Mashaallah hongera sanaa mwanangu kwaupeo mkubwa ulionao Allah akuongee zaidi upeo kilasiku nasema kujitambua nimoja ya zawadi kubwa kwa allah umeonge vema kwahekima na busara
NAKUBALIANA NA WEWE 💯 💯 Na umeonesha kweli wewe ni kioo cha jammaniiiii, siyo wale wanaojiita kioo cha jammaniiiii Lakini BAADHI ya wasanii ..Sanaa Yao haina tija Kwa jamiiii Zaidi ya kukata viuno, kuimba Matusi na Kukaa utupu mbele ya Jamiii et kwendana na Soko. (Sasahviii wako kimyaaaa wanasubiri show za Campaign 2025.) Sijasikia Hata wimbo mmoja tu ukikemea haya yanayoichafua jamiiii wanayoiwakilisha. Basi hata Tamko tu la kukemea kama wewe @Mwakinyo ....Big up @ FridaAman bora wewe. Ila ukitokea msiba ndani ya 24hrs tu . Ngoma iko Hewani... Na maneno meengi ya "Tutakukumbukaaa Tutakukumbukaaa". Kwanza hata Marehem hawasikii Na hizo chorus zao. Wakati yuko Hai walikuwa Na nafasi ya kuonesha kweliii Wanamdhamini. Kama hivi Dada yet, Tena mtoto wa miaka 17 tu. Anapaswa kupaziwa Sauti za Aina zoteee. 1. HAKI ZAKE (Mahakamani), 2. UKARIMU (Sadaka zetu) na 3. Afya yake (Psychology)
Mashaallah hongera sanaa mwanangu kwaupeo mkubwa ulionao Allah akuongee zaidi upeo kilasiku nasema kujitambua nimoja ya zawadi kubwa kwa allah umeonge vema kwahekima na busara
Ni kitendo cha unyama na zaid ya unyama, naunga mkono kuhusu bint kuchangiwa na kabla Watanzania kumchangia ningependa kuishaur Serikal kwamba wale vijana watano pamoja na boc wako mishahara yao yote apewe yule bint,na alipwe mshahara huo kipindi cha maisha yake yote mpaka muda na umr wa kustafu boc wake na wale vijana watano
Wazo zuri sanaaaaa tena sanaaaa ili atakapomaliza heka heka hizi apate biashara na nyumba ya makazi atulie laa sivyo atakuwa mtu wa kufadhaika Kila siku Mungu🙏mpe wepesi maisha yake yote afya njema na uhai mrefu
Naamini kila jambo lina msimu huja nakuondoka hata hili pia litapita,,Mwakinyo ametoa wazo zuri ukweli ni kwamba faraja kubwa ya dada yetu hata kama wahusika watapatiwa adhabu lakini kitakachomuondoa hofu na upweke dada ni kubadilika kwa maisha yake kua bora zaidi na asibakie pale alipo hii itamfanya kujiamini na kusonga mbele kimaisha,,Uhuhitaji wa kuwezeshwa huyu mdada ni muhimu sana,,Hongera mwakinyo kwa kuwaza mbali,,,,
Umeonyesha uchampion, ni wachache watu wetu tunao wakubali,(maarufu) wanao onyesha kujali na kuguswa yanapo tokea matatizo ktk jamii zetu na tunawajua hata wasipo jitaja. Umesema vema Champion
Mdogowangu mwakinyo ww zaidi ya mabondia safi sana, kwani mpakaleo ao wanamziki wakubwa awana wazo lolote zaidi ya kuonga,magali na pombe, wanawaza ufuska tupo pamoja mwakinyo
Waalekum msalaam warahmatullah wabarakat kuna matukio mengi sana tz ila tukio hili limechukua nafasi kubwa sana na kuumiza roho hisia za watu hili ni tukio la mwaka la kipekee japo yapo mengi sana pia yanaumiza. 😢
Siku moja South Africa nikiwa salon nilikutana na bondia Hassan Mwakinyo. Tulizungumza kidogo pamoja na watu waliokuwepo pale, hakika niliona jamaa ana busara sana kwa jinsi alivyokuwa aiiongea. Na leo nathibitisha kwamba huyu jamaa ana busara sana na thinking capacity iliyopevuka. Nami naunga hoja tumchangie huyu dada yetu
Haya yote Ndio Faida hasi ya Zinaa. Wote walio husika kilicho wasababishia uzinzi. Dada mnatuabisha Sana acheni kuwapea wanaume na Hali ya kua hata nyumbani hawatambuliki. Acheni ulimbukeni wa ngono mungu hapendi.
Umewaza vema Hassan. Lakini anapataje mil 550, tunampongezaje kwa fedha hii yote baada ya kuwa ameharibu ndoa ya mtu? Maana yeye pia tuna kesi nae baada ya haya! Kwa sasa turuhusu tu deal kwanza na hawa vijana wakatili. Baadae, yeye pia ana suala la maadili. Mimi siamini kuwa hakuwahi kuonywa na huyo afande kuhusiana na hili. Ninamhisi kama mtu aliyekataa maonyo. Em tupate historia yake pia. Tusije kuwa tunampongeza mtu mwenye makosa makubwa. Tunakiri, hakuna kosa linalomfanya mtu afanyiwe unyama mkubwa ule. Lkn pia si kila jambo linahitaji huruma ya kuchangiwa pesa.
Wazo lako kama langu tu ingawa nilishindwa kulifikisha kwenye jamii kwasababu Sina sauti umeweza kufanya kitu ambacho watu tulishindwa kuweza we kweli ni kioo Cha jamii
Sasa tunachangia yeye hatumwoni? Ndio maana wanaharaki wanaomba akabidhiwe kwa watu washeria na haki za binadamu atoke kwenye mikoni ya police Wanaojua yuko wapi ni police na watu wake, toka siku yakwanza video ile inasambaa watu wengi walionesha kujitoa mchango wa pesa akiwemo chakumbimbi wetu Mange kimambi aliahidi million mbili
Omba kibalii na udhamini wa serikali ufungue hiyo special fund kwa mwezi mmoja au miwili kabla sakata halijapoa, watu watachanga, likipoa wataliona kawaida au litokea lingine la kitaifa na hili litafunikwa kama yanavyopotea mengine.
Acheni kualisha upumbavu watu kibao wanashida katika nchi hi tena shida za hualali kabisa mkimchangia nawengine watafanya hivi hivi jeshi la police kuchukua hatua inatosha mambo mengine watalipa wahalifu haohao acheni shobo za kijinga izo
Ubabaishaji atutaki.mbona yule mkuu wa mkoa wa simuyu kama sukosei alishutumiwa kumfanyia mabaya yule binti mwishowe akaondolewa kazini na kufikishwa mahakamani bila kificho sasa huyo alie watuma hao vijana ye ninani haswa mpaka asijulikane mnatuchanganya mnatuchanganya
ume sema jambo zuri lakini nikama ume wahi kabla hili jambo la kumchangia tuje tulifanye baada ya kesi kuisha naomba sasa uje uratibu jambo hili baada ya kesi kuisha ume sema mambo mazuri lakini fanya subira kesi iishe then jambo hili lifate
Nashauri huyu bint matatizo yatakapomuisha ahamie mkoa mwingine ambao hajulikani ili kueouka dhihaka za wanaomfahamu maana sio kila mtu atamsema kwa wema
Yaani kabla hujamaliza hoja yako Mwakinyo, nilikuwa mpinzani wako mkubwa kwenye boxing, ila kwa point hii, umenirudisha mzimamzima, nimekukubali mno, umeonesha utu wa kipekee kuliko wote tulioishia kulaani tu tendo lile,umekwenda hatua kumi zaidi kufikiria future ya binti yue, ,natamani taasisi inayofanana, ichukue hilo wazo haraka kufungua mfuko huru watu wafanye.🤝
Na wew pia unalaum walio tukana akina nani? Walio sababisha tukio ndio walio leta taahaluki wekama pesa unayo kua wakwanza ... Amna shida ata wanaomsaidia mahakamani nao ni msaada pekee
Mashaallah hongera sanaa mwanangu kwaupeo mkubwa ulionao Allah akuongee zaidi upeo kilasiku nasema kujitambua nimoja ya zawadi kubwa kwa allah umeonge vema kwahekima na busara
Ungepewa kibali hicho cha kusipamia kaka ingekuwa poa sana , umetoa wazo zuri
Hayo ndo mawazo tunayoyataka ya kizalendo...na huo ndo upendo...safi sana Mwakinyo...
NAKUBALIANA NA WEWE 💯 💯 Na umeonesha kweli wewe ni kioo cha jammaniiiii, siyo wale wanaojiita kioo cha jammaniiiii Lakini BAADHI ya wasanii ..Sanaa Yao haina tija Kwa jamiiii Zaidi ya kukata viuno, kuimba Matusi na Kukaa utupu mbele ya Jamiii et kwendana na Soko. (Sasahviii wako kimyaaaa wanasubiri show za Campaign 2025.) Sijasikia Hata wimbo mmoja tu ukikemea haya yanayoichafua jamiiii wanayoiwakilisha. Basi hata Tamko tu la kukemea kama wewe @Mwakinyo ....Big up @ FridaAman bora wewe. Ila ukitokea msiba ndani ya 24hrs tu . Ngoma iko Hewani... Na maneno meengi ya "Tutakukumbukaaa Tutakukumbukaaa". Kwanza hata Marehem hawasikii Na hizo chorus zao. Wakati yuko Hai walikuwa Na nafasi ya kuonesha kweliii Wanamdhamini.
Kama hivi Dada yet, Tena mtoto wa miaka 17 tu. Anapaswa kupaziwa Sauti za Aina zoteee. 1. HAKI ZAKE (Mahakamani), 2. UKARIMU (Sadaka zetu) na 3. Afya yake (Psychology)
Ni kweli huyu dada tumchangie maana anatakiwa pia atoke asijifiche afungue hata biashara jamani ili aondoke kwenye giza la kujificha MUNGU akubariki
Wazo zuri kaka, umeongea vizuri, mimi nimekuelewa.
Assalam aleikum....wazo zuri na maneno ya mazuri. Champs.... number ya dada ipatikane tuanze zoezi hilo....in shaa ALLAH
Kaka mwakinyo wewe ni jiniasi upovizuli champion
Umeonyesha unauwezo mkubwa wa kufikiri....big up sana brother Hassan.
Safi sana brother.....umefungua njia kwa wazolako hilo....Allah atakulipa kila la kheri.
Ndio maana tunakuita Champion huruma na upendo unao Mungu akulipe kwahili
Dogo umeobgea vizuri sana mungu akuongezee kila htua utalipwa kwa wazo zuri
Up saw lkn bdo tunahtj kujua kwnn police wankuw na mamb ya kutufichia wahalfu
Thanks my brother . Unachokiongea ni Sawa kabisa.Inabiditumchangie Ili abadilishe maisha yake.Mungu akubaliki sana
Mashaallah hongera sanaa mwanangu kwaupeo mkubwa ulionao Allah akuongee zaidi upeo kilasiku nasema kujitambua nimoja ya zawadi kubwa kwa allah umeonge vema kwahekima na busara
Hapo sawa ndugu
Wachachee wenye mawazo kama champion.......Hekimaa na busara
Ni kitendo cha unyama na zaid ya unyama, naunga mkono kuhusu bint kuchangiwa na kabla Watanzania kumchangia ningependa kuishaur Serikal kwamba wale vijana watano pamoja na boc wako mishahara yao yote apewe yule bint,na alipwe mshahara huo kipindi cha maisha yake yote mpaka muda na umr wa kustafu boc wake na wale vijana watano
Akika umenena vizuri mwakinyo Ina bidi iwe ivyo
Wazo zuri sanaaaaa tena sanaaaa ili atakapomaliza heka heka hizi apate biashara na nyumba ya makazi atulie laa sivyo atakuwa mtu wa kufadhaika Kila siku Mungu🙏mpe wepesi maisha yake yote afya njema na uhai mrefu
Manshaallah kila lakheri Allah akulipe duniani na kesho umur kiyama kwa fikra yako naupendo ulionesha
Upo sahihi sana kaka wazo lako tuko tayari kulifanyia kazi ubarikiwe
Hongerasana hasani mm ndomaana nakupendaga bondia wangu
huyundo bondia mwenye mani mazur
Safi sana brother hongera sana kweli wewe ni bondiya
😁😁
Uko sawa na ww mungu ukujaalie nupeo zaidiyahuo
Nimefarijika sana na wazo lako mwakinyo sijawahi kuliwaza hili ila umetoa wazo zuri mno hongera kwa kufikiri vzr
Naamini kila jambo lina msimu huja nakuondoka hata hili pia litapita,,Mwakinyo ametoa wazo zuri ukweli ni kwamba faraja kubwa ya dada yetu hata kama wahusika watapatiwa adhabu lakini kitakachomuondoa hofu na upweke dada ni kubadilika kwa maisha yake kua bora zaidi na asibakie pale alipo hii itamfanya kujiamini na kusonga mbele kimaisha,,Uhuhitaji wa kuwezeshwa huyu mdada ni muhimu sana,,Hongera mwakinyo kwa kuwaza mbali,,,,
Kweli kaka lkn mungu ndie hakimu allh amfanyie wepes
kweli kabisa kaka
iko fact xana champez one time 🤝
Yan kila unachokizungumza n lazima ukifafanue vzr! U like it Bro.😊
Thats true my bro haijalishi source ilikuwa ni nini ila ule ni unyama uliopitiliza
Umeonyesha uchampion, ni wachache watu wetu tunao wakubali,(maarufu) wanao onyesha kujali na kuguswa yanapo tokea matatizo ktk jamii zetu na tunawajua hata wasipo jitaja. Umesema vema Champion
Naunga mkono hoja. Kama tulichanga kijana alie choma picha ya raisi huyu dada tunashindwaje et tuoneshe faida ya Umoja kijamii🙏
Kweli kabisa wewe ni mtu katika watu...kwa imani yako hiyo MUNGU akubariki kwa unachikifanyq🙏🙏
Vyema Sana mchakato uanze kumtafuta msimamizi insha'Allah
Mdogowangu mwakinyo ww zaidi ya mabondia safi sana, kwani mpakaleo ao wanamziki wakubwa awana wazo lolote zaidi ya kuonga,magali na pombe, wanawaza ufuska tupo pamoja mwakinyo
Nakuungamkono mr Hasani mwakinyo kwamawazoyako tumchangie huyu dada ili tukiohili iwenisehem yakubadilisha maishayake😢😢😢😢badoanaitaji msadawetu ili asahau lililomkuta
Wazo zuli champion itengenezwe akaunti.yakumchangia na ss tuko tayali kufanya ivyo
Umeonyesha bro, ni zury Hilo wazo, Ila watanzania wenzangu nawaomba tutulie maana uchochezi umezidi Sana, tuende kwenye kujenga
Waalekum msalaam warahmatullah wabarakat kuna matukio mengi sana tz ila tukio hili limechukua nafasi kubwa sana na kuumiza roho hisia za watu hili ni tukio la mwaka la kipekee japo yapo mengi sana pia yanaumiza.
😢
Wadada acheni tamaa kingine vijana tunguzeni njaa mana tunajikuta kwenye matatizo kurinda ugali wa viongozi
Nisawa kaka mwakinyo madam yako yamhimu sana template Alison tuweze kuchangia hatatulicho nacho
Pwent xn umeongeya japo kidogo tumchangiye maan shidaa ndio ilimfanya yatoker hayaaa
Ogera kaka kwama wozo mazul
Siku moja South Africa nikiwa salon nilikutana na bondia Hassan Mwakinyo. Tulizungumza kidogo pamoja na watu waliokuwepo pale, hakika niliona jamaa ana busara sana kwa jinsi alivyokuwa aiiongea. Na leo nathibitisha kwamba huyu jamaa ana busara sana na thinking capacity iliyopevuka. Nami naunga hoja tumchangie huyu dada yetu
Haya yote Ndio Faida hasi ya Zinaa. Wote walio husika kilicho wasababishia uzinzi. Dada mnatuabisha Sana acheni kuwapea wanaume na Hali ya kua hata nyumbani hawatambuliki. Acheni ulimbukeni wa ngono mungu hapendi.
Umewaza vema Hassan. Lakini anapataje mil 550, tunampongezaje kwa fedha hii yote baada ya kuwa ameharibu ndoa ya mtu? Maana yeye pia tuna kesi nae baada ya haya! Kwa sasa turuhusu tu deal kwanza na hawa vijana wakatili. Baadae, yeye pia ana suala la maadili. Mimi siamini kuwa hakuwahi kuonywa na huyo afande kuhusiana na hili. Ninamhisi kama mtu aliyekataa maonyo. Em tupate historia yake pia. Tusije kuwa tunampongeza mtu mwenye makosa makubwa. Tunakiri, hakuna kosa linalomfanya mtu afanyiwe unyama mkubwa ule. Lkn pia si kila jambo linahitaji huruma ya kuchangiwa pesa.
Sawa Anzisha tuta ku support
Na umfungulie account
Umeongea kikubwa somo weka namba yakuchangia ili tuweze kumchangia
MAWAZO MAZURII KILOBAKIA SASA JAMANI TUJUWEEE TUNAMCHANGIAA WAPII
Kaka uko vizuri kweli
Safisana mwakinyo uposahihi sana hunabaya
Asante kaka ni kweli tumchangie
Naomba uanzishe ilo zoez andaa namba za cm tutachangia wazo zuri sana
Oy nilikuw skupend ulivyo niangusha marekan ila hapa nipo pamoja naww
Wazo lako kama langu tu ingawa nilishindwa kulifikisha kwenye jamii kwasababu Sina sauti umeweza kufanya kitu ambacho watu tulishindwa kuweza we kweli ni kioo Cha jamii
Tukimchangia huyo si Kuna wengine wanaweza waka taka wafanyiwe vile Ili wachangiwe
Sasa tunachangia yeye hatumwoni?
Ndio maana wanaharaki wanaomba akabidhiwe kwa watu washeria na haki za binadamu atoke kwenye mikoni ya police
Wanaojua yuko wapi ni police na watu wake, toka siku yakwanza video ile inasambaa watu wengi walionesha kujitoa mchango wa pesa akiwemo chakumbimbi wetu Mange kimambi aliahidi million mbili
Mshika hizo pesa awe Rais wa TLS mwabukusi, au Madereka au J malisa toeni namba.
Nikweli kabisa wajina Ina bidi iwe ivyo mungu akujalie kwamawazo
Omba kibalii na udhamini wa serikali ufungue hiyo special fund kwa mwezi mmoja au miwili kabla sakata halijapoa, watu watachanga, likipoa wataliona kawaida au litokea lingine la kitaifa na hili litafunikwa kama yanavyopotea mengine.
Acheni kualisha upumbavu watu kibao wanashida katika nchi hi tena shida za hualali kabisa mkimchangia nawengine watafanya hivi hivi jeshi la police kuchukua hatua inatosha mambo mengine watalipa wahalifu haohao acheni shobo za kijinga izo
Mungu akuzdishie hekima na basala kijan aznsha hata ww hyo mfuko wa kuchangia kidogo nikcho nacho ntamchangia
Tunaweza kufanya hivyo,ila Cha kwanza,aliyewatuma akamatwe
Tunashukulu n wazo zuli sanaaa ila ingependeza hata kumwona Kwanza tuuu ilitupate moyo kuwa msaada utamfikia
Ubabaishaji atutaki.mbona yule mkuu wa mkoa wa simuyu kama sukosei alishutumiwa kumfanyia mabaya yule binti mwishowe akaondolewa kazini na kufikishwa mahakamani bila kificho sasa huyo alie watuma hao vijana ye ninani haswa mpaka asijulikane mnatuchanganya mnatuchanganya
Brother unsongea vi2 sahihi likini mawakil wanacha kutetea wat wetetea nn
ume sema jambo zuri lakini nikama ume wahi kabla hili jambo la kumchangia tuje tulifanye baada ya kesi kuisha naomba sasa uje uratibu jambo hili baada ya kesi kuisha ume sema mambo mazuri lakini fanya subira kesi iishe then jambo hili lifate
Uko sahihi kaka tuko pamoja na sote tumeumizwa na kitendo hiki ambacho hakifanani na watanzania.
Wewe una Roho wa Mungu kama Yesu. Kwani umeona beyond the seen
Naunga mkono hoja wekeni acount tuweke maokoto,,,,
KWAKWELI MAWAZO YAKO MAZURI MWANAMICHEZO MWENZANGY NA NDIO WQKWANZA KUONA UMECHANGIA MAWAZO YA MAANA
WATOE NAMBA ZA KUAMINIKA ILI TUWEZE KUMTUMIA MSAADA MTOTO HUYO MUNGU AKUBARIKI SANA ULIYETOA WAZO HILO
Point kubwa Sana akili nyingi uzalendo mkubwa sana
Safi sana mwakinyo upo sahihi kabisa
Brother hunaga Baya ww ni mwamba Ila hii serikali ndo shda
Uko sahihi nduguyangu ndiomaana mungu alikujalia ukashinda lileshindano maana ulienda kiugumuugumu bila msaada na ukatoboa na mungu aendelee kukujalia
Ni Wazo zuli mwakinyoo Nafikili uongozi watalifanyia kazi wazo lako
Nashauri huyu bint matatizo yatakapomuisha ahamie mkoa mwingine ambao hajulikani ili kueouka dhihaka za wanaomfahamu maana sio kila mtu atamsema kwa wema
Mm nipo tayar Hassan mwakinyo unaonaje usimamie ilo swala
Umeeleweka Mungu akutie nguvu.
Yaani kabla hujamaliza hoja yako Mwakinyo, nilikuwa mpinzani wako mkubwa kwenye boxing, ila kwa point hii, umenirudisha mzimamzima, nimekukubali mno, umeonesha utu wa kipekee kuliko wote tulioishia kulaani tu tendo lile,umekwenda hatua kumi zaidi kufikiria future ya binti yue, ,natamani taasisi inayofanana, ichukue hilo wazo haraka kufungua mfuko huru watu wafanye.🤝
Hupo vizuli sana mungu akubaliki
Kwanini usifungue wewe na uhanze kuchangia wallau laki 5 kisha tushilikishe sisi
aingilia kati atasaidia nini acha sheria ichukue mkondo wake
Nikweli inawezekana kua uyojaamaa aliekuanae alimdanganya kua hana mke kumbe nwanamkea alikua anafuatilia bwanaake akugundua akaamua kumfanizia ivo
Mungu akujalie mwakinyo hata mm ikitokea nitachangia ikitokea imeanza hili jambo
Atapatikana wap serikali imemficha yy na familia yake awatak asikike kokote
Alie Kazaa basi mtoto kpata❤
Nimeipenda hiyo safi sana tufanye hima achangiwe
Na wew pia unalaum walio tukana akina nani? Walio sababisha tukio ndio walio leta taahaluki wekama pesa unayo kua wakwanza ... Amna shida ata wanaomsaidia mahakamani nao ni msaada pekee
Big up broo
Wazo zul sana tunachangia wap kwamaana nan muweka adhina
Waaleyku msalam hakika na Allah ataleta wepesi kwa hili ulilo liwaza
TUNASUBIRI NAMBA TU TUANZE MICHANGO TUKUMBUKE TUTAKACHO KITOWA TUTAKIKUTA KWA ALLAH KIKIWA NA THAMANI KUBWA ZAID
Broo umeongea maneno yabusara mm pia nakuunga mkono
Safi sana mwakinyo WW nimzarendo🎉
Ubarikiwe kiwe,una roho ya hekima,ni wazo zuri inabidi tumchangie🙏
Bi idhin llah hili litapata ufumbuz Inshaallah
Ile video pekee yake pesa kasha kuwa porn star
Safi sana champion mchango uwaze mara moja tutachanga