Habari kuna Mtu amefanya uhuni katika Group letu la Busati Tv Fans hivyo jiunge kwenye group jipya la Busati Tv Fans na jitoe kwenye hilo la hawali Mtumie na mwenzako chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
Rehema toka Oman mbona mumetuacha njia panda 23 iliishia Tasha amuwah zatiti inakuwaje tunaanzia Kai anakula tunatoka kujua zatiti imekuwaje jaman usitulishie matukio tunataka kuona Kila atua
House girl kumewaka moto mama Tasha shikamoo mamangu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉hyo Sania hajazaliwa maan sio kwa kkosa adabu uko hana wazazi uyo akky ni kumoto🔥🔥🔥🔥 house girl hongereni kazi nzuri
Nyie waomba like kwann msihoji kuwa zuu kaenda kwa kai usiku na bibi akasema harusi ni kesho na kumekucha kai tena anasema harusi ni kesho kwann msihoji hilo mnaomba like tu
Tunaeomba Tasha amuoe Zatiti tujuwane maana sio kwa nizamu hizi mbaya sania ameonyesha Yani kupigana na mama Ake Tasha sijapenda ndoa ya Zuu iko lehani😂😂😂boss kaingia Kati sijui Zuu atajisikiaje
lakini huyu mpumbavu mwenzetu kwa kweli mbona mnapenda kumpa mda mrefu sana wakuongea yani kwanzia kipindi kianze ata huwa na scroll ikifika kwao hebu wapunguze maneno
Looo sania😂😂😂😂😂😂 ama kweli mwenye lake kuacha nivigumu umempa makavuuu mkwe😂😂😂😂😂 maskini tasha ni rafiki mzuri sana kwa kai huyu boss aki na huyu bibi zuu hamuoni huyu boss na uchawi wake akampoteza 😂😂😂😂😂😂😂😂sania umeniacha hoiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anae Tama mama Tasha amfukuze Sania Tena ammamate makofi kama mia iviii Malaya huyu Sania mnafki na mchonganishi mkubwa WA familia za watu gongen like hata 5 tu
Habari kuna Mtu amefanya uhuni katika Group letu la Busati Tv Fans hivyo jiunge kwenye group jipya la Busati Tv Fans na jitoe kwenye hilo la hawali
Mtumie na mwenzako
chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
Ok
Rehema toka Oman mbona mumetuacha njia panda 23 iliishia Tasha amuwah zatiti inakuwaje tunaanzia Kai anakula tunatoka kujua zatiti imekuwaje jaman usitulishie matukio tunataka kuona Kila atua
Nimewahiiii
Mwenye ashamuona sania kwa ubaya wake na maketasha ila mr tasha nakubali kwa mawazo yko ila matasha nakukubali sana mama nakupenda sana
Kabisa tunatakatujue imekuwaje zatiti@@RehemaMwakisyala-k9u
Mm sijapenda kitendo cha Bosi kuenda nyumbani Kwa kaii wasiopendezwa na hili wanipe like tafadhali
Anakera huyo boss mm simpendi
Bos mby
haya sasa mama Tasha na chamkondooooo kimewaka huku njooooni nyie na like zizingatiwe
Anapenda Tasha amuoe zatiti agonge like hapa
Oyoooo zatiti na Tasha Kama nawaona 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sania mama upo kimekuramba hongera mama Tasha 🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂 wanaokubaliana na mm gonga like❤❤
Niseme tu ukweli 😂😂napenda sehemu ya tasha na zatiti ❤❤❤ kama na wewe unapenda twende na like hapa 🎉🎉
Hunishindi naipenda kwel hata mimi😊😂
@@saumJuma-q3e 🥰🥰
Hata mm jamn😂😂😂😂Yaan me napend nimuone zatiti na tasha tu
Kai tumia akili sio kila kitu una mwambia boss wako
@@zeyadazeyada8050 kwa kai sio muda kunavurugika maana maadui wamekuwa wengi
Sania anakichwa kama cha nyoka 😂😂😂kama umefurahishwa na mama Tasha gonga likes 😀😀
Sania ni ibilisi😂
😂😂
@@JeannetteManirambona-o6m shetan 😅😅😅
@@MoureenRogers 🤣🤣🤣🤣
Kanfurahisha uyooo😂
Anaekelwa na tabia za boss wake kai gonga like apa😜
😢😢😢anakera anataka amuharibie zuu
Yahani sijapendaaaaaaaa
Yaan anakeraaa baraa
Yaan anakera Sana na uzee wakeee😢😢😢
Bibi zuu yupo huwez kupitisha lake pale
Dahhh nimependa bibi zuu aliposema harusi ya kai kesho mana nimechoka kuisubiri km na wew umependa gonga like
Ata mm natamani harusi ifike
Sijachelewa jmni kazi nzuri kusema kweli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wenye tunaomba sania kimurambe gonga like hapa
😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂𝑯𝒕𝒎𝒂𝒚𝒆 𝒏𝒆𝒏𝒐 𝒍𝒌𝒐 𝒍𝒊𝒎𝒆𝒆𝒏𝒅𝒂𝒂😅😅😅😅
House girl kumewaka moto mama Tasha shikamoo mamangu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉hyo Sania hajazaliwa maan sio kwa kkosa adabu uko hana wazazi uyo akky ni kumoto🔥🔥🔥🔥 house girl hongereni kazi nzuri
Asante Mungu kwa asubuhi ya leo tumeona siku njema ya leo kama mzima sema ameeen 🙏❤️❤❤❤
Amen
Ameen
Amen
Amen
Amen 🙏 🙏 🙏
Bibi Zuu amlinde Kai asichepuke
Yaani mie ananikera boss wa kai anataka kuaribu
Wanao amin kuwa zatiti ataolewa na Tasha gonga like hata moja
Mimi niko hapa
Tusha amini sana inatosha sasa bhana
Zatiti anateseka jamn mpaka namwonea huruma ila naamini wakati unakuja nayeye atafrahi wanaomkubali zatiti gonga like
Zatiti anawafariji wanaopitia changamoto za mahusiano
Vizuri sana mama tasha mufukuze Sonia hafai mm nataka zatiti weka like zangu hapa❤
Jmn mm nilikuw napendez kw cku mtoe vpand v3 jmn sisi mafans wenu tunapend san kz yenu km kun yoyot ameyapend mawaz yng like jmn🎉❤
Ubaya ubwela I am a first one ❤naomben like zen jaman
Jaman Leo naombeni hata like 10 tu
Wakwanza leo much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uyu bosi wake kai kwenye hause girl simpendi na piata hata kwenye worng hause simpendi pia maan kakaa kiumaraya maraya2 😂😂😂😂😂😂
Hata mie kwa kweli
Hata kwa wrong house ni husband snatcher😂😂😂
@@maureenndeti6365 yeah😂😂
@@zeyadazeyada8050 😂😂😂
Eee ni maraya tuu
Nimekupenda bule mama Tasha😂😂😂😂😂😂wapi mama wakweee vijana pga keleeeeeeeee😊😊😊😊😊😊sania kayatimba alijuwa km babaake kai kwa cend😂😂😂😂
Big up kwa kazi nzuri, tunajifunza mengi kupitia house girl ni mengi ambayo yapo katika maisha halisia
Boss bwana acha kutuariabia movie. Tafuta ma Babu wenza koo bwana
Sania kachafukwa 😂😂 kasahau km anaepigana nae ndo mzaa chema
Nmechekaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@ummycheedy2809 🤣🤣
🎉🎉sijachelewa jaman .🎉wenye wanatam tash amuoe zatiti munipee like🎉🎉🎉🎉
Wakwanzaa leo .❤❤much love naombeni tu like angalau tudogo 😂
Sania kayatimba leo kakumbana na mama wamjini😂
Nyie waomba like kwann msihoji kuwa zuu kaenda kwa kai usiku na bibi akasema harusi ni kesho na kumekucha kai tena anasema harusi ni kesho kwann msihoji hilo mnaomba like tu
Jamaniii kesho hazifiki hata sielew,😏
Jamani yani kila komenti kila mtu anataka like jamani wanaboo 😮
Harusi tunayo
ilo nalo neno
Ilikua niusiku wasanane ao satisa manaak ni siku imekua imeshapit
Naona watu mnawahi kweli kweli 😂😂hamlali mnafikiria tu house girl pongezi sana kwenu nyote mnao tazama busati tv ❤
We boss usitutatiziye zuu wetu au tukusem kwa mizimu ushulikiwe kwani c wapo waume wegine mbon wakazania kai?😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mm sijapend kabisa😢😢😢😢😢
Washa biki ote wa clam vevo kama mimi tu musapoti zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunangoja snake boy 33
Weee sania mbwa mdogo😂😂😂❤ jamani mama Tasha mkwe wako uyo ndo ulikuwa unamuona mzuuri😊
Yaan napenda sehem ya zatit n tasha 👏👏 kam n ww unapend like hapo
Hay sas mama Tasha kimekuramba kwa Sania 😂😂😂 mke Bora kwa Tasha uliekuw unataka ndo uyo 😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@BankuwihaZilfa 😂😂😂
Mm ningependa tasha amuowe zatiti
habari zenu wapumbavu wenzangu mko poa lakini like kidogo basi naombeni wqpumbavu wenzangu ili tuendelee
Pumbavuu
Komaa mpumbavu mwenzetuu😅😅😅😅
Namb Moja Leo naomben like hata tano
Kama ulimuona chiko akicheza mpira yanga day gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sania amechoka kuigiza jamani nakupenda sana sania umeigiza vizuri chukua mau yako 🎉
Nipo bampa tu bampa na house girl❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Nafurai sana mama Tasha ameanja Kubali ya kwamba kamukonde nimutu mubaya
Huyu boss wa khai ananiudhi sana sukae kwako utulie hutakiwi aaah kuu
Oh my god I was just waiting for it's am number 1 for kenya
Jamani boss wa kai
Wa Kwanzaa jmonn
Leo ni mimi tu na hata sina mambo ya likes mie naenjoy tu.
Wakwanza leo jaman ❤❤
Hatimaye sania amechoka kuishi maisha ya kuigiza,kaamua kuonyesha true colour mwenyewe
Apo sawa
Amefanya poa ili zatiti apate nafasi
Chisa mwepes kaa nguo zakulalia😁😁😁😁😁😁😁😁😁
😂😂😂
Uyu bos nae vp jmn anatak kutuharibia shuguli😢😢
Jamani namimi sijachelewa leo
Uyu mwamba mkongo ananoguexa 😅😅 papai na yupo sírias
Hamna baya Busati mpo vzr mno
Mama Tasha kiboko kwel good ulivomjibu sania
Jameni naomba like dada zanguni na ndugu zangu
Jaman
Kuna nini jamani Kila mtu wa kwanza
🫶 Asante sana
Wa kwanza leo🎉🎉🎉🎉😊
Wakwanza Leo kutoka Nairobi kenya
Tunaeomba Tasha amuoe Zatiti tujuwane maana sio kwa nizamu hizi mbaya sania ameonyesha Yani kupigana na mama Ake Tasha sijapenda ndoa ya Zuu iko lehani😂😂😂boss kaingia Kati sijui Zuu atajisikiaje
Kazi nzuri mnayoifanya nasi mafans twajifunia mafundisho,sijui mafans wenzangu mnasemaje....
Jaman na mmi nipo naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Jaman kila nikiwah nakuta mmenitangulia ila naomben tu like hata 20 nawapenda
we boss we simutu muzima tu una taka kuaribu arusi y'a zuri we vipi😂😂😂😂😂
Bibi atamuonyesha war kama malaika😂😂😂😂
Hajawahi kumuona we muace ajitambik mbere kitamuramba kwa bibi zuu😂😂@@DoreenWanyonyi-x8y
Aishi na baba yke kai sio kai kwa umri wake😂😂😂
Waooooo mma tasha maua yako 🎉🎉🎉umejua kanifulahisha leo zaa tity anahangayika sanaaa ipo siku yatakwisha 😢😢ila huyu boss wa kai anahalibu mambo😅❤❤
Mmmh sania jmn anaongea na mkwe ivyo hana hata aibu jmn khaaaa vizazi va asaivi mmmmh😢😢
Nmewai mim nataka kuona sania n uongo wake🎉🎉
Hachelewi kujitetea yule wakamwelewa 😂😂😂😂😂famasiyara wewe😂😂😂😂😂
lakini huyu mpumbavu mwenzetu kwa kweli mbona mnapenda kumpa mda mrefu sana wakuongea yani kwanzia kipindi kianze ata huwa na scroll ikifika kwao hebu wapunguze maneno
kwakweli hiyo part yao inachosha wanaongea nakutumia mda mwingi sana kuliko part zote😢
WE sania kuwanaeshma nawatu wazima
huyu boss jamaniiii mbona me ananikera...... 😢😢 tonge la zuu wangu linapokonywa mdomonii😭😭
jaman mimi wakwanza leo naomben like
Kai nae.....Wala asingemwambia boss kama harusi ni kesho😂
😂
Me mwenyewe kaniuzi sana hata kama ni movie khaa
Heheheheheheeee mama tunae tuna tamba nae weweeee mama tasha leo umeamini maana we nae ni mmbishi 😂😂😂
Leo mm wa kwanza
Sania kaharibu kila kitu jmn daah namuonea huruma sana😢😢😢😢
😢😢😂
@@marthanassari3524 yaan kumbe kweli tabia ya mtu haibadiriki🙌🙌
Wakwanza Leo nilikua naisubili Sana nimemis candy
We mwenye kichwa kama nyokaa 😂😂😂Sania kimemramba 😂😂😂
Asante kwa kutuletea kwa wakati
Duh Mr Tasha toa nnje Sania hafai
Huyu boss WA kai Ana kera sana
Jaman namchukia boss wa kai kama nn anatuharibia harusi ya kai na zuu
😂😂😂 twendee kwa Mama Tasha na mkwewe Sania mamboo yamewaka ukuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama Tasha shikamoo mama asante mama 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️ beach zote mama mjin umeogelea mpashe Sania mama 🥰🥰🥰🥰🥰🥰💯💯💯💯💯🤸🤸🤸🤸🤸
First off alll
Like hapa jamn
Zatt ni mke wa tasha tena na watt kbs
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Sania kitakuramba alf mr.tasha zatiti ndo hadhi yako so owa yye plz Sania huyo apna mpk anapigana na mama❤❤❤❤
Safi sana sania kimemramba atoke
Like kwa shosho ya zuu
Jamani leo naomba like za brother kai
Ila mama tasha kanikosha kwamb hiko kichwa cha habar na hapa habar umezikuta 😂😂😂😊
Naombeni like jamani na mm😢😢😢please🙏🙏
Looo sania😂😂😂😂😂😂 ama kweli mwenye lake kuacha nivigumu umempa makavuuu mkwe😂😂😂😂😂 maskini tasha ni rafiki mzuri sana kwa kai huyu boss aki na huyu bibi zuu hamuoni huyu boss na uchawi wake akampoteza 😂😂😂😂😂😂😂😂sania umeniacha hoiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza mm jmn like Ata Moja
Kwanza jamani n pewe like
We tulia
Una pata
Usjali ni zako leo
Sania amegusa pabaya 😂😂 na mama taxa mze amepita vilabu viote
Sania atimaye umeonesha makucayako yote mama tâcha ongera kwakutazama inje kuliko ndani😂😂😂
Anae Tama mama Tasha amfukuze Sania Tena ammamate makofi kama mia iviii Malaya huyu Sania mnafki na mchonganishi mkubwa WA familia za watu gongen like hata 5 tu
Cendy ana pua jaman ❤❤ like kwa wale mnaona pua ya kend ilivo kubwa
We ndio umemuumba
Kwenda huko like hatukupei sawa ,kwani wewe ndo Mungu ulimuumba😂😂😂😂
Lakin Ni mzuri 😅😅
Heeh sania sasa kayakanyaga 😂 acha tuone mwishowe sasa