NANI YUKO NYUMA YA MR MANGURUWE LICHA YA MALALAMIKO KILA KONA ALIANZA KUDANGANYA KWENYE VANNILA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Makonda wewe hatariiiiiii, nakupenda Sana brooo MUNGU akubariki
Hongera sana Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kwa uchapa kazi wako na busara ya hali ya juu sana unayoionyesha.
Kwel
makonda anachapa kazi sana hongera sana mkuu uko vizir mim niko arusha mji umetulia kiongozi uko vzur sana najua utachukiwa na watu wachache kwa wivu tu
This guy’s confidence is 🔥🔥. Kijamaa kinadanganya bila kupepesa macho! Am not a fan of Makonda, lakini matapeli kama hawa wanatakiwa kuchukuliwa hatua! Good move
Huyu ni mhasibu mwizi wa MO Dewji Foundation
Hii ni movie😅😅😅Moja Kali sana ya Mr manguruwe
kabisa
kakutana na Makonda, chief wa wadudu anamjua uyu mhuni tu.
Hongera sana Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Arusha suala la Vanilla umelitatua vizuri sana kwa hekima kubwa sana. Unatukumbusha ya Mfalme Sulemani. Ubarikiwe sana.
Yaan anabustan anaitwa mashamba
Mtaalam wa vanilla Ni Tapeli anajisifu sana Africa yote anafahamika😂😂😂
Makonda the great ulisema tusiache kutoa sadaka Kwa ajili ya watoto wetu kusudi wasije kutana na vichwa panzi kama hapo "respect "
Huyu jamaaaa mhuni sana 😂😂😂 janja janja sana
Huyu jamaa achunguzwe vizur si vanila tu analima bangi pia itakuwepo ndo anayo vuta huu ujasir anaupata wapi kwa akili za kawaida😂😂😂😂
✅✅✅ ✅✅✅ ILA MR MANGURUWE😂😂🙌🙌 AFU YUPO SERIOUS 😅😅
Manguruwe ana confidence kama Nguruwe pori😁😁😁, angejua mapema angeachana na hizo mavanila na kitimoto angechukua jimbo lake 2025, hiz sound zake ni za SGR speed zaid ya Boka😀😀
Speed ya ngiri kinyeo juu
Kwakweli vichwa vingine ni hatari
😂😂😂😂😂
@hejmabohejhej9 hukumpa mtaji wa vanillah
😅😅😅😅😅😅😅
Baada ya Magufuli kufariki huyo makonda ndio mtu ambae sasa namaliza mb zangu kuangalia kazi zake 💪
Na mimi kbx
Yani nchi hii apewe msukuma tena mhh tumerogwa😂😂😂
@@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmapewe mchaga?
HAHAHA ILA NIMECHEKA SANA 😂😂😂DAH 🙌🙌🙌🙌🙌
The Makonda effect.....Great Makonda ......barikiwa
Huyo nitapeli kabla ya kujiita Mr mangurue alikuwa anadeal na green house office ilikuwa mlimani city huko dar kawaliza wengi hasa wastaafu
Ila Makonda! 🫡🫡🫡🫡. Huwezi kumuelewa kwanini Alienda na Mr.Manguruwe kwa upole na mdogomdogo.
Huyu jamaa anaongea kama Dr shika , ambae alifariki , naona akili za huyu zina fanana anaongea mambo tofaut kabisa ,anajibu tofauti na maswali ya Rc ,kama unamuelewa shika weka like zako nyingi
Uyu ni mtoto wa Mjini ndugu.....😂 Anaakili timamu sema anajiitoa ufaham 😂😂😂
@IsmailAlly-u3l ukishajitoa ufahamu unaitwaje?
Atakuwa ni muhaya huyu
Anasema yeye ni mtu wa mbeya japo jina lake la ukoo ni mkondyaa@@jamesassanga9220
Jiji he jj
@@IsmailAlly-u3l
Makonda mwenyezi MUNGU akupe afya njema kwa uchapakazi wako wa kuwasaidia watu wanao onewa, barikiwa sana kaka Makonda.
SUPANA SUPANA SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂❤❤❤
😅😅😅😅 mkuu wa mkoa very smart 🤓
Duu!!mtu kajiingiza mwenyewe mtegoni wa makonda alipe huku polisi wakimsindikiza akishindwa rumande 🤣🤣🤣
Kampuni inaongoz afrrca ina wafanyakaz wawili😂😂😂😂
😂😂😂 daaaah mwekezaji dishi sio zima
😂😂😂
Hahahaha huyo doctor manguruwe akili hamna hapo 😂😂😂😂
jamaa ana bonge la confidence yaan mpaka raha anajiamin sana sana hana ppara hata kidogo
Huyu ni comedian
Nimeamini huyuu jamaa nimtamboo😅😅😅😅
Yaani nilikuwa nimenuna lakini imebidi Michele. Hongerasana Mh, Makonda.
😂😂😂😂😂Mamaeee Kampun Ina Wafanyakazi Wawili na Inaongoza Kwa Kilimo Africa Nzima😂😂😂😂
Ukiwa jambawaz confidence muhum..
Kawapiga watu vanila kawapiga watu nguruwe😢😢
😂😂😂😂makonda unajua kuchekecha vichwa panzi kweli😂😂
Huyu kichwa kimeyumba.😂😂bangi kidogo
maskini mr manguruwe wanamtumia vibaya😅😅😅😅
Makonda unakazi kubwa sana.Kupambama nahivyo Vichwa pole sana Mweshimiwa.
Mheshimiwa hongera
Aisee huyu hakujua kama makonda anamjaza ili aingie kwenye 18 zake
Baba Kaegan solved the matter in a very technical and softcated manner 😂😂
Dct mangurueee😂😂😂😂😂😂
Hiki kichwa aisee 😂😂😂😂
Alijua watanzania wanamshangilia, akijua wapumvavu hawa. Kumbe watu washashtuka. 😂😅😅😅
😂😂😂😂 ila manguruwe hamza kitu maji kichwa chote😂😂😂😂
Huyu boya jizi kweli.Makonda 👍👍
Dr. SHIKA
Makonda uishi miaka mingi🙏
Huyo Boss wa Vanilla Dishi limeyumba
Sio kidogo
halijayumba, amezidi utani mizaha kwenye mambo ya siriaz, ndo maana wakina Deo wamechoka choki yaan wamesamehe m18 wapewe m zao 2 tu waachane na mateso
Kama kweli
uuw, yaani Makonda anacheka tuu, amepata taarifa akiwa Comoro
Makonda bhna eti😂😂 eti tajiri akiongea masikini unasikiliza
😂😂😂😂manguruwe kapatikana.
Wahuni wana Confidence kinoma
Hii nchi basi tu yaani ukisikiliza kwa umakini utagundua level yetu ya uelewa bado sana. Nadhani kuna kitu hakipo sawa
Mr Manguruwe atazidi kuwapiga sana ..mwakani ataibuka na project mpyaa na atasepa na kijiji kama kawaida
Ila Dr manguruwe
matapeli wanajua sana kujenga hoja na sijui kama atakuwa m Tanzania
Mbona hii n ya mda sana🎉🎉🎉
Akili mingi sana ya uongozi, dah !! God bless you.
Hamna kitu hapo, huyo aliyenyuma yake ajulikane watu anawatwanga sana huyu
Huyu jmaa ni tapel m a si mrefu utaskia watu wanalia kwenye mtaji wa ngurue😅😅
Makonda b up bro
Sio ngurue na vanila alianza na tangawizi kigamboni kisha nyanya mwizi mkubwa uyu jmn hafai hata kidogo uyu
Mchomen moto
Tapeli sana huyu alianza Njombe vanila akahamia Zanzibar akaja Arusha
Sasa kahamia kwenye Manguruwe
Acha awanyooshe watz wengi wajinga wanapenda sana pesa za haraka ambazo Hua hazipo
Mwizi sn uyu jamaa jmn cjui ana ujasiri gani ata aachagi kuibiwa watu jmn
😂😂😂😂
Tumeumizwa wengi, jamaa anatumia viongozi kuhadaa wananchi, alitumia kiongozi mmoja katika uvunaji wa vitunguu maji pale Bungi miembe
Huku Zanzibar alishaliza watu na style Yake ya Kitalu kubwa wa kitanda kitakutajirisha sijui hata kama wapo. Ngoja niwafutilie
lisenge limekamtwa huku linacheka hahaaaa😂😂😂😂 ila mkonda kiboko dah akili kubwa sana
Sawa
Pamoja na yote ila Mr Manguruwe hana shda hapo😂nimeipenda confidence yke
😂😂😂😂 ndo maana mnatapeliwaaaaa
Mr Kitimoto muhuni
makonda anamchota manguruwe na manguruwe anajaa tu tu kwenye mtego
Hakuna mtu aliye nyuma yake bali ana matatizo ya akili ndio maana aliwapaata wasiokuwa na akili wenzake.
Wezi hao kaka.
Kawaliza wengi sana jmbe huyo kwenye vanila
Ila Nguruwe😂😂😂
Watu wamelizwa Sana na Mr manguruwe akiwemo rafiki yangu na familia yake huko dar
Huyu jamaa tapeli akiamungu 😂😂😂 17:53
Hii nchi watu wanaiba sana
naona pameanza kuchangamka! patazichapahapo
Uyu jamaaa si ndo anajiita manguruwe boss wa dodoma na alimpa kipa wa simba camara sh laki tano😂😂😂😂
Twende mbele turudi nyuma, mpaka mwisho wa maelezo, sijaona makosa ya huyo "Mwekezaji" hata mwanasheria aliyekuaja hapo hajaongea any substance, madai kwamba hajatimiza wajibu wake sikuona ushahidi, ndio maana inabidi na yeye apewe nafasi ya kumleta mwanasheria wake, hao kina Deo wamedandia tu huruma...sijaona walipo wasilisha hoja yao.
Alhmdullh mwamba karudi tena allahu akajaalie uje kua raisi watanzania insha allahu
huyuu Tajiri ni Dishi mbn😂😂
Mungu akubariki makonda
Mkiambiwa acheni kula ngurue mungu amekataza haya ndio mazara yake sasa yani huyu jamaa akilizake na ngurue hazina tofauti kabisaa harafu wanaoongoza kwa kudanganywa nindugu zetu wakristo wananganywa mitaani mpaka makanisani huu nimtihani mkubwa sana
Mungu kakataza kula nguruwe kubwa na nani nguruwe
14:33 Makonda amewezaje kumsikiliza huyu jamaa mbaka huku.
Mwamba Yuko vizr Serikali imutumie vzr anakitu huyu jamaaa
Huyu jamaa...nishida😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂daaah yani wanaotapeliwa ni akina baba wa familiah flani na waoh wanawachapa watoto wakikoseah 😂😂😂
Umenikumbusha roma alisema kwenye msafara anapigwa ng'ombe wa nyuma na wakati ng'ombe wa mbele ndo anacheleweshaa msafara😅😅
Jamaa kabaki anashangaa, nani nyuma ya manguruwe farm😅😅
13:05 huyu jamaa apimwe akili, anaulizwa hiki anajibu hiki
Duh tunakulimia alafu unatuuzia 😂😂
Ndo maana mnaibiwaaaaaa Yan jamaa anadanganya
Hhhhhhhh.....Maskini wenzangu!!!!
Hapo umeweza
Manguruwe ≈ Dr. Shika 😂😂😂😂😂
Bila shaka mwamba atakua muhaya😂😂😂😂😂Kama sio muhaya ni msukuma sio kwa tambo hizo
Jamani wajina anawafanyakazi wawili tuu na ni mwekezaji mkubwa
😂😂😂😂😂makonda ana akili sanaaaaa
Ila Wana leseni na serikali ndo imewapa
Ila wahaya kwa sifa😂😂😂
Huyu ni mtu wa mbeyaaa anasema
Sio wa huko huyu ni wa Iringa Mkotya
Sio mhaya
Huyu jamaa hivi yuko sawa
Nikama anacho ulizwa na anachojibu nitofauti nikama comed flani au mimi mdio sielewi vizuri
😂😂😂😂😂😂hpah ndio kuna tofauti kati hekima ,busara na elimi ila nashukuru mungu amenipa vyote kama makonda😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu mimi
Uyu manguruwe awe mwana siasa