ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Uhusiano wa Tanzania na Rwanda Rais Kikwete

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ส.ค. 2013
  • Imibanire hagati ya Reta zunzubumwe za Tanzaniya n' u Rwanda ntimeze neza.
    "...Isitoshe, ushauri ule niliutoa pia kwa Serikali ya Kongo na kwa Serikali ya Uganda. Katika mkutano ule Rais Yoweri Museveni wa Uganda aliunga mkono kauli yangu. Rais wa Rwanda hakusema cho chote pale mkutanoni. Baada ya kurudi nyumbani ndipo tukaanza kuyasikia maneno tuliyoyasikia na tunayoendelea kuyasikia."...
    HOTUBA YA MWISHO WA MWEZI JULAI 2013

ความคิดเห็น • 220

  • @xhandyrahbanzi3623
    @xhandyrahbanzi3623 10 ปีที่แล้ว +81

    Nko kenya lakini nimeipenda sana Tanzania kuliko nchi nyengine yoyote ulimwengu mzima...Maadili yenu yameuteka sana moyo wangu,naipenda nchi ya Tanzania kiukweli.Mungu awape amani milele AMIN.

    • @fahamibashiru7968
      @fahamibashiru7968 7 ปีที่แล้ว +4

      safi sana mungu ameibariki tanzania watanzania wanatakiwa kumshukuru mungu kwa kuwapendelea kinyume chake atakasirika na kuwapokonya baraka zake

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว

      Magufuli up up up!!! Kikwete, Mkapa down down down!!! Mkapa na Kikwete utawala wao ulijawa rushwa na wizi, viongozi hawa walikua wakiibia nchi yao. Unajua hata ukichek ktk history enzi za utumwa kulikua na watu weus waliokua wakiwauza weus wenzao kwa warab na wazungu! Black skin tumelaaniwa, wazungu wametudanganya na kutufanya tuchukiane sis kwa sis! Africans let fight for our continent!

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว +1

      Awape Aman milele na umasikini milele!!! Watanzania wanashindwa kupigania haki zao wanatishiwa na aman! Aman kwenye njaa!!! Halmashaur za mji sizielew zinafagia mavumbi barabaran badala ya kufagia uchafu plastic nk! watanzania waoga coz hawajui vita, na wanaogopa polis ba mabom ya machoz, wakat ni bora tufe watu 500 ili wengine waweze kuish vizur! Angalia nchi za north africa na west!

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว

      baraka gan una zungumzia pls?

    • @gidosalapion8222
      @gidosalapion8222 6 ปีที่แล้ว

      Xhandyrah Banzi njoo tutakupa uraia

  • @kambibolongo7530
    @kambibolongo7530 10 ปีที่แล้ว +19

    We are with you Mr. President. Your voice is the only voice of reason in this region. This is coming from a Kenyan!

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 9 ปีที่แล้ว +20

    In this I support Kikwete. He plays it very wisely. People should not underestimate how Kikwete's speech helped to diffuse further tensions and avert a possible war.
    It seems the culture of violence, killing and war is so deep in Rwandese psych that they find a call to peace and reconciliation repugnant. If you listened to Kagame's threat and cockiness you would have thought Kikwete had done something really horrible to his (Kagame's) mother!

  • @thelatestvideos6266
    @thelatestvideos6266 3 ปีที่แล้ว +10

    Behind the scene tulichomfnyia Mtusti Mungu nd anajua 😂

  • @bableeomar3069
    @bableeomar3069 11 ปีที่แล้ว +9

    Wonderful n wise words frm Hon. Kikwete. God Bless Tanzania

  • @bahatigwivaha9696
    @bahatigwivaha9696 6 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana baba. Wewe ni mfano wa kuigwa kwa uongozi wa kuvumiliana. Umeilea demokrasia kwa gharama kubwa sana nadhani kwa gharama ya moyo wako. Wewe ulisemwa na kuandikwa vibaya sana. Lkn kwa hekima kubwa hukulipa kisasi. Wewe ni mwanadiplomasia bora kabisa wa karne hii. Nakuombea heri daima. So far nakukubali kwa dhati ya moyo wangu. Nakuombea heri daima.

  • @benny4345
    @benny4345 10 ปีที่แล้ว +23

    The President represent the real Tanzanian nature. We like peace and it has become the culture of our people and the country at large. Our president may possibly have some problems but all I can say he is a man of integrity. You can see leadership in him! Thanks President Kikwete. We will always be with you!!!!

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 5 ปีที่แล้ว +3

    One thing I have learnt from H.E retired president Kikwete is humility.Mvumilivu,kweli hula mbivu.Perseverance is indeed an asset that cannot be bought off the shelves.

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 7 ปีที่แล้ว +5

    I congratulate Kikwete because he has shown how we are as Tanzanians. we always love peace and not war, even our conflicts when we differ we prefer diplomacy to war. we don't like to use harsh words as the president Kagame did. who do you think if we could respond or be in war with you could gain? only the weapon industries and eventually you would make your country's peace to totally disappear. I once again support and congratulate Kikwete for his wise decision and I wish Makufuli will do the same. no need for harsh words and whenever we differ the only solution is to stick on peace talks till we all get the solution and not to insult each other.

  • @FredAngelsMusika
    @FredAngelsMusika 11 ปีที่แล้ว +11

    Katika hili namuunga mkono Kikwete. Mfano, RPF ikiongozwa na Kagame wakati huo wakijulikana kama waasi wa serikali ya Rwanda ikiongozwa na Habyrimana; serikali ya Rwanda ilikubali kufanya noa mazungumzo na yalikuwa yakifanyika Arusha Tanzania. Sasa leo Kagame anasema haoni ushauri huo ni wa maana ....mbona alikubali wakati wao walipokuwa waasi? Kagame naona kalewa umaarufu. Anafikri Waisrael na Wapalestina ni wajinga wanapoona kuwa mazungumzo ni moja ya njia ya kupata Amani kuliko kupigana?

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว +1

      Nimekupenda sana kaka unajua vizuri Historia u smart

  • @HansonBaliruno
    @HansonBaliruno 10 ปีที่แล้ว +4

    Am a Ugandan i had not understood what was going on but now i do !! TZ is a nation like Rwanda !! i swear to God you cant stay illigaly in Rwanda like that !! Rwanda shld understand TZ and TZ understand Rwandies too, we are all East Africans !! i think the Union as 1 Nation E A shld start from there we need each other

  • @richardissaya5011
    @richardissaya5011 10 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe J. K Mrisho kwa busara zako nzuri. that' how the man do!!

  • @JK29PITBULL
    @JK29PITBULL 10 ปีที่แล้ว +5

    Kikwete is a man of integrity.

  • @raphaelphaustine9408
    @raphaelphaustine9408 4 ปีที่แล้ว +9

    Angekuwa makomeo dah tungeongea mengine

    • @adamdaudi6191
      @adamdaudi6191 2 ปีที่แล้ว +1

      Haha, unahisi tungekuwa tumempiga huyo bwana wa Rwanda?.

  • @Bigwill285
    @Bigwill285 6 ปีที่แล้ว +3

    Always the eloquent statesman, President zKik
    A true statesman, very eloquent.

  • @dickisoniryoba3989
    @dickisoniryoba3989 6 ปีที่แล้ว +12

    rais wangu msitaafu nakupenda sana kwa hekima zako na busara zako kweli unafaa kuwa raisi tena na tena maana kuwa kiogngozi sio mabavu au ubabe na udiktetar love u jakaya mlisho kikwete

  • @FredAngelsMusika
    @FredAngelsMusika 11 ปีที่แล้ว +5

    The president is responding to the insults and provocations from Rwandese president and leadership on his suggestions for Rwandese to have a peace talk with the rebels. His point is sustainable peace is achieved through peace talk and reconciliations like what happened in Rwandese government when they were rebels, Mandela's peace and reconciliation, Palestine & Israel peace talks and many more!

  • @nyotanjema4109
    @nyotanjema4109 6 ปีที่แล้ว +2

    Makubwa ht kuelekezwa pia dhambi.pole mh. kikwete mungu atustiri daima na mabaya ameen

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 ปีที่แล้ว +1

    Lakini mzee hapo nilikuona shujaa wetu. Huwa nikikumbuka Rwanda ilichotaka kufanya sio kitu kizuri maamuzi uliyoyachukua kipindi kile unafaa kupewa tuzo ya Amani. Rwanda alituchokoza sanaaa. Hapo ndipo ninapokupenda hata mtu akikuongelea vibaya naumia sana. Hongera sana mzee

  • @oscarkasalile8370
    @oscarkasalile8370 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee unabusara sana, kweli Rwanda walituchokoza, na mpaka kipindi hiki cha magufuli wanatutafuta wanasema tunakorona ila tumwachie mungu maana nchi ya Rwanda sawa na mkoa wa mwanza, lakini watakuja juta

  • @kevinpelomgeni1445
    @kevinpelomgeni1445 2 ปีที่แล้ว +3

    Maneno haya ni yalazima sana, Rwanda ni nchi yenye fujo xaaana tu. Sisi wa Congo, nchi kama Rwanda inatusimbua mno.

  • @rodricklamar9349
    @rodricklamar9349 10 ปีที่แล้ว +6

    Haha sounds like a Kiswahili teacher..Kenya

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว +4

    Hate for truth is what drove the assassinations, both inside Rwanda and outside Rwanda of former RPF millitary officials (eg Rwigema) and failed assassination of Gen Kayumba in SA; as well as jail terms for Kagame's political opponents (Ingabire) and many. Genocide perpetrators have been convicted are still being brought to justice in Arusha. Despite Tanzania's commitment. It seems it isnt enough for power hungry Kagame;

  • @goodlucktalami3163
    @goodlucktalami3163 6 ปีที่แล้ว +1

    baba wewe umekomaa wewe ni diplomatic I really adore you u. hivi huewezi kurudia kugombea tena?

  • @stevenjackson1582
    @stevenjackson1582 6 ปีที่แล้ว +3

    Mweshimiwa rais mstaafu jk hakuna kazi kubwa uliyoifanya ktk inchi yetu kama kulipitisha hili jambo kwa usalama mungu akujaalie afya njema

    • @ebisalum8828
      @ebisalum8828 6 ปีที่แล้ว

      Steven Jackson kwa hivyo unamaanisha kaz zote zingine alizofanya ni ndogo ambazo hata wew unaweza kuzifanya? Unatiwa wew

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 26 วันที่ผ่านมา +1

    😁😂😂😂😂kitu ambacho hukijui nikwamba kagame sio muongeaj sana ila nimkorofi balaa ndo walivyo hao watu wabinafsi mno, kwahyo kwenye mkutano hakuongea chochote kama haikumgusa vile kumbe kakuweka kipolo 😂😂😂

  • @stephenmabiba
    @stephenmabiba 8 ปีที่แล้ว +18

    rwanda 😅 a lito country tht z equal to one city of among 28 cities in Tanzania.. Rwanda is Lucky we had a good diplomatic president or else we would crash that Rwanda Region with only 20 Soldiers... 😬😠

    • @kigwisimulindwaclemo8541
      @kigwisimulindwaclemo8541 7 ปีที่แล้ว +3

      Stephen mabiba hahahahaha usikurupuke; siasa mchezo mchafu hujui beef lilianzia wapi

    • @fadhiliromwald
      @fadhiliromwald 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ilibidi tuichape

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania doesnt have to rephrase/apologize shit to Rwanda. Support for Rwandan genocide was clearly displayed by RPF by letting it happen to gain international support for power grabbing even when they had ability to prevent it. Besides Tanzania suffered financially and environmentally when caring for Rwandans who fled. Tanzania therefore has every right to tell it the way it is without micing words; as it desires to see peace prevailing in neighbouring
    countries.

  • @monica-eb7nr
    @monica-eb7nr 11 ปีที่แล้ว +5

    achana na hao wanya Rwanda bb wamezowea kuuwa tu ndozao vicha vyao vimezowea kumwanga damu.wanauwa ndugu zao sembuse watanzania.wanataka kuingiza inchi yenu kwenyevita kama wao wanavyochinjana bila kuwa na busala.

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 ปีที่แล้ว

      sio raia ni waongozi wa Rwanda sijui huwa wanafikiri hakuna kifo tazama leo congo namna wanaovuruga tena maskini wacongo wenyewe wabwege sio wazalendo wanakufa kila siku

  • @aleezgene4572
    @aleezgene4572 7 ปีที่แล้ว +5

    y0ur Tanzanian
    real calm bt if he needs s0, he must ask Uganda

  • @mdabwaaissa4920
    @mdabwaaissa4920 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalam aleykum mungu akupe UMRI MREFU wenye amani ameen

  • @Neema-Rehema-Utu
    @Neema-Rehema-Utu ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndie mwanaume sasa! Kagame analopokwa kama mjinga!😂

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 26 วันที่ผ่านมา

      Ka kagame nikakorofi mno 😂😂 kalikaa kmy kwenye kikao ila kakamuweka kipolo

  • @dullahreey8712
    @dullahreey8712 10 ปีที่แล้ว +2

    well done our president, unaonyesha nikiasi gani unavyopenda Amani waache waongee tuu

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว +2

    He plotted and assassinated Habyarimana even when the later agreed on a peace process! Tanzania also hosted those talks! The current outburst by Kagame reflects the 1996 - walk out from the Burundi Peace Conference hosted by Mandela in Arusha; Buyoya and Kagame walked out of the meeting and it took a tough statement from Madiba that accused Buyoya of prolonging chaos for political benefit to bring them back into the peace process!

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว +2

    Mbweko wa mbwa koko isnt a big deal Major; ni kutapatapa kwa mfa maji tu; Kagame knows how much of a fraudster he is. The fact that he now fights the very comrades who fought along side him easily explains the nature of the man. Jamaa anaona ghosts all around him! And he rejects the only way which might put the past to rest similar to the Reconciliation that took place in South Africa that helped a transition without a civil turmoil despite global anticipation of the same!

  • @fransiscotsii2671
    @fransiscotsii2671 ปีที่แล้ว

    Lakini pia hatuyapuuziiii very intelligent president we have ever havee

  • @mosesndahani8912
    @mosesndahani8912 6 ปีที่แล้ว +7

    Sauti ya kuvutia nguvu ya upendo halisi, tunakuombea

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 ปีที่แล้ว

      Sauti ya upendo au sauti kulialia

  • @jacobtinginya8419
    @jacobtinginya8419 11 ปีที่แล้ว +4

    mr president kikwete is very right, to me i support what he say, and actually president kagame is benefiting with the resources of congo sth which is not good and no wonder he provide the weapons to m23 rebel to defend his wellfares in drc,and i think both of them they cooperate together with ugandan......

  • @alfonsnshenyera9785
    @alfonsnshenyera9785 6 ปีที่แล้ว +1

    I like it baba wewe Buna kosa ulifanya lililokupasa

  • @danielbrazius3469
    @danielbrazius3469 4 ปีที่แล้ว +1

    Huwa nafikiri busara za Mzee kikwete natamani kuwa kama Yeye Ila si kwamba hawezi kuongea au kufanya kitu Rwanda wamuulize jirani Yao Iddi Amin Dada ambaye alikuwa akijifanya ubabe

  • @josephkangakolomasandi3628
    @josephkangakolomasandi3628 10 ปีที่แล้ว +2

    Punching cannot always solve out issues and problems.I think that president Kikwete is right,Kagame came into power with a coup d'Etat whereas Kikwete has been elected.It's true that those people have committed genocide in 1994,now who shot down the Habyarimana plane?I think both Kagame and Fdlr have blood on their hands,the Fdlr is no longer a threat for the Kagame regime...he should accept them by the fact that they're all Rwandese 

  • @swaburyrwamlaza1479
    @swaburyrwamlaza1479 7 ปีที่แล้ว +1

    Allah yupo karbu nawe my President jk

  • @kelvingipson3683
    @kelvingipson3683 7 ปีที่แล้ว +5

    icho kikagame akina akili timamu

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 3 หลายเดือนก่อน

    Enda pana shauri kwa shisekedi na nsayishimiye ni waho wiko na ma tusi mabaya ,kagame ana education hautukane mutu

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 3 หลายเดือนก่อน

    Julias nyerere na Nandela walikuwa watu wazuri alakini ,wewe umengiya sana hauoni ,sasa unaenda congo kufanya nini ,ni kwajuu hauyuwe history ya Family ya 23 alakini ni wa tusi hauwapendi ,ile ni ongo
    Wewe
    Na ndayishimiye hamupendi wa tusi

  • @user-bt7in5cc3o
    @user-bt7in5cc3o 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania tumekua wanyonge sana ndio maana tunaonewa

  • @bompetibayenga1281
    @bompetibayenga1281 ปีที่แล้ว

    Rwanda Ni Inchi ya Laana, Kwanini Wako Na Shida Na Majirani Wote????? Congo, Uganda, Tanzania, Burundi Kwanini Waoo Tu???????????

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 ปีที่แล้ว

    Una busara sana wewe jamaa mpaka roho imeniuma pole sana rais wangu 🙏 ni kweli wanalolao sio bure

  • @marcelinokayombo3575
    @marcelinokayombo3575 5 ปีที่แล้ว

    Jk Mr wise man.....I love you Mr president

  • @kamanziwilliam3212
    @kamanziwilliam3212 4 หลายเดือนก่อน

    Ushauli na waliofanya mauwaji ya kimbali kwetu Rwanda hayawezikani, nikuwapa hadhi wasioifa.

  • @nologomimi6853
    @nologomimi6853 11 ปีที่แล้ว +1

    Ila wanahabari wetu wa Tanzania wamelala iweje tupate Hotuba hii muhimu ya Mhe. Raisi kupitia mwandishi wa nchi nyingine? What going on Watanzania na habari, mbona kila saa tunakuwa nyuma! USINGIZI utaturudisha nyuma. Tuamke Jamani.

  • @kamanziwilliam3212
    @kamanziwilliam3212 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo sawa, lakini acha usengenyi.

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 3 หลายเดือนก่อน

    Ebda uko ,iyo umedangqnya bineonekana haupendi rwanda ,umeaema maneno mabaya tushirikiyane na watu waliuwa watu 1milioni FDRL imeuwa ,ayo maneno simazuru

  • @user-qo2ek2nd7b
    @user-qo2ek2nd7b 7 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda rais mungo akupe Maisha marefu

  • @stephanieuwase6225
    @stephanieuwase6225 11 ปีที่แล้ว +2

    mind ur business, Rwandans will sort out theirs, anda put down our president, we didn't call u to help electing him so yenu yamewashinda mnaanza kubung'aa even 1 time Rwanda will not seat and negociate with those monsters. remember that civilian of rwanda haven't sent u to speak on behalf

    • @tanzania2559
      @tanzania2559 6 ปีที่แล้ว

      stephanie uwase 😂 Rwandaise people

  • @Chocolat2404
    @Chocolat2404 11 ปีที่แล้ว +4

    I think Tanzanians are very good people but their leaders are so ignorant...What Tanzanians need is a revolution...Look how other countries are moving forward and yet Tz is being held back by the leaders...Think about it

  • @Chocolat2404
    @Chocolat2404 11 ปีที่แล้ว +1

    I think you are from Burundi based on your lamguage...Smarten up

  • @user-nz4ks3fc3y
    @user-nz4ks3fc3y 5 หลายเดือนก่อน

    asaiv wamerudia tena rwanda tumsikilizie mama anasemaje

  • @famffamf40
    @famffamf40 7 ปีที่แล้ว +1

    mtakuwa hamkalibishwi tena kwenye nyumba za watu sahani aliolia anaenda kuitia kinyesi alafu hataki kuitupa tena wapende wewe kikwete hawa hawana shukrani hata ungewafa nya nini kwani yote ni mabaya kitu kidogo tu kashika upanga kaua ni zaidi ya shetani

  • @teyhar
    @teyhar 11 ปีที่แล้ว

    Can anyone please translate what Kikwete said?

  • @hamisihussein9851
    @hamisihussein9851 9 ปีที่แล้ว

    Rwanda Presider anatakiwa awe na utu,na a jifunze human rights,na awe wise men, not badwiser

  • @nologomimi6853
    @nologomimi6853 11 ปีที่แล้ว

    Can I put translation if u dont mind?

  • @thetreasure2230
    @thetreasure2230 6 ปีที่แล้ว

    JK is a leader.

  • @danielbrazius3469
    @danielbrazius3469 3 ปีที่แล้ว

    Mzee mwenye busara na hekima huwa napenda kusukiliza sana unacho ongea kinanijenga hususa ni ni hii vidéo huwa napenda kuirudia

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 ปีที่แล้ว

    Kagame asijidanganye kuwa Tanzania nisawana Kongo!,awaulize Uganda enzi za idd amini,ajiangalie asije akaishi uhamishoni kwa shidaaa,TZinaviongoziwaliolelewakwamaadilindio maanaJk akamjibu kwa "busara"

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 7 ปีที่แล้ว +3

    Kirwanda ni kinchi kidogo sana ni kama mkoa mmoja wa Tanzania

    • @kigwisimulindwaclemo8541
      @kigwisimulindwaclemo8541 7 ปีที่แล้ว

      laws of Succes kwa hio?

    • @lawsofsucces5784
      @lawsofsucces5784 7 ปีที่แล้ว +1

      +Kigwisi Mulindwa Clemo Kagame angekaa akatuliza kipele badala ya kuleta kimbelembele angeongoza nchi yake na sisi akatuacha na nchi yetu

    • @lawsofsucces5784
      @lawsofsucces5784 7 ปีที่แล้ว +2

      Hii ni kwa sababu tu raisi wetu aliyepita raisi kikwete alikuwa mpole angekuwa raisi wa sasa raisi Magufuli au raisi Mkapa tungekipiga vibaya sana Kinchi cha Rwanda. Raisi Kagame kwanza alikuwa muasi aliyetokea msituni ndo akaja kutawala Rwanda. aombe Mungu sana Kikwete alikuwa mpole asiyependa fujo. atuchokoze tena kipindi hiki cha Magufuli aone balaa lake

    • @julessebintu6525
      @julessebintu6525 3 ปีที่แล้ว

      @@lawsofsucces5784 Tanzanie hamuwezi kupiga inkotanyi. biko bora kubazidi

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 ปีที่แล้ว

    Ok

  • @geofreynyigo-qy1hu
    @geofreynyigo-qy1hu ปีที่แล้ว

    Akili nyingi saaana Mzee Kukwete

  • @ilungasalle
    @ilungasalle 11 ปีที่แล้ว +1

    he who has ears let him hear huyu ni kiongozi muungwana tena amesema hatuyapuuzi ikiwa na maana..................... mimi binafsi sijaona kosa hapo

  • @yamashidasato6801
    @yamashidasato6801 5 ปีที่แล้ว +1

    kagame ni mbwa ...usipomchapa mbwa atakuuma !

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 ปีที่แล้ว

    Ruanda asichezee nchi yetu tunaipe da sn .natunaumoja .wakutoshaa ht mtt atabeba silaha .tutaichukua yote Ruanda iwe Tz

  • @emmanuelmasangula6476
    @emmanuelmasangula6476 10 ปีที่แล้ว +1

    president kagame his thinking capacity is zero degree the end is coming much less rwand development is due to sabotage i hate this thin noise

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว

      kuliko kuendelea kuwachukia hao wenye pua nyembamba, kama kijana tafuta njia ya majadiliano ya amani ili uwasaidie nduguzako walioko Nyarugusu camp warudi nyumbani

  • @Euph59
    @Euph59 11 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Rais JK umesema kweli yote nasi tunakuunga mkono na tunakutia moyo uwe na msimamo huohuo. Jambo kubwa ulilosisitiza na nililoondoka nalo katika hotuba hii nzuri ni kuwa "Yanayosemwa hatutaki kuya amini ila hatuta yapuuza". Na baada ya Rais kusema hayo yote basi nasi wa TZ tunaomba tusiongeze neno tena!

    • @eldabuberwa1417
      @eldabuberwa1417 6 ปีที่แล้ว

      Nsanya Ndanshau Rwanda na wanyarwanda ni watoto wa Tz kwa kujifaragua kwa viongozi wao ni ishara ya kuona kuwa serikali yao inaanza kutiliwa mashaka na wananchi na wanajua fika mwenye karata ya turufu kuhusu kubaki kwao madarakani ama kutoka ni Tz waache kutaka kuogelea maji ya kina kirefu wakati uwezo hawana. kaa chini na waasi muelewane kwani hiyo ndo style yenu kupinduana kimtindo

  • @stephentossi2626
    @stephentossi2626 2 ปีที่แล้ว

    Ni maneno yenye hekima na busara hii ndiyo desturi yetu Watanzania

  • @sylvesterdaud3018
    @sylvesterdaud3018 7 ปีที่แล้ว +4

    ukosawa rais wetu naunaonyesha jinsigan unabusara, tukopamoja na wewe kwalolote lile.

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 3 ปีที่แล้ว

    Ila wemzee Allah akujalie xana unahekima mno

  • @kasendelukadi2047
    @kasendelukadi2047 ปีที่แล้ว

    Kagame anapenda umushauri avamiye congo pale ungeli kuwa rafiki mwema mjinga sana kagame hana adabu kabisa yeye congo amepewa zawadi nawa nani?

  • @barakamathew8656
    @barakamathew8656 5 ปีที่แล้ว +2

    watusi wana visasi sana ndio maana, hakukujibu ukweli ulimuuma mheshimiwa.

    • @marysangula9974
      @marysangula9974 4 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli. Rais wetu mstaafu wewe ni baba na unaroho ya ubaba. Tunakupenda Sanaa . Mungu akutunze na kukulinda

  • @majorkazimoto1452
    @majorkazimoto1452 11 ปีที่แล้ว

    He suggested an approach that i 100% agree with my problem is he should have the balls to stand by his statement. For him to go around apologizing and begging dictators like Museveni who we educated with zero credibility to run our international affairs is pathetic and dangerous. His weakness infront of the international community is jeopardizing Tanzanias national security. Say what you mean and mean what you say otherwise keep your mouth closed

  • @FredAngelsMusika
    @FredAngelsMusika 11 ปีที่แล้ว

    Tusiwalaumu waandishi wa habari. We angalia serikali inavyowanyanyasa na kuwatesa, nani ataipenda? Issue ya mwandishi wa habari Mwangosi; waliomuua wanapandishwa cheo, angalia tena issue ya Absalom Kibanda; What do you think!?

  • @jeanpaul9800
    @jeanpaul9800 5 หลายเดือนก่อน

    Utazungumuza na nterahamwe zirimariza watu,wewe kikwete unaunga wawwuwaji unasapote nterahamwe cong0

  • @INNOCENTNGIRABATWARE
    @INNOCENTNGIRABATWARE 11 ปีที่แล้ว +1

    Wewe watu wameua watu ukiwa pale,hukusema kitu chochote
    sasa unajigeuza msemaji wa wahalifu

  • @idrisskhalifa3855
    @idrisskhalifa3855 6 ปีที่แล้ว

    The real president in Africa

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว

      he represents the real Tanzanian behavior (culture)

  • @INNOCENTNGIRABATWARE
    @INNOCENTNGIRABATWARE 11 ปีที่แล้ว +1

    Unadanganya sana kama unataka uhusiano kwa nini una support wahalifu

    • @tumainipeter6713
      @tumainipeter6713 4 ปีที่แล้ว

      BISHOP UMUTWARE CYAMATARE INNOCENT Yupi aliye msapoti

    • @irenepaul485
      @irenepaul485 3 ปีที่แล้ว

      Wanyarwanda mna nn mbn mnapenda chokochoko ,

  • @uwayomisago5694
    @uwayomisago5694 ปีที่แล้ว

    Acha ujinga wewe watanzania wanafiki sana Kama hao wenye unasema wakae na serikali ya RWANDA waongee Kama wajua walichofanya RWANDA hugewaunga mkono

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว +1

    Ipo siku Amani itatoweka kutokana na rushwa, kwan palipo na njaa Amani haitodumu miliziele, serikali si serkali , serkali wizi mtupu. Nchi ya Tanzania ilishauzwa kwa mikata ya ajabu ya rais mstaafu Mkapa na Kikwete, hao wapo Tanzania kimasilahi , viongozi wa Tanzania ni viongozi rushwa. Wanaingia serikalin kwajil ya kuibia nchi na wananchi.

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว

      umetoa wapi pumba zako hizi?

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว

      Unasemaje ww mjinga, mm mtusi sijui ww wa wap? Una kaa nyagwa? Kama hutambui ilo ama hufaham ama huon ilo ndan ya Tz ww ni TONTO! Hata vipofu wanajua coz ndo hali wanayoish!

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว

      Iyo njaa unayoiongelea wewe ipo wapi? au hushawahi sikia misaada ya chakula inaletwa Tz kwa ajili ya wazawa?
      Tz tuna lima nafaka afrika mashariki yote tunailisha hatuna ukame wala rift valley ni miaka kumi sasa.
      Mashirika ya kimataifa yanaleta chakula kwa ajili ya ndugu zenu nnaowauwa kila siku na kuwakimbiza huko kwenu kwa chuki tu na mipua yenu mirefu

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว

      Ninaposema njaa simahanish ukame! Namahanisha kuna watu hapo ndan ya Dar wanakula mlo mmoja mpaka miwil kwa siku na hawapat mlo kamili! Ingia Manzese, Mburahat na mwananyamara huone familia zinavyoteseka na kulala njaa coz hakuna pesa ya kula, hawana kazi!

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว

      sasa hiyo unayoiongelea wewe cyo njaa, njaa ni hali ya kukosa chakula kabisa hata kama unahela yako mkononi unakosa mahitaji muhimu kama chakula malazi au makazi kama ilivyo rwanda, burundi au central africa, ukiongelea secta binafsi hata US kunawatu wanamlo mmoja tu na hawana makizi binafsi

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 ปีที่แล้ว

    Mmmmm

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 5 ปีที่แล้ว

    Hivi sasa ndio maswahiba wetu wakubwa.

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว

    Mandela told them from experience, as a former freedom fighter himself, that "weapons rebels have are the only card they possess to
    bring an illegitimate government (like Buyoya's) to a negotiation table; Burundi's government has the obligation to show leadership in achieving peace in Burundi". The meeting was attended by Clinton and representives of European Union and individual representation from France, UK, Germany, Belgium etc countries that

  • @zachariakazingo6826
    @zachariakazingo6826 8 ปีที่แล้ว +1

    u tube is good

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera6648 5 ปีที่แล้ว

    Mr president
    Jakaya kikwete.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 หลายเดือนก่อน

    👊👍✌️。

  • @ngenzijules3885
    @ngenzijules3885 11 ปีที่แล้ว

    Probably you need to define what is an apology. When Kagame talking of Kikwete and Tanzania, he wasn t apologetic. HHe was terse, angry and ready for a fight. Kikwete, is of low demeanor, apologetic and very very conciliatory. For sure, not as a man ready to punch if things go wrong

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว +1

      war is not our way(we Tanzania's), in matter fact that was not our problem at all..if u want problem with us come take our land or send ur mercenaries M23 shits or

  • @bompetibayenga1281
    @bompetibayenga1281 ปีที่แล้ว

    Wanyarwanda Niwa Nyama Saana

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 ปีที่แล้ว

    😊

  • @fredkabob4094
    @fredkabob4094 7 ปีที่แล้ว +1

    1994 in rwanda Tanzania ilikuwawapi? kwani ilikuahakuna,chongozi?

    • @tanzania2559
      @tanzania2559 6 ปีที่แล้ว

      Fred Kabob kikao kilifanyika Tanzania au umesahau

  • @ngenzijules3885
    @ngenzijules3885 11 ปีที่แล้ว +1

    Really!! If what it is, is contempt, condescending attitude...we don t need it then. By the way, Tanzania benefit from it more than Rwanda and Burundi do. As of `shytes`...it is actually shit and yes, don t you dare give us shit for we take no shit!

    • @shakurkimboka4621
      @shakurkimboka4621 6 ปีที่แล้ว

      we ain't benefit anything from you're killings, all we wants is helping(teaching) you to leave like others civilized mens

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 6 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania chafu sana, rushwa na wizi wafanyakaz wa serkal

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 5 ปีที่แล้ว

    Asante Kikwete, MUNGU akubariki

  • @elishamwanjela4443
    @elishamwanjela4443 ปีที่แล้ว

    Chuma chetu