Mfahamu Mmiliki wa Mlimani City|Gullaam Hussain|Maisha na Mafanikio yake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2023
  • #dullysantz #santzmedia #mlimanicity#millardayo #siri #wasafi#wasafimedia#wasafitv #efm#clouds #simulizi
    Historia ya mwanzilishi na Mmiliki wa Mlimani City ifuatilie hapa...
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 44

  • @amourmohamedfaki4506
    @amourmohamedfaki4506 9 หลายเดือนก่อน +6

    Ndugu yangu tofautisha r na l tujue unamaanisha nn

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv3429 6 หลายเดือนก่อน

    Miyeyusho

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hakuna kitu kigumu kama ukiwajibika na kumtegemea Mungu.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 หลายเดือนก่อน +3

      Safi sana Erick na usiache kumuamini mungu utafanikiwa ,pia usiache kufuatilia SAN TZ MEDIA

    • @PLAYPROGAMING568K
      @PLAYPROGAMING568K 2 หลายเดือนก่อน

      Ukweli ni kwamba majengo mengi ya nhc na hata maelezo mengi ya sarekali wanaigia ubia kuwa ardhi ni yako mimi na jenga na kwasababu naingiza pesa zangu nitakupa gharama ya pesa na kiasi fulani ya eneo la jengo kodi itapokea sarekali na hata baada ya kujenga matengenezo yote ya baada hata miaka 35 anajenga ndiyo anamiliki na kila mara kufanyia matebgenezo kwa Tanzania inajulikana kwa ubiq au joint venture) na umoja wa sarekali ya Tanzanian na sector binafsi yaani kitu kimoja wote ni wazawa na nchi ya Tanzania ni nchi inajengwa majengo mengi ubia sector binafisi na sector ya sarekali na umoja kama huo ndiyo unaona majengo mengi marefu yako vizuri na marekebisho ya mara kwa mara ukiacha yale yaliyotaifishwa yako halo mbaya ndiyo sasa sarekali imeanza kutengeneza tena kwa hiyo Tanzania tuko vizuri sana katika kushirianq na sarekali yetu kujenga taifa letu .
      Tanzania haina ubaguzi wa rangi na dini ,na kabilq katika wananchi wake alhamdullilah mungu aibariki Tanzania yetu na watanzania wote kwa hali na Mali na umoja wetu ameen

  • @frankngajilo7137
    @frankngajilo7137 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mpangaji

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Mfanyabiashara

  • @revocatusbarnaba1491
    @revocatusbarnaba1491 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilichokuelewa hapo ni jina la mmiliki tu. Mengine mwache mwenyewe alikopita anakujua.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

  • @seketawaissa1129
    @seketawaissa1129 2 หลายเดือนก่อน +2

    Serikali ya bostwana ndio wamewekeza hapo mlimani city

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Sw lakini umeiskiliza Kwa umakini Makala hii

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 2 หลายเดือนก่อน +3

    Lakini mnajua kitu ikimilikiwa na serikali inazorota siombaya kwani simnapata huduma

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Serikali wao wapo kwenye share

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 2 หลายเดือนก่อน +1

    Adimin ungefanya uchunguzi wa taharifa yako, Mmiliki tunamjua we umedanganya

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni Vizuri ukatuambia mkuu ni Nani ??,maana record zetu na details zetu zinatuambia hivyo. Kama haukubariani na ukweli Huu , Basi waaminishe watu Kwa kuwaekea mmiliki halali wa Mlimani city utakuwa umeisahidia jamii kuepukana na uwongo Huu😂

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yani history na safari ya mtu na ukweli ana boss mwenyew sisi wengi wapiga kelele tu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Tuelezee Vizuri comment yako haijeleweka😟

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 2 หลายเดือนก่อน

      @@Santzmedia huja elewa nn mbn ilikuwa rahisi kutupa story ya huyo boss alafu imekuwa ngumu kuelewa yangu wacha nikwambie na hili na semaga kila siku acheni kuwa potosha watu hakuna utajiri unakuja kirahisi kama unasoma gazeti la udaku na hakuna tajiri anayesema ukweli kapataje utajiri wake kwa hiyo

  • @user-vb9ys5qg6u
    @user-vb9ys5qg6u 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kiswahili bado ni tatizo kwa waandishi wa habari

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน +1

      Tunaitaji Darassa "Tumepokea mawazo yako Mpendwa Ahsante

  • @jomba6514
    @jomba6514 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi tunaweza nini?

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sio mchezo

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 2 หลายเดือนก่อน +2

    Na yeye ndiyo mmiliki hata Leo wako share ila amejenga yeye ubia

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Thanks bro's

  • @MujuniKamugisha
    @MujuniKamugisha 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unapotosha umma acha kudanganya watu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Tupe ukweli

    • @PLAYPROGAMING568K
      @PLAYPROGAMING568K 2 หลายเดือนก่อน

      Hapotoshi wewe ndiyo hujui ukweli.wa jengo na ndiyo maana unaona mtu anapotosha hata Leo makaratasi yote yanasoma ubia ya mzee gulam hussein na ndiyo hata Leo anakarabati yeye na kusimamia pale yeye wewe ndiyo Acha kupotosha usichokijua ukweli wake wa mmiliki ni yeye

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli hata magufur alisema

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      🤓

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ni uongo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน

      Upi sasa?

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli ni mmiliki wa gulam hussein hiyo haikujengwa na sarekali imejengwa na mtu binafsi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      👊👊

  • @user-ex2yp9vn9k
    @user-ex2yp9vn9k 2 หลายเดือนก่อน +2

    Muongo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni Vizuri ukatuelezea ukweli Ili wasiofahamu ukweli waujue kutokea kwako

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb 5 หลายเดือนก่อน +2

    Unapotosha umma

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ukweli ni upi sasa

  • @AbdulhNiheka-ck3pk
    @AbdulhNiheka-ck3pk 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mbona watu wanasema mmiliki wa mliman city ni serikali vp ww unasema ni mtu binafsi

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 หลายเดือนก่อน +6

      weeee sio la serikali kajenga mtu binafsi ila mkataba na serikali ni miaka 100 ikimalizika hyo miaka basi ndo jengo linakuwa na serikali ila kwasasa serikali inachukua asilimia zake kodi zake.

    • @PLAYPROGAMING568K
      @PLAYPROGAMING568K 2 หลายเดือนก่อน +2

      Siyo kweli ila jengo lofote baada ya miaka mia inakuja karne nyingine na jengo linachakaq kwa hiyo ina title ya miaka 99 ila wakaguzi wakikqgua wakaona bado ina ubora wa kuweza kuendelea huwa wana endelea renew title na hata hivyo hiyo ubia humo bia kuna waliyonunua ofisi na waliyonunua apartment na magalaa kwa hiyo kuna subtitles kwahiyo kunyanganywa siyo rahisi labda jengo lianguke au lipasuke kwa zalzala kwahiyo swala la 100 ni ubora wa ardhi na mahali jengo lilipo hiyo hafa ukiwa na hati miliki title yako inesoma miaka 66 au 99 ni sheria ya wizara ya ardhi kuweka kikomo ya jengo au ardhi hiyo ni kwa hati zote dear

    • @bensonmwakasege3799
      @bensonmwakasege3799 2 หลายเดือนก่อน +2

      Hi mtu Binafsi kaingia ubia na selikari

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli mlimani city sio ya selikali

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน +3

      Eneo ni la serikali yy kainvest tuu!!