DADAAA umeuvaa uhusika vizur wa mkeee umeongea kwa hisia hadii umenifanya nifike mbalii hakika machoz ya mwanamke yanaumiza hakika b blessed kipaji chako kiende mbali
Kelvin apo single 😂😂😂😂😂😂😂 akili mbavu zangu zinauma 😂😂😂😂😂😂 waaaa kelvin i love you so so much ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ Victoria hongereni Sana kwakua bibi na bwana 😂😂😂😂😂😂 kelvin Victoria atamwaga damu ya mtu ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nawapenda nyote 😂😂😂😂 kumbe kelvin kapoaa kwa Victoria 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 i love you guys 🌹🌹🌹🌹🌹 from 🇰🇪😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
DADAAA umeuvaa uhusika vizur wa mkeee umeongea kwa hisia hadii umenifanya nifike mbalii hakika machoz ya mwanamke yanaumiza hakika b blessed kipaji chako kiende mbali
Kelvin uko juu kakaulipewa nyongeza😂😂😂
Wanaume jaman eti ❤maji yanaganda.kwa tumbo kelivin wewe
Aaaa aaaaaaaa kaka kev umetisha nakubal brother
Yaani nampenda da Vicky sana 💝💝💝❤️❤️
dah kaka kelvin unajua kuwakusanya wanawake kweli
jaman nawapenda nyote kwa movie zenu
natokea Congo,nawapenda sana endeleyi kwa usawa
Kelvn unapenda sana sambusa ,, ongera kwa kazi zur🤣🤣🥰
Kelvin apo single 😂😂😂😂😂😂😂 akili mbavu zangu zinauma 😂😂😂😂😂😂 waaaa kelvin i love you so so much ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ Victoria hongereni Sana kwakua bibi na bwana 😂😂😂😂😂😂 kelvin Victoria atamwaga damu ya mtu ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nawapenda nyote 😂😂😂😂 kumbe kelvin kapoaa kwa Victoria 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 i love you guys 🌹🌹🌹🌹🌹 from 🇰🇪😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Movie nzur sana aiseehongera san khan❤❤
Donta tv mnaupiga mwingii✌✌ big up kwenu
Kelvin na sambusa za nyama weee 😂😂😂😂😂😂
Halafu kwenye movie zenu mujariju kuweka wembee ndani nahisi nimemu miss tu sana😋🤣🤣🤣🤣
😂😂
Hta mm
kusema kweli kelvin umecheza vibaya sana yaan duuh sio cini yako bwana wewe ni mwalimu wa mapenzi
hhhhh Kelvin sambusa😂😂Hongera sanaaa
Kelvin baba shangazi ww wapenda kumliza shangazi😢😅😅😅😅❤more love from kenya 254❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤ Kelvin na victoria nawapenda sanaa good job watching from Kenya
😂😂😂😂😂kelvini waovyo sana ww
Hakika mwanamke akikuambia anakupenda,apenda kwa moyo ❤wake wote.Lakini mwanaume akikuambia anakupenda,ni mdomo tu!Halisia ndivyo wanaume walivyo.
Wewe wanaume wote hawapo ivyo wengn tunamapenzi ya kweri bana 1
Sawa unaitwa kev ndio utumie hilo jina kila move
Jamani mbona hamkutoa baba kijacho episode6 jamani ningependa kujua iliishaje watching from mombasa kenya
Hongera Dada Vicky
😂😂😂😂😂 Kevin na sambusa I love u guys pliz nitag baba kijacho episode 6 pliz
Akiamungu Kelvin umenichekesha ety nimepewa nyiongeza Ila wanaume
Jamani Kelvin khan😂😂😂😂😂 yaani nimecheka mpaka nikazimiwa WiFi
Nawapendwa sana ongereni❤❤❤❤❤
Ety 😅 nyogeza!!!!! Mara fridge weee kelvin umezidi good job guy namwaminia👍
Hongera kelven kwakuuvaa uhalisia hujawahi kufel kwenye kazi zenu
Chaineza hongera sana
Hongera kazi nzuriiii
Kelvin sambusa imeingia mchanga Leo 😂😂
Uyu dada kiukweli namkubali mungu ampe wepesi wakipaji kihukweli
nakukubali brother
Hahahaeeeeee kelvin umenifurahisha sana et vip kuhusu mipango yetu ya sambusaa😂😂😂😂😂unapeeee hongeren sana kawa kunifurahisha❤❤❤
Mwanamke wa nyongeza walai kelvin 😂😂😂 niko hapa saudi nawapata vizuri zaidi asante kwa kutufurahisha
😊😊😊😊😂😂😂😂Kelvin muogope mungu😅😅
Victoria unanikosha sana ,,napenda san kazi zenu
😂😂😂😂nakwama tu Kwa sambusa
Aki kevo na sambusa 🤣🤣🤣mnirokotee mathare am watching from 254🇰🇪🇰🇪 wapi likes sa wakenya jamaaaaniiii eish sambusa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🔥🔥🔥ila wembe yuko wap 😊
Yaan huyu kwa sambusa 😂😂 et muangalie vzr ndo utagundua ile ninchembo 😂😂
Kenya Watching, twapenda
Daaaah huyu Kev noma 😂😂😂😂 et mhhhhhh
Kelvin umezinguw umexhindw kujtetea😅😅😅😅😅
Mhhh,wanaume shikamoni,😂😂😂
N tamu mno mungu awazidishie 🙏❤
Movie nzuri Sana aisee hongera Sana Khan ❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣 Kelvin unapenda sambusa ww
Nawapenda mno ❤❤❤
Aaaaah we dada wewe unanipakazia jaman kev😂😂😂😂😂
Asee mko vizur sana, mzee wa sambusa
Kelvin movie zako nzuri sana
😂😂😂kelvin unapenda sambusa 😆😆😆😆😆🙆na umekosa maskini pia kwangu uchukue 😅😅
Umeongea point ☝️ mkee wa kelvin
Bro ety sambusa pia nyongeza weeeh
Kelvin na sambusa 😂😂😂😂 wanawependa sana
😂😂😂 Nawapendasaana hawawajama Eti dadakamushimamisha munguweee kev muongo😂😂😂😂😊
Kama umeskia tangazo la sabasaba special like tujuane😂😂
Woooow movie nzuri 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Khan wew
😂😂😂😂hahahah kelvin aty hautoki unataka sambusa wueh
Kelivn hauja nchekesha kama hii move hii😂😂😂😂😂😂😂
Kelvin wamekuweza mara hi utaenda wapi sasa nyumbani kumearubika jaman wanaume mpate adabu
😂😂😂Calvin hapa umekosa ujasiri kabsa.. Mwanaume msimamo brother 😅😅😅
Nyongeza haikataliwi 😂😂😂
😂😂 daaah kelvin jmn wataka surprise ya sambusa
Mimi nampenda kwamba jamaa yupo siliasi na kazi
s😂, 😂😂😂😂😂 mapenz yanauma jamani
Kelvin ❤️
Ila nyie hamumalizi move ile ya dada mfanyakaz wa ndani
Nakupenda sana dear
😂😂😂😂 Kelvin nyongezo imekua tamu 😂😂😂😂
Aki hamna kelvim wa kumwamini,,,,ila nawapenda sana
Kelvin eti ndevu hazijamea vizuri malaika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
Movie nzuri sana
🤣🤣🤣🤣🤣 Kelvin unapenda sambusa ww
Mapenzi jamani 😢et tumbo ka fridge akieka shanga inateremka hadi mguuni kumpata anayekupenda kwel n mungu tu
😂😂😂😂😂😂😂 sambusa tamu
Mapenzi anawuwa❤❤😂
😂😂 kelvin na sabusa😂😂
Kelvn wapenda sambusa zitakudhur
Kevin unaharaka na sambusa za nyama
😂😂😂sambusa
Utaambia Nini watu kelvin😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂walah mnanifulahisha
Good 🔥🔥
Leo Kelvin kanichekesha kwl mke wake nijini mahaba
I'm comment ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Utaka yote ukosa yote kelvn 😂😂😂❤❤
😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
ATI nime gushimamisha sangap😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
jamani mtoto mzuriivojamani mtotowawatu
Mamee shanga miguuni😂😂😂😂😂😂😂
Kelvin ywataka sambusa😂😂
Jamaa anataka sambusa mbili
Toa sambusa hiyo boya weww 😂
Sambusa
Inauma aki hata kama imepata mchipuko ila usiweze kutoa mapungufu ya mkeo kwa mwanamke mwenziwe
jamani wanaumebana mkemzuri ivo unamchit
Kumbe vigi nimkali kihivyo???!😅😅😅 Namuona kwa Dada wakazi tu kumbe ni mkali
😂😂😂😂😂😂😂Wale Wa kuangalia Na kurud kusoma comment ❤❤
Wow good movie
Sasa mpango wa sambusa umeishia wapi aki Kevin ww😅😅😅😅