Magaidi walipiga simu na kumruhusu kuzungumza na familia yake kisha kumpiga risasi.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 เม.ย. 2015
  • Familia za waliofiwa wametoa simulizi kuhusu mawasiliano yao ya mwisho na wapendwa wao . Katika eneo la Cherengany .. Familia moja ina huzuni zaidi baada ya msichana wao kuuawa huku wakisikia . Wanasema kuwa magaidi husika waliwapigia simu na kumruhusu kuzungumza na familia yake na kisha kumpiga risasi.
    Watch KTN Live www.ktnkenya.tv/live
    Follow us on / ktnkenya
    Like us on / ktnkenya

ความคิดเห็น • 10

  • @miriamrima3394
    @miriamrima3394 9 ปีที่แล้ว +3

    RIP BROTHERS AND SISTERS, our dear God will Jorge them...take hearts God gives the same God takes

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 5 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana

  • @mwanzo0011
    @mwanzo0011 5 ปีที่แล้ว +1

    I am sorry

  • @elvinngutuku8585
    @elvinngutuku8585 9 ปีที่แล้ว +1

    May God wash away the memories.

  • @rockymsodoki3246
    @rockymsodoki3246 ปีที่แล้ว

    Yani imagine gaidi anakwambia umpigie president simu, aki ni uchungu sana mtu kuuliwa kimadharau ivo. Sitasahau hii siku nilipopata hii habari
    Rest in peace

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 5 ปีที่แล้ว +1

    R.l.P dharwesh

  • @mercy1624
    @mercy1624 9 ปีที่แล้ว

    R.i.p to all who lost their lives.our government we need to be serious.u say the girl was gunned 12:00.from 5:30 pliiiiiiiiz where is our defence.kenya we need more recce than kdf just imagin something like that has happened in 10parts of country i cant even try to think what could happen.lord help us.

  • @ilovemylife1282
    @ilovemylife1282 5 ปีที่แล้ว

    r.i.p dharwesh