongozi wangapi wemedhulu? Majizi yote nchi yanayojulikana kwanini yasichukuliwe hatua? Kwanini sasa hivi? Makosa hayo kayafanya juzi na jana? Mbona hatukuwahi kusikia? Nasikia alishawahi kuua mmmh
Pole zake sana.
Et tuhuma 80 zingine zako
Maoni yangu mm mkuu wa takukuru na yeye ahojiwe kama siyo njama za kumpoteza sabaya kisiasa kwa sababu wakati sabaya ni DC yeye alikua RPC wa mkoa kama kuna makosa yanayosemwa ni kweli basi alihusika na yeye kama mkuu wa police wanachokifanya ni uonevu kama kuna sehemu walikosana kama binadamu huko isiwe sababu ya kumkandamiza sabaya alisaidia watu wa hai sana na
Xio kweli magufuli wamemuua hivyo ata kizaz chake lazma wakiteketeze mungu ni mwema mtalipa
Kweli
Huo ushamba mtu alikuwa kiongozi wa wilaya hai Kilimanjaro unakuja kuwahoji watu wa dar,kawahoji watu wa hai acha ushamba
Hiyo sijui Elimu gani??
Tunataka tamera za usalama ziseme na wewe mtangazaji nenda hai kaulize hayo maswali
Njaa zina tofauti ila zenu zimezidi hadi kuuza roho jamani wewe hots na huyo mwenye jezi anaewapanga maboya kuwaelekeza cha kuzungumza watu muogopeni muumba ila ngoja tujue vita zipo za aina nyingi Tanzania tumekwishaaaa
Siku zote kizuri akidumu msabaya jembe
Ivi hii asilimia 50 kwa 50 wanayolilia wanawake Ni ya nini😄😄😄😂
50 kwa 50 kumbe ni mbya ivo
Najiuliza Halafu Nakosa jibu; Hivi Sabaya wakati anayafanya hayo yote Je Mkuu wake wa mkoa Alikua wapi? Au ni uelewa wangu mdogo ndio maana nimeshindwa kujua
HIZI NI CHUKI ZA KISIASA TU VIJANA CHAPA KAZI WANATOSWA ILI WATU WAFANYE YAO KUINGIZA UNGA KWA WINGI NCHI NDIO INACHUKULIWA HIVYO
Hata mimi nashangaa yaani siku zote hizo hao wanaomtuhumu hawakuweza kusema chochote? Sikuwahi sikia tuhuma zozote juu yake labda niko nyuma sana
Jmn mmesahau kuwa mkuu wa wilaya alitumwa na magufuli ili vyama pinzani waone cha moto na walioathirika zaid ni vyama pinzani na cyo ccm jibu hilo chukua
@@denisimaliyaweni9183 HAKUNA LOLOTE HIZO NI CHUKI ZA WAPINGA MAENDELEO NDIZO ZINAWATESA VIJANA WETU KWA SASA.SABAYA MUNGU YUPO UTATOKA TU KWA UWEZO WA ALLAH
@@zenaabdallah3797 kutoka atatoka lkn cha moto atakiona
Watz kuoji ulitakiwa uhende alipokulia na alipokuwa anaongoza
Wewe mtangazaji acha mbwewe na uzandik nenda Hai ukawaulize aliokuwa anawatumikia
Mtangazaji Nimependa Kaxi Yako! Na Sabaya Mimi Naona Haki Imetendeka Kufikishwa Mahakamani.
Mtangazaji hiyo siyo sehemu husika, wote unaowahoji hawajielewi
Chadema wamepata pa kupumulia, haya Mambo nahisi yamepikwa. Kuna nguvu kubwa nyuma yake
Saaana yaani
CHADEMA ndio wamempeleka mahakamani? Mnaituhumu tu chadema bila sababu
@@imanmodern mi nahisi kuna mtu mzito nyuma yake sababu mtu mmoja ni jambazi mhujumu uchumi mbakaji kweli jamani kunakitu hapo sio bure
Kweli kabisa
Sio nguvu ya mtu yeyote ni serikali ya mama mwenye haki mama wa taifa samia suluhu rais wetu kipindi hiki majangili wote wataisi wanaonewa sana hakuna cha chadema wala ccm sasaiv ni kufuata sheria tu kwa sebaya anyongwe kabisa
wewe mwandishi wa habari unatumalizia mb zetu unaowauliza hawahusiki nenda hai ukapate taarifa kamili hapo unaendeleza umbea tu
Wew mtagazaji pia mnafiki kwanin usiende hai,
Hapo siyo kuna kitu kinatengeneswa????
Usilazimishe watu muandishi elewa haki za mtu kama kakwambia hataki achana nae ijue haki ya mtu.
Huo ni umbeya kuuliza wasiohusu, nenda kawaulize wana Hai.
Usiwaulize wanaosikia, funga safari kawaulize wanamjua Sabaya.
Hapo siyo kuna kitu kinatengeneswa????
Aliyoyafanya huyu kijana wilaya ya haina mfano, aliipigania ccm haswa na km unapigana adui lazina na wewe uwe adui, wilaya ya hai ilijikita kwenye ukabila na ubaguzi pindi Jimbo liko chadema lkn sabaya alipoingia madarakani hakika sabaya aliipigania saana ccm hadi Jimbo likachukuliwa na ccm ,
waache tu mungu atawalipa insha allah mbaya huwa ajifichi kwa matendo ila wameamuwa kumpa ubaya kuuwa wazalendo wanawatisha wafanyakazi wa umma wenye uzalendo wa haq
We vp jimbo kitu gani na ilepicha akiingia hotelini usiku kuzingua wateja ndio kampeni au? Jimbo lake ni moshi Arusha alikua anazingua wafanya biashara ili tamaaa yule ni jambazi kama wengine tu sema jambazi huyu aruki fence anaingilia gatini
Your so stupid my dear angalia clip anayomwangalia mama mwingira kama kinyesi utajua sabaya ni nan pimbi wewe
Ajapigania chochote zaid ya kuua watu zamu yake sasavkama na wewevmwojawapo useme urudi kundini ushulikiwe unangea kama unaelewa sana sebaya nan asojua alikuwa jangili
Wadada wamekuweza na umbea wako,nenda Hai,huna nauli???
Alitumia nguvu nguvu hipi??
Kosa lake nini???
KAULIZE MAHAKAMANI.
Hawa wakuu nawapa pole Sana mungu atawapa wepesi
Wewe mtangazaji mbona wanapokamatwa wengine huhoji wananchi?
Mtangazaji ningefurahi sana ukaenda kumhoji January makamba ili arudishe fedha za nssf za wastaafu wanakosa nae ikiwezekana ashitakiwe
Ushahidi anao musiba na ikulu
Mwandshi ovyo
Vtv vya uchchrn
Unauliza wanafunzi wa dar maswali yanayo husu kesi ya Hai...mwandishi umetumwa sio bure...
Kwani Sabaya nani bhana alikua Waziri wa Fedha Badhili Mramba alipelekwa mahakamani akafungwa kifungo kingine kamalizia nje kwa kufanya usafi Hospital ya Sinza sembuse Sabaya akanyie ndoo uko shubamiti alijiona mungu mtu sana uyo jamaa pumbavu zake
Fira fira fira sabaya uyo uko gerezani
Tunajua ni hila za watu, na waliomfungulia mashtak na washirika wao, haiwezekani mtu abake wake 40, sabaya watu wamekutengenezea, utashinda
Huko Dar hawamjui kawaulize wananchi sa hai .acha mbwembwe mtangazaji.
Wewe mtengeneza stori hujatenda haki kurusha hii video
Umethibitisha wewe sheria unayosoma wewe ni fake
We mtangazaji mkundu wako mnachuki binafi
Acha unafiki wewe mwandishi mbona wizi waliohujumu nchi huhoji
Ungekwenda kuuliza huko kwao ndiyo wanamjua zaidi
Hii ndo Tanzania mzalendo ndio Adui hitafika siku mtapata mnachotaka
Kwani sabaya alituongoza wote hata tumfahamu
Wandishi hovyo.tukio ilifanyika hai ww unawahoji watu wa dar
We mwandishi unatumia weredi wa kazi yako kweli?hao unaowauliza ndo alikuwa anawaongoza?mtu alikuwa anaongoza wilaya ya hai,ukamuulize mtu wa sumbawanga huko atakujibu nini?😏😏
Huyu mtangazaji vipi mbona anashika wanawake bila ridha zao????
Yaani yule dada hataki lakini anamlazimisha azungumze kwa ulazima, jamani hebu Heshimuni haki za Raia ambao hawataki kuzungumza na watangazaji...msiharibu mazingira kwa sababu watangazi wanaposimamishwa au kuchukuliwa hatua za sheria mnakimbilia kusema serikali inawakandamiza......
Sabaya upo vizur chuki zenu zita warudia
BADALA ya kwenda kuwahoji watu wa hai mnahoji huku
Huu ujinga msituletee watu unawahoj sio sahii nenda kaongee na wana hai wenyewe
Ungeenda sehemu husika
Unapoteza muda kka unamuhoji vipi ,mtu wa Dar es saalamu kwa mkazi wa hai ,Sabaya alifanya kazi km wanaofahamu ukweli wale wakaribu katika mazingira aliyokua anakaa karibu ,kwa kua utajua ukweli kwa pande zote mbili wapo waliokua wanampenda na wasiompenda hapo ndio ukweli utaweza kidogo kuptikana ,sasa unahoji watu wa dar ili iweje ,mwandishi unazingua sana
Ila Mimi nawashauri watu waliopewa dhamana ya kuongoza wajue kuwa ukipewa nafasi tumia vizuri Na uzingatie maadili ya uongozi kwani kila kitu kina mwanzo Na mwisho
Sasa si muende hai huko, mijitu mingine haiwezi kutumia hata akili ndogo
Kama sio ujinga. Utawaulizaje watu wa dar badala ya kuwauliza wananchi wa wilaya aliyokuwa anafanyia?
Kwa kweli naungana na vijana wenzangu huyu mwandishi angeanda huko hai dar es salaam ni jiji kubwa watu Wana mambo mengi wawezi kijua mambo yanayofanyika hai mkoa wa Kilimanjaro Bora aande huko
Kachue DATA kweny wilaya yake
Mtangazaj unazingua nenda Hai ndo wanamjua
We mtangazaji inaonekana hiyo taaluma umevamia, nenda wilaya ya Hai kawaulize wanahai acha blabla wewe.
Wee mwandishi unaboa sana huko wanajua nini sasa acheni upuuzi huna kazi za kifanya jitambue
Uwonevutu makosa walitaja wengi wanafanya mbona hatuoni kukamatwa na wajafanywa kama sabaya siyo vizuri. Wateketeshaji vfedha ni kibao hatuoni kama mnaenda haki
Yeye ndo atakuwa fundisho kwa wengine
Manafunzi menyewe yameshibishwa ujinga yanalopoka tuu
NA WEWE UNAROPOKA PIA USI INGILIE UHURU WA WATU HUWO NI UDICTETAR.
Mtangazaji ni hewa kabisa hamna kitu
Nyinyi watu mbona mnamuandama sana huyo jamaa
Sijui hata unachofanya hapo maana unachohoji na unatafuta akieleweki.sijui hawa uliwaandaa.au namna gani mmoja kajaribu kujibu tofauti na unavyotaka ukasema asante.pia ninkosa kushika shika watu kwa ajili ya kufanya nao interview.
Huyu mwnadishi pia ana kesi ya kujibu maana naona anashika wanawake anawasumbua.
Fika sehemu husika uulize hayo maswali ,njoo Hai tuulize sisi sio uko acha ukichaa wewe mbwa ,kwan sisi makonda kuna mtu alihojiwa wa mkoa wowote ,akili zako za kiki za kimatako acha
MTANGAZAJI KAMA HUNA KAZI BASI KATAFUTE KAZI YA KUFANYA ; KWANI HAO UNAO WAHOJI HAWAMJUI HATA MTU MWENYEWE SASA HAPO NI KUTAFUTA MUMSEMEA MTU !
UNA WASHIKA SHIKA DADA ZETU TU
WALAZIMISHA MTU ATOE MAONI KUHUSU MTU ASIYE MJUA HATA JINA VIPI AMJUE MAISHA YAKE ?!
Tangazaji bomu kabisa, Mtu ni mkazi wa Hai halafu wewe unahoji watu wa Bunju, au umetumwa wewe?
Uliza watu wa Hai sio sisi tutakudanganya tu
KWELI HAWA NDIO WANDISHI VIELE HELE UNGEUTAKA UKWELI KWANINI USIENDE HAI
Nenda kahoji kule kule Hai
Wewe muandishi acha hiyo
Mtangazaji msenge tuu huwezi lazimisha rai wa kawaida waseme wakati alishikiliwa na takukuru kwanini asiende kuhoji huko mkuma huyo
Kiongozi wa hai inakuwaje muwaulize watu wa dar badala ya hai?
Upuuzi kwa muuluza maswali
Mhhh uyo janet sio kwa pozi izo uyo jamaa ake anapata tabu aisee
Mbona mkuu wa wilaya huyo kufikiswa mahakamani bado wanambeba. Angetakiwa auwawe kama stefano iwe fundisho. Sisi tunaishi kwa mlo mmoja na tuna elimu zetu anachezea kazi fungilia mbali. Ata akikutwa hana atia mtoeni kafara wengine wajifunze na mkagueni mali zake wapeni yatima mamake
Kumbukeni na mti wenye matunda lazima upigwe mawe
Sebaya alikuwa na matunda gani muuwaji mkubwa yule anatakiwa awe fundisho kwa nchi ya tanzania nzima
akhera in hesabu
Nenda hai acha hivo
Mtangazi naomba nenda kwa wazazi arusha, kawaoji.
Yani nyie times fm watu mlio wahoji wote asilimia kubwa hawamjui kwahiyo hawana wanachokijua pumbuvu
Waliohojiwa kwl hawajitambui sijui wanaishi sayari!!!!
Sayari ipi
Plain rubbish reporting
Hizo ni tuhuma ,unaongea sharia Tumain varsity Hujui sheria yoyote
malipo Dunian
Sampling yako haina akil..unawauliza watu wa Dar mambo ya hai
Umbea tu
Sheria ifuate mkondo wake apewe adhabu kari ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wenye mtabia kama yake
Mungu ndio mwamuzi wa haki bana na ndio anajuwa nimchongo ama kweli hata tukiwauliza watu wa hai wapo wanao mpenda na kumchikia aliowatendea wema na wanaosema wametendewa ubaya ila kwamungu sio mbali tukifika tutajuwa walivyo tunao waamini..!!!
Covid 19
Bongee😂
Selective
Kahoji hai sio Dar,