MAENEO 10 AMBAYO SANDUKU LA AGANO(ARK OF COVERNANT) LIMEFICHWA FREEMASON WAHUSIKA SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 มิ.ย. 2020
- MAENEO 10 AMBAYO SANDUKU LA AGANO(ARK OF COVERNANT) LIMEFICHWA FREEMASON WAHUSIKA SANA
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#simulizi
#freemason
AUGUST ALSINA Alipewa UMAARUFU NA ILLUMINATI ajuta Kuiba MKE wa WILL SMITH Mateso yake BORA KIFO
th-cam.com/video/sJYp_DWAQgc/w-d-xo.html
Sanduku la Agano ni uwepo wa Mungu mwenyewe. Sanduku la Agano lipo Tanzania.
hongera sana tena na tena KAKA YETU JOSE SKILLS ,, nakupongeza sana kwa kutupa ukweli,,,, hakika upendo ulio nao kwetu wasikilizaji ni mkubwa sana , na uyasemayo ni ukweli mtupu,, hongera sana ,,,, daima twajifunza mengi kupitia maelezo yako mazuri ,,sisi watanzania twajivunia sana elimu utupayo,, kwani inatuweka huru sana ,,japo ukweli unauma lakini lazima mambo yawekwe wazi mwenye masikio asikie
Usidanganye watu sanduku lilipo fichwa hakuna awezaye kuliona lipo chini chumba cha ndani pia huwez kulitoa bila ya kupata kibali cha Mungu soma andiko vizur mtu alilinyooshea mkono tuu akafa hapo hapo hao wanazo njia zingine na siyo sanduku hilo lipo hadi kesho
Mnatuvuruga
mnajua wenyewe bahna Mimi namjua mungu2
Yelemia kalibebaje pekeake sasa
Lipo nyashishi
Dah!!! kaka nakuelewa sana!!! tumefichwa mengi sana!! Mungu (ALLAH) akusimamie utufahamishe zaidi!!! ila sijaliona sanduku la agano kwenye QURAN!! kama umeliona huku kwetu nifahamishe nikalisome!!!!
Soma torati ya musa ndiyo utaona yeye ndiyo aliye pewa hilo sanduku maana yake agano lao amri kumi za Mungu hicho ndicho kitabu cha kwaza au muongozo
KIFO CHA MKE WA BABU TALE WASANII HAWA WASHINDWA KUJIZUIA HISIA ZAO WAUNGANA NA DIAMOND PLATNUMZ
th-cam.com/video/hqMAyjNQXRg/w-d-xo.html
Tricod Media kunasiri kubwa haapo angaliya kwajicho kubwa hapo kuna kafara kubwa ililotolewa, wakicheza wakifurahiya 🙏😭😭😭 kuolewa nawasaani tutauwawatu
Tz muko na news zengine zakuuthi
Tupe ukweli wa Ginimbi
Hahaha siyo kweli kwa mujibu wa maandiko ya biblia yanathibitisha sanduku la Agano lipo mbinguni
Daah nnachojiulza baada ya Yesu hii miaka hapa kati mpk miaka 1700 n nn kilipita? Au gharika?
Watu walikua wanauana tu kama machizi yaani hahaha
@@TricodMedia inaweza kua sabab tosha ya technology na population kwendelea? Na km ndio mbona kipindi cha first world war na sec.mbona haikuathir ukuaj wa technology? Zaid tunaona ndo inakua zaid
Sanduku hilo lipo Morogoro wilayani Kilombero Kata ya Mofu Kitongoji cha Sakarani
Kaka ya kwel haya
Sanduku la Agano ni uwepo wa Mungu mwenyewe. Sanduku la Agano lipo Tanzania.
Dah