Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Yan ukweli ndo huo MO hana Cha kutuambia Yan inawezekana vip mtu useme et amekula hela af umchukue tena awe tena mjumbe kivip? Yan n bora MO na genge lake watoke japokuwa WANASIMBA mtanisema vibaya ila ukweli ndio huo
Kumtawala mwanadamu inahitaji nguvu zisizo za kawaida kwakuwa mwanadamu huwa na asili ya chuki baina chuki na mwengine, ndio mana watawala wazamani walijita miungu ili kudhibiti watu anao watawala
Tatizo bro huwa n mtu wa lawama tuu. Malalamiko yataisha siku mkiamua kuiuza. Maana unaosema mbaki nao wote wez tuu. Mbona miaka yote mmeshindwa kuendesha??? Kama vp hamaaaa
watu wa namna hii ni wa hovyo sana maana hata simba yenyewe haisaidii zaidi ya ushabiki tu mo akila hela sisi haituhusu tunataka ushindi na burudani anaisifia yanga si ahamie huko yanga mbona walipitia kipindi kigumu miaka 4 nani aliyewasaidia au yanga kama yanga inahela za wapi gate collection inawasaidia kusajili nakuendesha team wapi ulisikia
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Yan kocha Mwenda nakukubali sana wangu Yan tuko pamoja sana Simba lazima inyoke
Simba ,simba, Aisee kwa siasa zinazoendelea haitakaa itoboe. kupe wenqi sana hapo.itoshe kusema Inauma sana
Mm nilikuwa na nunua Jez tano kila msim ila saiv snunui tena mpaka mbadiliko ya kisom yafanyike
Mwenda upo sahihi sana mzazi
Kweli kabisa boss kakosea kumteuwa tena tray agan
Huyu nae ni yanga tu. MO anajitahidi mno, huyu hata jersey hanunuagi anapiga kelele tu
Sema kweli babu japo inatuuma
Wewe mwenda kila wakati unalalamika tu
Wewe mzee jiheshim usimalize maneno safari bado ni ndefu
Unalolote unaleta vulugu tu ndani ya simba
Mbona yanga haipo ni GSM ndo anamiliki yanga
Muhindi na football wapi na wapi
Na hawa kina kaduguda ndo wasaliti wa simba
Yan ukweli ndo huo MO hana Cha kutuambia Yan inawezekana vip mtu useme et amekula hela af umchukue tena awe tena mjumbe kivip?
Yan n bora MO na genge lake watoke japokuwa WANASIMBA mtanisema vibaya ila ukweli ndio huo
😂
Hapa ndo mtamuelewa manara alichokimaanisha!!!! Ukiwa shomvi ndani ya simba, hauna thamani.
Simba wanakataa ukweli, kwa Sababu hiyo watapata shida mpaka mwisho.
Huyu Jamaa hua namskiliza sana kila post nilicho gundua kwake ni ubomowaji tu si kujenga fitina na ubaguzi na kauli chafu.
Kumtawala mwanadamu inahitaji nguvu zisizo za kawaida kwakuwa mwanadamu huwa na asili ya chuki baina chuki na mwengine, ndio mana watawala wazamani walijita miungu ili kudhibiti watu anao watawala
Tatizo bro huwa n mtu wa lawama tuu. Malalamiko yataisha siku mkiamua kuiuza. Maana unaosema mbaki nao wote wez tuu. Mbona miaka yote mmeshindwa kuendesha??? Kama vp hamaaaa
SI uhame simba
Wewe chiz bx kachukua hisa mnafiki we
🤔👍👏👏👏👏👏👏👏
Yaani huu milembe inamuhusu akiongea unajua ujinga wake
Mzee umesema ukweli wajinga hawapendi ukweli😢😢
Kajaja kajaja kweli na familia yake toka enzi zile
Huyu anamtaka kaduguda
Wewe unae muekezaji mengine bx mlete
Ww na kaduguda sijuwe mnatatinzo gani ww
Wewe mwenda ukipewa simba utaweza kusajil mjinga mmoja wewe maneno tu hayasaidii kitu
watu wa namna hii ni wa hovyo sana maana hata simba yenyewe haisaidii zaidi ya ushabiki tu mo akila hela sisi haituhusu tunataka ushindi na burudani anaisifia yanga si ahamie huko yanga mbona walipitia kipindi kigumu miaka 4 nani aliyewasaidia au yanga kama yanga inahela za wapi gate collection inawasaidia kusajili nakuendesha team wapi ulisikia
Ushind ndo huo mwende shirikisho
Huyu jamaa hata kama Tunambeza but kuna kitu ktk talk yake