Sasa hutaki we kama msimamo wako kutopiga usimpinge kila achukue Rai yake Sabu Jambo la khitilafu wapo wanazuoni waloona inafaa na wapo waliona haifai kila mtu ashike Rai anayotaka tukutane siku ya kiama
Ni ikhitilafu kuna wanazuoni waliona inafaa kuna walioona haifai so kila mtu ashike rai ya mwanazuoni anaetaka yey lengo kutokushambuliana kwa mambo hayo ya ihtilafu za ulamaa
Arafu usiseme wenyew kwa wenyewe suala hili la ihitilafu wapo wanazuoni waloona inafaa wapo wanazuoni walokataa so kila mtu ataona ashike Rai ipi hamna tatizo
Ushaambiwa kuna tofauti ya tasfiri miongoni mwa wanazuoni....bado tena akarudie kuisoma, kwamba akiisoma tena ndiyo tofauti za tafsiri zitaisha.....acheni ushindani usio na tija...!
Mtu ata kusoma pengine hujui unakalia ubishi 2 iyo hadith ina eleweka kilicho katazwa niku create kiumbe kilicho hai ima kwa kuchonga au kuchora au kufuma, sio real picture, maana unapiga picha vile vile kama kilivo,
NKAJUA UNAJUA HUKMU YA PICHA.......KUMBE BADO BADO KDG.... Masalafy mbona hata wao wanarekod video??? Lini wamekataza watu kurekod video za mihadhara??? Kapitie hyo hadith vzr shekh wetu
Maashaa allah tabaarakallah
Barakallah fiikum
Duuh kajaa na mpya eti kusajili
Sasa hutaki we kama msimamo wako kutopiga usimpinge kila achukue Rai yake Sabu Jambo la khitilafu wapo wanazuoni waloona inafaa na wapo waliona haifai kila mtu ashike Rai anayotaka tukutane siku ya kiama
Ni ikhitilafu kuna wanazuoni waliona inafaa kuna walioona haifai so kila mtu ashike rai ya mwanazuoni anaetaka yey lengo kutokushambuliana kwa mambo hayo ya ihtilafu za ulamaa
Sahihi kabisa
Mtihani
Wenyewe kwa wenyewe na madhhebu yenu mnakataana 😅😅😅
Uislamu raha yake ukiona jambo lina kutatiza rudi kwenye Qur'an na hadith 2
Arafu usiseme wenyew kwa wenyewe suala hili la ihitilafu wapo wanazuoni waloona inafaa wapo wanazuoni walokataa so kila mtu ataona ashike Rai ipi hamna tatizo
Shekh na kushauri kairudie kusoma ile hadithi
Lilokua zuri kama wewe una ziada ktk hio hadithi ni kumtafuta shekh kisha kuongea nae
Ninaimani ukilazimia kuipata namba yake shekh hakika utaipata, haya mambo ya furuugh si ya kutunishiana misuli
Ushaambiwa kuna tofauti ya tasfiri miongoni mwa wanazuoni....bado tena akarudie kuisoma, kwamba akiisoma tena ndiyo tofauti za tafsiri zitaisha.....acheni ushindani usio na tija...!
Mtu ata kusoma pengine hujui unakalia ubishi 2 iyo hadith ina eleweka kilicho katazwa niku create kiumbe kilicho hai ima kwa kuchonga au kuchora au kufuma, sio real picture, maana unapiga picha vile vile kama kilivo,
Mbona kafafanua vizuri tu ubishani wa nini ukiona kachemka fuata vile unavyoamini sasa ukimlazimisha akufuate wew ndio mgogoro hauishi
NKAJUA UNAJUA HUKMU YA PICHA.......KUMBE BADO BADO KDG.... Masalafy mbona hata wao wanarekod video??? Lini wamekataza watu kurekod video za mihadhara??? Kapitie hyo hadith vzr shekh wetu
Huwezi mkosoa mtu bila dalili huyu ni shekh anatumia elimu sio maneno tu kama wew
Yani kama ilivyokuwa hadithi watu wameelewa tofauti na hata maneno ya sheikh nayo watu wameelewa tofauti. Allah atustiri na atuhifadhi
@@MpumaLanga-vc4zhAamiyn