CASSIAN AELEZA CHANZO CHA KUTENGANA NA MKE WAKE EV PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 36

  • @babybossfr
    @babybossfr 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    It's happening to me right now servant of God, pray for me 🙏

    • @ujumbekwawaulimwengu
      @ujumbekwawaulimwengu 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mungu akupiganie akutie nguvu iposiku utashinda

  • @TABBYHEAVEN-kg1qo
    @TABBYHEAVEN-kg1qo 6 วันที่ผ่านมา +3

    Asante mtumishi,story yako inanitia nguvu, siwezi kata tamaa kabisa haijalishi nini ntakutana nayo maishani , ntapigana hadi mwisho💖💖🙏

  • @PatriciaSidi-c4w
    @PatriciaSidi-c4w 2 วันที่ผ่านมา

    Amina Mtumishi wa Mungu barikiwa sana wakati wowote usidharau masikini diye tajiri wa kesho barikiwa ushuhuda mzuri sana ❤❤❤❤❤

  • @MercylineNelimaWekesa
    @MercylineNelimaWekesa 5 วันที่ผ่านมา +2

    Asante Yesu kwa hili,umenijibu kwa wakati unaofaa,Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ushauri mzuri mno, kila mtu ana baraka yake na hata kama itachukua muda gani ni lazima kuifikia bora kutojikatia tamaa. Kile unacho azimia moyoni ndicho kinatokea.
    Mungu yupo ukimwamini Mungu anakupa elimu ya rohoni. Mungu ndiye anayepeana akili. Sitakata tamaa nina Yesu.
    Asante sana kwa mafundisho ya kutusongesha mbele.

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 5 วันที่ผ่านมา +1

    Tunashukuru Mtumishi wa Mungu kwa kututia Moyo,Hakuna kukata Tamaa in Jesus name.Amen

  • @GeorgeNyambuya-t7x
    @GeorgeNyambuya-t7x 5 วันที่ผ่านมา

    Amina mtumishi kwa maneno mazuri ya kututiya moyo maana hii ipo kwa wachache sana na MNGU akubariki 🙏

  • @lightness9756
    @lightness9756 6 วันที่ผ่านมา +1

    Shalom shalom servant of GOD
    ..thanks for beautiful courage in JESUS ooh keep shining

  • @SharonShibalia
    @SharonShibalia 5 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana mm hapa nilikuwa nimekata tamaa nikasema mungu ameniacha ndoa nilikata tamaaa niliaply kurudi kazini uwarabuni kila ninapo fanya juhudi za kurudi mambo haendi sawa imepita sasa miaka miwili hakuna majibu kumbe kuna seco

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 6 วันที่ผ่านมา +1

    Amina Baba Mungu akupe miaka mingi kweli hofu mbaya ni yakuikataa

  • @Reginajohnson-1988
    @Reginajohnson-1988 6 วันที่ผ่านมา +2

    HALELUYA SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU AMEN UBARIKIWE

  • @JasmineMilima-e7m
    @JasmineMilima-e7m 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi Wa Mungu aliye Hai ubarikiwe Kwa kutumia moyo tuliopitia Kwa mapito hayo umenifanya niwe mtu Wa kujiamin Tena ameeen

  • @EshaMichael
    @EshaMichael 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    AMEN

  • @افااقع
    @افااقع 6 วันที่ผ่านมา +1

    Nimefundishika kitu hapa mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @EstherCharo-lc3md
    @EstherCharo-lc3md 4 วันที่ผ่านมา

    Ameeen

  • @GervasMwampamba
    @GervasMwampamba 5 วันที่ผ่านมา

    Amen mtumish cassian naona. Upo home petu

  • @EstherCharo-lc3md
    @EstherCharo-lc3md 4 วันที่ผ่านมา

    Yessss

  • @chidavunabintu7208
    @chidavunabintu7208 5 วันที่ผ่านมา

    Amen mtumishi

  • @AlphaImpact-l4r
    @AlphaImpact-l4r 4 วันที่ผ่านมา

    Alléluia alléluia alléluia alléluia

  • @achiengvelinda940
    @achiengvelinda940 5 วันที่ผ่านมา

    Yes true story yako nilifatilia aki mpaka mwisho story yako inaguza Sana mtumishi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 6 วันที่ผ่านมา +2

    Barikiwa mtumishi wa Bwana. Usiogope, usijikatie tamaa.

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 วันที่ผ่านมา +1

    UBARIKIWE

  • @GAlice-cn5zh
    @GAlice-cn5zh 4 วันที่ผ่านมา

    Mafundisho safi kabisa! Lakini hapo kwenye swala la ndoa haipo sawa kabisa, naomba rudia maelekezo ya Mungu kuhusu ndoa-hakuna wakuwatengasha bali kifo! Mtumishi Roho wa Mungu akufunulie..I say hii safari ya wokovu ni binafsi

  • @VailetAmely
    @VailetAmely 5 วันที่ผ่านมา

    Amina umetutia moyo

  • @RhodaLema-z8w
    @RhodaLema-z8w 5 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi ninakushukuru sana kwa neno pamoja na yote niliyopitia Mahakamani miaka kumi na tano mpaka sasa sijakatamaa niombee bado napambana nipate Haki pamoja na mazingira ya Rushwa kunitesa na kubadilisha Mawakili kila leo baada ya kugundua hujuma zao

  • @Reginajohnson-1988
    @Reginajohnson-1988 6 วันที่ผ่านมา +1

    KWAIYO UMEOWA TENA AU ILIKUWAJE MTUMISHI

    • @ImakurataZacharia
      @ImakurataZacharia 5 วันที่ผ่านมา

      Yule alikuwa mchumba ,na alikuwa hajaokoka

  • @VailetAmely
    @VailetAmely 5 วันที่ผ่านมา

    13:14 13:16

  • @madpeoplezzzz5121
    @madpeoplezzzz5121 6 วันที่ผ่านมา

    Hunamahanisha mwanamke Haolewe mara 7 kupata mwenza wake

  • @JulieMangah
    @JulieMangah 6 วันที่ผ่านมา

    Kaka yangu minilizani uliachana na mke wako kumbe bado aujaowa ni mwanamke uliyempenda ila aukumuoa, ulivyo handika kwenye title utazani ni mke halali kisha mkaachana, lakini kwayote Mungu ni mwema aliyekuponya sifa ni kwake.

    • @Techer-AllenSalufu-cv1ub
      @Techer-AllenSalufu-cv1ub 6 วันที่ผ่านมา

      Mtumishi gani Muongo hivi, Title iko kiuongo Sana!!! Kwahiyo yupo kibiashara Sana U tube

    • @Imani-u7w
      @Imani-u7w 5 วันที่ผ่านมา

      @@Techer-AllenSalufu-cv1ubhayupo kibi ashara. Mwambie mungu akupe kuona wokovu wakweli na bandia akuna mtu kama cassian uko tanzania 🇹🇿 anaye waubiria watu kuusu siku za mwisho na number ya mpinga christo next time kabla yakujibia vitu ao kitu usichokijua fanya utafiti naumuite mungu hakuongoze tuko kwenye siku mbaya sana