HASHIM IBWE APONDA MASHINE MTOA ROHO WA SIMBA SC|KISA FEITOTO ALIA NA YANGA|AWEKA WAZI ISHU YA CHAMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - กีฬา
Mashabiki wa Simba wanapenda sana kudanganywa, kila siku wanadanganywa kuwa viongozi wa Simba wanafanya mazungumzo na viongozi wa Azam. Halafu mashabiki wa Simba wanakomenti kuwa Fei ni mali ya Simba
Simba wamchukue fesal? Hamna kitu hicho, hizo ni za akina gb00000.
Mbali wap raund ya kwnza tu outside 😅😅😅😂
Mashindano ni uzoefu mujitahidi kusajili wachezaji wazoefu
unajua kutangaza, utafika mbali tia bidii, maswali, hekima ya kuingia na kutoka, umalizaji wa mazungumzo, safi
kuna mchambuzi amesema ni aziz,then akasema amemaliza mkataba swali je kama kamaliza mkataba hiyo offer mnataka awajibu nani😂
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
Mwamba umewapasua nimekuelewa madundu midomo😂😂😂
😂😂😂usituombe sisi tunawachukulia tu poa hivo hivo acha ujinga
Watu waje kufwata feisal mwenye nuksi 😂😂😂 poleni hawawezi kabisa nikimeo😂😂😂😂
Tatitizo ni utoto. Ukikua utaacha tu
Azam fc mwaka huuu wanajambo lao kabisa na naamini watafanya jambo kubwa sana
Jambo kubwa labda wazidishe kuhuza ukwaju Ndio jambo lao kubwa
Fei nimchezaji mzuri lakini ww msemaji unampandisha sana
Simba tu hapa hao wengine hawajulikani ,Fei atakuja Free 😂😂😂
Huyu kijana wa mgagao mparee ni sawa na kinbuziii kimbalelooo
aah xx azam fc a2na shida xx xixi azam fc a2wapi nyeye ximba maxikini 2 yamuna levoo ya mchezaji wa2
Fei aende simba ndo ataakua zaid moto ila ata akiwa azam fei ni yuleyule mtuwamana sna
Zile 3 hazikukutosha sasa awamu hii wallah mnakula 7
Wanataka kumpora wa geita na kmc kama walivyofanya kwa Lawi, aibuuu.
Sifa ndio zimewajaa
Hivi iliuwe msemaji watimu kigezo ni kuwa mpuuzi????
Hii inashusha Hadi ya soka letu
Klabu zetu ziboreshe hizi idara iwaondoe wababaishaji na wapuuzi
MAKOLO wanapenda vitu vizuri lakini mikono yao mifupi🤣🤣🤣🤣
Kwani Feisal amelelewa na AZAM mbona unasema uongo
Feitoto anaipenda simba
Nanyi eti mna mashabiki Simba na yanga waseme nini?
Azam naiona mbali kuliko makolo🎉🎉😂😂😂
Weeeeeeee ngogwe hujui maana ya makolo ni wajomba wa manara kizaramo hivyo utopwax mnafikiri ni tusi😅😅😅😅😅😅😅😅😅
hahahahahaaa kipofu leo kaona
Ww muongo. Mara hakuna ofa ya feisal mara imekuja moja. Sasa tuelewe nn?
Tupo Yanga tunakungoja tukukande
Mkipigwa figisu musiweke mpira kapuni
Uko sawa jamaa huna mbamba azamu mko poa sana sio hao juma mwiko
Sasa wewe unaongea au unabwabwaja utakaa hapo nafasi ya tatu mpaka ukome na shilikisho lako kumbe ruza
Huyu bwege na Aliy kamwe
Hunalolote. Kibwengo. Mkubwa
SI muliramba kwa yule mshamba Feisal tuu
Wewe na Feisal na mshamba?
Mwenzako anakula maokoto wewe baki na chuki zako
Wekeni bei muone
Ww hunakili
So what?
Xavi mtupu
Geita naiona mbali kuliko majini fc
Yanga bingwa
Hayo yote ni makasiriko baada ya Chama kutua Yanga.
wewe ongea pia mungu kakujalia ndomo subilia ligi inakuja utaitambua timu ya wananchi watakunyoosha we kasajili mpaka uraya ila utapingwa tu
we yanga kaa kimyaa anapoongea azam,kimya kabisa
Sasa we lamba lamba Una kitu gani Cha kumkalisha mwananchi kimya we wakalishe lamba lamba wenzako sio mwananchi tena ukome
Yani kwa quality ya yanga na azam sioni kwa usajili. Huu wa kolobwabwa kama anataka kushindania ubingwa au kutoshuka daraja
Hivi hizi akili hua mNAZITOA WAP..WATU HATA HHAWACHEZA MECHI MOJA COMENTS TYR
Hao wachezaji ambao walianza kukata moto? Wazee FC
@@flova7022 wewe acha kua kolo bwabwa Debora uwezi kumfananisha ata na awesu awesu,sembuse Quality ya Feisal ukitaka kuelewa ilo ndomana mamelod wanamtaka,kwnn wasinge mtaka debora.hana quality mbona vtu vidogo tu sio adi uwe na degree ndo uelewe sema kwa sababu ukolo bwanji mwngi ndomana ligi ikija kuanza mnatupigia kelele Amna chemistry mara physics
Mara biology kumbe quality ndogo.azam ana fei ,ana akaminko,Bajana kiungo Bora kabisa Simba mna Debora,Mkwami sjui babakr ngoma alafu mnadanganyana eti mnataka ubingwa njoo yanga kuna azizi k goal 21 assist 8,pacome BAO 7assist 5 Max BAO 11 assist 3, Chama bao 7 assist sita una Dube bareke hzo namba na quality ya hao watu Africa mashaliki na Kati akuna eti usichukue ubingwa kwa sababu Simba kamleta Debora nyoo uo si utaila .mashabiki wa Simba amnaaminishwa uzuzu wachezaji mlio sajili awana quality ya kushindana kweny ligi hii ngumu
@@flova7022 na kwa taarifa yko hzi akili zinakuja baada ya kuona usajili wa makele Simba kila msimu alafu kwapa ananyanyua YANGA tena kwa mamlaka unamzidi mpinzani point 8,7 ,11,13 kaaa Amna ushindani alafu cha ajabu wewe unazidi kuborsha kikosi kila kukicha washindani wako wanabomoa hii sio ishara nzur ata kidogo akuna ushindani na mkiendelea hv Yanga bingwa mara 10 mfululizo kama mmeshazoea kuleta wachezaji ambao wanavua watu mawigi alafu uwanjani sifuli sizani kma kutakuwa na ushindani .yani wenzenu wako makini nyie mnaleta comedy alafu mnataka ubingwa upi
Wazee ndo mabingwa ,alafu vijana kina kibu wakaishia nafasi ya tatu kwaiyo utajua kipi bora@@bahatimshali2731
Kwani ashimu ibwe na ali kome nimashoga? Mbona wakiongea wanaongea sauti fulani iv alafu navile vimawani
@@HassanZiroy na msemaji wenu mmemkagua Amida ally yule si kungwi kidole juu kma anaimba taarabu mbana pua kama kakalia kipisi cha b ndundn
Hamuendi kokote
Kwanini mulimuuza kipre bei ndogo nsibora mngetupa simba
@@JohnJoseph-qq7ow Simba mna ela ya kulipa quality ya kipre nyie sasaiv Amna ela mnanunua wachezaji wa mitumba we katka usajili wa Simba ntajie mchezaji ambae katoka tmu yoyote iliocheza walau makundi caf champion league msimu uliousha akuna,kuna kina Debora tu ,wanasajili ma miss kuja kucheza ligi kuu .mapema na tabili Yanga bingwa ,Azam wa pili Simba atagombania namba tatu na singida
😂😂azam kipre alitaka kuja yanga wakanasuka ikabid wamuuze msimu haujaisha Ili asije akaja jangwani
@@VeronicaEmmanuel-t2v Unatabir ujinga tu Ngoja ligi ianze tutajua mchele na chuya na utabir wako.
Tatizo AZAM mna ufala mnapo Kutana na simba mnacheza ujinga kwa yanga mnajikuta na man city mnahalibu taswira ya ligi TZ tukijumlisha na maneno ya dube kua viongozi wa AZAM weng wao mashabiki simba
Sio mashabiki wa Utopwax?
Wangekuwa mashabiki wa Simba si wangeiachia nafasi ya 2?
@@abedymtore2707 Kwa usajili huu wa Simba,wanaleta wakina Debora Azam pambana baba msimu ujao clabu bingwa tena
We panya kanye uko
Atakuwa hana soko