SEMAJI AHMED ALLY AMWAGA MANENO KUELEKEA MCHEZO DHIDI YA TANZANIA PRISONS/"TUMEWAANDALIA DOZI NZITO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC TH-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - กีฬา
Kesho ushindi simba nguvu moja
SIMBA SSC Timu tishio balani Africa Naomba mungu timu yangu iweze kutupatia furaha yetu wana simba tukapate pointi tatu naitakia kila laheri timu yangu kwenye mchezo wa hapo kesho ❤️❤️❤️❤️🦁🦁🦁🦁
Simba wachezaji wajipange wawe makini sana waache kujifunga wasingekua wanajifunga jamani tungekuwa tunatangulia kwa point nyingi sana ktk ligi mpaka Shirikisho❤❤❤❤
Kabisa tumepoteza points nyingi saana kwa makosa yetu binafsi
nazan simba kwa mfumo tunaoutumia kimuchezo wachezaji wakawe makin hususan kwa mechi ya kesho na zinazo endelea
Kesho magoli tu
Nakuunga mkono ktk hulo. Na kama kuna namna yeyote wachezaji kuhujumu timu hatua zichukuliwe mapema. Pia tuwaombee wachezaji wetu. Na tunataka cleansheet nyingi, magoli mengi, hatrik tatu na points 3 kila mechi.
Bila kuchoka UBAYA UBWELA , SIMBA Nguvu Moja
Kwa uwezo wa mwenyezi Mungu inshaalah tutashinda
Amina 🙏 mungu mwema tutashinda
Kila la khery mnyama Simba sports club leo 🤲 Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
Kila la kheri Simba Sports Club tunawategemea wapambanaji wetu 🙏🙏
Salimu mgaza, simba nguvu moja
🦁🦁Simba nguvu moja ✊
Kila kheri mungu awatangulie mkapate ushindi ila msije mkatuwangusha Lile kosa lise likajiludi jaman
Simba nguvu moja
Karibuni.keyemusi
Back pass ni nyingi sana tupunguza pass ni kwenda mbele sio nyuma
Kweli, pale ambapo sio za lazima wasipige
🦁♥️♥️♥️♥️♥️💪💪💪🙏🙏
🎉🎉🎉
👏👏👏👏👏👏🦁🏆🏆💪💪💪💪🙏🙏🙏
Kesho 2nakaa pale juuu
Ubaya ubwela kuanzia sasa kila mechi kwetu ni fainali smba nguvu moja Chasambi tumemsamehe kabisa
Hasira za fountain gate atabeba prisons
Ndio tofauti ya huyu na Kamwe. Ana admit ubora wa mpinzani.
Hahahahahahaha atar sana semaji
sawa semaji hime hisha iyooo
"Unajezi kama naodha wa timu" ila semaji😂😂😂😂 daah
Tuache kurudisha mpira nyuma labda ikitokea baati mbaya fresh
Tobi mwambie semaji jina jipya la mpanzu ni mwenyekiti wa Kijiji maana anakusanya kijiji
iyo shida ya kurudisha mipira nyuma Mara kwa mara ndo inatuharimu
Kwanini reo hawajamchangia chasambi reo waache poropoganda mpira huo ushapitwa na wakt
Sauti ya radi tumekusikia.
kesho ushindi ni uwakika Kwa munyama
Semaji unamaneno
Unapo sema kuwa wewe siyo nahodha wa timu unamaana gani?
ubaya ubwela
Semaji unabayA
Juma.bundwa.ni.munyama.asiria
Naitwa.juma.severini.bundwa.toka.masaki .kisarawe.naikia.ushind.mtamu.san
Kesh.kipig.kipore.razima rife
😂😂𝑠𝑒𝑚𝑎𝑗𝑖 𝑤𝑒𝑒𝑒 𝑣𝑦𝑢𝑙𝑎 𝑎𝑢 𝑛𝑦𝑢𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑖𝑘𝑜 𝑤𝑎𝑚𝑒𝑖𝑠ℎ𝑖𝑤𝑎 😂😂𝑠𝑖𝑠𝑖 𝑡𝑢𝑘𝑜 𝑚𝑎𝑘𝑖𝑛 𝑠𝑎𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑚𝑒𝑠𝑎𝑎𝑢 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑠𝑠 𝑚𝑎𝑠ℎ𝑎𝑏𝑖𝑘𝑖 𝑏𝑜𝑟𝑎🎉🎉