AJS TV USA: TAADHARI KWA WATANZANIA WAISHIO MAREKANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 85

  • @ornellamutoniwase5409
    @ornellamutoniwase5409 14 วันที่ผ่านมา +7

    Asante sana.maneno yako mazuri sana mama yangu.nipo Europe kwa miaka 5 sasa.sikua napenda kusikiy négative Nilikuw nawaza kila siku positive mimi na mume wangu.Leo tuko vizuri sana na watoto wetu Mungu alizidi kuwa upande wetu kbs.Mungu ni muaminifu sana kila siku ukiwa karibu nae🙏🙏

  • @GROUPEUMOJANINGUVUGROUPEUNITYI
    @GROUPEUMOJANINGUVUGROUPEUNITYI 7 วันที่ผ่านมา

    Asante Sana Dada yangu mungu AKUBARIKI sana

  • @abdallaabdalla7026
    @abdallaabdalla7026 12 วันที่ผ่านมา +2

    Thank you dada kwa ushauri wk nzr
    Mungu akutangulie

  • @fridahjohn5723
    @fridahjohn5723 13 วันที่ผ่านมา +3

    Amen mtumishi umetumwa na Mungu asante saana❤God bless you much

  • @ndimizarohomtakatifurichar9802
    @ndimizarohomtakatifurichar9802 12 วันที่ผ่านมา +2

    Asante sana kwa kutujengea imani

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 10 วันที่ผ่านมา

    Amen barikiwa sana kutu fundisha bure ❤❤

  • @borasimukindje9633
    @borasimukindje9633 10 วันที่ผ่านมา

    Asante sana dada mungu akubariki sana

  • @zabronmahili4299
    @zabronmahili4299 11 วันที่ผ่านมา +5

    poleni sana lakini hata nyie mnaoenda nchi za watu wengine mmesoma lakini hamna akili .kwanini usiekeze kwenu ili hata mambo yakiharibika unabeba begi lako unatembea shida yenu nimoja mkifika huko mnajifanya wazungu weusi kwenu nikwenu tu ngoja tramp awanyoshe.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 10 วันที่ผ่านมา +1

      Watu washaekeza sana lkn wizi mmezidi

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 10 วันที่ผ่านมา

    God bless you and all 🙏🏾🙌🏾 nawapenda sana ❤️❤️

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 10 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ni ukweli KBS ushauri mzuri sana 💪🏾❤️👏🙏

  • @KibibiMwalimu
    @KibibiMwalimu 11 วันที่ผ่านมา

    Nakushukuru kwa ushauri mzuri🎉🎉🎉

  • @margarethmwaibasa3697
    @margarethmwaibasa3697 9 วันที่ผ่านมา

    Asante dada kwa kututia moyo

  • @leonavivian6036
    @leonavivian6036 13 วันที่ผ่านมา +2

    Amen 🙏 god bless you sister

  • @RITHAHERMAN
    @RITHAHERMAN 12 วันที่ผ่านมา +1

    Woga si fungu langu katika jina la YESU 🙏

  • @prisca4612
    @prisca4612 13 วันที่ผ่านมา +1

    Amen! Ubarikiwe sana

  • @Munira-s3x
    @Munira-s3x 12 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana❤❤❤

  • @danielmartinKiondo-dq4jz
    @danielmartinKiondo-dq4jz 11 วันที่ผ่านมา

    Thank you very much be blessed 🙌

  • @SusanNassoro
    @SusanNassoro 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nimekuelewa dada👍🙏

  • @GROUPEUMOJANINGUVUGROUPEUNITYI
    @GROUPEUMOJANINGUVUGROUPEUNITYI 7 วันที่ผ่านมา

    MUNGU AKUBARIKI SANA DADA YANGU

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 12 วันที่ผ่านมา +3

    Wacha ni subscribe, please keep posting

  • @ChadoraMANYENGA
    @ChadoraMANYENGA 13 วันที่ผ่านมา +1

    Umeongea Vyema Mama ❤

  • @OMARJUMAOMAR-i2v
    @OMARJUMAOMAR-i2v 12 วันที่ผ่านมา +2

    Watanzania tunatumia mda mrefu sana katika kuzungumza kwa point ndogo kabisa mb ghali sana Tanzania

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 12 วันที่ผ่านมา

      Yaaan wakati mwingine huna hata hamu ya kuwasikiliza 🙌🙌 mh

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 12 วันที่ผ่านมา

      Very true

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 12 วันที่ผ่านมา

      Ndo lengo lake Mb iweze kukuishia.kwan hujui?

    • @OMARJUMAOMAR-i2v
      @OMARJUMAOMAR-i2v 12 วันที่ผ่านมา

      @@westmanmoses541 ngoja nikwambie vizuri ili mjue internet nchi za ulaya,American na Asia rahisi sana tafauti na afrika Spain euro 15 sawa na 39000 za Tanzania unapata mb 240 unatumia kwa mda wa miezi miwili unangalia tv,Google na mtandoa wowote unaotaka na zinabakia.Tanzania mb 4.8 sawa na elfu 10,000 na hazichukui mda zinaisha

    • @zainab8251
      @zainab8251 10 วันที่ผ่านมา +1

      🤣🤣🤣

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 12 วันที่ผ่านมา +4

    Nilijipa moyo sana nilipoingia europe na nilimtegemea sana Mungu

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 8 วันที่ผ่านมา

      Bora umeachana na vituko vya ngozi nyeusi. MUNGU atawafanikisha huko .

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 12 วันที่ผ่านมา +1

    Tupo na Congloaise Diaspora Mu Paris But even I, m Strugoling hata na Pataka magumu ya Kila ina lakini si tayita muttu na mutumayinia Mungu tu , mimi ni Kazi ya Mungu tu ya Kusayidiana

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 11 วันที่ผ่านมา +1

    AMINA MY DEAR

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 12 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini mimi kua kusema ukueli Diaspora Yangu Ni Mungu wa Israel , Mungu Wa ELIA YESHUWAH NA RIHO WA MBINGUNI RUHACH HACIDESH Pia Na EPhesiens Chp (6:10-18) Na PSAULM 91 Njo Diaspora yagu Njo Kimbilio Langu Neno La Mungu Tu thanks Sweat heat

  • @evelynmwabuki
    @evelynmwabuki 12 วันที่ผ่านมา +2

    Asante nimejifunza point ya kubeba matukio ya maisha hata kama sio ya uhamiaji!

    • @ajstvusa
      @ajstvusa  9 วันที่ผ่านมา

      Hakika!

  • @marymakwega1366
    @marymakwega1366 12 วันที่ผ่านมา +2

    Amen

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 12 วันที่ผ่านมา +1

    ongera sana dada

  • @petershanel1439
    @petershanel1439 14 วันที่ผ่านมา +2

    True

  • @annacharles2842
    @annacharles2842 12 วันที่ผ่านมา +1

    Amen!

  • @RaymondMuga
    @RaymondMuga 12 วันที่ผ่านมา +2

    Go straight to the point

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 12 วันที่ผ่านมา +1

    ♥️🙏🙏🙏

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 11 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤amen

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akutangulie. Wewe ni zaidi ya mchungaji

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 13 วันที่ผ่านมา +1

    Barikiwa sana

    • @ajstvusa
      @ajstvusa  9 วันที่ผ่านมา

      Ahsante sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 13 วันที่ผ่านมา +1

    Unasema ukweli dada..ubarikiwe

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 10 วันที่ผ่านมา

    Wow beautiful woman 😍👠

  • @felistafabianbukhay4042
    @felistafabianbukhay4042 9 วันที่ผ่านมา +1

    Dada nitafutie kazi ya kutunza wazee

  • @RITHAHERMAN
    @RITHAHERMAN 12 วันที่ผ่านมา +1

    Umenena vyema mtumishi

  • @MfaumeAbushiri
    @MfaumeAbushiri 13 วันที่ผ่านมา

    Fact

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 12 วันที่ผ่านมา +1

    Km upo legally naogopa nn?
    Follow rules

  • @estherwigfall2558
    @estherwigfall2558 12 วันที่ผ่านมา

    🙏

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 11 วันที่ผ่านมา

    Unazunguuuuuuuuuuuka sana

  • @yasinabdallah2541
    @yasinabdallah2541 14 วันที่ผ่านมา +2

    Kweli dada na kubaliana na wewe

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 11 วันที่ผ่านมา

    Mimi naona dada unawafariji tu wenzetu,
    lakini ukweli ni kwamba waandae kisaikolojia kurudi nyumbani.
    Hii imekaa kisheria kama ni muhamiaji haramu cha kufanya
    Jiandaeni kurudi. Nadhani pia nafasi nzuri kuepuka jela na hufanyi la maana.
    Rudi home mambo yapo pambana tu.

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 12 วันที่ผ่านมา

    Kama ni mpango wa Mungu wa kurudi kwenu

  • @NeemaKenneth
    @NeemaKenneth 12 วันที่ผ่านมา

    Mimi natafuta kaz njee ya nchi hata ikiwa housekeeper nisawa tu 🙏🏽 please yoyote anae weza nipa connection

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 12 วันที่ผ่านมา

    Kwani Marekani mbinguni

  • @AbiahKaaya
    @AbiahKaaya 12 วันที่ผ่านมา +1

    Stay focused……. you don’t seem to know what you want to talk!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 วันที่ผ่านมา

    Sasa hivi Ttump anawafukuza sana Waafrika hafai hata huo Urais wake wamempigia kura hao watu weusi sasa anawanyanyasa alichosaidia ni kukataa Mashoga na Wasagaji tu kwa mengine hafai

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 13 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @fredykaiza2416
    @fredykaiza2416 12 วันที่ผ่านมา

    Kazi ni kwa wake wanajisahau kuanza kutukana nchi yao. Sasa wajirejebishe. Msisahau mlikotoka. Kumbuka nyumbani ni nyumbani.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 12 วันที่ผ่านมา +1

    Wazungu wabaguzi sana, kuweni makini ndugu zetu wasiwadake mkarudishwa bongo, maisha Magumu sana huku

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 11 วันที่ผ่านมา

      HATA HUKO MAISHA MAGUMU ZAIDI NA HASA UKIISHI BILA
      UTARATIBU WA UHAMIAJI. HII ISHU SIO YA KUWAFARIJI WATU.
      KAMA HAUPO KISHERIA RUDI UJIPANGE KULIKO KWENDA JELA.

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@mashramadhani1989Bora jela ya ulaya kuliko maisha ya Afrika .

  • @gracemnyani6848
    @gracemnyani6848 12 วันที่ผ่านมา

    Mr President ametoa executive immigration order na inawahusu wale ambao wapo USA kinyume na utaratibu yupo sawa kabisa.
    Sio kweli kuwa anabagua watu bali kama wewe unaishi USA kwa kuzamia kinyume cha utaratibu hii order inakuhusu kuweni wakweli msipotoshe na kutaka kuonewa huruma.
    Hili nalo Mungu ameliruhusu kama ni mhanga kuwa tayari kurudi kwenu kwa furaha.
    Hata Tanzania wahamiaji haramu hurudishwa makwao kwa hiyo Trump hafanyi cha ajabu.

  • @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq
    @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq 11 วันที่ผ่านมา

    Mashamba mengi Tanzania si waje na madora uku waanzishe mashamba ya umwagiliaji

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 8 วันที่ผ่านมา

      Utalima endapo umejipanga kupambana ,ngozi nyeusi roho mbaya ,acha walioenda nje MUNGU awajalie kuishi huko.

  • @mrkrab42069
    @mrkrab42069 12 วันที่ผ่านมา +2

    Why can't you go straight to the point?

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 12 วันที่ผ่านมา

      @@mrkrab42069 it is a business.Dont you know this?

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 13 วันที่ผ่านมา

    Mmmmmmmmmmmmmmh Dkt Aghaly

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 13 วันที่ผ่านมา

    Ana Simtaji John hujambo?

    • @annasimtaji4046
      @annasimtaji4046 11 วันที่ผ่านมา

      Sijambo, Nani mwenzangu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 12 วันที่ผ่านมา +1

    Can u ppl just go straight to the point?

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 12 วันที่ผ่านมา

    Specific, specific kila mahali. Unaishi Marekani na bado English huwezi dada?

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 12 วันที่ผ่านมา

      Kaongea English hapo? Mbona mnapenda deal na vitu trivial sana hata angesema English vizuri au vibaya inafaida gani mbona u sound so schmuck.

    • @markmushi8940
      @markmushi8940 11 วันที่ผ่านมา

      Kwani kuna kp ujaelewa apo?kaongea kifaransa cyo!?acha ushamba bhana auna cha kuandika lala bhana

  • @musabarnabas7628
    @musabarnabas7628 13 วันที่ผ่านมา

    Kama hamna vibali vya kuishi nchi za watu rudini nyumbani. Acheni kujifariji. Hiyo ni kasumba ya kitumwa. Kwani maisha ni ughaibuni tu? Halafu kuna contradiction sana. Yaani mtu unavunja sheria na kufanya kazi kwa document za kughushi halafu unasema unamtegemea Mungu. Yaani Mungu aendelee kukuwezesha kuvunja sheria?

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 12 วันที่ผ่านมา +2

      Inavyoonyesha umeskiza lakini hauaja helewa ndugu

    • @mbuyaelyaoni6266
      @mbuyaelyaoni6266 12 วันที่ผ่านมา

      Wewe umekata tamaa, huyu dd Yuko sahihi sana. woga ni shetani mwenyewe, ni chanzo cha kifo pia.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 12 วันที่ผ่านมา

      U can imagine

  • @DavidMamfere
    @DavidMamfere 11 วันที่ผ่านมา

    Na wewe pia urudi kwenu huko sio kwenu

  • @jaligawesa
    @jaligawesa 12 วันที่ผ่านมา +2

    This statement, from the 14th Amendment of the U.S. Constitution, means that anyone born in the United States or who has gone through the legal process of naturalization is automatically a U.S. citizen, as long as they are subject to U.S. laws and jurisdiction. This guarantees citizenship rights regardless of race, ethnicity, or previous condition of servitude, and forms the basis of the principle of birthright citizenship. Kama wewe huna makaratasi na umezaa watoto- nyote mnakuwa illegal. Ni kheri kuomba visa kihalali! Adui ni UONGO NA KUGHUSHI DOCUMENTS!!📄