Asili ya Mji wa Mombasa - Faiz Musa Abdallah

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 27

  • @kazungumasha573
    @kazungumasha573 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Kaka kwa kutuelimisha

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y 2 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah Shukran

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 2 หลายเดือนก่อน +1

    " Hapo ndo Mji wetu wa Mombasa ulikua na sifa za kipekee! Saa hii ni wakora, machokora na watu kutoka bara walioleta mila zao na kuharibu kila kitu!! Ukoloni ndio ulileta huu mchanganyiko sababu kila mtu alikua na kwao!

  • @yusufabubakaryusuf5113
    @yusufabubakaryusuf5113 3 ปีที่แล้ว +2

    Safii

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 ปีที่แล้ว

      Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah
      Shukran sana
      Swadaqta kabisa

  • @alilalila5035
    @alilalila5035 ปีที่แล้ว +1

    Ikiwa wataka kujuwa asili ya waswahili agaliya vedio za STAMBULI WA Abdi Llahi nasiri

  • @ahmedmohammed937
    @ahmedmohammed937 หลายเดือนก่อน

    Kibrit kiarabu huwo anaetoa history muone stambuli akufundishe

  • @saeedaosman3510
    @saeedaosman3510 2 ปีที่แล้ว

    Yes Indians were the first people to land across the East African coastline,my community were sea farers coming in dhows from bhuj gujrat to trade,we don't have a written data,but we have been here since some 700 years ago.

  • @hassanalhussein3982
    @hassanalhussein3982 2 ปีที่แล้ว +4

    Pwani si Kenya! Wacheni kusema Mombasa Kenya. Hakuna Kenya Wala hatutaki Kenya. Mombasa ulikuweko kabla ya Kenya.

    • @masoudmasoud8138
      @masoudmasoud8138 ปีที่แล้ว

      Yessssss ❤

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 ปีที่แล้ว

      Lakini sio ya wayemeni, na waomani. Walihama huku pia…

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 ปีที่แล้ว

      @@otaibonny8835 Na Wala si ya babako Wala mamako punda wa bara wewe.

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 ปีที่แล้ว

      @@hassanalhussein3982 mwarabu nyamaza rudi yemeni ama Omani…pwani Hapo ni ya Bajuni, mjikenda na waswahili. Muarabu sio mswahili… you are foreign..mwende msaidie ndugu zenu wapalestine.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 ปีที่แล้ว

      @@otaibonny8835 Kwetu Ni Lamu wewe punda funga Domo lako. Sio kila MTU Ni muarabu. Pia waarabu walikua hapo kabla ya wewe ngombe kuja hapa pwani shenzi type

  • @anwarsaid9579
    @anwarsaid9579 2 ปีที่แล้ว +1

    Likoni imetokana na neno riko maana ya riko kivuko

    • @febamohammed2989
      @febamohammed2989 หลายเดือนก่อน

      Na ni lugha ya kidigo hiyo

  • @AbouDahya
    @AbouDahya 11 หลายเดือนก่อน

    Aah wapi hata hiri songe renyewe mmetumia la tanga tz
    arafu mwajivunia !

  • @husseinnassir3372
    @husseinnassir3372 ปีที่แล้ว

    mwana mkisi ni queen of Sheeba,na hakuna kabila la mkuze, na wamiji yamaanisha wenye mji

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mwanamkisi ni malkia balkis, alkuwa malkia wa sheba,alietawala,nchi ya yaman, pamoja na ithopia,somalia,kenya,Tanzani,malawi na sehem nyingi za africa mashariki na kati

  • @printmedia1422
    @printmedia1422 ปีที่แล้ว +3

    Kueleza mombasa si.mchezo
    Hi ni kuguza lakini mengi yakosekana
    Wasomi hakuna hapo
    Iko kazi ikiwa kiswahili kita kua lugha ya africa

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 หลายเดือนก่อน

    Looking good follow back done God bless you 🇱🇷 💪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤