ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Nakupenda sana ku na mazowezi urifundisha ni rifanya ivi Niko pia
Haya mazoezi yanapunguza maziwa pia
Hiv jaman mda sahih wa kifanya mazoe
Asante dada nilikuwa sijui ilo zoezi kumbe inawezekana nikarudisha matiti yangu yalivyokuwa kabla sijajifungua
Unaweza kuangalia video zingine pia part 1 & 2 natumai ukifanya kikamilifu mazoezi haya utaona mabadiliko mazuri 🫶
Hilo la mkono juu n chin ukiw n unainua maziwa au n mikon tu
Ukifanya zoezi unatakiwa kuvaa brazia
Nakupendaa kadogo kangu jamani❤
Nakupenda pia 🫶
Nataka number
❤❤❤❤
Mm nahitaji kupunguza tumbo jamniii
Kipenzi mimi nataka nianze je inatakiwa mtu afanye marangapi kwasiku? na kuanzia sangapi?
nmependa zoez vip kwa siku unafaa ufanye kwa dakika ngapi
Mimi yang yamelal watot wawili
Nami nimeanza yamaziwa nashukuru naanza kuona matokeo maziwa yanaanza kuwa magumu ila sasa yanauma
nami nilianza mwanzo yalokuwa yanauma ila sahivi hayaimi tena na ninaendelea na zoezi matokeo mazuri Sana❣️😍
Ukifanya haya mazoezi na ukafanikiwa yakasimama je ukiacha mazoezi yanarudi kama mwanzo au yataendelea kusimama
Yataendelea kusimama kwasababu tayari tissue zimekaza
Nakupenda mwalimu mzuri wa mazoezi
Nakupenda pia Sauda 🫶
Mimi nataka nianze mwanangu ana mwaka mmoja saivi yaani maziwa yamelala hadi sio powa, narusiwa kuanza au muda bado??
Ukishamwachisha kunyonya itakuwa vizuri zaidi kuanza
Kama nanyonyesha naweza kufanya hili zoezi
ni vizuri kuanza baada ya kumwachisha mtoto kunyonya ili uweze kutrack maendeleo yako huwezi kufanya hivyo ikiwa bado unanyonyesha dear
Mm nikifanya haya mazoezi mugongo inauma😢
Maumivu ya mgongo inaashiria kukosea zoezi, kaa kwenye kiti ambacho kitakiwezesha kuegemea mgongo unyooke wakati wa mazoezi haya
Mimi ninamaziwa wakubwa itakuwaje
Utaona mabadiliko pia haijalishi maziwa ni makubwa au madogo
Hiv jaman mda sahih wa kifanya mazoez
Ukiwa na nafasi muda huo fanya mazoezi, lakini ukianza siku yako kwa mazoezi asubuhi itakuongezea faida zingine nyingi ikiwa ni pamoja na kukupa uchangamfu kwa siku nzima
Nakupenda sana ku na mazowezi urifundisha ni rifanya ivi Niko pia
Haya mazoezi yanapunguza maziwa pia
Hiv jaman mda sahih wa kifanya mazoe
Asante dada nilikuwa sijui ilo zoezi kumbe inawezekana nikarudisha matiti yangu yalivyokuwa kabla sijajifungua
Unaweza kuangalia video zingine pia part 1 & 2 natumai ukifanya kikamilifu mazoezi haya utaona mabadiliko mazuri 🫶
Hilo la mkono juu n chin ukiw n unainua maziwa au n mikon tu
Ukifanya zoezi unatakiwa kuvaa brazia
Nakupendaa kadogo kangu jamani❤
Nakupenda pia 🫶
Nataka number
❤❤❤❤
Mm nahitaji kupunguza tumbo jamniii
Kipenzi mimi nataka nianze je inatakiwa mtu afanye marangapi kwasiku? na kuanzia sangapi?
nmependa zoez vip kwa siku unafaa ufanye kwa dakika ngapi
Mimi yang yamelal watot wawili
Nami nimeanza yamaziwa nashukuru naanza kuona matokeo maziwa yanaanza kuwa magumu ila sasa yanauma
nami nilianza mwanzo yalokuwa yanauma ila sahivi hayaimi tena na ninaendelea na zoezi matokeo mazuri Sana❣️😍
Ukifanya haya mazoezi na ukafanikiwa yakasimama je ukiacha mazoezi yanarudi kama mwanzo au yataendelea kusimama
Yataendelea kusimama kwasababu tayari tissue zimekaza
Nakupenda mwalimu mzuri wa mazoezi
Nakupenda pia Sauda 🫶
Mimi nataka nianze mwanangu ana mwaka mmoja saivi yaani maziwa yamelala hadi sio powa, narusiwa kuanza au muda bado??
Ukishamwachisha kunyonya itakuwa vizuri zaidi kuanza
Kama nanyonyesha naweza kufanya hili zoezi
ni vizuri kuanza baada ya kumwachisha mtoto kunyonya ili uweze kutrack maendeleo yako huwezi kufanya hivyo ikiwa bado unanyonyesha dear
Mm nikifanya haya mazoezi mugongo inauma😢
Maumivu ya mgongo inaashiria kukosea zoezi, kaa kwenye kiti ambacho kitakiwezesha kuegemea mgongo unyooke wakati wa mazoezi haya
Mimi ninamaziwa wakubwa itakuwaje
Utaona mabadiliko pia haijalishi maziwa ni makubwa au madogo
Hiv jaman mda sahih wa kifanya mazoez
Ukiwa na nafasi muda huo fanya mazoezi, lakini ukianza siku yako kwa mazoezi asubuhi itakuongezea faida zingine nyingi ikiwa ni pamoja na kukupa uchangamfu kwa siku nzima