Katika channel za youtube za tanzania zimenivutia hii namba moja devista big up unafanya kitu kikubwa story zina elimu na mafunzo mengi i am big fan from MUSCAT OMAN 🇴🇲
We call such kind of personality souls as a 'destinated soul' A soul movie Am Rachel in Kenya and has been following every part of his life ,like a movie based on a true story
Nani anaye jua kuwa bwana Zabu Alikuwa Rasi ??😜😜 Sema yule mtoto mzee baba Ni mkali nimemtafuta pc yake fb nimekuta ,pia Bwana Zabu kwa msosi daa nimenyosha mikono 😂😂 #TeamZabu#TeamZabuMadiko🍝🍜 Mr.Fact endelea kushusha Ep tu hapa ni home sweet home..😌
@@DavistarMataMediaDM nami nilifaham hilo hata sikuhangaika, hata epsode ya 23 mliifuta kwa sababu hiyohyo, ingawa wengine tulikuwa tushapita nayo tayar
Kwenye episode hii kuna vipande tumeviondoa kwa sababu maalum na usalama
asante kwa kujibu swali tunashagaa
khayiiii
Dah! Davista umezingua weka vitu hivyo tutamlinda kwa namna yoyote ile.
Hii nchi sio ya waarabu mzee wacha woga.
Mnaogopa waarabu Mn😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Katika channel za youtube za tanzania zimenivutia hii namba moja devista big up unafanya kitu kikubwa story zina elimu na mafunzo mengi i am big fan from MUSCAT OMAN 🇴🇲
Hapo sasa zablon.
Davista this guy has it all. Expression kwa misosi Jo!! Ako chonjo.
Storry za uyu kaka ni nzuri sana..Davistar weka back to back tunasubiri 31
Davistar kweli huyuu kaka braza ikifika wakati wa msosii ana sifia sana
🤣🤣
Uyo ni bwana msoosi
@@raheemaraheema5453 I say !!
Umeonaee😂😂😂anapenda msosi tena msosi mzuriiii
@@luciamutongore799 lakini pia kula ni mhimu sana . Usipokula vizuri hata afya yako haitakuwa nzurii .
Ewe Mwenyezi Mungu,,hakika katikati ya mateso unaonekana
Davistaa wew mwenyew kwenye msos upo makin sanaa 😂😂😂😂
nakubali zabron mzee wa misosi aka sharukhani ha ha davista bless up sana mzazi tunakufatilia sana🙏🙏
Manayake iyi histoire kali sana kwakweli
Mko vizuri Sana huyo jamaa amekutana navitu vingi Sana na ww nimpambanaji
Story ya mwaka ndio hii Sasa nipo hadi mwisho Dav na Zab hongera sana 💓💓💓🇧🇭
Ubarikiwe davistar mata
This guy can narate all😄😄👌👌hadi kitanda
Hiyo donas bwana mzee baba misosi inaendelea😋😋😋😋
Kwel ,kwenye msosi huyu jamaaa anasifia sanaaaaa
kweli kabisa msosi lazima unasifia sana
Jamaa mvumilivu kweli watu nikama hawa ...zabron weka mungu mbele nakuombea baraka
Golden Dave from Nairobi Kenya,story ya Zabroni inapendeza
Pamoja kak.
The guy is so romatic
Mnawaza mapenzi tu
We call such kind of personality souls as a 'destinated soul'
A soul movie
Am Rachel in Kenya and has been following every part of his life ,like a movie based on a true story
Sasa si uandike kiswahili
Hayo maneno nimeeoezea na kizungu siyajui kuelezea na kiswahili.Nataka sana ila kama (personality) (based) sihui unaita je na kiwahili
Kwan we ni mzungu
Davista uwe unatulia kwenye interview. Sasa ukitoka toka unakosa maswali ya kumuuliza Zabron. Simu zimeni hizo. Ziwe baada ya kazi tafadhali
story nzuri hii ila nakushauri uwe unatafuta sehemu iliyotulia isiyo na makelele ili sitory inoge zaidi maana hii story zaidi ya movie za kihindi
Asante sana kwamuendelezo Kaka’angu Davistar ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Sero alitokaje Davistar au ndo usalama umesema
number1
Hongera
Mzee baba anapenda biriyani.
Kapokea sim. Sio professional banaaa endelea story
Jamaa ana chekesha sana
Kweli bwana misosi inapendeza umenikumbusha mpenzi wangu alipo kuwa mgonjwa alikataa chakula chakwao akala chakula nilompelekea mimi 👏👏👏🤦♀️
Angel ni mzuri balaaa
Sanaa mashallah
Like zangu, nimewah
Story yenu nzuri mimi na follow up kilasiku
Asante kwa muendelezo
Hizo ni Bakora za Bwana Harusi yaani uli Enjoy kweli😋😋😋😋
Walau mwanga mpya waibuka Sasa. Pole sana Zabron
Utamu wa hadithi yooote umeitowa Davista slitokaje jela??turejeshee kidigo nyuma umeikata seheme muhimu pls
Zabroon nikijamza nitakutafuta kwakweli nikupikie biriani😁
Vile nimengoja 🥵🥵💃💃💃
Mmb
Nani anaye jua kuwa bwana Zabu Alikuwa Rasi ??😜😜
Sema yule mtoto mzee baba Ni mkali nimemtafuta pc yake fb nimekuta ,pia Bwana Zabu kwa msosi daa nimenyosha mikono 😂😂
#TeamZabu#TeamZabuMadiko🍝🍜
Mr.Fact endelea kushusha Ep tu hapa ni home sweet home..😌
Kweli ni mzuri mno mashallah
Davistar uwe una edit na kuondoa maeneo yasiyo muhimu bwana. Mfano hata simu ikiita bado unaacha tu!!
Kuna maneno tumekata kwa sababu ya usalama
@@DavistarMataMediaDM Asante kwa ufafanuzi
@@DavistarMataMediaDM brother hapo ana maana kuna wakati anawasiliana private camera director hakati hizo parts zisizo husika kweny simulizi
Mfano ata upepo unapovuma ilibid uedt🤣🤣
Nani alisikia kirimu
Davista lusha Épisode kama 3 kwasiku kwamaana tunahamu sana yakuona hii story
Jama anapenda musosi sana 🤣🤣🙌👏🧏
Kwahio demu wakiarabu kakaazaaaaa mwish kanogeshw kanoga hahahhahahah mapenz kwel nom daaaah!! Yan inatokea t maskin hahaa😂
👌🔥
Jmn hata mie napenda kujipikia misosi mizurii mizuri tu...Tusimuonee Zabron 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa la msosi
Nice
Davistar hamia Mwanza kabsa mwanang...naona pamekupendeza sana brother...😅😅😅
Zabron anapenda kula tena vyakula vizuri vizuri 😁 hivyo anavyosema aliletewa vitu vitamu tam vimenakshwa ni (visheti vinaitwa)
Hahhahaha
Mzeee baba kwenye menyu mmmmh yuko vizurii
Yaan kipande kikikatwa, ni kama story inakua hainogi eti? Kama sielew vizur
Kweli asee
Yes
Aya ndo mambo sasa yani ungejua tunavorefresh youtube kila mda acha tu
Mr zabron , nikijaga tz ntakutafuta bro
Zabloni tuko tunaishi na waarabu huku kweli kwa mwanae wa kike wapo Makini sana wanawalinda sana
Zabron mkumbuke na chacha mama ako baba ako ulimpotezea baisikel
Jamaa anapenda kulaaa 😂😂😂😂😂
Wwoooooow weweweeeeee apo sawa kabisa
njama anapenda msosi sana
Hayo mazulia yanaitwa Majlis
💃💃💃💃💃no 40
mmmh jamn 😢
Gud gud
Nimetokea kukuelawa San channel yako na story ya mshikaji appreciate
Pamoja like sana
Anajiongeza saana
Safi Davistar 31/32 tuekee kwa pamoja
Baby kasikia sauti ya Chifu Zabron kafungua mlango, Davistar Mata una cheka mzee wa misosi naona una enjoy kumuoji mkwe wa Mwarab
Anapenda kula
😆😆😆😆😆😆👌
@@babyfatma5339 saa zote mateso , bora afurahie msosi.
Davister unapenda sana msosi wewe 😆 😂
Mm 32
Jamani mwacheni tuu zabron asifie misosi maana gamboshi alikula unga 🤣🤣🤣 ila zabron we mtu mbadiii hhahahaaa
Sijawai sikia fridge inatumia mafuta taaa nasikia kwako😢😢😢😢
Zilikuwepo za zaman
@@peterdaniel9050 duu kumbe
Kaka msabato anafahamu msosi vi smart sana
Yanaitwa buthati hayo mazulia
Biliani mzee baba ukapiga
Leo nipo 20 bora
Pamoja sana
🇰🇪🎤🎤🎤
🤣🤣🤣🤣Davistar leo umeuwa eti ukifika kwenye swala la misosi unakazia huruki😀😀😀. Coment nyingi
Hahahha
Wa kwanza leo
Kaimati bwana
Ninaomba kujua huyu jamaa alizaliwa tarehe ngapi mwezi wa ngapi.
Yani siku akimaliza tuta miss sanaaaa
Saana
Bwana misoc
Visheti hivo vinaitwa baba
Duuh huyu jamaa anatumalizia bando hakika😂😂
😂😂😂😂😂
Umeona ehe??
Ni baba misosi na maziwa
Kufinya Msosi kutamu lakini! 🥧🍰🍪🍩🍜🍝🍛🥪🥑🍏
😋😋😋😋😋😋
Mi naomba uwe unawahi kuapload kaka Davistar,yan nikikosa hii story hua siku haiendi bro
Ile sehemu alipoitwa na mkuu wa mpelelezi na wakakutana live na babamkwe
Hakijaelezwa vizuli
Ile naona wameikata kwa usalama wa vyombo vya usalama
Kuna vipande kwenye episode hii tumeviondoa kwa sababu ya usalama
@@DavistarMataMediaDM nami nilifaham hilo hata sikuhangaika, hata epsode ya 23 mliifuta kwa sababu hiyohyo, ingawa wengine tulikuwa tushapita nayo tayar
Nimekusoma vyema ovaa
Ila ktk story zako zote hii ndo story namba moja kwangu kwa utamu wake.
Mzee wa misosi huyoooooo
Saa zote mateso, bora afurahie msosi
Nilikua nategea
Mbona Ile sehemu Baba mkwe wake Alipo Itwa kituo Cha polisi Hajaelezea
Kuna maneno tumekata kwa sababu ya usalama
Kweli umeruka ,baada ya kupigiwa sim polis ilikuwaje ?imerukwa bhan
@@evachuwa3809 hajaruka kasema imeondolewa makusud kwa sababu za kiusalama wamehofia
🤗🤗🤗
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Sio mbaya
Post the all story
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
We nawe ulikosea ungemtia mimba mamaeee.
mimba tu😁😁😁😁
kwenu kuna fisi
😅😅😅
Tunasubiria Part 31 sasa bwana davista