HOUSE GIRL EP 24 | S2 | love story💞💕

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • #bongomovie #housegirl

ความคิดเห็น • 873

  • @busatitv
    @busatitv  หลายเดือนก่อน +226

    Habari kuna Mtu amefanya uhuni katika Group letu la Busati Tv Fans hivyo jiunge kwenye group jipya la Busati Tv Fans na jitoe kwenye hilo la hawali
    Mtumie na mwenzako
    chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0

    • @RehemaMwakisyala-k9u
      @RehemaMwakisyala-k9u หลายเดือนก่อน +3

      Ok

    • @RehemaMwakisyala-k9u
      @RehemaMwakisyala-k9u หลายเดือนก่อน +7

      Rehema toka Oman mbona mumetuacha njia panda 23 iliishia Tasha amuwah zatiti inakuwaje tunaanzia Kai anakula tunatoka kujua zatiti imekuwaje jaman usitulishie matukio tunataka kuona Kila atua

    • @FunnyHelmet-yd2hj
      @FunnyHelmet-yd2hj หลายเดือนก่อน

      Nimewahiiii

    • @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
      @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj หลายเดือนก่อน +2

      Mwenye ashamuona sania kwa ubaya wake na maketasha ila mr tasha nakubali kwa mawazo yko ila matasha nakukubali sana mama nakupenda sana

    • @Mulha-b4u
      @Mulha-b4u หลายเดือนก่อน

      Kabisa tunatakatujue imekuwaje zatiti​@@RehemaMwakisyala-k9u

  • @mohamedabdallaseif
    @mohamedabdallaseif หลายเดือนก่อน +101

    Mm sijapenda kitendo cha Bosi kuenda nyumbani Kwa kaii wasiopendezwa na hili wanipe like tafadhali

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د หลายเดือนก่อน

      Anakera huyo boss mm simpendi

    • @SadamuLyuma
      @SadamuLyuma หลายเดือนก่อน

      Bos mby

  • @rehemashinsi
    @rehemashinsi หลายเดือนก่อน +108

    haya sasa mama Tasha na chamkondooooo kimewaka huku njooooni nyie na like zizingatiwe

  • @BashiruRamadhani-p7l
    @BashiruRamadhani-p7l หลายเดือนก่อน +200

    Anapenda Tasha amuoe zatiti agonge like hapa

    • @LeilaAdija
      @LeilaAdija หลายเดือนก่อน

      Oyoooo zatiti na Tasha Kama nawaona 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @VenahBonah
    @VenahBonah หลายเดือนก่อน +38

    Sania mama upo kimekuramba hongera mama Tasha 🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂 wanaokubaliana na mm gonga like❤❤

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 หลายเดือนก่อน +276

    Niseme tu ukweli 😂😂napenda sehemu ya tasha na zatiti ❤❤❤ kama na wewe unapenda twende na like hapa 🎉🎉

    • @saumJuma-q3e
      @saumJuma-q3e หลายเดือนก่อน +2

      Hunishindi naipenda kwel hata mimi😊😂

    • @johariabdalla3099
      @johariabdalla3099 หลายเดือนก่อน

      @@saumJuma-q3e 🥰🥰

    • @aliceaugustine1327
      @aliceaugustine1327 หลายเดือนก่อน

      Hata mm jamn😂😂😂😂Yaan me napend nimuone zatiti na tasha tu

    • @zeyadazeyada8050
      @zeyadazeyada8050 หลายเดือนก่อน +2

      Kai tumia akili sio kila kitu una mwambia boss wako

    • @johariabdalla3099
      @johariabdalla3099 หลายเดือนก่อน

      @@zeyadazeyada8050 kwa kai sio muda kunavurugika maana maadui wamekuwa wengi

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v หลายเดือนก่อน +88

    Sania anakichwa kama cha nyoka 😂😂😂kama umefurahishwa na mama Tasha gonga likes 😀😀

  • @SwaidathThabith
    @SwaidathThabith หลายเดือนก่อน +173

    Anaekelwa na tabia za boss wake kai gonga like apa😜

    • @mmnimshindi
      @mmnimshindi หลายเดือนก่อน +1

      😢😢😢anakera anataka amuharibie zuu

    • @AgnessBenard
      @AgnessBenard หลายเดือนก่อน

      Yahani sijapendaaaaaaaa

    • @TeddyJames-rh6cl
      @TeddyJames-rh6cl หลายเดือนก่อน +2

      Yaan anakeraaa baraa

    • @JoyceKayombo-y3g
      @JoyceKayombo-y3g หลายเดือนก่อน +1

      Yaan anakera Sana na uzee wakeee😢😢😢

    • @jenniferzakaria3884
      @jenniferzakaria3884 หลายเดือนก่อน

      Bibi zuu yupo huwez kupitisha lake pale

  • @zafriiy
    @zafriiy หลายเดือนก่อน +8

    Dahhh nimependa bibi zuu aliposema harusi ya kai kesho mana nimechoka kuisubiri km na wew umependa gonga like

    • @DuliYeba
      @DuliYeba หลายเดือนก่อน

      Ata mm natamani harusi ifike

  • @LucyKarembo-s2m
    @LucyKarembo-s2m หลายเดือนก่อน +124

    Sijachelewa jmni kazi nzuri kusema kweli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wenye tunaomba sania kimurambe gonga like hapa

    • @BankuwihaZilfa
      @BankuwihaZilfa หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @HudhaimatHaji-wf8nh
      @HudhaimatHaji-wf8nh หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂𝑯𝒕𝒎𝒂𝒚𝒆 𝒏𝒆𝒏𝒐 𝒍𝒌𝒐 𝒍𝒊𝒎𝒆𝒆𝒏𝒅𝒂𝒂😅😅😅😅

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl หลายเดือนก่อน +16

    House girl kumewaka moto mama Tasha shikamoo mamangu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉hyo Sania hajazaliwa maan sio kwa kkosa adabu uko hana wazazi uyo akky ni kumoto🔥🔥🔥🔥 house girl hongereni kazi nzuri

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q หลายเดือนก่อน +69

    Asante Mungu kwa asubuhi ya leo tumeona siku njema ya leo kama mzima sema ameeen 🙏❤️❤❤❤

  • @thomasmwaipale2621
    @thomasmwaipale2621 หลายเดือนก่อน +41

    Bibi Zuu amlinde Kai asichepuke

    • @Johar903
      @Johar903 หลายเดือนก่อน

      Yaani mie ananikera boss wa kai anataka kuaribu

  • @JanetBange
    @JanetBange หลายเดือนก่อน +116

    Wanao amin kuwa zatiti ataolewa na Tasha gonga like hata moja

  • @LighySteven-gd8wo
    @LighySteven-gd8wo หลายเดือนก่อน +83

    Zatiti anateseka jamn mpaka namwonea huruma ila naamini wakati unakuja nayeye atafrahi wanaomkubali zatiti gonga like

    • @DelphinaJeremiah-ii1rv
      @DelphinaJeremiah-ii1rv หลายเดือนก่อน +3

      Zatiti anawafariji wanaopitia changamoto za mahusiano

  • @jobsimpamba71
    @jobsimpamba71 หลายเดือนก่อน +12

    Vizuri sana mama tasha mufukuze Sonia hafai mm nataka zatiti weka like zangu hapa❤

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba หลายเดือนก่อน +15

    Jmn mm nilikuw napendez kw cku mtoe vpand v3 jmn sisi mafans wenu tunapend san kz yenu km kun yoyot ameyapend mawaz yng like jmn🎉❤

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx หลายเดือนก่อน +30

    Ubaya ubwela I am a first one ❤naomben like zen jaman

  • @SospeterAmosy
    @SospeterAmosy หลายเดือนก่อน +38

    Jaman Leo naombeni hata like 10 tu

  • @LadyKCG
    @LadyKCG หลายเดือนก่อน +12

    Wakwanza leo much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it หลายเดือนก่อน +35

    Uyu bosi wake kai kwenye hause girl simpendi na piata hata kwenye worng hause simpendi pia maan kakaa kiumaraya maraya2 😂😂😂😂😂😂

    • @zeyadazeyada8050
      @zeyadazeyada8050 หลายเดือนก่อน +2

      Hata mie kwa kweli

    • @maureenndeti6365
      @maureenndeti6365 หลายเดือนก่อน +3

      Hata kwa wrong house ni husband snatcher😂😂😂

    • @DidaAlly-iz1it
      @DidaAlly-iz1it หลายเดือนก่อน +1

      @@maureenndeti6365 yeah😂😂

    • @DidaAlly-iz1it
      @DidaAlly-iz1it หลายเดือนก่อน +1

      @@zeyadazeyada8050 😂😂😂

    • @suzan2929
      @suzan2929 หลายเดือนก่อน +1

      Eee ni maraya tuu

  • @SaadffasellOmaan
    @SaadffasellOmaan หลายเดือนก่อน +7

    Nimekupenda bule mama Tasha😂😂😂😂😂😂wapi mama wakweee vijana pga keleeeeeeeee😊😊😊😊😊😊sania kayatimba alijuwa km babaake kai kwa cend😂😂😂😂

  • @UpendoLenard-rw9dd
    @UpendoLenard-rw9dd หลายเดือนก่อน +7

    Big up kwa kazi nzuri, tunajifunza mengi kupitia house girl ni mengi ambayo yapo katika maisha halisia

  • @AdijaRumonge
    @AdijaRumonge หลายเดือนก่อน +11

    Boss bwana acha kutuariabia movie. Tafuta ma Babu wenza koo bwana

  • @YusraThomas-cb6ll
    @YusraThomas-cb6ll หลายเดือนก่อน +11

    Sania kachafukwa 😂😂 kasahau km anaepigana nae ndo mzaa chema

    • @ummycheedy2809
      @ummycheedy2809 หลายเดือนก่อน

      Nmechekaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @YusraThomas-cb6ll
      @YusraThomas-cb6ll หลายเดือนก่อน

      @@ummycheedy2809 🤣🤣

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k หลายเดือนก่อน +13

    🎉🎉sijachelewa jaman .🎉wenye wanatam tash amuoe zatiti munipee like🎉🎉🎉🎉

  • @SandrineIngabire-j7c
    @SandrineIngabire-j7c หลายเดือนก่อน +15

    Wakwanzaa leo .❤❤much love naombeni tu like angalau tudogo 😂

  • @KambaleTemauzenge
    @KambaleTemauzenge หลายเดือนก่อน +22

    Sania kayatimba leo kakumbana na mama wamjini😂

  • @JamesZakayo-o2f
    @JamesZakayo-o2f หลายเดือนก่อน +26

    Nyie waomba like kwann msihoji kuwa zuu kaenda kwa kai usiku na bibi akasema harusi ni kesho na kumekucha kai tena anasema harusi ni kesho kwann msihoji hilo mnaomba like tu

    • @SuzanneOg-yj1nr
      @SuzanneOg-yj1nr หลายเดือนก่อน +1

      Jamaniii kesho hazifiki hata sielew,😏

    • @SharonMokeira-ij7iq
      @SharonMokeira-ij7iq หลายเดือนก่อน

      Jamani yani kila komenti kila mtu anataka like jamani wanaboo 😮

    • @annetvuseletse4509
      @annetvuseletse4509 หลายเดือนก่อน

      Harusi tunayo

    • @RadhiaChibwana
      @RadhiaChibwana หลายเดือนก่อน

      ilo nalo neno

    • @KabelaZainabu
      @KabelaZainabu หลายเดือนก่อน

      Ilikua niusiku wasanane ao satisa manaak ni siku imekua imeshapit

  • @zippyMtali
    @zippyMtali หลายเดือนก่อน +6

    Naona watu mnawahi kweli kweli 😂😂hamlali mnafikiria tu house girl pongezi sana kwenu nyote mnao tazama busati tv ❤

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 หลายเดือนก่อน +5

    We boss usitutatiziye zuu wetu au tukusem kwa mizimu ushulikiwe kwani c wapo waume wegine mbon wakazania kai?😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mm sijapend kabisa😢😢😢😢😢

  • @Djikondj-on4le
    @Djikondj-on4le หลายเดือนก่อน +21

    Washa biki ote wa clam vevo kama mimi tu musapoti zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @RuthMutheki
      @RuthMutheki หลายเดือนก่อน

      Tunangoja snake boy 33

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n หลายเดือนก่อน +6

    Weee sania mbwa mdogo😂😂😂❤ jamani mama Tasha mkwe wako uyo ndo ulikuwa unamuona mzuuri😊

  • @ElizabethEliza-d4e
    @ElizabethEliza-d4e หลายเดือนก่อน +4

    Yaan napenda sehem ya zatit n tasha 👏👏 kam n ww unapend like hapo

  • @Anna-me4kc
    @Anna-me4kc หลายเดือนก่อน +12

    Hay sas mama Tasha kimekuramba kwa Sania 😂😂😂 mke Bora kwa Tasha uliekuw unataka ndo uyo 😂😂😂😂

    • @BankuwihaZilfa
      @BankuwihaZilfa หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @Anna-me4kc
      @Anna-me4kc หลายเดือนก่อน

      @@BankuwihaZilfa 😂😂😂

  • @R0dah-z3q
    @R0dah-z3q หลายเดือนก่อน +6

    Mm ningependa tasha amuowe zatiti

  • @rehemashinsi
    @rehemashinsi หลายเดือนก่อน +12

    habari zenu wapumbavu wenzangu mko poa lakini like kidogo basi naombeni wqpumbavu wenzangu ili tuendelee

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka หลายเดือนก่อน

      Pumbavuu

    • @JudithSimiyu-ps7ee
      @JudithSimiyu-ps7ee หลายเดือนก่อน

      Komaa mpumbavu mwenzetuu😅😅😅😅

  • @Sumayaq7i
    @Sumayaq7i หลายเดือนก่อน +17

    Namb Moja Leo naomben like hata tano

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz หลายเดือนก่อน +5

    Kama ulimuona chiko akicheza mpira yanga day gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AwadhAdam-j5f
    @AwadhAdam-j5f หลายเดือนก่อน +3

    Sania amechoka kuigiza jamani nakupenda sana sania umeigiza vizuri chukua mau yako 🎉

  • @PurityDida
    @PurityDida หลายเดือนก่อน +4

    Nipo bampa tu bampa na house girl❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SifaKahindo-i6q
    @SifaKahindo-i6q หลายเดือนก่อน +3

    Nafurai sana mama Tasha ameanja Kubali ya kwamba kamukonde nimutu mubaya

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص หลายเดือนก่อน +1

    Huyu boss wa khai ananiudhi sana sukae kwako utulie hutakiwi aaah kuu

  • @SelinahKeny
    @SelinahKeny หลายเดือนก่อน +5

    Oh my god I was just waiting for it's am number 1 for kenya

  • @stellaayiera8038
    @stellaayiera8038 หลายเดือนก่อน +7

    Jamani boss wa kai

  • @DullyQarem
    @DullyQarem หลายเดือนก่อน +6

    Wa Kwanzaa jmonn

  • @MohaMohamed-gk4hy
    @MohaMohamed-gk4hy หลายเดือนก่อน +9

    Leo ni mimi tu na hata sina mambo ya likes mie naenjoy tu.

  • @lovenessmichael7098
    @lovenessmichael7098 หลายเดือนก่อน +8

    Wakwanza leo jaman ❤❤

  • @mourinemusungu-w5c
    @mourinemusungu-w5c หลายเดือนก่อน +9

    Hatimaye sania amechoka kuishi maisha ya kuigiza,kaamua kuonyesha true colour mwenyewe

  • @AminaPtg
    @AminaPtg หลายเดือนก่อน +3

    Chisa mwepes kaa nguo zakulalia😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @YusrawhiteWhite
    @YusrawhiteWhite หลายเดือนก่อน +3

    Uyu bos nae vp jmn anatak kutuharibia shuguli😢😢

  • @KambaleTemauzenge
    @KambaleTemauzenge หลายเดือนก่อน +10

    Jamani namimi sijachelewa leo

  • @GildohilarioMaurus
    @GildohilarioMaurus หลายเดือนก่อน +3

    Uyu mwamba mkongo ananoguexa 😅😅 papai na yupo sírias

  • @jovanmasika5450
    @jovanmasika5450 หลายเดือนก่อน +6

    Hamna baya Busati mpo vzr mno

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 หลายเดือนก่อน +1

    Mama Tasha kiboko kwel good ulivomjibu sania

  • @millicentwairimumuriuki8638
    @millicentwairimumuriuki8638 หลายเดือนก่อน +12

    Jameni naomba like dada zanguni na ndugu zangu

  • @ashuramohamed1895
    @ashuramohamed1895 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna nini jamani Kila mtu wa kwanza

  • @Farthun
    @Farthun หลายเดือนก่อน +5

    🫶 Asante sana

  • @AgnesAjabu
    @AgnesAjabu หลายเดือนก่อน +4

    Wa kwanza leo🎉🎉🎉🎉😊

  • @JenifaKithuka
    @JenifaKithuka หลายเดือนก่อน +5

    Wakwanza Leo kutoka Nairobi kenya

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo หลายเดือนก่อน +2

    Tunaeomba Tasha amuoe Zatiti tujuwane maana sio kwa nizamu hizi mbaya sania ameonyesha Yani kupigana na mama Ake Tasha sijapenda ndoa ya Zuu iko lehani😂😂😂boss kaingia Kati sijui Zuu atajisikiaje

  • @LinaLina-uu5pw
    @LinaLina-uu5pw หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri mnayoifanya nasi mafans twajifunia mafundisho,sijui mafans wenzangu mnasemaje....

  • @NeemaDenja
    @NeemaDenja หลายเดือนก่อน +3

    Jaman na mmi nipo naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa หลายเดือนก่อน +7

    Jaman kila nikiwah nakuta mmenitangulia ila naomben tu like hata 20 nawapenda

  • @Djikondj-on4le
    @Djikondj-on4le หลายเดือนก่อน +10

    we boss we simutu muzima tu una taka kuaribu arusi y'a zuri we vipi😂😂😂😂😂

    • @DoreenWanyonyi-x8y
      @DoreenWanyonyi-x8y หลายเดือนก่อน +1

      Bibi atamuonyesha war kama malaika😂😂😂😂

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr หลายเดือนก่อน

      Hajawahi kumuona we muace ajitambik mbere kitamuramba kwa bibi zuu😂😂​@@DoreenWanyonyi-x8y

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 หลายเดือนก่อน

      Aishi na baba yke kai sio kai kwa umri wake😂😂😂

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 หลายเดือนก่อน +2

    Waooooo mma tasha maua yako 🎉🎉🎉umejua kanifulahisha leo zaa tity anahangayika sanaaa ipo siku yatakwisha 😢😢ila huyu boss wa kai anahalibu mambo😅❤❤

  • @SamiaMasoud
    @SamiaMasoud หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh sania jmn anaongea na mkwe ivyo hana hata aibu jmn khaaaa vizazi va asaivi mmmmh😢😢

  • @MiriamSamita
    @MiriamSamita หลายเดือนก่อน +9

    Nmewai mim nataka kuona sania n uongo wake🎉🎉

    • @CellineDige
      @CellineDige หลายเดือนก่อน

      Hachelewi kujitetea yule wakamwelewa 😂😂😂😂😂famasiyara wewe😂😂😂😂😂

  • @DoreenWakesho-g2r
    @DoreenWakesho-g2r หลายเดือนก่อน +2

    lakini huyu mpumbavu mwenzetu kwa kweli mbona mnapenda kumpa mda mrefu sana wakuongea yani kwanzia kipindi kianze ata huwa na scroll ikifika kwao hebu wapunguze maneno

    • @DoreenWakesho-g2r
      @DoreenWakesho-g2r หลายเดือนก่อน +1

      kwakweli hiyo part yao inachosha wanaongea nakutumia mda mwingi sana kuliko part zote😢

  • @IrakozeOlene
    @IrakozeOlene หลายเดือนก่อน +5

    WE sania kuwanaeshma nawatu wazima

  • @yuniekivuyo2474
    @yuniekivuyo2474 หลายเดือนก่อน

    huyu boss jamaniiii mbona me ananikera...... 😢😢 tonge la zuu wangu linapokonywa mdomonii😭😭

  • @winifrdarichard
    @winifrdarichard หลายเดือนก่อน +14

    jaman mimi wakwanza leo naomben like

  • @saniambaraka
    @saniambaraka หลายเดือนก่อน +8

    Kai nae.....Wala asingemwambia boss kama harusi ni kesho😂

    • @HappyTimotheo
      @HappyTimotheo หลายเดือนก่อน

      😂

    • @HellenHamza
      @HellenHamza หลายเดือนก่อน

      Me mwenyewe kaniuzi sana hata kama ni movie khaa

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w หลายเดือนก่อน

    Heheheheheheeee mama tunae tuna tamba nae weweeee mama tasha leo umeamini maana we nae ni mmbishi 😂😂😂

  • @maikomwanja
    @maikomwanja หลายเดือนก่อน +3

    Leo mm wa kwanza

  • @prettyney3812
    @prettyney3812 หลายเดือนก่อน +2

    Sania kaharibu kila kitu jmn daah namuonea huruma sana😢😢😢😢

    • @marthanassari3524
      @marthanassari3524 หลายเดือนก่อน +1

      😢😢😂

    • @prettyney3812
      @prettyney3812 หลายเดือนก่อน

      @@marthanassari3524 yaan kumbe kweli tabia ya mtu haibadiriki🙌🙌

  • @WardaSalumu-xl8dz
    @WardaSalumu-xl8dz หลายเดือนก่อน +6

    Wakwanza Leo nilikua naisubili Sana nimemis candy

  • @elizabethkabanda4105
    @elizabethkabanda4105 หลายเดือนก่อน +2

    We mwenye kichwa kama nyokaa 😂😂😂Sania kimemramba 😂😂😂

  • @John346
    @John346 หลายเดือนก่อน +6

    Asante kwa kutuletea kwa wakati

  • @SalamaRajabu-c6h
    @SalamaRajabu-c6h หลายเดือนก่อน +4

    Duh Mr Tasha toa nnje Sania hafai

  • @MwanaikiSwalehe
    @MwanaikiSwalehe หลายเดือนก่อน +4

    Huyu boss WA kai Ana kera sana

  • @RachelJoseph-dy2jh
    @RachelJoseph-dy2jh หลายเดือนก่อน +1

    Jaman namchukia boss wa kai kama nn anatuharibia harusi ya kai na zuu

  • @RamCharan-wk4qc
    @RamCharan-wk4qc หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 twendee kwa Mama Tasha na mkwewe Sania mamboo yamewaka ukuu

  • @EvelinaMayenga
    @EvelinaMayenga หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama Tasha shikamoo mama asante mama 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️ beach zote mama mjin umeogelea mpashe Sania mama 🥰🥰🥰🥰🥰🥰💯💯💯💯💯🤸🤸🤸🤸🤸

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo หลายเดือนก่อน +3

    First off alll
    Like hapa jamn

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u หลายเดือนก่อน +4

    Zatt ni mke wa tasha tena na watt kbs

  • @QueenSuuu
    @QueenSuuu หลายเดือนก่อน

    From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Sania kitakuramba alf mr.tasha zatiti ndo hadhi yako so owa yye plz Sania huyo apna mpk anapigana na mama❤❤❤❤

  • @WiniSanga
    @WiniSanga หลายเดือนก่อน

    Safi sana sania kimemramba atoke

  • @DamarisomwengaKemunto
    @DamarisomwengaKemunto หลายเดือนก่อน +12

    Like kwa shosho ya zuu

  • @FarizanaRichard
    @FarizanaRichard หลายเดือนก่อน +4

    Jamani leo naomba like za brother kai

  • @AshaJumaa-ej7ri
    @AshaJumaa-ej7ri หลายเดือนก่อน

    Ila mama tasha kanikosha kwamb hiko kichwa cha habar na hapa habar umezikuta 😂😂😂😊

  • @EstherSimion
    @EstherSimion หลายเดือนก่อน +2

    Naombeni like jamani na mm😢😢😢please🙏🙏

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg หลายเดือนก่อน

    Looo sania😂😂😂😂😂😂 ama kweli mwenye lake kuacha nivigumu umempa makavuuu mkwe😂😂😂😂😂 maskini tasha ni rafiki mzuri sana kwa kai huyu boss aki na huyu bibi zuu hamuoni huyu boss na uchawi wake akampoteza 😂😂😂😂😂😂😂😂sania umeniacha hoiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Anna-me4kc
    @Anna-me4kc หลายเดือนก่อน +3

    Wa kwanza mm jmn like Ata Moja

  • @lavenderokunani
    @lavenderokunani หลายเดือนก่อน +7

    Kwanza jamani n pewe like

  • @GildohilarioMaurus
    @GildohilarioMaurus หลายเดือนก่อน

    Sania amegusa pabaya 😂😂 na mama taxa mze amepita vilabu viote

  • @ميريالشمري-ح9ب
    @ميريالشمري-ح9ب หลายเดือนก่อน

    Sania atimaye umeonesha makucayako yote mama tâcha ongera kwakutazama inje kuliko ndani😂😂😂

  • @JoannyBreezy
    @JoannyBreezy หลายเดือนก่อน +2

    Anae Tama mama Tasha amfukuze Sania Tena ammamate makofi kama mia iviii Malaya huyu Sania mnafki na mchonganishi mkubwa WA familia za watu gongen like hata 5 tu

  • @NaomyBahati
    @NaomyBahati หลายเดือนก่อน +4

    Cendy ana pua jaman ❤❤ like kwa wale mnaona pua ya kend ilivo kubwa

    • @aminaadam6964
      @aminaadam6964 หลายเดือนก่อน

      We ndio umemuumba

    • @CharmingAngel-wx2sk
      @CharmingAngel-wx2sk หลายเดือนก่อน

      Kwenda huko like hatukupei sawa ,kwani wewe ndo Mungu ulimuumba😂😂😂😂

    • @NyambeleHalimeshi
      @NyambeleHalimeshi หลายเดือนก่อน

      Lakin Ni mzuri 😅😅

  • @NiyonkuruSalehe
    @NiyonkuruSalehe หลายเดือนก่อน

    Heeh sania sasa kayakanyaga 😂 acha tuone mwishowe sasa