Ongeza volume tena na tena hallelujah watu wamependa mafundisho ya uongo wamekataa kweli aliye na sikio na asikie ujumbe zako zatoka kwa MUNGU muumba mbingu na dunia asante mtumishi
Huyo mama amesha jichanganya, wanaanzaga vizur lakini wanamaliza vibaya, Sasa aliyo vaa apo nyuma siyo suruali Bali Ni skin kabisa, kweli huyu mama amechanganyikiwa
Pascal Asante sana kwa kuokoa watu wengi kutoka kwenye dambi umengangana sana kwa kufundisha ila wengine bado shetani amewakamata mateka hawana badiliko siku moja watakukumbuka kwa mafundisho yako ndugu yangu vile walivyo kumbuka na kutambua kwamba kumbe Yesu ndie mwana wa mungu na Roho ya mungu iko ndani ya yesu amen
Amina Amina,ni sauti ya Mungu ndani ya Cassian mwenye masikio na ageuke ili apone,,,,Makahaba wamevamia kanisa la Mungu na hawataki kuacha ili waangamize watu wa Mungu.
Ufunuo wa Yohana 22:19-20 [19]Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki. [20]Yeye mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam; naja upesi. Amina; na uje, Bwana Yesu.
sio sawa kuvaa suruali tena kwa haswa watumishi wanakua mfano mbaya kwa sisi wafuasi...lakini pia wanasababisha makwazo kwa hao wanaowtazama.sio sawaaaa
Kaka umenifaaa sana kwenye maisha kiroho binfs nashindwa hata niingie kanisa gan maama watumishi kama wewe wako wap tuna kiu ya kuijuwa kwer ya mungu wachunngaj wanafundisha miujiza tu. Natman ningekua kalibu na ulipo mungu akurinde sana najua wanavyokutazama
Amina 🙏 🙏🙏 sema wasikie wasije kusingizia eti hawakuambiwa ,, na watadaiwa hayo wanayoyasikia nakuyapuuzia . MUNGU akuzidishie maarifa nguvu baraka zake zifuatane nawe
Mimi kwakweli niseme watumishi wa Mungu tuhubiri injili ya kristo kipimochetu iwe ni kristo. Yesu sijawahi msikia anazungumzia mtu lakini alikuwa anahubiri nawatu walaikuwa wanamfata kwa zile nguvu za Mungu zilikuwa ndani yake. Niwashauri tumjue Mungu sana hatutatumia nguvu kubwa ambapo hiyo nguvu niyakumwinua shaboka na mkewake. Aisee tukihubiri kristo tutamvunia watu wengi sana kiukweli swala zima lamavazi kwa watumishi bado nikitendawili lakini yasizidi kumtangaza kristo
Mimi Ni mwanamke Ila mwanamke kwenda madhabuhuni Na suruali , hapana kwani majoho yako wapi . Wana wake tumeiingiza kwenye kanisa Kwa kisingizio kuwa Mungu anaangalia roho
Tumeingiza dunia kwenye kanisa biblia inasema usivae nguo za mwanaume.... sasa nguo za mwanaume ni zipi kama sio suruali, Rose shaboka tunakupenda mama mtumishi wa Mungu ila unavaa mavazi mengi ya kidunia okolewa hata ufahamu wako, ombi langu funguliwa uone kweli.. Mungu angetaka uvae suruali ungezaliwa mume, wacha kutoa Mungu makosa, kwamba ulitaka kuwa mume ili uvae suruali huo ushauri wako kwa Mungu dada Rose utakupoteza.. mbele za Mungu utaambiwa ulisikiliza mume wako na kumfanya yeye mumewe Mungu wako.. God bless you brother Cassian we love you in the name of our Lord Jesus Christ 🙏 🇰🇪
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Paschal Cassian. Endelea kutumikia wito aliokupa Bwana. Sisi tunakuombea kwa Bwana ulinzi wake,neema yake na nguvu nyingi ndani yako. Maneno yako hayaendi bure, kuna roho nyingi zinaponywa, zinazinduka na kufufuka kutoka ktk hali ya kupoa, kulala na kufa kiroho. Natoa wito kwa kila anayebarikiwa na mtumishi huyu wa Bwana kumuombea kila unapokuwa ktk maombi,mtaje hata kwa dk 1,2,3 n.k Bwana amtie nguvu. Si kazi rahisi hii ndg zangu na wengi waliukimbia au kuukataa wito kama huu. Amen
Mung akutie nguvu Kaka yang Kwan mung anatupenda ndo mana amesema nasi tag Nami pia ni mtag hii ni neema kwetu kukutumia mtumishi wake ili tujue ni wap tumekosea sofa na heshima ni vyake yeye mungu wetu Amina.
Mtumishi fundusha kweli mwenye kusikia na asikie ujumbe ulilotumwa na mungu .maana watumishi wa namna hiyo anachokuwa anataka ni watu tu kujaa kanisani pale lakini panakuwa hapana roho mtakatifu maana watu wengi sikuhizi wao kwao kweli kuwaambia kweli imekuwa ni chukizo ila ukiwaambia uongo ndio kweli kwao hivyo Fanya kazi ya mungu upiyotumwa na mungu mtumishi wa mungu ili mwenye kupona na apone katika jina la yesu kristo.. ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mwanamke anapaswa kujisitiri, Mungu atusaidie kwasababu ulimwengu umeisha, na shetani naye amekazana kuzalisha vitu vingi vya kutupoteza wanawake, Yesu Kristo utuokoe, maana vitu vidogo vitatuangamiza, si suruali tu hata marembo tunayovaa yanatutoa kwenye ule mfano wa kufanana na Mungu.
Huyo mama huwaanafundisha viri ira kwenyemavazi ndo changamoto Mimi namshauri akiwa anafanya kazi yamungu kweri suruwari a home moto SI kumgawia mwingine
Mtumishi ubarikiwe sana,ila kizazi hiki cha nyoka kitakupinga tu kwa sababu ndivyo walivyo katika mavazi!maumbile tu ya wanawake kwa suruali ni kueneza uzinzi tu na shetani sasahivi anawatumia sana wanawake kuwakosesha wanaume ambao kupitia kuona au kutazama uzinifu unaingia!
Hizo mapambo na surwali vina shusha umuhimu wake na mungu awache mapambo suruali ni kwa mwanaume peke yake mbona mama zetu hawakuvaa surwali kizazi hiki kimedanganywa na shetani ala fu wanajifanya ni wachungaji kwanza wanatuharibia wake zetu na hizo kanisa zao anafundisha wake zetu uchafu wa mapambo ya mwili kujichibua akome kabisa ameme bibilia vizuri kuhusu mapambo na bwana wa huyo Rose pia asome bibilia vizuri
Mama mch anavaa makwapa wazi alafu mnateteana ujinga asipo jirekebisha mbinguni atapahubiri tu kwan ni kizuizu tosha cha kutouona mbingu kwan shetanu ni mshtak wet
Nkt, ole wako unaepotosha neno la Mungu , maana kikombe cha adhabu yako yakusubiri siku ya kiama. Eti, kuna suruali ya wanawake, nkt, Mungu akusamehe. Mie mama wa watu navaa suruali, ila nikinunulia mtoi wangu wa kike nguo, sinunui suruali. Niendapo kanisani navaa rinda maana kazi ndio hufanya navaa suruali. Naomba Mola ili nitakapobadilisha kazi, nisirudie suruali japo mie ni binadamu na kukosea ni kawaida, naomba Mungu anisaidie kwa sana.
Ama kweli, Inashangaza sana watu wa mungu wanahangaika na mavazi kuingia mbunguni,mavazi ni kujisitili tu hakuna mahusiano na kukutana na mungu,jadilini mambo ya maana Kwa jamii kama kuacha uharifu,watu wanavaa cola harafu wabakaji,walawiti,wezi na mengine kama hayo. Ni kweli isiyopi ngika kabisa kuwa mavazi hayana uhusiano na Imani na matendo mema. Kuna watu wameficha tabia zao mbaya kwenye mavazi haisaidiii.
Ila jamani ukweli ni ukweli tu hayo sio mavazi ya kusimama madhabahuni. na kwanini watumishi wa sasa hawasikiii maonyo?. Kwanini usivae vazi la stara.@@Justinamwakajumba
Kila mjadala ninaona ni kulingana na mazingira ya tukio nadhani kuna vazi limetukia mahali sio pake maana Biblia imesema mtawajua kwa matendo.hivyo matendo yamebeba mambo mengi mno pamoja na hayo usemayo
Kuna Siku Mungu alinifunulia hivi kanisa liko Uchi Kulingana na Mavazi wanayovaa Ile sauti ilikuwa inatisha Akaniambia hili ndilo kanisa la siku za Mwisho liko Uchi , Ndipo alianza kunifunulia Mavazi ya KITAKATIFU Mbingu sio lelemama Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia
Uchi aumanishi kutovaa nguo bali kupoteza utukufu wa Mungu au Nguvu za kiungu ila kama wanavaa mini hapo sawaa.soma mwanzo utaelewa acheni kutafisiri maandiko kimwili na mtakavyo
Kwenye madhabahu ya Mungu hatakiwi, Mungu amekataza, anauonekano mzuri, kwa sababu ya urembo bandia , uzuri wa kununua ni makosa. Mungu atamhukumu huyu mama na mmeo
Ni muzuri Sana kuonyana Ila hata andiko linasema umujiye mutu kwanza baada akikusikiya utakuwa umemupata. Mimi si zani kama kwa hekima nzuri kuonya mutu kumutandao itakuwa ni hekima kbs.
Neno la MUNGU halibadiriki,kumb 22:5 mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume.ni kama alivyo sema usizini.Mungu anatuwazia mema.shetani kama Simba aungurumaye amepofusha macho yetu na kuona dhambi nyingine Mungu alijisahau isingekuwa dhambi.lakin mzinzi,mwabudu sanamu na muuaji,na mwibaji wote watahukumiwa Sawa na anaye vaa mavazi yasiyo mpasa.Mungu siyo mwanadamu ajute kuhukumu walioasi Sheria zake wewe endelea na mambo yako ya kupotosha kanisa kwamba hakuna hukumu juu ya mavazi.matendo 2:21 kila aliitiaye jina la Bwana ataokolewa
Huyo ametoka machoni pa Mungu,ameanza kufokasi sifa aitwe akubalike na wazungu aende akahubiri,wamemshauri kwamba aanze kuvaa nahuku anajua kabisa kwamba nimachukizo machoni pa Mungu,ameamua kuasi kwakipande
Tukipata wachungaji watano kama wewe Africa itabadilika uko sahihi kabisa ..kwenda madhabahuni na trousers 👖 😢zii avae akienda na mume wake date.....nakukubali from Kenya 🇰🇪
Yaani watu wengi wa sasa, Mabaya ndiyo mazuri na mazuri ndiyo mabaya kwao. Ubaya unatetewa kwa nguvu kubwa sana hadi mtu unashindwa kuamini. Unaanza kufikiri mara mbili mbili, kuwa mimi ndiyo nimekosea nini..!
WE SHABOKA USIWAPOTOSHE WATU MAANDIKO YANASEMA KWAMBA MWANAUME ASIVAE MAVAZI YAMPASQYO MWANAMKE PIA MWANAMKE ASIVAE MAVAZI YAMPASAYO MWANAUME. 😢😢😢 oohh!! Kuna suruali za kike na zakiume. Mbona hakuna sketi za kike na za kiume?😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@@MaselePatrickpoint 📌📌📌📌 …. Na hakuna mahali Mungu alisema suruali 😂😂ni za wanaume …alafu huko zaman mbona wote walikuwa wanavaa majoho na kanzu watu wote🙄🙄
Wewe casian ulikuwa kwenye mambo ya freemason na uganga umepita huko sasa hivi umebadilika tatizo waliokuachia hao ni kuwazungunzia watu tu huna muda wa kuangalia maisha yako bado hujajitoa kule jitoe kabisa kisha Rudi huku watu watakuelewa
Kweli huu ni upotoshaji mkubwa maana biblia inasema kwamba mwanamke asivae mavazi ya mwanaume na wala mwanaume asivae mavazi ya mwanamke inatisha nakuogofwa mchungaji anatetea maslahi yake binafsi kwa mkewe lakini atadaiwa nafsi hiyo 😢😮
Hizo nguo anazovaa, ni zakizinzi, suruali, kimini, nguo ya kushepu makalio, nguo kwapa wazi ni nguo za kizinzi, Mwanaume naye, unyoaji, denge, haimtukuzi Mungu
Mungu akisema hiki ni dhambi ni dhambi Mungu ni yeye yule Jana Leo na hata milele!!!! Suruali ni suruali tuuuu bwana tusijifariji.......Cassian piga gombo piga gombo haya huyo anapanda wapiiii ... madhabahuni ni suruali sio sahihi!!! Shaboka Yesu anakuona ujue alafu utatoa hesabu ww ni mchungaji ujue
Hakika inatisha nakuogofwa kwa wakristo iwe viongozi au washirika wanavaa nusu uchi pia zaidi wanahudumu madhabahuni . Kwa ndugu zetu waislamu hakika wanafuata sheria na maagizo ya Mungu hakuna mwanamke wa kiislamu anaevaa suruali
Huyo mumewe hamjui Mungu hawa ndio wale mbwa katika biblia wanahubiri nakufundisha habari za Mungu wakati wao ni wadunia hii mavazi yakikahaba hayatakiwi imani bilabmatendo haipo na tena Yesu mwenyewe alisema watatuchukia kwasababu ulimwengu sio wetu mimi nimevaa sana suruali lkn baada ya kuokoka na kuamua kumfuata Mungu nikasema asante kwa Neema hii Yesu now sivai tena
Ongeza volume tena na tena hallelujah watu wamependa mafundisho ya uongo wamekataa kweli aliye na sikio na asikie ujumbe zako zatoka kwa MUNGU muumba mbingu na dunia asante mtumishi
Kweli kabisa
Huyo mama amesha jichanganya, wanaanzaga vizur lakini wanamaliza vibaya, Sasa aliyo vaa apo nyuma siyo suruali Bali Ni skin kabisa, kweli huyu mama amechanganyikiwa
Mwanamke na asivae mavazi yampasayo mwanaume na mwanaume vivyo hivyo walokole tunapenda mahubiri ya kutubembeleza hayo hayatatuponya
Kwelii kabisaa tupone we mtumish casian MUNGU akulinde iyo ndo injiri ameeen 🙏 ameeen 🙏
Pascal Asante sana kwa kuokoa watu wengi kutoka kwenye dambi umengangana sana kwa kufundisha ila wengine bado shetani amewakamata mateka hawana badiliko siku moja watakukumbuka kwa mafundisho yako ndugu yangu vile walivyo kumbuka na kutambua kwamba kumbe Yesu ndie mwana wa mungu na Roho ya mungu iko ndani ya yesu amen
ubarikiwe sana mutumishi Mungu wetu akulinde nakukuinuwa zaidi na zaidi
👏👏👏👏👏..!!! Hakika wakipatikana watu kama huyu hata 20 TU Tanzania kanisa litabadilika
mungu aendelee kukuangazia nuru yake uendelee kufichua yaliyo gizani 🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Amina,ni sauti ya Mungu ndani ya Cassian mwenye masikio na ageuke ili apone,,,,Makahaba wamevamia kanisa la Mungu na hawataki kuacha ili waangamize watu wa Mungu.
Amen evangelist pascal cassian,Mungu akuongoze umalize salama kazi ya mungu
Ubarikiwe mtumishi evelisti pascal cassian unaongea ukweli mungu akubariki sana.
Wanao mkubari cassian nione like zenu hapa.
Namkubali kutoka Kenya 🇰🇪 😍
Mweuuuu
Hauwez mwita mke wa mtu ni kahaba
Namkubali saanaaaaa❤
Tupo mweeeee
Ufunuo wa Yohana 22:19-20
[19]Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
[20]Yeye mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam; naja upesi. Amina; na uje, Bwana Yesu.
Sema kweli sema kweli roho zetu zipone Mungu wa mbinguni azidi kukupa nguvu we love you ❤❤❤❤❤❤❤
Ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA wanyooshe wapone.
sio sawa kuvaa suruali tena kwa haswa watumishi wanakua mfano mbaya kwa sisi wafuasi...lakini pia wanasababisha makwazo kwa hao wanaowtazama.sio sawaaaa
Kaka umenifaaa sana kwenye maisha kiroho binfs nashindwa hata niingie kanisa gan maama watumishi kama wewe wako wap tuna kiu ya kuijuwa kwer ya mungu wachunngaj wanafundisha miujiza tu. Natman ningekua kalibu na ulipo mungu akurinde sana najua wanavyokutazama
Mungu akubariki sana mtumishi
amen ujumbe huu nimeufuatilia xana barikiwa na mungu akutie mafuta zaidi
Amina 🙏 🙏🙏 sema wasikie wasije kusingizia eti hawakuambiwa ,, na watadaiwa hayo wanayoyasikia nakuyapuuzia . MUNGU akuzidishie maarifa nguvu baraka zake zifuatane nawe
Mimi kwakweli niseme watumishi wa Mungu tuhubiri injili ya kristo kipimochetu iwe ni kristo. Yesu sijawahi msikia anazungumzia mtu lakini alikuwa anahubiri nawatu walaikuwa wanamfata kwa zile nguvu za Mungu zilikuwa ndani yake. Niwashauri tumjue Mungu sana hatutatumia nguvu kubwa ambapo hiyo nguvu niyakumwinua shaboka na mkewake. Aisee tukihubiri kristo tutamvunia watu wengi sana kiukweli swala zima lamavazi kwa watumishi bado nikitendawili lakini yasizidi kumtangaza kristo
Mimi Ni mwanamke Ila mwanamke kwenda madhabuhuni Na suruali , hapana kwani majoho yako wapi . Wana wake tumeiingiza kwenye kanisa Kwa kisingizio kuwa Mungu anaangalia roho
Kweli kabisa
Tumeingiza dunia kwenye kanisa biblia inasema usivae nguo za mwanaume.... sasa nguo za mwanaume ni zipi kama sio suruali, Rose shaboka tunakupenda mama mtumishi wa Mungu ila unavaa mavazi mengi ya kidunia okolewa hata ufahamu wako, ombi langu funguliwa uone kweli..
Mungu angetaka uvae suruali ungezaliwa mume, wacha kutoa Mungu makosa, kwamba ulitaka kuwa mume ili uvae suruali huo ushauri wako kwa Mungu dada Rose utakupoteza.. mbele za Mungu utaambiwa ulisikiliza mume wako na kumfanya yeye mumewe Mungu wako.. God bless you brother Cassian we love you in the name of our Lord Jesus Christ 🙏 🇰🇪
Kweli kabisa chukizo la uhalibifu limesimama mahali pasipolipasa
❤❤❤❤ Ameeeni Muñgu ukulinde kuponya mioyo ya watu
Mtumishi wa mungu ubalikiwe sana kumbukumbu latolati 22 5tusifae mavazi yawapasayo wanaume
Mungu akubariki cassian mahubiri yako ni mazur san niko pamoja na wew kukataa uovu huo
Asante sana mtumishi wa Mungu,,, utiwe nguvu zaidi,,kazi yako ni ngumu,,
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Paschal Cassian. Endelea kutumikia wito aliokupa Bwana. Sisi tunakuombea kwa Bwana ulinzi wake,neema yake na nguvu nyingi ndani yako. Maneno yako hayaendi bure, kuna roho nyingi zinaponywa, zinazinduka na kufufuka kutoka ktk hali ya kupoa, kulala na kufa kiroho. Natoa wito kwa kila anayebarikiwa na mtumishi huyu wa Bwana kumuombea kila unapokuwa ktk maombi,mtaje hata kwa dk 1,2,3 n.k Bwana amtie nguvu. Si kazi rahisi hii ndg zangu na wengi waliukimbia au kuukataa wito kama huu. Amen
Haya yote Yesu naye aliyapitiya mpa ka mahakamani alipelekwa so kubari miba na misumari ukiamuwa kuhubili injili ya kweli❤❤❤❤❤
Kumbukumbu la torati 22:5
Ibarikiwe tu saaaana mti wa Mungu
Mungu wa mbingu akubariki tena na tena (je suis congolais)
Mung akutie nguvu Kaka yang Kwan mung anatupenda ndo mana amesema nasi tag Nami pia ni mtag hii ni neema kwetu kukutumia mtumishi wake ili tujue ni wap tumekosea sofa na heshima ni vyake yeye mungu wetu Amina.
2 Timotheo 4:2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Amen
Hakika mtumishi WA MUNGU Mimi mwenyewe nimejifunza vingi kupitia wewe, ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe mtumishi wa mungu sema kweli ya mungu mwenye kusikia na asikie neno hili ulilotumwa na mungu..tupone katika jina la yesu kristo
Mungu akubariki na akulinde kipindi chote katika kulifikisha kusudi la Mungu kwa kanisa tupone na ghadhabu ya Mungu
Mwenye masikio naasikie neno hilo roho aiambia kanisa
Amina, Hiyo ndiyo kweli ya Kristo Yesu.
😂😂😂Wefanya kazi ya Mungu ata nawa kina petro wali kufa wew tengeneza maisha yako awe pa moja na Mungu wako
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, unafanya kazi ya Mungu kweli.
Barikiwa mtumishi wa BWANA MUNGU qkutunze akulinde namabaya yote
Thanks for the potential message of redemption 🎉❤
Mtumishi fundusha kweli mwenye kusikia na asikie ujumbe ulilotumwa na mungu .maana watumishi wa namna hiyo anachokuwa anataka ni watu tu kujaa kanisani pale lakini panakuwa hapana roho mtakatifu maana watu wengi sikuhizi wao kwao kweli kuwaambia kweli imekuwa ni chukizo ila ukiwaambia uongo ndio kweli kwao hivyo Fanya kazi ya mungu upiyotumwa na mungu mtumishi wa mungu ili mwenye kupona na apone katika jina la yesu kristo.. ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Ni kweli tunatakiwa kulifuata neno la Mungu na siyo neno kutufuata sisi. Na huu ndiyo ukristo.
Nimachukizo sana asome
1 Timoteo 2:9-10
Isaya 3:16-24
Yeremiya 4:30-31
Mithali 7:10-12
Mavazi yana mutambulisha mutu
Kumbukumbu 22:5
Hapana kwa kweli tunatia huluma Shaboka usitudanganye
Nokweli kabisa unachokemea kiko sahihi japokuwa namimi naval suruali naomba mungu aniwezeshe rohoni hadi mwilini niendanene namaagizo yake mungu
Amina wewe tengeneza tengeneza, lkn ingia nawe ndani ufanye yakusayo. Usikosee chochote wewenkwa kinywa chako. Mungu akuhifadhi Sana Mtimishi Cassian. Amen
Mwanamke anapaswa kujisitiri, Mungu atusaidie kwasababu ulimwengu umeisha, na shetani naye amekazana kuzalisha vitu vingi vya kutupoteza wanawake, Yesu Kristo utuokoe, maana vitu vidogo vitatuangamiza, si suruali tu hata marembo tunayovaa yanatutoa kwenye ule mfano wa kufanana na Mungu.
mungu akupe maisha malefu mtu mishi
Ongera pastor
Mungu wa mbinguni akutete na akubariki baba
Mungu akutie nguvu kuendelea kuisema kweli maana Dunia imeharibika mno. Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu songa mbele kwa Jina la YESU.
Mungu akujalie mtumishi, paza sauti sana
Ongea kaka asante mtumishi kasian big up sana 🎉🎉🎉🎉
Mungu akutunzee sana mtumishi vita yako ni kubwa sana na Mungu akupiganie
Washa moto baba Mungu akulinde na akutie nguvu Mungu nijalie moyo huu
Barikiwa sana Mwijirist kuhani wa Kweli Mungu akulinde sana
Yeye aliye wa Mungu atakusikia ila washetani hata umfungie kengele maskioni hawezi kukusikia, ubarikiwe sana
Mzee wa kunyoosha wanyoosheeeeee!❤
Huyo mama huwaanafundisha viri ira kwenyemavazi ndo changamoto Mimi namshauri akiwa anafanya kazi yamungu kweri suruwari a home moto SI kumgawia mwingine
Mungu akubarik myumish
Mtumishi ubarikiwe sana,ila kizazi hiki cha nyoka kitakupinga tu kwa sababu ndivyo walivyo katika mavazi!maumbile tu ya wanawake kwa suruali ni kueneza uzinzi tu na shetani sasahivi anawatumia sana wanawake kuwakosesha wanaume ambao kupitia kuona au kutazama uzinifu unaingia!
Amen sana mtumishi ni sahihi Hawa watu wanalipotosha kanisa
Amen Amen ukweli ongea mutumishi suluwali haikubiki kwamwanamuke nivazi lamwanaume tusome bibilia wapendwa
Sema mtumishi watu waponeee❤❤
Amina kubwa najisikia nguvu ya kumtetea Mungu kwawa 2 ambao hawamchi Mungu by Nikolaus wa FGS TZ 🎉🎉🎉
Amen amen piga KAZI Mkuu, mavazi yote ya kukosesha ni dhambi na mauti.
Wewe unaisema kweli kama ilivyo, nyoosha njia mtumishi sisi tunakuelewa
Amepotosha sana; "eti anasema kuna suruale kwa ajili ya wanawake" hivyo leo hii kukitolewa "gauni" kwa ajili ya mwanaume utavaa wewe???
Hizo mapambo na surwali vina shusha umuhimu wake na mungu awache mapambo suruali ni kwa mwanaume peke yake mbona mama zetu hawakuvaa surwali kizazi hiki kimedanganywa na shetani ala fu wanajifanya ni wachungaji kwanza wanatuharibia wake zetu na hizo kanisa zao anafundisha wake zetu uchafu wa mapambo ya mwili kujichibua akome kabisa ameme bibilia vizuri kuhusu mapambo na bwana wa huyo Rose pia asome bibilia vizuri
Kumbe shetani anatumia wachungaji ambo wanajifanya kushauri waumini kumbe ni kuwapotosha ata kuliko shetani mwenyewe
Mama mch anavaa makwapa wazi alafu mnateteana ujinga asipo jirekebisha mbinguni atapahubiri tu kwan ni kizuizu tosha cha kutouona mbingu kwan shetanu ni mshtak wet
Kanzu
@@MahraKhan-gd7pbkanzu😂
NAKUUNGA MKONO MTUMISHI 100% WAPE DOZI ZAO
Nkt, ole wako unaepotosha neno la Mungu , maana kikombe cha adhabu yako yakusubiri siku ya kiama. Eti, kuna suruali ya wanawake, nkt, Mungu akusamehe.
Mie mama wa watu navaa suruali, ila nikinunulia mtoi wangu wa kike nguo, sinunui suruali. Niendapo kanisani navaa rinda maana kazi ndio hufanya navaa suruali.
Naomba Mola ili nitakapobadilisha kazi, nisirudie suruali japo mie ni binadamu na kukosea ni kawaida, naomba Mungu anisaidie kwa sana.
Honger utakuf Ukisema ukwèr
Mwanamke naavae mavazi yampasayo mwanamke. Na mwanaume avae mavazi yampasayo mwanaume.
Safi sana Pascal.
Kumbukumbu 22:5
Sasa mbona Kuna suruali zakike nazakiume???? Hapa inakuaje???
@@furahaalfred1416vaa ukienda date na mume wako si madhabahuni
Hakuma suruali za kike ndugu ni mbinu ya shetani alikuja na hilo jina suruali za kike zinduka ndugu@@furahaalfred1416
@@furahaalfred1416
KumbukaUlimwengu unatawaliwa na shetani, kwahiyo anaweza fanya chochote ambacho yeye anajisikia, kwahiyo jipange sawasawa.
MUNGU akutunze sana brother...
Mtumishi Mungu akubariki kwa kuitetea kweli ya Mungu
Ama kweli,
Inashangaza sana watu wa mungu wanahangaika na mavazi kuingia mbunguni,mavazi ni kujisitili tu hakuna mahusiano na kukutana na mungu,jadilini mambo ya maana Kwa jamii kama kuacha uharifu,watu wanavaa cola harafu wabakaji,walawiti,wezi na mengine kama hayo.
Ni kweli isiyopi ngika kabisa kuwa mavazi hayana uhusiano na Imani na matendo mema.
Kuna watu wameficha tabia zao mbaya kwenye mavazi haisaidiii.
@@RoidaMbemba watu hawaelewi wanafikiri kwenda mbinguni ni mavazi sijui wanasomaje maandiko
Ila jamani ukweli ni ukweli tu hayo sio mavazi ya kusimama madhabahuni. na kwanini watumishi wa sasa hawasikiii maonyo?. Kwanini usivae vazi la stara.@@Justinamwakajumba
Pole sana wewe ndiyo huelew maandiko soma kumb la torati 22:5
Inasikitisha sana 😢kuona mtu u anatetea ubaya hadharani bila haya
Kila mjadala ninaona ni kulingana na mazingira ya tukio nadhani kuna vazi limetukia mahali sio pake maana Biblia imesema mtawajua kwa matendo.hivyo matendo yamebeba mambo mengi mno pamoja na hayo usemayo
Kuna Siku Mungu alinifunulia hivi kanisa liko Uchi Kulingana na Mavazi wanayovaa
Ile sauti ilikuwa inatisha Akaniambia hili ndilo kanisa la siku za Mwisho liko Uchi ,
Ndipo alianza kunifunulia Mavazi ya KITAKATIFU
Mbingu sio lelemama Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia
Amen Amen
Uchi aumanishi kutovaa nguo bali kupoteza utukufu wa Mungu au Nguvu za kiungu ila kama wanavaa mini hapo sawaa.soma mwanzo utaelewa acheni kutafisiri maandiko kimwili na mtakavyo
Huwezi kutembea uchi kimwili na utukufu bado ukabaki nao@@odilomwemeziernest646
@@odilomwemeziernest646
Amesema amefunuliwa.
I love Mama Shaboka❤
Hata mimi nampenda ila hapo kwa suruali kakosea😢.Mungu atusaidie na atufungue macho
Ungurumaaaaaa washaa motoooo kemeaa onyaaaaa kalipiaaaa mpakaa kielewekeee
Kwenye madhabahu ya Mungu hatakiwi, Mungu amekataza, anauonekano mzuri, kwa sababu ya urembo bandia , uzuri wa kununua ni makosa.
Mungu atamhukumu huyu mama na mmeo
Hatukuumbwa na nguo nyau NYINYI..Mungu hakumvalisha Adam nguo
Ni muzuri Sana kuonyana Ila hata andiko linasema umujiye mutu kwanza baada akikusikiya utakuwa umemupata. Mimi si zani kama kwa hekima nzuri kuonya mutu kumutandao itakuwa ni hekima kbs.
9:18 kwani huyu alie vaa suruali madhabahuni ame jificha ?si amevaa waziwazikabisa huku akijuwa ni kosa ?acha na yeye aonywe waziwazi bila kuficha
Kweli kabisa, n'a tume faidi sisi wengine
Mtume paulo alisema akimwambia timotheo wakemee hadhalan ili na wengine waogope ili wasitende na wao kama hapo.
Neno la MUNGU halibadiriki,kumb 22:5 mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume.ni kama alivyo sema usizini.Mungu anatuwazia mema.shetani kama Simba aungurumaye amepofusha macho yetu na kuona dhambi nyingine Mungu alijisahau isingekuwa dhambi.lakin mzinzi,mwabudu sanamu na muuaji,na mwibaji wote watahukumiwa Sawa na anaye vaa mavazi yasiyo mpasa.Mungu siyo mwanadamu ajute kuhukumu walioasi Sheria zake wewe endelea na mambo yako ya kupotosha kanisa kwamba hakuna hukumu juu ya mavazi.matendo 2:21 kila aliitiaye jina la Bwana ataokolewa
Huyo ametoka machoni pa Mungu,ameanza kufokasi sifa aitwe akubalike na wazungu aende akahubiri,wamemshauri kwamba aanze kuvaa nahuku anajua kabisa kwamba nimachukizo machoni pa Mungu,ameamua kuasi kwakipande
Tukipata wachungaji watano kama wewe Africa itabadilika uko sahihi kabisa ..kwenda madhabahuni na trousers 👖 😢zii avae akienda na mume wake date.....nakukubali from Kenya 🇰🇪
Sasa uyo anae sema tchukue kondo na ng'ombe iyo ime kuaje na wakati yesu krisoto ali kuja kutowa damu yake ili tuwezeshwe na damu yake
Uko sahihi kabisa asilimia mia ubarikiwe
Yaani watu wengi wa sasa, Mabaya ndiyo mazuri na mazuri ndiyo mabaya kwao. Ubaya unatetewa kwa nguvu kubwa sana hadi mtu unashindwa kuamini. Unaanza kufikiri mara mbili mbili, kuwa mimi ndiyo nimekosea nini..!
Yaani MUNGU aliye hai atusaidie sana
Baki na Neno mpendwa litakusaidia
@@HappyFlowers-ee8ru Amina
Imani inaambatana na matendo hatuungi mkono vazi la surual Kwa mwanamke ni ukahaba mtupu tena umalaya sugu
Asante sana pastor
WE SHABOKA USIWAPOTOSHE WATU MAANDIKO YANASEMA KWAMBA MWANAUME ASIVAE MAVAZI YAMPASQYO MWANAMKE PIA MWANAMKE ASIVAE MAVAZI YAMPASAYO MWANAUME. 😢😢😢 oohh!! Kuna suruali za kike na zakiume. Mbona hakuna sketi za kike na za kiume?😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kumbukumbu la Torati 22:5.
Hata Hamna mavazi yanayompeleka mbinguni mtu unaweza kuvaa hayo Madera mabaibui na bado ukawa nyoka bhanaeee
@@MaselePatrickpoint 📌📌📌📌 …. Na hakuna mahali Mungu alisema suruali 😂😂ni za wanaume …alafu huko zaman mbona wote walikuwa wanavaa majoho na kanzu watu wote🙄🙄
Ikiwa wewe uwezi kuvaa usimuhukumu anaevaa kazi hiyo mwachie Mungu soma warumi 14
Wewe casian ulikuwa kwenye mambo ya freemason na uganga umepita huko sasa hivi umebadilika tatizo waliokuachia hao ni kuwazungunzia watu tu huna muda wa kuangalia maisha yako bado hujajitoa kule jitoe kabisa kisha Rudi huku watu watakuelewa
Kila mmoja atajibu kivyake Yesu akija chukua kanisa
Maana Kila mmoja ukweli anaujua
🙌🙌
Cassian yup sawa❤
Kweli huu ni upotoshaji mkubwa maana biblia inasema kwamba mwanamke asivae mavazi ya mwanaume na wala mwanaume asivae mavazi ya mwanamke inatisha nakuogofwa mchungaji anatetea maslahi yake binafsi kwa mkewe lakini atadaiwa nafsi hiyo 😢😮
Hizo nguo anazovaa, ni zakizinzi, suruali, kimini, nguo ya kushepu makalio, nguo kwapa wazi ni nguo za kizinzi,
Mwanaume naye, unyoaji, denge, haimtukuzi Mungu
Nakataaaa
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Shida kubwa ni kwamba watu wengi wanaishi na kulitamka jina la mungu lakn bdo wanaupenda ulimwengu
Mungu akisema hiki ni dhambi ni dhambi Mungu ni yeye yule Jana Leo na hata milele!!!! Suruali ni suruali tuuuu bwana tusijifariji.......Cassian piga gombo piga gombo haya huyo anapanda wapiiii ... madhabahuni ni suruali sio sahihi!!! Shaboka Yesu anakuona ujue alafu utatoa hesabu ww ni mchungaji ujue
Hakika inatisha nakuogofwa kwa wakristo iwe viongozi au washirika wanavaa nusu uchi pia zaidi wanahudumu madhabahuni . Kwa ndugu zetu waislamu hakika wanafuata sheria na maagizo ya Mungu hakuna mwanamke wa kiislamu anaevaa suruali
Kristo awe haiwezi wetu. Tujitahidi kumjua na YESU NA KIMKARIBIA HUO NDO UTU WA NDANI.
Huyo mumewe hamjui Mungu hawa ndio wale mbwa katika biblia wanahubiri nakufundisha habari za Mungu wakati wao ni wadunia hii mavazi yakikahaba hayatakiwi imani bilabmatendo haipo na tena Yesu mwenyewe alisema watatuchukia kwasababu ulimwengu sio wetu mimi nimevaa sana suruali lkn baada ya kuokoka na kuamua kumfuata Mungu nikasema asante kwa Neema hii Yesu now sivai tena
Cassian hio ni kweli tupu mwanamke kuvaa suluwali ama nguo fupi ni ukahaba wanaleta ukisasa kanisani hao wote ni makahaba Tena makahaba