SIMANZI: VIJANA WAWILI WA MIAKA 18 & 19 WAUWAWA ARUSHA, WADAIWA KUIBA POCHI WAKIWA NA PIKIPIKI NJIRO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ม.ค. 2022
- Vijana wawili wenye umri wa miaka miaka 18 na 19 waliokuwa wanaishi katika kata ya Sombetini Mkoani Arusha wameuawa kwa kipigo kutoka kwa Wananchi wenye hasira kali na kupelekea kufariki kwa kutuhumiwa kufanya uporaji wa pochi wakiwa na pikipiki yao katika maeneo ya Njiro.
Arusha Arusha!!! Mbona mauwaji yamezidi mno, Mrudieni Mungu mitihani ni mengi sana.
Poleni wazazi, ndugu na marafiki wa marehemu ,Wazazi chunguzeni maisha ya watoto wenu,
Ila hawa watu mm walinivamia nilitoka kazini nilikuwa nafanya kazi redio nimemaliza kipind wakanivamia wawil wamepakiana kwenye Toyo moja. .toyo nyingine yupo mmoja wapo na mapanga wakanichukua na mm ..wakanipeleka kwenye vichaka walitaka kunibakaa...ila nilisaidiwa nahisi watu waliniona wakati wananichukua....NAWACHUKIA SANA HAWA VIBAKA WALLAH na wanaosema sijui hawakustaili hawa hayajawakuta wanaroho mbaya sana vibaka mm nahisi sikuile wangefanikiwa kunibaka nahisi wangeniua
HAYA MAJIZI DAWA YAO NI KUYAFUTA TU..
mama juma pole sana ila kaongea kama mzazi uwezi mkania mtoto sema vijana tuache tamaa
Tatizo wazaz tunalea sana ujinga.. mim nmewah porwa pochi na hawa boda.. bahat nzur walikamatwa wakapigwa sanaa.. tumefika kituon mama wa kijana mmoja wao alikuw anakataa kabisa mwanaye siyo mwiz😳😳 sasa kama sio mwiz alikuwa anafanya nn kituoni🤔🤔?? Wazaz tunalea sana haya mambo hususani sis kina mama
Unakuta mama hajui kama Watt wanaiba ndo mana anaktaa vuta picha ata Ingekua ww gafla TU uskie mtt kapigwa Kwa tabia ya wizi lazima akatae kikubwa kuwaombea Watt wetu TU huko wanakoenda waepukane na makundi mabaya😭😭😭😭
Wewe Dada upewe ulinzi kabisa
Dada weee wazazi tunakuwa hatujui mwaya. Mbele ya mzazi aonyesha nidhamu. Lakini huko nje hatuyajui. Mwenyezi mungu awanusuru watoto wetu
@@ashuuuaisha9122 Amiin
Dada we ni mzazi omba Mungu akulindie kizazi chako
Kiukweli Tunatakiwa kuistructure jamii yetu....
Vijana wengi wanafanya matukio ambayo ukimuona huwezi kuamini kabisa.
Mm nisameheeni tu
Wameniliza sana hawa kiasi ambacho sina huruma nao.
Wazazi na ndugu wawe wanachunguza maisha ya watoto wao. Wengi wanajua wanaogopa kusema na wengine wazazi wanajua wanaogopa sema au wanafurahia wanacholetewa. Tena wazazi wa namna hii haugusi baya kwa wanawe.
Nchi bado haijauzwa sasa ngoja tushindwe kulipa madeni ya nchi
Jamani jamani Watoto tujitahidi sana kuwapeleka kwenye nyumba za ibaada wangali wadogo ili wakuwe katika malezi yanayompendeza Mungu. Wakati mwingine mtoto anafikia tabia isiyo sahihi kutokana na malezi pia ya wazazi.
Ila jambo kubwa ni kumwomba Mungu tu.
Pole ya kazi gani acha wafeeee
Kama ni kweli waliiba Allah awasamehe na kama hawakuiba mwenyezi mungu awalipe waliodhurumu nafsi za hawa vijana
Amiin
Waliiba kweli
Aamina
Sheria ya kukata kiganja cha mkono hamuitaki,
Mnasema ni ugaidi,
Basi acha wachomwe.
Kwanza wazaz wajitahid kuwa na tabia njema na tukijitahid sana kuwalea watoto kwenye maadili mema!! Na kabla ya vyote nikumtanguliza sana Mungu katika kila kitu!! Alafu pia wenye hasira kali nao wajitahid kubadilika,kumuua mtu si jambo dogo kama wanavyodhani
Ukiangalia sura za hawa wakinamama utagundua wanajua kila kitu kuhusu tabia za watoto wao.
Umenena mkuu. Mungu awafariji wafiwa. Awarehemu Anold na Juma.
Poleni ndugu mungu awape subra
Poleni kwa wanafamilia,ila basi iwe fundisho pia kwa wenye nia kama hiyo.
Hao machali wezi sana juz tuubwaliiba simu wakiwa na toyo wacha wafe tuu
Ndugu zangu kulea ni Jambo gumu Sana linalohitaji kumtanguliza mungu zaidi ,Kwa mzazi Hana kosa Kwa sababu mtoto unaweza kumlea vizuri lkn akawa na tabia za Siri ambazo hata wewe mzazi kuzijua NI ngumu,kwahiyo mnaolaumu wazazi bila Shaka nyinyi bado hamna watoto.
Kweli
Kwakweli
😢😢😢kikweli inauma sanaa kupoteza watoto wawili kwa kwati mmoja sheria ichukuliwe 😭😭
Jamny vijana wa Arusha Badiliken jmny hii kupora poch na vitu vya watuu kwa tamaa mwisho ndo huu mungu awasamehee awashushie huruma yake na nyie wazazi kaen na watoto wenu karbuuuu semeni nao ikiwezekana kilasku
sema hawa wamama wana mioyo migumu sana. hamna chozi kabisa aisee
Wazazi hatutakiwi kuwa tetea sana hawa watoto maana vijiwe vimekuwa vingi.
tusichukue sheria mikononi
@@mweusiasili8345 kwa kwel😭😭😭😭😭
@@mweusiasili8345 unanikasirisha sana Kwa kauli yako hujamuona mama Yangu kilema walichomfanyia wanaojiita tatu mzuka yaani mpaka natamani machozi ya ulemavu wake na maumivu yake yampate kila anayewatetea hawa waarifu hayajawakuta ndio maana
Mam wa mwish unajuw kila kitu
Mungu awalz mhl pema pepon 🙏
Duuuh poleeee Sanaaaaa dada angu
Polen. sana
Maskini mama wa hawa watoto Mungu awatie strength kwa kipindi hichi mnacho pitia, Inatia huruma sana💔
Poleni sana jamani kwa kupotelewa na ndugu inauma sana
Safi Sana hata mm juzi nimeibiwa simu yangu Arusha mjini na hao vjana wa boda boda wanajiita tatu mzuka safi Sana wamezd kmamake
Mi mama Yangu wamempor pochi na kumtupia mtaroni wamemuachia kilema na maumivu yasiyoisha unafikir wangepona? Kwanza hiyo adhabu ni ya haraka sana kwao wangeonja kwanza mateso ya mama yangu alafu ndio wafe
Poleni jmni
Inahuzunisha hakika
Vijana embu tujaribu kuwa na macho ya kuona mbali zaidi, fahamu unapofanya jambo ambalo litahatarisha maisha yako shida utawapa wazazi wako zaidi na familia yako kwa ujumla, kabla hujawaka tamaa za wizi iangalie familia yako kwanza, waangalie wazazi wako wawili Kwanza kwamba ni kwa namna gani utawahuzunisha kwakile ambacho utakifanya, Tamaa ni mbaya sana ndugu zangu nawausia tena acheni tamaa ya kutafuta mambo ambayo hamna uwezo wa kumiliki , ni vema sana kusubiri wakati sahihi wa hayo mnayo yatamani.
NENO LA MUNGU LINASEMA
kila jambo na wakati wake, na majira yake sahihi chini ya jua. Ni vizuri sana ukasubiri wakati sahihi MUNGU atakupa tu pasi na shaka.
Amina 🙏🙏🙏
Mungu awalaze mahali pema peponi, atukuzie watoto wetu kwa makuzi yake yakupendeza,😭😭
Amen 🙏🙏🙏
Jamniiii poleni sanaaaa
😮
Pole mama mwenyez MUNGU akutie nguvu
Kina mama mnaharibu vijana wenyew. Mama usipo mfunza mwanao atafunzwa na ulimwengu. Na walimwengu si una wajua.
Hakika Mungu awanusuru hawa watoto maana wanajihusisha na mengi...
Mungu aikumbuke Arusha..!!? Wapumzike kwa amani
pole mama daahh inauma asee !!
Duh inauma Sana kwakweli hata wameiba Hawa wazazi walipata uchungu Sana wakati wapo leba 😭😭
Vijana wetu wanahitaji maombi Mungu awaokoe
Wah january ii gumu kwl
Innalillah wainnaillah rajion
Duh inauma kwa kuwaua ingawaje hata mm cku moja waliiba Masai camp wakawa wanakimbia wakakutana na mm uso kwa uso nikiwa na gari ikabidi niwakwepe wakagonga gari wakaanguka ingawaje waliaribu Sana gari na walitaka kumuua yule mmoja aliebaki lkn niliwaomba raia wamuache tu
Mungu utakase mkoa wa arusha mbona roho zimewakauka kama hivoo ro hombayaa kama hivoo kamawana kosa serikali ipo poleni sana wafiwa
Allah atujalie vizazi vyema...ukiibiwa inauma Sana..lakin maamuzi ya mkononi kutawaliwa na hasira nayonimagumu sanaa
Yote kwa yote vijana wakubaliane na khali zao wasichague kaz na wajishuhulishe jmn 😥😥
Umeongea point saana 🙏🙏🙏
Vizur sana kuwauwa
Daa
RIP
Yaan Arusha ni matukio jaman...mauaji
Uunh mungu awasimamie jmn
Huyu mama wa mwisho anaonyesha alikua anajua kazi ya mwanawe na inaonyesha alikua akimuasa xana. Mana hana uchungu kabisa
Sidhani kama ni mama mzaz aisee
Kweli tena anaonekana usoni kama haoni uchungu kwa mtoto uliyemzaa
Nimesoma comment yako nimecheka nikakumbuka Nina mama mkubwa anamtoto kibaka akiletewa ela anafurahi ,akikamatwa anataka ukoo uchange akatolewe,Leo mama anayumba maisha magumu kwake malezi Yana changia.
Sio mama mzazi uyo
@@sunaybrajabu238 6xyrffgg
Nahisi Arusha inaongoza kwa mauwaji
Watu awawezi kuwachoma bila sababu
Kama wameiba wakauliwa nivzr huo ndio mwisho wao
Mwizi hukmu yake ni kukatwa mikono na c kuuliwa
@@ismailshamte4429 ndio washa uliwa wakome
Inalillahi wainalillah rajiuni
Watoto waizi wacha wafe wazizi msijifanye hamjui simnaletewa mali za uwizi hata mm nikiwashika nikuua tu
Hakuna system tz..
Yaaan kama ni wezii na wameibaa yaan wafee tu wakajieleze huko maan maamuvi ya kuibiwa ayse dahhhhh😭😭😭😭😭😭
Arusha moshi vijana bangi nying uwiz sanaa yaniii pile mama
Mungu awanusuru hawa watoto wanakazi nyingi usiku.
Wame tuchosha tena wengine wanavamia kwama panga poleni wazazi mungu awatie nguvu.
Enyi watu wa arusha .rarueni mioyo kwa kumrudia bwana.
Acheni maneno vifo kila mahali
@@magretkijanga6038 hatujakataa
Ila watoto wa Arusha wana tabia hizo sana,mm muathirika wa kuibiwa kwa silaha ila siwez kujua kama hawa waliiba kweli au vp mungu ndo anajua.
Hii sasa imekua to much Arusha mna Nini?
Kweli Tz kama cape town... 17 years old anakuwa mwizi mkubwa kiasi icho... kipindi chetu iyo miaka tulikuwa tukiiba mboga na pesa za video.
Umenikumbusha mbali
@@lailajuma1018 nimeangua kicheko jamani ingawa sikuwahi kuiba mboga wala pesa za video
😂😂😂 kweli kabisa umenikunbusha mbali umesahau na hela za PULIZOO
@@jacksongeorge3964 nakwambia achatu
Huku njiro kuna vijana wanakuja na mapikipiki wanaiba kinguvu, kuna mshikaji alipigwa na kukatwa mapanga wakamkwapua sim na pesa
R.i.p maniger arf asee
Hii tabia ipo wanakuja na pikipiki kwa mwendo mkali kama umeshika simu wainyakuwa jaman watt wadogo
Wizi umerudi kwa spidi sana;tena kwa pikipiki da;cm yangu!
😂😂😂 acha bange
Kama ni wezi sawa tu hainaga huruma wacha wafe wanatusumbua sana
Innali LLahi wainna illayhi rajiun
Leeni watt wenu vzr so wanakuja kua na tabia za ovyo mm mwenyewe nimeibiwa na bado,, munashindwa kuwalea vizr munajua kuzaa tu
Wauwawe tuu maana hawana maana. Nachukia sana wezi
Mama juma mbona hashtuki
Mmmm jamani hiyo njiro kunanini jamani
Wezi wauliwe tu jamani walichonifanya Christmas Mungu ndo anajua
Heee sheria ingechukuliwe
Pole
Matukio ya wizi njiro yameongezeka Sana.Mimi sishangai Sana Hilo tukio.
pole wafwa wote😭😭😭😭🤝🤝
Arusha jamani mbona Kuna jina nzur linavutia. Lakin Kuna mambo ya ajabu. Mungu awaponye wote wenye Tabia mbaya
WAZAZI WENGI ARUSHA MALEZI YA WATOTO YAMETUSHINDA, KWAKWELI NA UTAKUTA HATA WAZAZI WANACHUKUA VITU HARAMU WANAKULA WANAVAA MAOVU KUTOKA KWA WATOTO WAO.ARUSHA WANAPENDA SANA MAISHA YA TAMAA. MWENYEZI MUNGU ATUSAMEHE.
Watoto wetu ni kuwakabithi tu kwa munguu
5
Mmmmh huko njiro hadi 2mepakalil
Kuna nini Arusha, Moshi na Kilimanjaro?
Huyu mama juma mbona mkavu hvyoo?au ndo yupo shocked?
"Mara baada ya kudaiwa kuuwawa"
Ndo lugha gani hiyo.
Jana hapa kuna Dada kaibiwa da kwa namna hiyo hyo ya pikipiki;da
Mngetakiwa mkishaua mchome kabisa Hawa vijana wanaiba vitu vidogo vidogo,,ua
Poleni sana
Jamani njiro wizi upo tena haswaaa hebu jaribu kukatiza maeneo ya nyuma ya 8 8 kuelekea Renea au Lemara utalizwa na hao hao 3mzuka na wanajulikana siyo siri wanavyuo ndo wanakabwa hatari
Unamwitaaje mwanao Arnod?mambo mengne mnajitakia
Chuga kurikoni mwezi haushi salama bila matukio ya mauaji jamani!!poleni wafiwa
Ndo uwizi ulioshamiri sana
Arusha kunani Jamani??Mbona vituko vya ajabu Kila maraa??
Huyo mama wapili ameongea ukweli awezi kumkania mwanae huongo, kiukweli vibaka wanakera sana
Watoto tunajitahid sana kwa malezi ila magulupu nihatar wanafundishana maovu
Ichi kifo kimetokea lini et jamani
mh. mh hapo njiro hapo
Kiukweli me nikimkamata bmwizi na nikawa nauhakika kaiba simuonei huruma
Boda boda wezi sana wahuni !!
Teni hi sheria wangeipitisha kabisa Tanzania akikamtwa mwizi Ni kuu kabisa Amna Cha mtoto mzee mtu mzima ua kabisa watu atutembei kwa raha bana
Amri ya MUNGU inasema usiue je wew unapingana na MUNGU
Je na wale wezi wa selikali ,,
Yan Kama ujaibiwa fresh Sana ilaukiibiwa utajua inauma vip
Kwahiyo wameona wauanze mwaka kwa kuibia watu kwa bodaboda sioo!! moshi walinikwapua hivyo hivyo na wakanitukana eti mm fala😅 kumbe inawwzekana kabisa nao kukamatwa, sasa mwaka wote huu mmekwisha mjichimbie makabur kabisa suine..
Tatizo mzazi anapokuja kuambiwa kwamba mtoto wake ni mwizi anawafukuza na matusi juu mpaka pale litakapo tokea tukio la kuwawa ndipo anaanza kujuta.....✍️✍️✍️