Mdee: Ukiona Dar kumekucha ujue nchi inaondoka
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- Mh. Halima Mdee akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Dar es salaam katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Jangwani wakati wa uzinduzi wa vuguvugu la mabadiliko (Movement for Change) katika Mkoa wa Dar es salaam uliofanyika tarehe 26/05/2012.
namkubali halima mdee
Nakupenda sn dada chapa kazi
Mhuuu upumbavu mtupu naona hapo halima acha kudanga nya mnajipa Moyo sana badae mkishindwa mnasema mmeibiwa kwa sababutu mlijipa uhakika wa kushinda we Kazi yote hii aliofanya mama bado tu mnajipa matumaini ya kushinda kweli mna roho Ngumu haya acha tuone 2025 mchukue mkoa wote wa dar mhuuu
Ilikuwa zamani
halima nakupendaga bure dada yangu
Nimefurahi sana kuona mwitikio
Msahau kuingia ikulu
kamandaaajike
Chapa kazi mama !?!!!
Lini hii
Mmetoka mbali
Hi
Kudadeki harakati kama kawaida
Ww zakia kwenye biblia au msaahafu wapi kumeandika upinzani hauwezi ingia ikulu ndo tuamini vitabu vya mungu?
Ww zakia mbumbavu hujielewi
Pumba hizo kujichosha bila malipo
Huna lolote karekebishe saut nyaubaa weee