SHEIKH MZIWANDA AKASIRISHWA NA KAULI YA MWANACHUONI ALIEWATUKANA MASUFI | WASOMAJI QURAN NA KASWIDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 123

  • @ramaaman9173
    @ramaaman9173 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah shekh,ujumbe mzurisana kwanihakunaaliyekamilika isipokua maridhiano katika kuyafanyamema na kukemea mabaya

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 2 ปีที่แล้ว

    MashaAllah!!!

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 3 ปีที่แล้ว +1

    رضي الله عنكم ساداتنا

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 3 ปีที่แล้ว +3

    mashaAllah wasia nzuri saan kwa wenye akili

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi2362 3 ปีที่แล้ว

    Bas allah anamuona na anamsikia anavo vuruga dira ya sunna za mtume wetu Muhammad swalallahu alayhi wasallam

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @mikidadihussein5152
    @mikidadihussein5152 3 ปีที่แล้ว

    Manshaallah 🙏🙏🙏🙏

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 ปีที่แล้ว +9

    WANACHUONI WANASEMA NI KHERY MTU MNYWA POMBE AU MZINIFU, KULIKO MFANYA BIDA'A(MASUFI),KWA SABABU MZINZI AU MNYWA POMBE HUYU NI RAHISI KUTUBIA KWA ALLAH KWAKUWA ANAJUA ANACHOTENDA NI MADHAMBI, LAKINI MTENDA BIDA'A NI NGUMU KUTUBIA KWA ALLAH,KWA KUWA BIDA'A ANAZOFANYANI ANA AMINI NI KATIKA DINI NA ANAPATA DHAWABU, KUMBE HAPATI CHOCHOTE.

    • @salimhemed2823
      @salimhemed2823 3 ปีที่แล้ว

      wewe mwenyewe umelewa sasa unafikiri utasema nini zaidi ya pombe

    • @shehesalm9899
      @shehesalm9899 3 ปีที่แล้ว

      Jamani jamani tuchungeni ndimi zetu kwa upenzi tu na kuwatia watu motoni la msingi tusomeni tujuwe sheria

    • @ismailibrahim1111
      @ismailibrahim1111 3 ปีที่แล้ว

      Wanachuoni gani? Tupe jina

    • @husseinzayumba702
      @husseinzayumba702 3 ปีที่แล้ว

      Huna elimu ya hoja ndgu yang kaa kmya maan hata ww unafanya bidaa

    • @shekhefaraji5400
      @shekhefaraji5400 3 ปีที่แล้ว

      kama kuna sheikh anasema hayo maneno nisheitwan kuliko ibilisi

  • @mohammedmwakyambiki3665
    @mohammedmwakyambiki3665 3 ปีที่แล้ว

    Allah

  • @allymuhamed7295
    @allymuhamed7295 2 ปีที่แล้ว +2

    Du Sheikh mziwanda namna ninavyo kufahamu na Elimu yako kubwa inakuwaje leo una leta tafsiru yenye mkanganyiko hivi. Allah huwa hakumbukwi anatajwa. Mwanadamu kusahau kaumbiwa na kusahau nijambo ambalo hukubalika baada ya kukumbuka unatekeleza fardhi.فاذكروني اذكركم Nikumbukeni na nitakukumbukeni. Kama sijakuelewa umelenga nini kwahio tafsiru basi Niwie Radhi maana Nakufahamu wewe ni mwanazuoni mkubwa kasa Masha Allah.

    • @kassimabdallahmohamed6180
      @kassimabdallahmohamed6180 2 ปีที่แล้ว +1

      Hujafahamu

    • @hassanmtima513
      @hassanmtima513 ปีที่แล้ว

      Yuko sahihi kilugha chambua zaid hayo maneno yanamaana kubwa nakachambua pia mbelen pia sema akufuata aliesema ndio shida hapo

  • @AlawiyaMSaleh
    @AlawiyaMSaleh 2 ปีที่แล้ว

    Maneno ya kweli unayo sema

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 ปีที่แล้ว +5

    BABDEO TV MNAONGOZA KWA KUENEZA BIDA'A NA KUIVUNJA SUNNAH, KWAIYO MTAYAKUTA MADHAMBI YENU HAYA YA BIDA'A KWA ALLAH ,NA MTALIPWA.
    TUIYOGOPE BIDA'A KAMA MNAVYOOGOPA KORONA.

    • @salimhemed2823
      @salimhemed2823 3 ปีที่แล้ว

      wewe ni almajinunu ila jikague vizuri ndugu yangu kwa sababu hao unawowasema kuwa ni wanazuoni unawesingizia haukuwaelewa kwahiyo kama ndugu yangu nikuwa muogope mola usifuate kasema sheikh tu nawewe ukalibeba utakuja kusimamishwa siku ya qiiyaama na uambiwe lete ushahidi hiyo sunna unayoipigia domo na hata kuijua haujui haitakusaidia zaidi ya ushahidi na hauna someshwa na umuombe mola ufahamu sio kukariri

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 3 ปีที่แล้ว

      Swahili Therapy
      Mim naomba twende kielimu . na sio kueneza maneno ya chuki na kuwatia watu ktk bida'a .
      Hebu tuambie " Taswawwuf " ni kitu gani ?
      Suali jingene : Nini maana ya bida'a ??
      tafadhaal naomba majibu .

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 3 ปีที่แล้ว +1

    Maneno mazito sana Wallwaahi

  • @abuuammar4924
    @abuuammar4924 3 ปีที่แล้ว +3

    Baadh ya masufi wanawaita mawahabi ni makafiri na ibnu baaz ni wahabi

  • @khadijaomar9653
    @khadijaomar9653 3 ปีที่แล้ว +7

    Kwani maarufu mnawatukana mara ngapi mawahabi??

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ahmadabdulrahman7675
      Ni Ahlusunna walopewa Laqabu hiyo Na Masufi Shiya na wengineo..

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 3 ปีที่แล้ว

      @@ayububakari9942 Unakusudia nini kusema Mawahabi?

    • @nassorozubery7394
      @nassorozubery7394 3 ปีที่แล้ว

      @@arqamibnarqam.7185 ndo jina walopewa ahlu sunnah,,

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji9960 3 ปีที่แล้ว +2

    Masufiiii wanajulikanaaa

    • @kipengeog1767
      @kipengeog1767 2 ปีที่แล้ว

      Ndiyo Hadi Salafi jadida tunawajua

  • @MohammedAli-mf3ln
    @MohammedAli-mf3ln 3 ปีที่แล้ว

    Mtume saw alikuwa wa group gani ?

  • @zabarjalsarjas8600
    @zabarjalsarjas8600 2 ปีที่แล้ว

    في أي كتاب قال ابن باز

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 2 ปีที่แล้ว

    Huyo aliyewaiti masufi kuwa nimashetani mgemuita mkamlingania aache kutukana lakini kumsemahapo mbeleyahalaikiyawatu piya siyovizuri nanukuu kaliyako yasikuile uliyowasima viongoziwabakwata badhiyao kuwaniwanafiki ulisema shehe akiteleza zitafutwenjianzuri zaumrekebisha ilahapo naona wote makosayenu Nita aina Moja mashekhe rudini kwamenyezimungu namtumewake

    • @حسنسعيدفرحان
      @حسنسعيدفرحان 2 ปีที่แล้ว

      Masufiy shida Sana

    • @abuutasniym2675
      @abuutasniym2675 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu kamsema sheikh gani apo maana hakumtaja jina aau umemsikia akisema kua fulani kasema kua masufi niwafuasi wa shetani?
      Mimi sikumsikia akimtaja sasa kashfa ipo wapi?

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 ปีที่แล้ว +1

    Tutahadhari kuwaudhi Waislamu kwa kuwa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, alipofahamishwa kuhusu mwanamke aliyekuwa anaudhi jirani kwa ulimi hali ya kuwa alikuwa anafunga mchana na kusimama usiku anaswali alisema, hana heri, yeye ni wa motoni, au kama alivyosema. Tukumbushane ikiwa haki za jirani ni kutoudhiwa hali ya kuwa hata kama sio Muislamu ana haki za ujirani. Kwa nini tunakosa kutambua haki za Waislamu?

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 3 ปีที่แล้ว

      @@ahmadabdulrahman7675 Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, alikataza Waislamu kutukana wenzao

    • @abuarkam6276
      @abuarkam6276 2 ปีที่แล้ว

      Wewe fikra Yako kubwa Allah atuhifadhi

  • @feisal6592
    @feisal6592 2 ปีที่แล้ว

    Shekh askofu kamkosowa or kamtukana

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi2362 3 ปีที่แล้ว

    Sheikh mziwanda njaa inaanza kuhamia kwenye kichwa saaa

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 ปีที่แล้ว +3

    Masufi sio makafiri sheikh mziwanda, ni Masufi ni wafuwasi wa sheitwani kwa kueneza bida'a zao, na bida'a ni katika madhambi makubwa, TENA MADHAMBI HAYO YANAPENDWA SANA NA SHEITWANI KWAKUWA YANASURA YA DINI.

    • @swahibually1723
      @swahibually1723 3 ปีที่แล้ว

      Swahili Therapy TV,Mbona lugha yako ni NGUMU mnooo,ni badaa gani hiyo waliyoieneza inayowaingiza kwenye Ukafiri?Hembu eleza mojawapo tuu,isijekua wewe ndio KAFIRI kwa kukufurisha wenzio, maana Mawahabi nyinyi ni sawa na WALOKOLE,mnajifanya mmeokoka MBWA Nyinyi

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 3 ปีที่แล้ว

      @@swahibually1723
      SOMA VIZURI HIYO COMMENT YAKE KASEMA SIYO KAFIRI

    • @abdillahhassan5423
      @abdillahhassan5423 3 ปีที่แล้ว

      @@swahibually1723 al akhy sasa unaita Watu mbwa sasa duhh

    • @abdulmalickupete9015
      @abdulmalickupete9015 3 ปีที่แล้ว

      Hongera Hadi unaelimu ya kumjua muislamu wa motoni na peponi zamani ilikuwa kwa allah tu

    • @muhidinn5648
      @muhidinn5648 3 ปีที่แล้ว

      @@abdillahhassan5423 Dawa ya Moto ni

  • @feisal6592
    @feisal6592 2 ปีที่แล้ว

    Chanzoo Cha ulevi ni marafikii

  • @zuberiazizi7889
    @zuberiazizi7889 2 ปีที่แล้ว

    Nyinyi mbona mpo mbali na madhehebu ya imaam shafi rehema za Allah ziwe juu yake mnafuata matamanio ya nafsi zenu usufi hauteteeki kwa njia yeyote bali imaam shaafi amesema hatoingia katika usufi mtu yeyote mwanzo wa mchana ila haitomuijia adhuhuri isupokuwa atakuwa amepata upumbavu katika akili rejea manaaqibu ashaafi3iya ya imamu albaihaqi juzuu ya pili ukurasa wa 207
    قال الإمام الشافعي رحمه الله: لو أن رجلاً تصوف من أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق.
    حكم الأثر: صحيح
    أخرجه البيهقي في مناقب الشافعي (ج2/ص207)

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi2362 3 ปีที่แล้ว

    Mwanzoni alionekana Sheikh wasunna

    • @imraniseifu2508
      @imraniseifu2508 2 ปีที่แล้ว

      Sasa ww una Sunna Gani

    • @hajiali9300
      @hajiali9300 2 ปีที่แล้ว

      Kama sikuogopa nisije nikatamka neno ambalo wanaotoa comenti watanielewa vibaya ngelitamkaneno

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 3 ปีที่แล้ว +7

    Masufi hawana tatizo kubwa saana ikiwa tu wataacha bid'daa na waifwate sunnah

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 3 ปีที่แล้ว

      Azhar dady .
      Bida'a ni nini ?
      hebu tutajie taarifu ya bida'a halafu tuipime na tujue ni nani wanaofanya bidaa ?

    • @abuuazhar3738
      @abuuazhar3738 3 ปีที่แล้ว

      @@saidihaji3739 bid'da ni uzushi "katika ibadaat". Kitu au jambo ambalo mtume hakulifundisha

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 3 ปีที่แล้ว

      @@abuuazhar3738 kwan vyote ufanyavyo mtume kavifundisha??
      Na je kama mtu hajafundisha ila kuna vitu tumewekewa na wanawachuoni ktk huku za kisheria je kinasemaje kitu ulichofanya ktkt huku za kisheria kinafaa au hakifai au just ni bidaa bidaa bidaa a tu..

    • @nuhuissa8494
      @nuhuissa8494 3 ปีที่แล้ว

      @@sadiqselengu4197 nahisi uelewa wako ni mdogo sana shekh, jamaa kasema bidaa ni jambo lolote ambalo limezuka katika ibada ambalo mohamedi na na wale maswahaba 4 hawajafanya.

    • @nuhuissa8494
      @nuhuissa8494 3 ปีที่แล้ว

      Hivo kama lipo unalofanya jambo lakiibada ambalo mtue na maswahaba wake 4 hawajawahi fanya basi ujue ni bidaa

  • @elimikanamadrasa5490
    @elimikanamadrasa5490 3 ปีที่แล้ว +3

    NI KWELI MASUFI NI VIBARAKA WA SHAYTWAAN

    • @muhammadochenje4610
      @muhammadochenje4610 3 ปีที่แล้ว +1

      Na mawahabi nao?

    • @shawwalmsati3405
      @shawwalmsati3405 3 ปีที่แล้ว

      Usisahau hata masalafi na makundi mengine hawakosi vibaraka wa mashetani katika wao

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 ปีที่แล้ว

      Ww ndo sheitwani na tena firauni shoga wewe

    • @mkude
      @mkude 2 ปีที่แล้ว

      Nyinyi ndio mnaoipa ionekane itikadi ya kisalafy ni mbovu matusi yote ya nini hayo,wewe ni mtu wa sunna kweli au wewe ni kafiri unataka watu waichukie manhaj ya salafy? Achana na itikadi mbovu za matusi kama wewe unafuata Quraan na sunna

  • @mohammedjumakhamis8151
    @mohammedjumakhamis8151 3 ปีที่แล้ว +1

    Amekasirishwa na Mwanachuoni Gani?

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 3 ปีที่แล้ว +1

      Imamu shafi pale aliposema MTU akiingia ktk usufi asubuhi basi mchana anakua mwenda wazimu

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 3 ปีที่แล้ว

    BID'AA NDIO IMELETA FARAKA KTK UMMAH HUU..

    • @allyally5156
      @allyally5156 2 ปีที่แล้ว

      Komaa kivyako unavyo amini nakunawanao amini mungu baba mwanza na roho mtakatifu ,utawalaximisha?

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 ปีที่แล้ว

      Bidaa km ipi ndg?

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji9960 3 ปีที่แล้ว +1

    Somaa jina la shekh vizurii wewe acha uhunii buhn et ibarhimul aduhumi duhhh jama wewe

    • @abuubakarisaidi9745
      @abuubakarisaidi9745 3 ปีที่แล้ว

      Linasomwaje?

    • @gfrhajji5233
      @gfrhajji5233 2 ปีที่แล้ว

      Wallah waisilam tunashida mno. Yaani akisema mweziwe hajui ama amekosea, ulikuwa wapi usiseme wewe kabla yake? Jina liwe sababu ya mzungumzaji kuwa criticized? Mungu atunusuru maana tunapielekea hakutakua na mjuzi bali wajuzi.😥😥

    • @sayyidbnally
      @sayyidbnally ปีที่แล้ว

      Wew nn kwan mbona povuu

  • @ahmadifakimjaka1433
    @ahmadifakimjaka1433 2 ปีที่แล้ว

    Masufi wametajwa kuwa ni wapumbavu na akina imaamu Shafy,Imaam maliky wewe Mziwanda mtoto mdogo wajifanya mjuzi hahahahaha...! Ukitaka dini ya sawa iliyonyooka usijifanye mtu wa kati na kati ukata kila mmoja akupende utapotea shika njia moja iliyo nyooka basi.
    Ni mpumbavu yule ambaye anadhani anaweza kuwaridhisha watu kwa hakika hiko ni kilele kisichofikika ewe mziwanda.

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 2 ปีที่แล้ว

      Huna maaan wewe , weee huna msaada kwnye dini ya mungu unakuja kuskiliza wapi amakosea hujaona mazuri humu mjinga weeee

    • @shabanimavilu1512
      @shabanimavilu1512 2 ปีที่แล้ว

      Mwehu kweli ww Imam Shaf r,a ameema nmekaa nao masuf kwao nmesoma mambo makuu matatu.
      Imam Malk asema mwenye kusoma fiqh asisome tasawf huyo fasq
      anaesoma tasawf asisome fiqh huyo ni mzandq....Mwenye kukusanya elmu mbili hzo huyo atapata ukamlf wa ibada zake.
      Imam Ahmad r.a anasema mm sjapatapo kuona watu bora kama maaufi....
      Ndugu yangu tafuta mashk wahakika wakusomeahe sio mashk wadunia....
      Usiishi kwakukaririashwa...,utakuka kujuta...
      anaesoma

    • @mkude
      @mkude 2 ปีที่แล้ว

      Wewe faki kuwa na adabu wewe,nyinyi ndo mnataka kufanya watu wa sunna wachukiwe kwasababu ya mijitu kama wewe.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 2 ปีที่แล้ว

    Hakika mawahabi hawana haja na kuitafuta elimu ya kweli bali wao hujazwa misimamo yao yakukufurisha waislamu,usichokifahamu nenda kwa wahusika ukasome na ukweli ukikubainikia basi ukiri Hilo,

    • @zuberiazizi7889
      @zuberiazizi7889 2 ปีที่แล้ว

      Maneno matupu tu hayatoshi toa ushahidi wa mwanazuoni yeyote unaoona wewe ni wakiwahabi amewakufurisha waisilamu katika kitabu chochote hata kama unawachukia watu kuwa muadilifu hakika kila unalosema,unaloandika Allah atakuuliza siku ya qiyaama hivyo kusema pasina ubainifu huo si uadilifu

    • @حسنسعيدفرحان
      @حسنسعيدفرحان 2 ปีที่แล้ว

      Wewe uliosoma elimu ya kisufiy umeelimika nanini,?

  • @ALIYFAKIABDALLAH-ek4hf
    @ALIYFAKIABDALLAH-ek4hf ปีที่แล้ว

    Masufi tuzidini kupendana Kama ilivyo kawaida ya masufi achukiae nachukie tuu masufi tupo Dunian kote

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly3581 3 ปีที่แล้ว

    Kitabu gani hicho alicho sema

  • @elimikanamadrasa5490
    @elimikanamadrasa5490 3 ปีที่แล้ว +1

    PUMBAVUUUUUU SAAAAAAAANAAAA

    • @bahiyajuma8644
      @bahiyajuma8644 3 ปีที่แล้ว

      😏😏😏😏😏😏

    • @shawwalmsati3405
      @shawwalmsati3405 3 ปีที่แล้ว

      Hiyo siyo dini ewe mtukanaji. Fanya istighfar ili usijekuwa muflis siku ya qiyama sheikh akachukua thawabu zako zitazolingana name tusi ulomtusi

    • @mkude
      @mkude 2 ปีที่แล้ว

      Wewe matusi ya nini, ahli sunna wall jamaa manhaj salafy ndo wanavyofikisha hivyo,kuwa muungwana wewe,watu wa sunna hawapo hivyo,nyinyi ndo mnafanya watu wa sunna ionekane itikadi mbovu.wewe muislam kweli,au wewe kafiri au shia?

  • @saidnassor5655
    @saidnassor5655 2 ปีที่แล้ว

    Masufi ni wazushi.

  • @feisal6592
    @feisal6592 2 ปีที่แล้ว

    Mzinifubakipata ,,dawa utawachas lakininmkevi nikazi kubwa kuwachisha Dawa

  • @حسنسعيدفرحان
    @حسنسعيدفرحان 2 ปีที่แล้ว

    Masufiy Ni shida

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Matako anatuka Baadhi ya waislamu ubwa mkubwa wewe

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly3581 3 ปีที่แล้ว +2

    Kupendana ndio kutemeana mate midomoniiii???? Nipeni jibu

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 3 ปีที่แล้ว

      Kasomeshwe Usijisomee. Nahayo Ndio Matatizo Yakujinunulia Vitabu Kujisomea Bila Kusomeshwa. Nasikila Usilolijua Nibidaa.

    • @tamimumelly3581
      @tamimumelly3581 3 ปีที่แล้ว

      @@nurdinmfamau3493 Wewe wachafujo zisizo umiza

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 3 ปีที่แล้ว +1

      😀😀😀

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 3 ปีที่แล้ว +1

      Unajua Yakuwa Kusoma nikitu Kingine. Nakufahamu Nikitu Kingine. Nahayo Ndio Matatizo Yawatu Wengi Wasasahivi. Kama Watoto Tunachagua Shule Zakuwasomesha Basi Ipohaja Yakuzingatia Na Wlimu Diniyetu Usijisomee Mavitabu Tu. Au Usiende Kusoma Kwamtu Yoyote tu Nilazima Utafute Nautafiti Hapo Unapoenda Kusoma Mahali Sahihi Kusoma Nahuyo Anaekufundisha Wapi Nakwanani. Kwasababu Il'm ina Il'ka tuwe Natusiingizane Peponi Nawala Tusipelekane Motoni. Tuusiane Naturahiane BILHIK'MA WAL'MAWAIDHATUN HASSANA. WALLAH AALAM

    • @husenisiraji9960
      @husenisiraji9960 3 ปีที่แล้ว +1

      Hawaaa huwaa hawajielewagii kabisaa et mtu anakubalii kutemewaa mate na shekh wakee khaaaaaaaa duh hawa jamaaa wabadilikee

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly3581 3 ปีที่แล้ว +1

    NDIO VIBALAKA KWANI UWONGO

  • @adambakari6176
    @adambakari6176 2 ปีที่แล้ว

    Huseni siraji hauna elimu wewe

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi2362 3 ปีที่แล้ว

    Sasa amezidiwa na njaa anaamua kutetea masufi ili tonge liende kinwani

  • @bakarmabrouk3647
    @bakarmabrouk3647 2 ปีที่แล้ว

    Kumbeshekhe nikadiria wewe

  • @allycomm1553
    @allycomm1553 3 ปีที่แล้ว +1

    Masufi ote motoni

    • @abubakarmohamed2845
      @abubakarmohamed2845 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwani hio pepo ni ya babako?

    • @allyally5156
      @allyally5156 3 ปีที่แล้ว

      Msenge wewe ,, akili huna kukata suruali mnaona mmeingia peponi inshallmungu atakujibu .

    • @hasanikambi8195
      @hasanikambi8195 3 ปีที่แล้ว

      We ni mpiga ramli?umejueje?

    • @alikhamis2572
      @alikhamis2572 3 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu...wew ni muislam...tumia pumzki zako vzr...kauli kubwa sana hyo na inadhima kubwa sana. Shauri yako..

    • @Big_father098
      @Big_father098 3 ปีที่แล้ว

      Acha kukufurishaa waislam wenzioo huna haja ya kubashiria moto.