Shetani atuogope vp?ikiwa yy ndo anatutumia sisi binadamu..sio wanawake tuu ata wanaume shetani ndie anae tualibu ila akuna binadamu mbaya apa duniani Bali shetani ndie adui yetu...kila unacho kiona kibaya apa duniani jua shetani ndie muazilishi..mateso yetu ndo furaha yake jiulize wachawi wanapata faida gn?uyu zabroni anamilikiwa na waganga .uoni story mzima yy na waganga tu?ndo tujue waganga sio
Tatizo ni zabroni mwenyewe..yy ndie anafungua milango ya nguvu za giza so ayo yote anayo pitia jua ni aho mashetani ndo wanampitisha binadamu yy anatumiwa tuu na shetani...sasa mtu kapata ajali ya gari then anapelekwa kwa mganga sasa mganga amesoma udactar??mambo mengine ni Sisi wenyewe atujitambui...mganga awezi mponya mgonjwa wwte yule ni ujinga tupu
@@euniceeunice7680 ajab ! Nime kuja kukundua huyu zabron .ana ujinga kwa mbali wa kukubali ushairi wawatu haraka.na Kila mwanamke akimtaka yuwa mkubalia haraka. Hajishauri.ajiilize kwanini anatafita kwa shida halafu aambulia sufuri ??????.watu ndio wanafaidi ..hebu.ache shirki
Sijawahi kusikia na kuona mtu mwenye Mikasa ya kutosha Kama Zabroni mzee za misosi. Pole Sana mzee baba maisha Safari ndefu umeacha hiatoria kwa Watoto wako na kizazi kijacho. Funzo ''Hakuna kukata tamaa katika maisha"
Zablon patia yesu kristo maisha yako,umejaribu kila kitu,surrender your life to JESUS christ,he will set you free from the bondage of pain,defeat,error,failure,God will restore your life if you obey him and agree to walk with God.
Zabroni kama unasoma izi comment achana na waganga baba ilo jina lifute ktk maisha yko ilo la chief ..baba kama utoacha waganga Utofaniliwa kamwe..kama ujafunga malango ulio yafungua baba utaishia pabaya..kule gamboshi kule utaludishwa tena na itakua milele na milele unateseka..ww ni msabato mludie Mungu wko soma maandiko shika amri10 za Mungu.. waganga awawezi kukusaidia ww maana wao nao ni binadamu na wanategemea dawa za kuzimu so watakusaidaje???mludie Mungu kaka we ni msabato kml ..tangia dunia kuumbwa akuna nabii yyte alie wahi swali j2 au ijumaa wote kina Musa waliswali jmos sabato so we umezaliwa kwenye sabato then unateseka??vp wale wasio jua neno sabato nao watasemaje??maangaiko yote ayo lait ungemuweka Mungu mbele basi saiz ungekua mbali..gamboshi kwa macho yko uliambiwa kama bible ndio kitabu takatifu shetani wachawi majini awawezi kishika wala gamboshi awawezi taja jina la Yesu maana ndie jina lenye nguvu akuna jina kama ili ndio maana gamboshi wanamuita yule mtu..sio gamboshi tuu ata majini awawezi taja ilo jina wala salamu awawezi..ushawah sikia jini anasalimia bwana Yesu asifiwe??story zoteee sijawah sikia ata siku moja ayo mambo zaidi tunaona apa ktk story majini wanaenda msikitini au madrassa au wanasalimia ile salamu ya waislam. ..kwaiyo kama ujaludi nyuma kaka utajuta
Anatumiwa na shetani ..uoni jina analo jiita?ni jina la mizimu so unazani ataendelea?sijawah ona msabato kama uyu ktk maisha yngu...msabato anaenda kwa waganga 🙌🙌🙌
Nimeumia Sana kwa mtihani uliyo pitia ila furaha yangu kubwa upo na umevuka mitihani yote hii Alhamdullah
Alhamdulillah
Sio jambo dogo kbx
Duh pole wanawake sisi viumbe wenye huruma sana ila tukigeukaga hata shetani huwa anatuogopa....
Shetani atuogope vp?ikiwa yy ndo anatutumia sisi binadamu..sio wanawake tuu ata wanaume shetani ndie anae tualibu ila akuna binadamu mbaya apa duniani Bali shetani ndie adui yetu...kila unacho kiona kibaya apa duniani jua shetani ndie muazilishi..mateso yetu ndo furaha yake jiulize wachawi wanapata faida gn?uyu zabroni anamilikiwa na waganga .uoni story mzima yy na waganga tu?ndo tujue waganga sio
Mimi nahisi baba yake alikuwa anamroga maana inaonyesha hampendi
Number 14 representing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪yani story tamu ajabu
Chief umejua kupitia magumu Jamani Duu all in All God is good All the time
Ila Mimi ninachompendea Zabron ni mchakarikaji na mtafutaji wa pesa asiyechoka ktk kutafuta, ila Mali zako Uwe unaziweka Wakfu mbele za MUNGU.
Davistar nimecheka ulivyosema "Vero ww" Mungu anamuona kweli kbs..Nayeye ipo siku yake 🤔🤔!! Zabron una moyo wa pekee milioni 60 bd unamsaidia.
Tatizo ni zabroni mwenyewe..yy ndie anafungua milango ya nguvu za giza so ayo yote anayo pitia jua ni aho mashetani ndo wanampitisha binadamu yy anatumiwa tuu na shetani...sasa mtu kapata ajali ya gari then anapelekwa kwa mganga sasa mganga amesoma udactar??mambo mengine ni Sisi wenyewe atujitambui...mganga awezi mponya mgonjwa wwte yule ni ujinga tupu
@@euniceeunice7680 ajab ! Nime kuja kukundua huyu zabron .ana ujinga kwa mbali wa kukubali ushairi wawatu haraka.na Kila mwanamke akimtaka yuwa mkubalia haraka. Hajishauri.ajiilize kwanini anatafita kwa shida halafu aambulia sufuri ??????.watu ndio wanafaidi ..hebu.ache shirki
Mm ata ncngetaka tuwe n ukaribu tenaa..ana moyo haswaa
Uyo mama nmemuona hatimaye...
Yan kutoka kutembelea range lover had kuburn CD kwl maisha hya jmn duuu
Am in love with that tree
Same here
Me too
Zabron anabahati sana na pia ana mikosi mingi sana 50%by 50%
Zabron ana roho safi sana .lkn story yake ina umiza moyo sana💔😭
Mateso mwanangu. Lakini umeshinda majaribio mengi. Mungu akufariji na Yote utakayo kwa kweli
Mama
Mama
Mamaaa
Ndio alikuwa pamoja na Zabron kwenye matatizo
ndomana wanasema hakuna mwenye upendo wa kwel kama mama dunia
Mh vero mungu anakuona!
Nsharud 🙄🇪🇭🇪🇭💖💖 mimi wetu Shem lngu Eric Aiyam Nguwalo Hamis suleiman Fm morn blessed sapna malima na wengineo njooon mambo tayar💃💃🇪🇭🇪🇭💖💖
@Aysha Asante japo ndio nipo nafika nusu.
Za kushinda?
Mupenziii😍😍 Aysha
@@Fm-MornStar2014 Nmefurai kukuona ❤❤
Alhamdulillah xijui ww❤❤❤❤
@@nguwalofakhr5965 Naam mpenzi ❤❤
Huyo dada anaakili kweli yan mtu amekufungwa umetoka bado anataka urudi jela huyo dada nn mbayaa nayy
mimi naona alikua akirumiwa na huyo babake zabron vile aje amletee simu na kumuona ndo akafanya huyo mpango mawazo yngu lkn
Pole sana
Daah pole sana.. hupumui
Yani.. ila kuna siku tu yatakwisha
Upendo wa kweli uko kwa mama Hawa madem Hawa Mungu anawaona
Daah aisee
Nina fatilia hii story kishenzi....Davista mata big up braza.
Nashukuru kwakutusikiliza Davister....umeshusha mzigo mapema
Sijawahi kusikia na kuona mtu mwenye Mikasa ya kutosha Kama Zabroni mzee za misosi. Pole Sana mzee baba maisha Safari ndefu umeacha hiatoria kwa Watoto wako na kizazi kijacho. Funzo ''Hakuna kukata tamaa katika maisha"
Pole sana ndugu, na si umepitia mengi sana, wewe uko na (swara sana)yani mikosi mingi
Ki Davistar kinafiki sana, cheki kilivyomuangalia Mwana alivyosema "Pio pyu"
Zabron unapenda sana waganga Ebu umrudie Mungu tafadhali. Bila, Mungu hutoboi. Njia ya,kweli ni Yesu peke yake
Nakumbuka Sana iyo ajari nata raha hatariiii sana
Vero mungu anakuona
Zablon patia yesu kristo maisha yako,umejaribu kila kitu,surrender your life to JESUS christ,he will set you free from the bondage of pain,defeat,error,failure,God will restore your life if you obey him and agree to walk with God.
😭😭 jamani pore tena😭
Number one 💃💃💃
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ningekua mgum Serengeti ningeenda hapo stationary niulizie hata bei ya pen huyo vero anaroho mbaya sana
Zabroni kama unasoma izi comment achana na waganga baba ilo jina lifute ktk maisha yko ilo la chief ..baba kama utoacha waganga Utofaniliwa kamwe..kama ujafunga malango ulio yafungua baba utaishia pabaya..kule gamboshi kule utaludishwa tena na itakua milele na milele unateseka..ww ni msabato mludie Mungu wko soma maandiko shika amri10 za Mungu.. waganga awawezi kukusaidia ww maana wao nao ni binadamu na wanategemea dawa za kuzimu so watakusaidaje???mludie Mungu kaka we ni msabato kml ..tangia dunia kuumbwa akuna nabii yyte alie wahi swali j2 au ijumaa wote kina Musa waliswali jmos sabato so we umezaliwa kwenye sabato then unateseka??vp wale wasio jua neno sabato nao watasemaje??maangaiko yote ayo lait ungemuweka Mungu mbele basi saiz ungekua mbali..gamboshi kwa macho yko uliambiwa kama bible ndio kitabu takatifu shetani wachawi majini awawezi kishika wala gamboshi awawezi taja jina la Yesu maana ndie jina lenye nguvu akuna jina kama ili ndio maana gamboshi wanamuita yule mtu..sio gamboshi tuu ata majini awawezi taja ilo jina wala salamu awawezi..ushawah sikia jini anasalimia bwana Yesu asifiwe??story zoteee sijawah sikia ata siku moja ayo mambo zaidi tunaona apa ktk story majini wanaenda msikitini au madrassa au wanasalimia ile salamu ya waislam. ..kwaiyo kama ujaludi nyuma kaka utajuta
Umeamua kumchana live
Hamdhululilahi kama ume toka msamehe mama
Pole sana brother 😊
Dope
Vero ana roho ngumu loh😏😏, pole chief
Mimi naona ukienda kwenu unapata matatizo
Tatizo ulikuwa hutoi sadaka ukipata unajisahau sana ndo maana ulikuwa unafanikiwa gafla unapoteza jiwekeke karibu na Mungu wako
Waah 😢
Pole sana mungu akubariki sana
Majiran bwana....yaan usiku ukivusha dem asee hata saa nane usiku watajua...ila uibiwe au changamoto nyingine aki wanakwambia hawajui
😭😭😭Pole zabron muombe Mungu utafanikiwa tu
Yani kimaisha ukipata mwanamke muaminifu shukuru sana aiseee
jamaa kapitia maisha ya kila rangi asee ❗
I sey
Achana nawanawake wanakufilisi buree kama watoto unao nn watafuta nn zaidi???kama hamu siku moja mojaa hutokosaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaaaaaah jamaniii pole Sana Dunia inasiri kubwa Sana kunamambo huwezi amini wanawake daaaaah
Zabron, kila ukisumulia ni mikasa tu. Ila naamini kuna siku mambo yatakaa sawa tu
Uyu jamaa kila anapoenda anaanza Maisha upya dah inakera sana
Kweli br hizo pesa zilizopotea zimeniuma kamazangu vile
Zablon Mungu anakupenda
aiseee unajera huna kosa 😢Pole mzee baba
Aisee yaani ukisikia maisha ni safar ndefu ndo hii sasa
Duuuh mateso bila chuki yanaendelea isijekuwa hilo chata mkononi linakutesa Zablon
Pole saana
Aisee mkosi juu ya mkosi
Dah! Mi hao wote walionitenda ningelipiza kisasi. Yaani wangekiona chá mtema kuni.
Pole kaka
Safi sana umetuwaishia kidogo leo
Zabron Mambo vp,upo vzr kk,kumbukumbu zako nzr
Ulikuwa nae gerezani nini?
@@abbyadams8691 😀😀😀😀😀
Du haya maisha unakwa tajili unakwa masikin mtihani sana
@@عباسعباس-ش9ه4ت Zabron mzembe sana.Kwa umri wake kapata zaidi ya milioni 200 aafu zote kwishiney??!!! Pesa yake inapotea kijinga jinga sana.
Duuu pole sana broo
Leo mapema safi sana
Nahisi ungebalisha mambo mengi ungefanikiwa sana nadhani wengi mmenielew maana safari hua inajirudi pale pale idont know why?
🙌🙌🙌🔥🔥🔥😁
Zablon shida yako huwa humkumbuki Mungu pia,Mungu anakupenda sana amekusaidia sana lakini akili yakumkumbuka huna kabisa .
Pole sana Zabron
Bint Mahariq ta3al hinaa al-hikaayah tastamirru Al aana❤️❤️❤️❤️
Daa pole sana😭😭 kwamapito unamoyo sana nami nimejifunza mengi sana kupitia istolia yako
Nshafka shkuran ❤❤❤❤❤❤
Mwanamke ambaye hawez kukusaliti ni MAMA yako tu..yey anaweza kukuvumilia katika hali zote ila sio hawa wengine
pole sana zabron ..yani hapo mwisho ndo umeniacha hoi eti pili pili ndo tiba
Jamani pore sana kaka
Chif pole kw uliopitia, lkn kuna elim napata kuptia maisha yk uliopitia ndg pole sn.
Leo umetufanyia surprise brother
Omg pole sana Zabron.
Pole sana kwa matatizo
Wanawake wengine kweli ni mashetani Yani huonei mwenzako huruma umemzingizia tena humuonei huruma
Kaka zabron nimependa unavocheka 😄😄😄
😂😂😂😂
Hahah eti misukule shirikiana nao😂😂
mmmmh yaani ni mikasa plush mikasa 😢daaaa
Nasubiri number 55 ikiendelea
Eeeh Zab mateso nayo umeyaona kwa kweli
Samsingiiiii🤣🤣🤣
Nakufatilia sana tangie part one Zabron
Pamoja Hadi mwenzo woee maisha
Mill 60 na unamtumia tena elfu 20 ???
Huyo kakayako Mungu atamlaani kabisaa mana hiyo helaa ndefu sanaa mm nakuendea kwa babu🤣🤣🤣
😂😂😂
Ivi huy zabro ni binadamu wakawaida kweli!!?
Anatumiwa na shetani ..uoni jina analo jiita?ni jina la mizimu so unazani ataendelea?sijawah ona msabato kama uyu ktk maisha yngu...msabato anaenda kwa waganga 🙌🙌🙌
Pole kaka vero mungu anakuona
Davista unajua sana kutegea et unajichelewesha ili mmalize sawa
Duu umepewa kazi ngumu kulingana vile ulikataa vile walitaka sasa wetezekaa kwazamu 😢😢😢😢😢😢😢huko kupigwaa jamani yani Mateso bila chuki
Pole sana 😂😂😂😂
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
Verooo mpaze mjinga huyo 😂😂Nimecheka et vero wwwwe Imekuuuma davido pole
Pole kaka zabron huyo mwanamke ungekaa ukajifikiria wala alikua sio mkweli
Piupiu Ni sauti ya mnyambo zabron😂😂😂😂inasemwa (P. O.P)
Uko poa#jack line
@@kcpokepher5481 kabisa na wewe
Nipo aiseee 0748 701808 nicheki please!
@@kcpokepher5481 code number Ni ya tz ama kenya? Ni ya watsap kweli?
😂😀😂😂😀😀😂
Naomba namba ya marasta
Zaburon unarudi kwa mama bada uende kwa mke wako, alfu wewe ni mwepesi Sana na maisha, kuna funzo uko nayo,
Asisee pole sana kaka yani mungu anakusimamia kweli
Miss u
Noumaaaaa
vero wewe mungu anakuona
Alhamdulillah w kwanza 🙄💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole sana zabroni. Sasa mganga wa kienyeji jamani anatibuje mguu ulovunjika kama sio hospital