Hongereni Sana, Mungu amkuze ktk maadiri mema awemtoto mwema , Ahsante sana kwa pongezi tumepokea, na mzidi kutuheshimu wanawake wote, hayo uliyo Yashuhudia ndiyo tunayo ya pitia, achilia mbali tabu zaujauzito, kuanzia Sasa baadhi ya wanaume mnao tunyanyasa na kutu Zarau wanawake muache hiyo tabia.
Jamani Nandy hongera kwa kujifungua salama mwanangu Alphina na Hefsba wamefurahi sana kusikia umejifungua salama hivyo wanakupa Hongera sana na wanakupenda sana.👩❤️👨
kuzaa sio mchezo na labor room si ya wanaume ni ya wamama na madaktari, mwanaume akiona jinsi mwanamke akizaa huteseka, hawezi tena kumtia mimba. Mungu alinde mwanenu. inshallah....
Pole dada nandy na mungu akutangulie
Hongereni Sana, Mungu amkuze ktk maadiri mema awemtoto mwema , Ahsante sana kwa pongezi tumepokea, na mzidi kutuheshimu wanawake wote, hayo uliyo Yashuhudia ndiyo tunayo ya pitia, achilia mbali tabu zaujauzito, kuanzia Sasa baadhi ya wanaume mnao tunyanyasa na kutu Zarau wanawake muache hiyo tabia.
Congrats for uh Mr and Mrs Nenga 🌷 ur funs we a very happy with that daughter ❤️☺️
Hongera sana Billinasi na Nand kupata mtoto🙏🙏
Nawapenda❤❤❤❤❤❤
Ukiwa na upendo na familia yako utapata raha sana hongera sana kwa upendo
Jasiri sana billnas hongereni
Hongela nandi mugu awawekee 🙏🙏🙏
Hongera sana nandy na pole pia mungu akukuzie
Hongereni sanaa jamn.
Big boss 8
Ongera Mr and Mrs Mungu awalindie mtoto wenu
Jamani Nandy hongera kwa kujifungua salama mwanangu Alphina na Hefsba wamefurahi sana kusikia umejifungua salama hivyo wanakupa Hongera sana na wanakupenda sana.👩❤️👨
Tunashukuru wamama tumezipokea,labour kazi ipo,hongereeni kwa kupata mtoto mungu awalindie
Hey 👋👋👋👋👋😊👋😊👋
Nice one!🙏🏻
Mashaallah 🇴🇲
Hongeren Maana ce wengne hata walpotokomea😂😂😂
Gingers sana Dada nandi hio ndio heshima ya mwanamke
kuzaa sio mchezo na labor room si ya wanaume ni ya wamama na madaktari, mwanaume akiona jinsi mwanamke akizaa huteseka, hawezi tena kumtia mimba. Mungu alinde mwanenu. inshallah....
Ni ya wazazi wote
Hongera Nandy
@@storyzabongoonline Billanas ajajifungua bwana Yale maumivu achaa kabisa
Wewe mi mwenyewe nilichanganyikiwa kwa mda, kuzaa kusikie tu
❤️❤️❤️
Akuna kama mama Dunian
Eshima kwa wa mama
Kabisa mwanamke nikiumbe muhimu Sana ktk hii dunia, tunayoyapitia wange pewa wao wasingeweza hata kidogo.
Yeye siowakwanza achaushamba
Uoga tu
Pongez kwenu
Mungu wasaidie wanawake wote Duniani
Ameen
Mbona unarudia Rudia weweee