@@anahfrank3076 Swala sio hatupendan ila kiuhalisia Gigy amezid kwel ana mdomo mchafu analopoka tu yeye sio wa kwanza kuwa Single mother wapo weng na wanalea wtt wao wenyewe mfano mzur mm binafsi nmekuwa bila uwepo wa babaangu lkn leo hii nmekuw na nna maisha yangu, kila mtu ana makosa yake lkn Anatakiwa akiyakoroga anywe mwenyewe sio atafute huruma ya kwa wananch
Mbona mama yako hajitambui, mwelimishe mama yako tafadhali, kumwita mtoto wa mwenzio takataka alikesea sana, tena anaweza kujitengenezea laana kwenye kizazi chake, hakuna mzazi anaebeba mimba ya takataka.
Tanzania jaman mtu akipngea kingeleza anajishauwa hivi mnajua nchi za watu kingeleza kinajulikana kam lugha yetu ya pili ukiachana na izo za mama na Baba wala azitambuliki ni muhimu pia kam una ndoto zakutoka Tanzania au kusafiri kingeleza ni muhimu
Wanafikiri huyu mm ni mpumbavu she's very smart and discipline habwatuki mambo ya wa2
Masha allah shemsa ww mzuri sana sauti nzuri😊😊😊
Kichwa cha habari ni tofauti na Mtoto wa watu walichosema. Acheni ujinga
Tena wamuache kabisa wana tafuta viewers kwa nguvu juu ya matumbo yao.
Kisha washenzi sanaaa
@@maymbeyu5458 Kimombo ndo imewapiga chenga......washenzi kabisaa
@@maymbeyu5458 Yani wanaeza kukuzushia bonge moja la shuzi
Gigy hana maadili bhana ,alafu akichukuliwa hatua anatafuta huruma ya wananch
Nikweli ulicho sema . Ndio mana silipendi na midomo mikubwa gigy somzima 😅😅😅
Kweli wanawake hatupendani sasa mtu kafuatwa nyumbani kwake kufanyiwa fujo
@@anahfrank3076 Swala sio hatupendan ila kiuhalisia Gigy amezid kwel ana mdomo mchafu analopoka tu yeye sio wa kwanza kuwa Single mother wapo weng na wanalea wtt wao wenyewe mfano mzur mm binafsi nmekuwa bila uwepo wa babaangu lkn leo hii nmekuw na nna maisha yangu, kila mtu ana makosa yake lkn Anatakiwa akiyakoroga anywe mwenyewe sio atafute huruma ya kwa wananch
@@anahfrank3076 kwaiyo enge kutukania mama yako kuma yake ungefurai ?
Akuna mtu hampendi gigy
@@anahfrank3076 alienda kukamatwa fujo alixitaka mwenyewe
mimi napenda nyimbo za abigail kweli inapendeza sana
Hapo sasa ndugu waandishi wa habari ,tunaomba kingereza kiwe kwa uchache😅😅
Masha Allah pendeza mwenyewe ❤
Jamn I love this girl wow she is very talented and brave 👏 I wish I can meet her ❤
Mtu hajasema chochote lakini mmmh bongos hapana🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Et jamn media zingine zifungwe tu hajaongea chochote kuhus gigy
Wabongo watengwe kwel🤗🤗
Dada hao waandishi ukiongea kingereza kingi hawatoambulia chochote🤣🤣🤣
Kwani kingereza unaona km nn?
Ndo wanapunguza maswal ya kimapumbavu Kwanza ndo vzur🤣🤣🤣
😂
Napenda sauti ya chamz❤
Hv abby chams hajuag kuongea taratibuuu hahahahaha
Iyo inaitwa rapid speech. Sio awa wanachomea maneno mawili alafu wanasikilizia
abby ni vanessa mdogo 😋😋😋
Binti kinge anakijua hata wakenya hawaoni ndani!!
Waandishi wote wapigwe mawe ndio wachonganishi kichwa cha habari tofauti na yaliyomo
Kafanana Christina Shusho
Kweli
Ndio kwel hata mama ake😅
Unaakili sana Binti yangu,swali la Gigi wewe sio mtu sahihi kueleza
Abby yupo vzr
Kuna waandishi hapo hawaelewi kama Mimi apa wamekodoa macho tu 😄ngeli inatemwa uwiiii
Yaani we acha tu 🙈🙈🙈
Zaaa utelekezwe na baba mtoto anakula bata na mwanamke mwingine ndo utaelewq
Ivi abby hawez kuongea polepole
Ana akili sio kubwatuka kwenye mitandao mambo ya ndani ni kujidhalilisha tu.
❤
Mbona mama yako hajitambui, mwelimishe mama yako tafadhali, kumwita mtoto wa mwenzio takataka alikesea sana, tena anaweza kujitengenezea laana kwenye kizazi chake, hakuna mzazi anaebeba mimba ya takataka.
Ongea polepolee eehhh
Abigail hajawahi jibu swali Moja , anajibu mbwembwe balaaa
Kila mtu an alivoumbwa bhna wee kama unaekifua cha kukaa na mambo ni wewe wengine tusipoongea tunakufa so muacheni gigy
Tanzania jaman mtu akipngea kingeleza anajishauwa hivi mnajua nchi za watu kingeleza kinajulikana kam lugha yetu ya pili ukiachana na izo za mama na Baba wala azitambuliki ni muhimu pia kam una ndoto zakutoka Tanzania au kusafiri kingeleza ni muhimu
Wakumbushe wenyewe kingeleza ni kusikia uku kwetu shy vjj kiswahil unajisikia nilikuwa nawashangaa wasukuma wakiona unawasemsha kiswahil nikujingamba wanataka kisukuma bc kumbe ni tabia yetu wa tz
Alafu Abby kama mkenya ivi😂😂
Mmmmh
Kwan huyu orgnarty yake ni wapi🤔
Huyu kwani si anatokea chambani pemba
Halafu ongea kiswahili vzr wewe sio mzungu
Amekulia nje ya nchi Tena Bora sahivi ana kiweza icho kiswahili
😂😂😂😂😂😂😂
@@storytime1204 ndio bora sahiv ila si unajua wabongo hatuna dogo
Anajitahidi sana kuongea kishwahili alikuwa hawezi
Mbona sasa mama yako ana tukana mtandaoni
Kwan huyu Abby Chams sio MTZ, mbona kama Anajishaua sanaa. Alafu hata simjui 😊
Mchaga akijipta ndo ivi
Ajasomea tz nadhan ila hajishaui labda kama humjui kama ulivosema
Anajishaua au kwa kuwa anaongea fluently English ( American English) she is intelligent girl 👧
Hajakaa tz na hajasoma tz
Minapenda vile unaongea
Ana kikomwe km rubby au ndugu yake hapo kakificha na wigi
Acha wivu
Shikamoo mekup hapo bila ya mekup mmm 🙄
Abigail ni mzuri bila hata makeup acha wivu bhana😂
𝑵𝒊𝒄𝒆 𝒂𝒄𝒄𝒆𝒏𝒕❤❤
Kwan huyu orgnarty yake ni wapi🤔
Masai og