shabiki shakiki wa the story book, kutoka Mombasa Kenya...hongera bwana professor jamal...hakika nafuatialia makala haya punde tu zinapotokea.....nawapenda wa Tanzania..
Proffesore Kuna kitu huwa kinanikanganya kuhusu njozi, Kuna mda nishawahi kuota sehemu ambayo sijawahi fika katika maisha ya kawaida, Kisha siku moja nikawa nasafiri nikaiona sehemu kama ile ile niliyoina ndotoni na ndio mara ya kwanza kufika... #bravo bro Jamal much love from 🇰🇪
Huku +254 tunasema profesa ni mjammo' kazi nzuri kwa kweli.Umenielimisha na kujibu baadhi ya maswali nliokua nikijiuliza kwa miaka sasa, From 254 Mombasa ninakunauwo sana.one love
Natanguliza shukurani kwa kazi nzuri unaumiza kichwaa kupata kitu kizuri ili sisi tushibe kwa somo unalo litowa muumba azidi kukupa malifa na upeo wa juu kutafakali vitu vya msingi nalidia kusema Asante tuko utuletee masomo mazuri ya kumbusha mwanadamu ili kumjua mungu.🍉🍇🥑🍍🍓🥦🥦🥛🍽️☕
Ndoto ni mawanzo ambayo ya liyo mzunguka mwaadamu kila siku ktk maisha yk,maana nyengine ujumbe untokana Allah ktk umbe wake ili umelewe kwa hakuna anaye weza kukupa usingiz na kuletea mazingira tofauti ktk mazingira yk,mfano huwez kutoa ndoto ya jambo ambayo hujaliona au kukuzunguka ktk maisha yk ,ndoto ni Mtanzo ambao unakujulisha vitu ambayo vinatokea au vitokea kulingana na Cheo chako alicho kujalia Allah
Walah ndoto ni ujumbe unaotoka kwa mwenyez mungu... Hii imenidhihirishia Mara kadhaa kwenye ndoto zangu... Kila ninapoota na kuikumbuka ndoto niliyoota hua ni yakweli yanatokea..
Bro Jamal Asante . Ila na swali napenda nijue utafauti gani upo kati ya Dream ama" ndoto" na vision ama "maono " ... Tupe majibu ndugu.. Asante. Mwenyezi Mungu awabariki
Leo ume tuweza kweli waoga imagine na hii time 02:25 sija lala nika ona notification story book nika sema acha ni fungue kabla sija lala mwanzo tu nime stuka naku washa mata sehemu zote silali leo acha nikae macho ila bongezi kwa story
kwenye swala la ndoto siwezi kumwamini mwana sayansi nitazidi kumwamini Mungu, mfano mtu unaweza kuota kitu afu baada ya miaka au miezi kinatokea vilevile ulivyooto, sasa hapo sayansi inatumikaje
Professor me napenda vile uko creative😅, Much respect bruh
Kama unamkubali jamali LIKE
I I love I I I just
Una IQ kubwa san
Jama iko creative ana IQ for me is better than mtiga kbsa respect kwake kbsa🙌🏾
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Jamal ntakuombea uishi miaka mingi
shabiki shakiki wa the story book, kutoka Mombasa Kenya...hongera bwana professor jamal...hakika nafuatialia makala haya punde tu zinapotokea.....nawapenda wa Tanzania..
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Ahsante Sana bro kwa mapenzi yako kwetu, nasi twakupenda pia 🥰🥰🥰
@@asmawastaramushi996 Shukran
@@sharafikuliyocha3853 asante sana
Tunakupenda pia
I know kuna wengi sana wamerudia more than 2 times ka mimi representing 254. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪much love
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Good work Jamal mwenyezi mungu akujalie na kukupa neema zake kwa hiyo kazi am Snoopy from 254
Nakubal jamal na mm na ndoto ya kuwa kama wewe na nimeandika story book nane had sasa👍👏👏👏
😘
Nakupenda sana kwa sababu una zungumzia sana sayansi 🎉🎉🎉na mm piya na penda❤sana syansi👨💻👨💻
Jamal April. Nipo Pande Za Africa kusini . We apriciated fo yor massages. Unatufariji saana. Tunapenda saana.
Big up saana bro.
Proffesore Kuna kitu huwa kinanikanganya kuhusu njozi, Kuna mda nishawahi kuota sehemu ambayo sijawahi fika katika maisha ya kawaida, Kisha siku moja nikawa nasafiri nikaiona sehemu kama ile ile niliyoina ndotoni na ndio mara ya kwanza kufika...
#bravo bro Jamal much love from 🇰🇪
Hatimae Leo nmekuwa wa1 kavmview profesr 🔥
Tunaomba the story book iwekwe kwenye wasafi fm tunaipenda sana na tunaelimika kwakweli 👍👍👍👍👍🙏🙏🙏
My all time professor I really like your story jamal much love from +254.
Much appreciation from 254. Thanks for the comprehensive research on dreams. May God empower you with more wisdom professor.
Huku +254 tunasema profesa ni mjammo' kazi nzuri kwa kweli.Umenielimisha na kujibu baadhi ya maswali nliokua nikijiuliza kwa miaka sasa, From 254 Mombasa ninakunauwo sana.one love
Leo nimekua wa kumi na nane kucoment nipeni ata like tatu nifarijike na mie
Za nn sasa
@@japhetgeorge315 hiyo ndo mila na destur ya mtandaon mzee usiulize za mini😂😂
Utairaaa uoooo
Kwani izo like mnalipwa
Acha ushoga
Jamal your the best,there is no reason to compare you with mtiga again🔥🔥🔥🔥
Bro Jamal..... Letaa simulizi ya Thomas Sankara Isidore.
Request by one of your biggest followers from Kenya.
I love your work every time. One love from Kenya.
Professor ni mmoja tu🙏🙏
Professor u very intelligent in explanation nice
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Hongera Sanaa prof. Jamal napenda Sana kucikiliza Asante kwa kutupatia maarifa
Natanguliza shukurani kwa kazi nzuri unaumiza kichwaa kupata kitu kizuri ili sisi tushibe kwa somo unalo litowa muumba azidi kukupa malifa na upeo wa juu kutafakali vitu vya msingi nalidia kusema Asante tuko utuletee masomo mazuri ya kumbusha mwanadamu ili kumjua mungu.🍉🍇🥑🍍🍓🥦🥦🥛🍽️☕
Kaka Jamal shikamo nakutakia kazi njema💯💯
Jamal the brain 🧠
And you the body builder
@@saint8129 yes
Yes
Ningetaka kujua mbona mtu anaotaa naabaadaee akamka nakutembea ..ama kufanya kazi akiwa ndotonii ....
Good job Jamal 💓💕
Bro jamal umenifanya nikose usingizi this is the best one AND GREAT TIMING BRO
@@saint8129 😅😅😅
Mm niliangalia tyyu trela lkn nkakosa ucngz cjui saiv qmbavo naiangaliabyote itakuwaje...🥺🥺🥺
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
th-cam.com/channels/n41aCO8X8jgHkQBUxjvuwA.html
😂😂😂😂🏹🔥
Jamali mbona siku hizi The story auitoi mara kwa Ijumaa saa 3? Mana mimi ni mfatiliaji maarufu wa the stories zako!!! Like it soo much
RISPECT my brother uko makini xana kama unampenda PROFESSOR JAMAL LIKE
Mim ndio naiona leo baada ya miaka miwili😂😂😂😂🤗
Prof nakufagilia sana
Nliota paka anataka kunirukia,rafiki yangu akamrushia ubani akayeyuka ,niliota pia aunt yangu ambae nimarehrmu ananikimbiza.Subhanna Allah
King of the story Africa professor Jamal
Appreciate your super creativity 🌎
Leo nimekuwa mtu wa 704 nipeni like zangu
Uko na ma followers wengi in kenya than in Tanzania,
Respect,
Uko yuu
wapi wewe angali to coment mwache Jamal wetu tz tunampenda au mnataka kusema ni mkenya hamshindwi🤣🤣🙌
Leo nime wahi na me like ziwenyingi jamni naomba
😂 nakubalii
Chukua hizoo
Professor jamani like za jamali hata 100 tu kwa leo
I like the extensive research, detailed information, the presentation, etc.....
Haya sasa Nipeni like leo nimekuwa wa kwanza... Kukoment
Mashallah professor Jamal God bless you 🙏🙏 🙏 and see you
Aiseee unajitahid kweli kutafut kitu ambacho mtu akiskiliza ina mkonga moyon congraturation my brother
Safi sana broe yani unajua kudadavua mambo,,sauti nzur Sana pia na ni mbunifu zaidi wa videos na makalia zako
Unapenda sana kwenda na uwalisia sana napenda sana asee
Jamal professor king of the king ✊
Je ukiota unafukuzwa na mbwa mana yake ni Nini?
Sitaki likes maana hazina hela ..Ila Jamal ni mwamba
Wish one day to be like you professor Jamal
Professional ,kwanza Asante kwa kuelimisha sisi jamiii , naomba ufanya story book kuhusu astroproject ,big up sana
Daaaah very creative professor, congrats sana mkuu
Napenda hii ujunguzi wako uwa natasama every time nikiwa na time thanks am from kenya
Acha Mungu akupaa maarifa zaidi🙏
Dah mwishon nmeogopa ila professor🙌👏👏
Watu walio Kufa nime waota wengi kudadeki...mbaka 2pac
😀😀😀😀
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
@@asmawastaramushi996 kunan huko madam
Ndoto ni mawanzo ambayo ya liyo mzunguka mwaadamu kila siku ktk maisha yk,maana nyengine ujumbe untokana Allah ktk umbe wake ili umelewe kwa hakuna anaye weza kukupa usingiz na kuletea mazingira tofauti ktk mazingira yk,mfano huwez kutoa ndoto ya jambo ambayo hujaliona au kukuzunguka ktk maisha yk ,ndoto ni Mtanzo ambao unakujulisha vitu ambayo vinatokea au vitokea kulingana na Cheo chako alicho kujalia Allah
I love ur gud research,,,, continue with the spirit and may God bless u and bless the work of your hands say a big Amen professor Jamal
Mkuuu alhhh akupe maisha malefuu tupate kujuwa tusio yajua
Hongera Sana kazi zuri 👍👍👍👍👍👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Respectful profes professional jamar👏🔥🌟🌟
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Creativity at highest level love u jamal from kenya
Wachaga nigongeeni like apa kama 2namkubali pr
Jazakallah khayran
Ndoto ni ujumbe, ndoto ni mawazo, ndoto ni yajayo na ndoto ni mambo yakale.... kwa kina zaidi naona ufafanuzi wangu utakua mrefu sana
tunakuku barisana jamari apir 💪💪❤❤🔥🔥🙏🙏
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Kuna kenge humu zimekuja kuomba likes shoga kubwa kabisa
najivunia sana kuwa mwislam ❤️
Walah ndoto ni ujumbe unaotoka kwa mwenyez mungu... Hii imenidhihirishia Mara kadhaa kwenye ndoto zangu... Kila ninapoota na kuikumbuka ndoto niliyoota hua ni yakweli yanatokea..
Congrats my brother jamal 👏🏽
Hii story ya Leo ishanitia wenge na usiku huu hakulalik kwa aman
😂😂😂
TAZAMA FULL SHOW YA HARMONIZE AKIMSHIRIKISHA IBRAH MAREKANI NI ZAIDI YA MONDI 🔥🔥👇th-cam.com/video/obPggjKPDQI/w-d-xo.html
😂😂😂😂😂
Waaauh,,makala iko sawa, napeda kutoka apa 254 (Kenya)
Upo pamoja fundi wangu
Brow jamal...tuleteee kuhusuu ukweli au uwongo wa swalaa laa kusemekana kwa kuwepo duniaa nyengine kabalaa yetuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kivuli kinauzito iko....mpaka godoro limebonyea😂😂😂😂😂 24:36
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu akubariki sanaa Jamal
Katika vipindi vyenye views wengi pale kweny media ya wasafi ni vipindi vya huyu jamaa respect sana brodah
U're xo genious bro, congratulations ✌️✌️✌️
Wow! so impressive professor simulizi zako zavuti na kufundisha God bless you pia uendelee kutufumbua fahamu zetu Kudos👏🙏🙏
Kazi poa congratulations
Bro Jamal Asante . Ila na swali napenda nijue utafauti gani upo kati ya Dream ama" ndoto" na vision ama "maono " ...
Tupe majibu ndugu..
Asante. Mwenyezi Mungu awabariki
Naqubal Sana Professa Jamal April ✌️✌️✌️
Good research and presentation professor. Umetaja aina kumi za ndoto ambazo binadamu akiota basi asipuuze,, swali ni afanye nn??
Moçambique naitaji like
Jamal April n inspirational kubwa kw vjana wengi san
#wasafi kabali yao...Jamal kijana wa ninaekutegemea safi saaana bro big Up💪
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Congratulations 👏👏
It's like you're watching a horror story....I was really sacred while watching..hope I will sleep well
Big up professor wewe ni noma mbili na nusu nimeipenda ❤❤❤❤❤
Hiv anaemchukia huy jamaa kweny utoaj elim ya story book anazingatia vigezo gani
Leo ume tuweza kweli waoga imagine na hii time 02:25 sija lala nika ona notification story book nika sema acha ni fungue kabla sija lala mwanzo tu nime stuka naku washa mata sehemu zote silali leo acha nikae macho ila bongezi kwa story
Asante Sanaa mtaaramu nakukubari Sanaa bg up
Mm naota ndoto mbaya sana Allah niepushe nazo
. shout-out to u bro that's the reality 🥳🥳
kwenye swala la ndoto siwezi kumwamini mwana sayansi nitazidi kumwamini Mungu, mfano mtu unaweza kuota kitu afu baada ya miaka au miezi kinatokea vilevile ulivyooto, sasa hapo sayansi inatumikaje
DA ahh ?? Mungu akupe maisha marefu san jamali kwa mamb ambayo unatusimulia asant xn mungu akusameh madhambi yote. Na akupe mafanikio tele?
waaoooo
Nakupenda san jamali p na penda historia zako 😊😊😊😊😊😊
Leo nimetaman hii story iendelee hata kwa saa nzima 💥💥
Asante Kwa simulizi hii.. nimepata kujua tafsiri za ndoto nilizoota hapo awali ..
Somo zuriiii Sanaa nimetamani hata kwenda kwenye source nyingne kutambua💖💛
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
@@asmawastaramushi996 sawaa
You are more than proffersor
Much respect 🙏 👏 to you
Nothing but much respect brother 💪💪💪💪💪💪💪
Ndoto nyengine bhana......we acha2
Bro nakubali sana the story book , big up sana professor
🙏 BONYEZA HAPA 👇
th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html
Umenishtua
Good job professor I like your work every day
I love the I love the editing but you guys you are good
Professor Jamal we are still waiting the Story Book about Internet as you promised us.