Kauli ya DKT Shika Baada ya Kushindikana Nyumba Zake Kununuliwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 145

  • @saidamjoghoma7067
    @saidamjoghoma7067 7 ปีที่แล้ว +1

    Haaaaaa jamani wandishi waongo naminimeisikia hiyo umefukuzwa duh

  • @susanruo8087
    @susanruo8087 7 ปีที่แล้ว +3

    Itapendeza sana ukinunua izo nyumba..... Am praying for you Dr shikanishi... Nimekupenda bure... +254 representatives

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 7 ปีที่แล้ว +1

    usjar mzee wetu nakupenda saaaana

  • @alexlova4904
    @alexlova4904 7 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizuri Dr Shika , hata wazungu wanakushangaa ulivyozungukwa na wanahabari!

  • @stellaalphonsa4884
    @stellaalphonsa4884 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akakuwezeshe kwa yote

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 7 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akusimamie

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 7 ปีที่แล้ว +1

    we noma sana Grand thinks

  • @Daphne362
    @Daphne362 7 ปีที่แล้ว +4

    I JUST LOVE THIS MAN❤❤❤❤❤

  • @maryjulias6372
    @maryjulias6372 7 ปีที่แล้ว +3

    jamani baba angu katakata daaaa mungu endelea kufanya yako

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 7 ปีที่แล้ว +5

    mungu akusimamie

  • @yusuphgombera3753
    @yusuphgombera3753 7 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana mzee.......najua hawataamini cku ukizinunua

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 7 ปีที่แล้ว +1

    Kweli umdhaniae ndie sie

  • @ommylisttz5539
    @ommylisttz5539 7 ปีที่แล้ว +1

    saf mzee wangu

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 ปีที่แล้ว +5

    upendo wa mungu hupo na wwe amiin kwa sote Allah kareem

  • @abdulrahmanmussalonka4935
    @abdulrahmanmussalonka4935 7 ปีที่แล้ว +1

    Hii move imefika sehem ya ngapi jamani?

  • @modestdickson1328
    @modestdickson1328 7 ปีที่แล้ว +1

    Tajiri mtata kweli!

  • @samiriali2803
    @samiriali2803 7 ปีที่แล้ว +4

    Mh ngoja movie iendeleeee kwa msanii wetu shika kamata

  • @shevalsonmikael5434
    @shevalsonmikael5434 7 ปีที่แล้ว +1

    😀😀😀 hata wakipandisha nipo tayari

  • @sharifa2274
    @sharifa2274 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupiganie upate uliyoyatarajia

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +14

    Love you Dr shika,nami nakuombea hili, ufanikiwe uweze kuzinunua zile nyumba

    • @richardsawe7875
      @richardsawe7875 7 ปีที่แล้ว +1

      Saumu Hassan ili muishiwotee hahahaha

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 7 ปีที่แล้ว +4

    Kama kweli unamwabudu mungu aliye hai hakika utanyamaza naye atakupigania.usijali msee wangu

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
    @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613 7 ปีที่แล้ว +6

    Chako ni chako babu nimekubali kwani Mungu huniuwa ili apate kuaibisha kilicho na nguvu

  • @hamzawatheq2510
    @hamzawatheq2510 7 ปีที่แล้ว +12

    walah chako ni chako shika, may God be wid you

    • @hamzawatheq2510
      @hamzawatheq2510 7 ปีที่แล้ว

      wanichekesha sana mimi (from Doha city Qatar )/Kenyan girl

    • @نايفالشمري-ط3د
      @نايفالشمري-ط3د 7 ปีที่แล้ว

      +Hamza Watheq vipi huko gal grom kenya but in saudi

  • @allymatimbwa9037
    @allymatimbwa9037 7 ปีที่แล้ว +5

    fanya kweli mzee ipendeze zaid kwa wale walio kuwa wana kubeza waje waombe kibarua kwako.

  • @eligiusblack5742
    @eligiusblack5742 7 ปีที่แล้ว

    aya

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 7 ปีที่แล้ว +1

    nimejifunzakitu..kutokakwadoctashika...kimaishayangu..lakini..wengiwanachukululia..kamavichekesho

  • @rahmaa.naim.9391
    @rahmaa.naim.9391 7 ปีที่แล้ว +7

    Inshaallah jitahid tu kumuomba mungu wako atakusaidia na nyumba hiz hazitonunuliwa na mtu yoyote ispokuwa wew amin M/mung atakusaidia amin

    • @mwijamwijaz806
      @mwijamwijaz806 7 ปีที่แล้ว

      Rahma Rahma nimempemda bure huyu bw

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 7 ปีที่แล้ว

      Rahma Rahma kweli naona untk ukakae nae

    • @mishisaidi8696
      @mishisaidi8696 7 ปีที่แล้ว

      Rahma Rahma amina

  • @rynesawaya7043
    @rynesawaya7043 7 ปีที่แล้ว

    safiiii san dr shika mungu awe nawe

  • @latifaayoub5750
    @latifaayoub5750 7 ปีที่แล้ว +4

    Dr Shika oyeeeee

  • @mushiinnocent7304
    @mushiinnocent7304 7 ปีที่แล้ว

    N zako mungu yupo nawe xna

  • @basicbongo9322
    @basicbongo9322 7 ปีที่แล้ว +24

    *GLOBAL TV. views kibao. hela mnapeleka wapi?? nunueni maiki nzuri*

    • @rahimajuma688
      @rahimajuma688 7 ปีที่แล้ว

      Gem Ryne 😂😂😂maik inaumiza masikio

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +1

      Gem Ryne 😂😂😂😂

    • @dichodaplaiza
      @dichodaplaiza 7 ปีที่แล้ว +1

      Gem Ryne hahahahaha

    • @daudsenyhinah7658
      @daudsenyhinah7658 7 ปีที่แล้ว

      Rahima Juma #Haa haa😄😄😄

    • @bakaribakarikilimo7841
      @bakaribakarikilimo7841 7 ปีที่แล้ว

      Gem Ryne tembeeni majoe kwa Mpemba mpate habari Nzuri za barabara

  • @mychanneltz4466
    @mychanneltz4466 7 ปีที่แล้ว +1

    Kwa habari za mjini ...udaku ..michezo ..matukio mbali mbali karibu

  • @melikiadikanyara6176
    @melikiadikanyara6176 7 ปีที่แล้ว +1

    nimekuelewasana mzee

  • @prosperjohn6
    @prosperjohn6 7 ปีที่แล้ว

    Dr shika nakukubali sana yaani

  • @rehemageorge9506
    @rehemageorge9506 7 ปีที่แล้ว

    Kwa jinsi ulivyo pitia majaribu makubwa hizo nyumba Mungu amekupa tu

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 7 ปีที่แล้ว

    point ya mzungu gem ryne

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 7 ปีที่แล้ว

    Dr. Shika unaonaje ukiachana na hizo nyumba ununue eneo majali upendapo na ukajenga nyumba zako nzuri hata zaidi ya hizo.!!!!!!

  • @annmicheal2773
    @annmicheal2773 7 ปีที่แล้ว

    aaahhhhhh

  • @elizabethmwandu287
    @elizabethmwandu287 7 ปีที่แล้ว

    Mmmmhu 900 itapendeza, Kahama to Mwanza with fastjet

  • @gilbertalex1651
    @gilbertalex1651 7 ปีที่แล้ว +2

    Dr Shika💪🏿🙏🏿

  • @mbwanarajabu1143
    @mbwanarajabu1143 7 ปีที่แล้ว

    ahmedi IMA Ali demokrasi
    .

  • @mamaaomar6041
    @mamaaomar6041 7 ปีที่แล้ว

    Oyeeeee

  • @quenmichael7261
    @quenmichael7261 7 ปีที่แล้ว +1

    👏👏

  • @mohammedally8569
    @mohammedally8569 7 ปีที่แล้ว

    Huyu Mzee nikiboko

  • @rachellebahati6510
    @rachellebahati6510 7 ปีที่แล้ว +1

    wenye kukuceka watapata aibu

  • @pmctv787
    @pmctv787 7 ปีที่แล้ว

    leoleo hiiii!

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 7 ปีที่แล้ว +1

    fateni taratibu za kimataifa mzee achukue nyumba, yono mnazingua kiukweli

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 7 ปีที่แล้ว

    Yaanu hawa wa mitandao kazi yao ni kuandika mauwongo tu.

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 ปีที่แล้ว

    Pambana na hali

  • @computertech4499
    @computertech4499 7 ปีที่แล้ว

    Hayo mabilion yakitoka urusi na mm utanigawia kidogo.

  • @santyhassan4186
    @santyhassan4186 7 ปีที่แล้ว +3

    Kweli kabisa atanunua huyu Mzee

  • @emmanuelmbelenzi3077
    @emmanuelmbelenzi3077 7 ปีที่แล้ว

    Acha kuzingua

  • @zaifathussein8195
    @zaifathussein8195 7 ปีที่แล้ว +1

    mabilioni yakiingia husiwape tena 900 kwakuwa walikusotesha upandilie dau iwe Kwa #511itapendeza zaidi.

  • @gusaunasesospiter5230
    @gusaunasesospiter5230 7 ปีที่แล้ว

    Itapendeza ukizichukua kweli fanya vitendo

  • @ahabrondy2713
    @ahabrondy2713 7 ปีที่แล้ว +1

    ukweri

  • @shafiihchongowe2221
    @shafiihchongowe2221 7 ปีที่แล้ว

    900 itapedeza

  • @lekangeze5543
    @lekangeze5543 7 ปีที่แล้ว

    Endelea namaombi yatapokelewa nyumba hazitauzwa hats mnunuzi hatakuepo

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini6254 5 ปีที่แล้ว

    Umeshanunua sasa

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 7 ปีที่แล้ว

    Nakuombea sana ununue hili utu tower wasiwasi maana mpk MUDa huu bado 50/50

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 7 ปีที่แล้ว

    ndo maana ni tajir unajua kuishi na wanafki...saf Dr

  • @aminarashid4474
    @aminarashid4474 7 ปีที่แล้ว +1

    mkali wetu uyooo

  • @eliavedasto4537
    @eliavedasto4537 7 ปีที่แล้ว

    mzee kweli anahela? au in kuzingua tu

  • @raphaelfadga9639
    @raphaelfadga9639 7 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂chako ni chako mzeeeee

  • @isackhnano3771
    @isackhnano3771 7 ปีที่แล้ว

    Kwel Mzee Wang wiki hii pesa yetu ikiingia kutoka urusi itapendeza xaxa.

  • @roggerasili3089
    @roggerasili3089 7 ปีที่แล้ว

    Dr.shika Washike Ur b,rong House

  • @martinmngeni2092
    @martinmngeni2092 3 ปีที่แล้ว

    Mzee wa itapendeza zaidi

  • @djonetz2730
    @djonetz2730 7 ปีที่แล้ว

    Haaaaaaaaaaaaa dr unajua kunipa raha

  • @mehysenmbanyi75
    @mehysenmbanyi75 7 ปีที่แล้ว

    Wamekula mb zngu kunge kuwa na jela ya kushitaki

  • @mwakanyikijosephy8126
    @mwakanyikijosephy8126 7 ปีที่แล้ว

    namba ya cm ya Dr.shika

    • @sarahadam5131
      @sarahadam5131 7 ปีที่แล้ว

      Mwakanyiki Josephy 0744079715

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 7 ปีที่แล้ว

    Waliokubeza wataona aibu kubwaaaa

  • @emmanuelmbelenzi3077
    @emmanuelmbelenzi3077 7 ปีที่แล้ว

    Unapenda kiki km msanii vile

  • @frankbrandan8039
    @frankbrandan8039 7 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mzeee nae akae atulie tushamchoka

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 7 ปีที่แล้ว +1

    😃😃😃😃😃😃haya tunasubiri babu

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp8314 7 ปีที่แล้ว

    Movio imefik pati ya ngapi

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 7 ปีที่แล้ว

    Hata wakipandisha nipo tayari😁😁😁😁😁changu ni changu...

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 7 ปีที่แล้ว +1

    Delusions are defined as fixed, false beliefs that are not shared by people of the same educational and cultural background.The guy needs an urgent Psychiatrist review. I

  • @samhendawallaa2144
    @samhendawallaa2144 7 ปีที่แล้ว +3

    zichukue baba hizo ni zako

  • @salvatorymogesi8781
    @salvatorymogesi8781 7 ปีที่แล้ว

    Unatisha Dr Shika!
    Ukikamilisha tu HAKIKA ITAPENDEZA na watakuelewa tu wanaokubeza ha ha ha ha

  • @leotena8456
    @leotena8456 7 ปีที่แล้ว

    itapendeza kama utaomba escort kutoka bank kwa yule askali alisema humiliki hata milioni Moja#!!

  • @syldionrwakyaya9698
    @syldionrwakyaya9698 7 ปีที่แล้ว

    Mr shika

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 7 ปีที่แล้ว +5

    Dkt shika kanishika ktk vichekesho vyte vya bongo hichi kiboko Kl cku nacheka Mpk usingizini 😀😂😂😂

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 7 ปีที่แล้ว +1

    😅tuna kiombea hizo pesa uzipate

  • @erastojoackim4195
    @erastojoackim4195 7 ปีที่แล้ว +1

    Ah kweli shika ni mtata, coz anasema anauwezo wakuzinunua na zaidii! 900 itapendezaaa

    • @bidiiyako6803
      @bidiiyako6803 7 ปีที่แล้ว

      Dr. shika wewe kweli ni mtata, zinunue ata zaidi unazo hela wenye walikuwa wanakutharau, sasa ata sauti HAWANA.......WAKO KIMYAAAAAAA!!!!!

  • @mimiliism
    @mimiliism 7 ปีที่แล้ว

    Yan hadi wazungu uwanjan wanajiuliza Mbna jamaa wanapiga nae picha sana

  • @halilisalum2222
    @halilisalum2222 7 ปีที่แล้ว

    changu ni changu

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 7 ปีที่แล้ว

    atamuigize..sisitunamtaka.yeyemwenyewe

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 7 ปีที่แล้ว

    tunamtakayeyeshikasio.nyiemnaeigiza.sautiyake

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 7 ปีที่แล้ว

    😂😂😂hatareeeeeee

  • @awadhiawadhi6188
    @awadhiawadhi6188 7 ปีที่แล้ว

    UNAUZASURA TU UNAPENDAEEEH

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 8 หลายเดือนก่อน

    Tanzania nchi ya kicgekosho kwel

  • @sharabilirajabu9276
    @sharabilirajabu9276 7 ปีที่แล้ว

    Changu ni changu

  • @hamismabula2307
    @hamismabula2307 7 ปีที่แล้ว

    yaonyesha sisi tunaendekeza sana comedy hata ktk masuala ya msingi yaani wanahabari wooote hao kwenda kymsikiliza tapeli na comedian Mkuu kama huyu

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 7 ปีที่แล้ว +1

    gombea ubunge mkuu.tunakupa fastaaaaa jimbo la kafulila

  • @khalingumu9999
    @khalingumu9999 7 ปีที่แล้ว

    NINAHAKIKA MKWANJA UKISHAFIKA UKISHANUNUA IZO NYUMBA .....ITAPENDEZA ZAIDI

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 7 ปีที่แล้ว

    shikanamkubalisana

  • @selincharles3383
    @selincharles3383 7 ปีที่แล้ว

    na uwambie vitendo Tuu watakukoma Dr

  • @sofienahimana4788
    @sofienahimana4788 7 ปีที่แล้ว

    Mzee kwani hunahela wacha mambo ya kusingizia mungu, kila siku zinakuja eti. Wacha kunipotezea bandali zangu. Kumbe mimi nakutaka na huna hela tutakula nini tukiendelea kungoja mzee. Sasa sikutaki tena. ...nkt jiangalie unavyo jikosea heshima

    • @sofienahimana4788
      @sofienahimana4788 7 ปีที่แล้ว

      Njoo nikupe hela basi. Halafu unirudishiye zikija zako. Lakini masharti yangu ni tukae pamoja. ..sawa mzee? ??

  • @joeakwilini6798
    @joeakwilini6798 7 ปีที่แล้ว

    Haki ya mtu haipotei

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 7 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee namfananisha na Mheshimiwa Seif sharif hamad kila siku anasema atakua raisi lakini hawi.

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 7 ปีที่แล้ว

    Serikali imekusudia kuziuza nyumba za rugumi ili kukusanya kodi,kwa vyovyote iwavyo inamana nyumba hizo kwa sasa ni Mali ya umma,Ushauli wa bule kwa serikali yangu ni hu,1 kwakua kunampango wa kuvunja jengo la makao makuu ya tanesco pale ubungo ITAPENDEZA kama moja kati ya majumba matatu wahamie hawa Tanesco,2 kama biashara ya kuuza imeshindikana basi wapangishe kwa wafanya biashara au taasisi zisizo za kiserikali ili serikali iendelee kujipatia pato litakalo tokana na kupangishwa nyumba hizo na nimatumaini yangu haita chukua miaka mingi kurudisha hizo billion3 na majengo yataendelea kuwepo hata likipita tetemeko kubwa zaid ya bukoba.ITAPENDEZA.