PART30:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 408

  • @DavistarMataMediaDM
    @DavistarMataMediaDM  3 ปีที่แล้ว +74

    Kwenye episode hii kuna vipande tumeviondoa kwa sababu maalum na usalama

    • @moreenmbatha1147
      @moreenmbatha1147 3 ปีที่แล้ว +3

      asante kwa kujibu swali tunashagaa

    • @rehemalaizer7123
      @rehemalaizer7123 3 ปีที่แล้ว

      khayiiii

    • @matthewjohn5108
      @matthewjohn5108 3 ปีที่แล้ว +3

      Dah! Davista umezingua weka vitu hivyo tutamlinda kwa namna yoyote ile.

    • @matthewjohn5108
      @matthewjohn5108 3 ปีที่แล้ว +5

      Hii nchi sio ya waarabu mzee wacha woga.

    • @zbtn517
      @zbtn517 3 ปีที่แล้ว +1

      Mnaogopa waarabu Mn😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @omanoffroadriders747
    @omanoffroadriders747 3 ปีที่แล้ว +2

    Katika channel za youtube za tanzania zimenivutia hii namba moja devista big up unafanya kitu kikubwa story zina elimu na mafunzo mengi i am big fan from MUSCAT OMAN 🇴🇲

  • @veronicaseiyo4057
    @veronicaseiyo4057 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapo sasa zablon.
    Davista this guy has it all. Expression kwa misosi Jo!! Ako chonjo.

  • @Mazoea
    @Mazoea 3 ปีที่แล้ว +8

    Storry za uyu kaka ni nzuri sana..Davistar weka back to back tunasubiri 31

  • @mashamramba3461
    @mashamramba3461 3 ปีที่แล้ว +9

    Davistar kweli huyuu kaka braza ikifika wakati wa msosii ana sifia sana

    • @raheemaraheema5453
      @raheemaraheema5453 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣

    • @raheemaraheema5453
      @raheemaraheema5453 3 ปีที่แล้ว

      Uyo ni bwana msoosi

    • @mashamramba3461
      @mashamramba3461 3 ปีที่แล้ว

      @@raheemaraheema5453 I say !!

    • @luciamutongore799
      @luciamutongore799 3 ปีที่แล้ว

      Umeonaee😂😂😂anapenda msosi tena msosi mzuriiii

    • @mashamramba3461
      @mashamramba3461 3 ปีที่แล้ว

      @@luciamutongore799 lakini pia kula ni mhimu sana . Usipokula vizuri hata afya yako haitakuwa nzurii .

  • @rachelsika9588
    @rachelsika9588 3 ปีที่แล้ว +1

    Ewe Mwenyezi Mungu,,hakika katikati ya mateso unaonekana

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 ปีที่แล้ว +5

    Davistaa wew mwenyew kwenye msos upo makin sanaa 😂😂😂😂

  • @jumakyere4958
    @jumakyere4958 3 ปีที่แล้ว +3

    nakubali zabron mzee wa misosi aka sharukhani ha ha davista bless up sana mzazi tunakufatilia sana🙏🙏

  • @g.d.d1481
    @g.d.d1481 3 ปีที่แล้ว +3

    Manayake iyi histoire kali sana kwakweli

  • @chrissackland5369
    @chrissackland5369 3 ปีที่แล้ว +1

    Mko vizuri Sana huyo jamaa amekutana navitu vingi Sana na ww nimpambanaji

  • @vellarose2596
    @vellarose2596 3 ปีที่แล้ว +1

    Story ya mwaka ndio hii Sasa nipo hadi mwisho Dav na Zab hongera sana 💓💓💓🇧🇭

  • @aminsalimali793
    @aminsalimali793 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe davistar mata

  • @qelseykenya3933
    @qelseykenya3933 3 ปีที่แล้ว +2

    This guy can narate all😄😄👌👌hadi kitanda

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo donas bwana mzee baba misosi inaendelea😋😋😋😋

  • @paulkahigi8351
    @paulkahigi8351 3 ปีที่แล้ว +7

    Kwel ,kwenye msosi huyu jamaaa anasifia sanaaaaa

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +1

    kweli kabisa msosi lazima unasifia sana

  • @elizanzula8375
    @elizanzula8375 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa mvumilivu kweli watu nikama hawa ...zabron weka mungu mbele nakuombea baraka

  • @GoldenDave01
    @GoldenDave01 3 ปีที่แล้ว +1

    Golden Dave from Nairobi Kenya,story ya Zabroni inapendeza

  • @innocentmahende2113
    @innocentmahende2113 3 ปีที่แล้ว +3

    Pamoja kak.

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 3 ปีที่แล้ว +1

    The guy is so romatic

  • @biblenakoranmatuhuhu9904
    @biblenakoranmatuhuhu9904 3 ปีที่แล้ว +1

    We call such kind of personality souls as a 'destinated soul'
    A soul movie
    Am Rachel in Kenya and has been following every part of his life ,like a movie based on a true story

    • @zefamange7281
      @zefamange7281 3 ปีที่แล้ว

      Sasa si uandike kiswahili

    • @biblenakoranmatuhuhu9904
      @biblenakoranmatuhuhu9904 3 ปีที่แล้ว

      Hayo maneno nimeeoezea na kizungu siyajui kuelezea na kiswahili.Nataka sana ila kama (personality) (based) sihui unaita je na kiwahili

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 ปีที่แล้ว

      Kwan we ni mzungu

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 3 ปีที่แล้ว +4

    Davista uwe unatulia kwenye interview. Sasa ukitoka toka unakosa maswali ya kumuuliza Zabron. Simu zimeni hizo. Ziwe baada ya kazi tafadhali

  • @eddyboi8476
    @eddyboi8476 3 ปีที่แล้ว +1

    story nzuri hii ila nakushauri uwe unatafuta sehemu iliyotulia isiyo na makelele ili sitory inoge zaidi maana hii story zaidi ya movie za kihindi

  • @fellyxkhan1890
    @fellyxkhan1890 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kwamuendelezo Kaka’angu Davistar ❤️❤️❤️🙏🙏🙏

    • @shukranikasese2306
      @shukranikasese2306 3 ปีที่แล้ว +1

      Sero alitokaje Davistar au ndo usalama umesema

  • @moreenmbatha1147
    @moreenmbatha1147 3 ปีที่แล้ว +2

    number1

  • @kenyatuktuk2853
    @kenyatuktuk2853 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee baba anapenda biriyani.

  • @1lakiisha
    @1lakiisha 3 ปีที่แล้ว

    Kapokea sim. Sio professional banaaa endelea story

  • @Bongostarsearch-jj8nj
    @Bongostarsearch-jj8nj 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa ana chekesha sana

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli bwana misosi inapendeza umenikumbusha mpenzi wangu alipo kuwa mgonjwa alikataa chakula chakwao akala chakula nilompelekea mimi 👏👏👏🤦‍♀️

  • @francisgaudence511
    @francisgaudence511 3 ปีที่แล้ว +1

    Angel ni mzuri balaaa

  • @husseinramadhani1345
    @husseinramadhani1345 3 ปีที่แล้ว +2

    Like zangu, nimewah

  • @amalog361
    @amalog361 3 ปีที่แล้ว +1

    Story yenu nzuri mimi na follow up kilasiku

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 ปีที่แล้ว

    Asante kwa muendelezo

  • @fatumamohamed8645
    @fatumamohamed8645 3 ปีที่แล้ว +1

    Hizo ni Bakora za Bwana Harusi yaani uli Enjoy kweli😋😋😋😋

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 3 ปีที่แล้ว +4

    Walau mwanga mpya waibuka Sasa. Pole sana Zabron

  • @faridampatani1394
    @faridampatani1394 3 ปีที่แล้ว +1

    Utamu wa hadithi yooote umeitowa Davista slitokaje jela??turejeshee kidigo nyuma umeikata seheme muhimu pls

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 3 ปีที่แล้ว +2

    Zabroon nikijamza nitakutafuta kwakweli nikupikie biriani😁

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 ปีที่แล้ว +3

    Vile nimengoja 🥵🥵💃💃💃

  • @oneclick2023
    @oneclick2023 3 ปีที่แล้ว +4

    Nani anaye jua kuwa bwana Zabu Alikuwa Rasi ??😜😜
    Sema yule mtoto mzee baba Ni mkali nimemtafuta pc yake fb nimekuta ,pia Bwana Zabu kwa msosi daa nimenyosha mikono 😂😂
    #TeamZabu#TeamZabuMadiko🍝🍜
    Mr.Fact endelea kushusha Ep tu hapa ni home sweet home..😌

    • @neemaomar76
      @neemaomar76 3 ปีที่แล้ว

      Kweli ni mzuri mno mashallah

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 3 ปีที่แล้ว +8

    Davistar uwe una edit na kuondoa maeneo yasiyo muhimu bwana. Mfano hata simu ikiita bado unaacha tu!!

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  3 ปีที่แล้ว +3

      Kuna maneno tumekata kwa sababu ya usalama

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 3 ปีที่แล้ว

      @@DavistarMataMediaDM Asante kwa ufafanuzi

    • @learnselfdefense765
      @learnselfdefense765 3 ปีที่แล้ว +1

      @@DavistarMataMediaDM brother hapo ana maana kuna wakati anawasiliana private camera director hakati hizo parts zisizo husika kweny simulizi

    • @frankcharles3881
      @frankcharles3881 3 ปีที่แล้ว

      Mfano ata upepo unapovuma ilibid uedt🤣🤣

  • @rashidhemed5738
    @rashidhemed5738 3 ปีที่แล้ว +2

    Nani alisikia kirimu

  • @channynsabimana1997
    @channynsabimana1997 3 ปีที่แล้ว +1

    Davista lusha Épisode kama 3 kwasiku kwamaana tunahamu sana yakuona hii story

  • @hagurukamwana4095
    @hagurukamwana4095 3 ปีที่แล้ว +2

    Jama anapenda musosi sana 🤣🤣🙌👏🧏

  • @suleymanally4729
    @suleymanally4729 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwahio demu wakiarabu kakaazaaaaa mwish kanogeshw kanoga hahahhahahah mapenz kwel nom daaaah!! Yan inatokea t maskin hahaa😂

  • @reubenlameck6225
    @reubenlameck6225 3 ปีที่แล้ว +1

    👌🔥

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 ปีที่แล้ว +5

    Jmn hata mie napenda kujipikia misosi mizurii mizuri tu...Tusimuonee Zabron 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @peninapenina4498
    @peninapenina4498 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa la msosi

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 3 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 3 ปีที่แล้ว

    Davistar hamia Mwanza kabsa mwanang...naona pamekupendeza sana brother...😅😅😅

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 ปีที่แล้ว +3

    Zabron anapenda kula tena vyakula vizuri vizuri 😁 hivyo anavyosema aliletewa vitu vitamu tam vimenakshwa ni (visheti vinaitwa)

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว

      Hahhahaha

  • @chiffjastini1196
    @chiffjastini1196 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzeee baba kwenye menyu mmmmh yuko vizurii

  • @marysteven605
    @marysteven605 3 ปีที่แล้ว +6

    Yaan kipande kikikatwa, ni kama story inakua hainogi eti? Kama sielew vizur

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 3 ปีที่แล้ว

    Yes

  • @jacobmwacha7285
    @jacobmwacha7285 3 ปีที่แล้ว +6

    Aya ndo mambo sasa yani ungejua tunavorefresh youtube kila mda acha tu

  • @abassking9400
    @abassking9400 3 ปีที่แล้ว +3

    Mr zabron , nikijaga tz ntakutafuta bro

  • @winnyenockwinnyenock6986
    @winnyenockwinnyenock6986 3 ปีที่แล้ว

    Zabloni tuko tunaishi na waarabu huku kweli kwa mwanae wa kike wapo Makini sana wanawalinda sana

  • @kawtharsaleh9229
    @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว +6

    Zabron mkumbuke na chacha mama ako baba ako ulimpotezea baisikel

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anapenda kulaaa 😂😂😂😂😂

  • @mudulorukuyana3722
    @mudulorukuyana3722 3 ปีที่แล้ว +1

    Wwoooooow weweweeeeee apo sawa kabisa

  • @mkombelwamodeste8886
    @mkombelwamodeste8886 3 ปีที่แล้ว

    njama anapenda msosi sana

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Hayo mazulia yanaitwa Majlis

  • @shanizshanta7787
    @shanizshanta7787 3 ปีที่แล้ว +1

    💃💃💃💃💃no 40

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 2 ปีที่แล้ว

    mmmh jamn 😢

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 3 ปีที่แล้ว

    Gud gud

  • @shadrackbenzo7978
    @shadrackbenzo7978 3 ปีที่แล้ว

    Nimetokea kukuelawa San channel yako na story ya mshikaji appreciate

  • @susannyamwitha1354
    @susannyamwitha1354 3 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja like sana

  • @danielthadei7184
    @danielthadei7184 3 ปีที่แล้ว

    Anajiongeza saana

  • @alitoufik5477
    @alitoufik5477 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi Davistar 31/32 tuekee kwa pamoja

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 3 ปีที่แล้ว +1

    Baby kasikia sauti ya Chifu Zabron kafungua mlango, Davistar Mata una cheka mzee wa misosi naona una enjoy kumuoji mkwe wa Mwarab

    • @babyfatma5339
      @babyfatma5339 3 ปีที่แล้ว +1

      Anapenda kula

    • @babyfatma5339
      @babyfatma5339 3 ปีที่แล้ว

      😆😆😆😆😆😆👌

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      @@babyfatma5339 saa zote mateso , bora afurahie msosi.

  • @esthermaluko5621
    @esthermaluko5621 3 ปีที่แล้ว +1

    Davister unapenda sana msosi wewe 😆 😂

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 3 ปีที่แล้ว +1

    Mm 32

  • @aiyamhassan1321
    @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamani mwacheni tuu zabron asifie misosi maana gamboshi alikula unga 🤣🤣🤣 ila zabron we mtu mbadiii hhahahaaa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +2

    Sijawai sikia fridge inatumia mafuta taaa nasikia kwako😢😢😢😢

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 3 ปีที่แล้ว

    Kaka msabato anafahamu msosi vi smart sana

  • @beckymassawe7568
    @beckymassawe7568 3 ปีที่แล้ว

    Yanaitwa buthati hayo mazulia

  • @kawtharsaleh9229
    @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว

    Biliani mzee baba ukapiga

  • @ezekiaandrew8420
    @ezekiaandrew8420 3 ปีที่แล้ว +2

    Leo nipo 20 bora

  • @mathiascharles471
    @mathiascharles471 3 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 ปีที่แล้ว +1

    🇰🇪🎤🎤🎤

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣Davistar leo umeuwa eti ukifika kwenye swala la misosi unakazia huruki😀😀😀. Coment nyingi

  • @tadayodisala4391
    @tadayodisala4391 3 ปีที่แล้ว +1

    Wa kwanza leo

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 ปีที่แล้ว

    Kaimati bwana

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 3 ปีที่แล้ว +2

    Ninaomba kujua huyu jamaa alizaliwa tarehe ngapi mwezi wa ngapi.

  • @mayoota7889
    @mayoota7889 3 ปีที่แล้ว +2

    Yani siku akimaliza tuta miss sanaaaa

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 3 ปีที่แล้ว

    Bwana misoc

  • @mayoota7889
    @mayoota7889 3 ปีที่แล้ว +1

    Visheti hivo vinaitwa baba

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871 3 ปีที่แล้ว +3

    Duuh huyu jamaa anatumalizia bando hakika😂😂

  • @ndayishimiyeinnocent4441
    @ndayishimiyeinnocent4441 3 ปีที่แล้ว +1

    Ni baba misosi na maziwa

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 3 ปีที่แล้ว +3

    Kufinya Msosi kutamu lakini! 🥧🍰🍪🍩🍜🍝🍛🥪🥑🍏
    😋😋😋😋😋😋

  • @salumulesso6355
    @salumulesso6355 3 ปีที่แล้ว +2

    Mi naomba uwe unawahi kuapload kaka Davistar,yan nikikosa hii story hua siku haiendi bro

  • @matukicmagere3331
    @matukicmagere3331 3 ปีที่แล้ว +2

    Ile sehemu alipoitwa na mkuu wa mpelelezi na wakakutana live na babamkwe
    Hakijaelezwa vizuli

    • @martinmaryogo6081
      @martinmaryogo6081 3 ปีที่แล้ว

      Ile naona wameikata kwa usalama wa vyombo vya usalama

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  3 ปีที่แล้ว +2

      Kuna vipande kwenye episode hii tumeviondoa kwa sababu ya usalama

    • @martinmaryogo6081
      @martinmaryogo6081 3 ปีที่แล้ว

      @@DavistarMataMediaDM nami nilifaham hilo hata sikuhangaika, hata epsode ya 23 mliifuta kwa sababu hiyohyo, ingawa wengine tulikuwa tushapita nayo tayar

    • @matukicmagere3331
      @matukicmagere3331 3 ปีที่แล้ว

      Nimekusoma vyema ovaa
      Ila ktk story zako zote hii ndo story namba moja kwangu kwa utamu wake.

  • @aimeranceseko1042
    @aimeranceseko1042 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa misosi huyoooooo

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      Saa zote mateso, bora afurahie msosi

  • @bbycandy6757
    @bbycandy6757 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilikua nategea

  • @chachamariba1754
    @chachamariba1754 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona Ile sehemu Baba mkwe wake Alipo Itwa kituo Cha polisi Hajaelezea

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  3 ปีที่แล้ว

      Kuna maneno tumekata kwa sababu ya usalama

    • @evachuwa3809
      @evachuwa3809 3 ปีที่แล้ว

      Kweli umeruka ,baada ya kupigiwa sim polis ilikuwaje ?imerukwa bhan

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว +1

      @@evachuwa3809 hajaruka kasema imeondolewa makusud kwa sababu za kiusalama wamehofia

  • @sapnaabdallah1084
    @sapnaabdallah1084 3 ปีที่แล้ว

    🤗🤗🤗

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 ปีที่แล้ว

    Sio mbaya

  • @askaounga6456
    @askaounga6456 3 ปีที่แล้ว

    Post the all story

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo

  • @matthewjohn5108
    @matthewjohn5108 3 ปีที่แล้ว +2

    We nawe ulikosea ungemtia mimba mamaeee.

  • @adamnasango
    @adamnasango 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunasubiria Part 31 sasa bwana davista