Kiongozi wa binadamu na wanyama nakukubali sana huna makuu wala baya na mtu. Ee mwenyezi mungu mtie wepesi profesa jay apone kabisa nakusahau kwamba alidhapitia magumu hayo pia tusamehe sisi watanzania tulioko nyuma yake tulio muwazia na kumzungumzia vibaya mja wako mdu huu nakuomba mwenyezi mungu yale yooote! Mazu na mabaya yakawe mtaji kwa profesa jay amina!
Yesu ni Bwana..aliyajua haya kabla ya kuumba ulimwengu..na alisha uandaa msaada kabla hatujazaliwa...akasema "njooni kwangu ninyi nyote mnao sumbuka na kuelemewa na mizigo nitawapumzisha"...maisha ni kuchagua lakini hembu tuchague kwenda kwa Yesu huyu msaada ni uhakika hakuna kupanga foleni..
Tunamshukuru sana Mungu kukuweka hai.yalisemwa meengi lakini ni kutokujua ukweli wa jambo.Hongera sna kaa hatua hiyo na tunakutakia Afya njema nyakati zote na Mungu akuwezeshe ukamilishe ndoto zako siku moja inshallah ❤❤❤
Hongera sana kaka yangu wa kunyumba, MUNGU amekupa nafasi nyingine ili uweze kumtumikia yeye na WA Tanzania kikubwa uzidi kumshikilia yeye MUNGU peke yake. Hongera tena kwa ujasiri na usubutu. Tunakuombea afya njema.
Ni wakati wako sasa wa kufanya mema kwa muda uliosalia kwa kibali na rehema za Mwenyezi Mungu alizokupa kwa kukuongezea siku za kuishi kabla ya mauti. Acha nyimbo za ovyo....imba nyimbo zisizo kukosanisha na Mwenyezi Mungu. Iwe heri kwako, familia na taifa letu
Pole sana kaka professor J tumefurai sana san kukuona Afya yko ikitengamaa .mungu endelee kukupa nguvu uendelee na mapambano yaku wasaidia wengine. Wenyematizo.
Mungu akuponye j. Ila nasisi wananchi tuchkuwe Elim chumvi sukar tule kwakias vinywaji vikali tuvipite mbali maan uwezo wa tiba nimkubwa kuliko kawaida
Kaka kwa hakika Mungu akubarik sana sana wewe ni mfano wa kuigwaa kwa hiki ulichokifanya kwa watanzania hakika Taasisis hii itakuwa mkomboz Kaka HAKIKA MUNGU NI MWEMAAAAAA
Huyu Baba angetulia kwanza bado hajakaa vizur kiafya ukiangalia na mda aliumwaa,zaidi ya yote tuzidi kumuombea Sana 🙏🙏
Unajua watanzania kwa michongo ya hela!!!
Wewe ndio docter wake mpaka useme hajapona
Kila kinachofanyika kwake hatujui mungu kampa maono gani muhim ni kumuombea lengo lake litimie
Amen
@@chingebrazilmrefu6124 hatakama hujasoma picha huoni?
Professor jay bado hajawa sawa ila Mungu atamjalia na atakuwa sawa.
ALLAH AKUPE SHIFAA .NA AWAPONYE WANAO SUMBULIWA NA MAGONJWA MBALI MBALI
Pole sana alla akujaali utapona kwani hii ni majaribio kwetu hii ni mitihaha ya allah
Kiongozi wa binadamu na wanyama nakukubali sana huna makuu wala baya na mtu. Ee mwenyezi mungu mtie wepesi profesa jay apone kabisa nakusahau kwamba alidhapitia magumu hayo pia tusamehe sisi watanzania tulioko nyuma yake tulio muwazia na kumzungumzia vibaya mja wako mdu huu nakuomba mwenyezi mungu yale yooote! Mazu na mabaya yakawe mtaji kwa profesa jay amina!
Kutoka kenya mungu amtie nguvu prof.ninaimani kwa kazi ile umefanya baba
Pole Sana prof.Mungu azidi kukujalia uzima kwa kweli
Pole sana mungu wambinguni ata kuponya
😢😢😢kabadilika jmn Hadi namuonea huruma jmn
Mimi nakushauri achana na mziki rudi kwa allah
Polee jose inauma sana Pole wajina Mungu akulinde upone 🙏
Mungu akutie nguvu sana Brother nakukubali ssna
Pole sana kak mkubwa mungu akupe maisha marefu
Kuna ngome ya Yesu kimara temboni,ukirika tu ni wa tatizo lako
Ngome ya Yesu ni Yesu mwenyewe ukimwamini na kumtumikia ktk Kweli Na haki unapona
Mungu akufanyie wepes prof.j
Mungu akutie nguvu,pole sana prf.J
Mungu yuko pamoja nawe utapona kaka pole sana
Safi mungu mkubwa tunaombea ukae sawa sauti irudi fasta kwa uwezo wa mungu
Kwa muujiza wa mungu natumai sauti nayo italudi amina 🙏🙏
Mwenyenzi MUNGU aendelee kukupa Afya njema na maisha marefu. MUNGU abariki maono uliyonayo, Amen.
Bado anaumwaa kaka etuu jaman mbona kama hayupo sawa
Sauti inarudi taratibu inshaallah itakua sawa
Utakuwa good mungu akusimamie kwa kila jambo
MUNGU MKUU ALIYE HAI MILELE YOTE ATUSAIDIE SOTE. AMEN. POLE SANA NDUGU YETU. MUNGU MKUU YUPO NA AJAWAI KUSHINDWA LOLOTE. AMEN.
Pole sana ndugu yetu yani hadi uchungu sana.daah dunia ni mtihani sana
Mungu yupo nawew hatakuacha
kamwe Prof J
Pole sana prof Kwa yote, Mungu ni mkuu
Mungu ni wa wote tunashukulu kwa wema
Mwenyezi akupe afya njema
Mungu hufannya kwa sabab alikupa ww ugonjwa mgum ili uwe sauti ya wengne wasio na sauti na ushawishi Mungu akubari kwa hilo
Be blessed man. Kwa kadri unavyojitolea, Mungu akutendee na wewe. Uwe na uzima ili hili kusudi liendelee.
Yesu ni Bwana..aliyajua haya kabla ya kuumba ulimwengu..na alisha uandaa msaada kabla hatujazaliwa...akasema "njooni kwangu ninyi nyote mnao sumbuka na kuelemewa na mizigo nitawapumzisha"...maisha ni kuchagua lakini hembu tuchague kwenda kwa Yesu huyu msaada ni uhakika hakuna kupanga foleni..
Tunamshukuru sana Mungu kukuweka hai.yalisemwa meengi lakini ni kutokujua ukweli wa jambo.Hongera sna kaa hatua hiyo na tunakutakia Afya njema nyakati zote na Mungu akuwezeshe ukamilishe ndoto zako siku moja inshallah ❤❤❤
Mungu mkubwa 🙏🙏🙏🙏🙏
Ni wazo kubwa na zuri.haitakiwi kutoliunga mkono.prof jay tupo pa1 mzee
Allah akusmalilie professor INSHA'ALLAH,,azidi kukupa afya kila siku 🙏
MAOMBI NI SILAHA KUBWA SANA KWA MATATIZO YOTE YANAYO TUKABILI WANADAMU. AMEN.
Allah akupe shifaa subra n Imani
Mungu akupe nguvu zaidi Prof Jay,,,love you so much!!
Hongera sana kaka yangu wa kunyumba, MUNGU amekupa nafasi nyingine ili uweze kumtumikia yeye na WA Tanzania kikubwa uzidi kumshikilia yeye MUNGU peke yake. Hongera tena kwa ujasiri na usubutu.
Tunakuombea afya njema.
Ishu ya figo sasa hivi imeongezeka sana Tanzania Mungu atusaidie tu
Mungu akubarik sana brother, nakukubali saana
Mbona alipokuwa majukwaani akiimba hakufikiria kuanzisha taasisi ya kusaidia wagonjwa wa figo?
Mungu ni mwema
Ni wakati wako sasa wa kufanya mema kwa muda uliosalia kwa kibali na rehema za Mwenyezi Mungu alizokupa kwa kukuongezea siku za kuishi kabla ya mauti. Acha nyimbo za ovyo....imba nyimbo zisizo kukosanisha na Mwenyezi Mungu. Iwe heri kwako, familia na taifa letu
kila jambo linaupande wake, positive au negative ni sehemu ya maisha.
Hawa ndio WAsanii SS Siyo kila cku kuimba matus WA kina mwambino
Mh bado mgonjwa saut yake inaonyesha bado anatakiwa mapumnziko zaid
Pole sana dugu yetu ivi hatasisi amba nimasikini tutasaidiwa?
Allah akuimarishie Afya yako professa j wetu amiin🤲
Pole kweli nimgonjwa.. Hila may the lord protect you in Jesus's name
Pole sana kaka professor J tumefurai sana san kukuona Afya yko ikitengamaa .mungu endelee kukupa nguvu uendelee na mapambano yaku wasaidia wengine. Wenyematizo.
Nilipokua nilikua some where in the middle , nimerudi nikiwa na upako mpya.
Mungu atakuponya amini nenda kwa mwamposa
NAFULAI KUMUONA PROFASA JAY AKIENDELEA KUPONA, NIKO KIGALI RWANDA.
Kuwa na issues ndipo analicover mapema kuliko kukaa nyumbani tu.
Bdo mdhaifuu sanaa afya ni boraa
Tumuabudu Mungu ndugu zangu hii Dunia ni hadaa
Love you sana broo Jay aiseee:)umegusa moyo wangu sana kusikia kuwa utarud kama zaman I can’t wait to hear you kaka
Dah 😢😢 Allah akupe shifaaa yaharaka
Mungu Mwema baba utapona
Mungu Mwema baba utapona
Mungu Mwema baba utapona
Mungu yupo upande wake
Pole sana,mungu ni mkuu
Mungu ni mwema sana ,atakulinda na kkupigania
Miaka tele kakamkubwa
Pole sasa kaka yetu
Much love you papa got well soon
Pole.sn.mzee.prof.jy
pole Sana roho inauma Sana mungu akuponye
Pole ndugu yetu mungu akujalie upone pole sana 🙏
Mungu akuponye kaka na akutimizie haja ya moyo wako inshaallah
Mungu akiponye kaka
Mungu akupe nguvu
pole kaka yangu
Allah azidi kukupa shifaa
Wewe baba embu tulia kwenye maombi kwanza kwa sababu ninachojua Mungu hajawahi kushindwa na jambo lolote
Tunaomba link hili na sisi tuweze kutoa mchango , INSHA ALLAH. From Mozambique
Ndugu tunakushukuru sana kwa kujitolea, kutuelimisha na kutoa mfano kwa wasio na uwezo wa kupata tiba.ASANTE.
Pole kaka
Mungu akuponye j. Ila nasisi wananchi tuchkuwe Elim chumvi sukar tule kwakias vinywaji vikali tuvipite mbali maan uwezo wa tiba nimkubwa kuliko kawaida
Pole
Kusema kweli ndugu yetu amepata wakati mgumu sana tuzidi kumuombea kwa Mungu apone vizuri mana atujafa atujaumbika inauma sana sana
Mungu mkubwa🙏🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu akuponye brother...
Inshaalwah mwenyezi mungu atakuondolea yale yote yanayokusibu kaka
Nakushauri uache muziki wa dunia uimbe gosple ijili
Mbona selikali halioni hili mama Samia jamani saidiwa matonjwa ambayo yanauwa watu masikini vijijini
NUSU PEPONI NUSU KUZIMU❤
Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa kuwakumbuka wengine wenye changamoto
Akitulia atakuwaje vizur kisaikorajia ila kama ata jichanganya na watu atakuwa safi kabisa nina iman profesa jay atasimama kabisa
Mke wa J Mungu azid kumtia nguv naomba Yuko pemben ya mwenzio ndo hivo inatakiwa ktk Hali zote
Mungu ni mwema
Mwenyezi Mungu atakusimamia kaka tupo pamoja kwa hilo
Dah kwel kuugua sana sio kufa mungu akuponye ss tukijuombea sana na utazid kuimarika professor
Pole Sana Pro.Jay Na Imani Mwenyezi Mungu Hajawahi Kushindwaa Kwa Lolote 🙏🙏🙏
Legend
Jose wa uganda na wa Tanzania hali zao kiafya zimetetereka mwenyezi Mungu awatunze
Alitakiwa atulie ache kuhangaika bado haja pona vizuri
Kaka kwa hakika Mungu akubarik sana sana wewe ni mfano wa kuigwaa kwa hiki ulichokifanya kwa watanzania hakika Taasisis hii itakuwa mkomboz Kaka HAKIKA MUNGU NI MWEMAAAAAA