Hili SoMo limenigusa sana Ngoja nirudi nikapatane na washitaki wangu haijalishi wao ndo walinikosea ,maana mbingu naitaka kabisa ,Kwa Neno hili nimejiona Mimi mwovu Sana
Ni kweli kabisa wanawake wengi wana viburi kwa waume zao hasa mwanamke wanaosuka na kujipamba kwa mapambo ya kidunia na mwanamke akianza kupata pesa anaona anaweza kuendeleza maisha yake hata bila mume ni changamoto Yesu atusaidie wanawake.
Nakuja kugundua watu wa Mungu tuliomo makanisani hatujafikia uwezo wajuu wakumuelewa Mungu ndani ya neno lake,Paulo anawaambia corintho hata Sasa chakula kigumu hamkiwezi😢Yani Mungu atusaidie tumuelewe kwaupana Sana naumia niwamgapi wanapitwa na masomo Kama haya mazuri hivi ooohoo😢😢,Asante Yesu kwa kunijuza,mtunze mtumishi wako tengwa uzidi kumtumia atufungue macho ili tupone shetani asimuweze kamwe.
Na MUNGU ATUSAIDIE NA MADHAMBI YAMETUZINGA MNO TUNASALI MAKANISANI LAKINI HALI NI MBAYA MNO NA TUNAAMBIWA TU KEKI NA MAFUTA NA KUJIUNGAMANISHA NA MADAHABAU ZA KIHUNI DHAMBI INATESA DUNIANI NA JEHANAMU MILELE
Ameni, MUNGU anisaidie ,katika Jina la YESU KRISTO.,maana mimi NI mtupu tu.YESU KRISTO naomba unisaidie siwezi Mimi.,nipe nafasi Tena,narudi kwako YESU KRISTO naomba unisikie sahii.
Asnte YESU nimepona kwa sehemu yangu Mungu akubariki mtumishi Tengwa
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana mtu Wa Mungu kwa haya mafundisho mazuri. Kwa kweli najifunza sana
Mungu aliye mbinguni atusaidie sana tuwe watu wakusikia neno la Mungu na kulitendea kazi
Mungu akubariki sana Mtu wa Mungu
UBARIKIWE Sana Mtumishi wa BWANA.
Hakika Mungu utusaidie kusamehe ili tusamehewe
Hili SoMo limenigusa sana Ngoja nirudi nikapatane na washitaki wangu haijalishi wao ndo walinikosea ,maana mbingu naitaka kabisa ,Kwa Neno hili nimejiona Mimi mwovu Sana
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
Ni kweli kabisa wanawake wengi wana viburi kwa waume zao hasa mwanamke wanaosuka na kujipamba kwa mapambo ya kidunia na mwanamke akianza kupata pesa anaona anaweza kuendeleza maisha yake hata bila mume ni changamoto Yesu atusaidie wanawake.
Amina Baba ninajifunza vitu vingi sana MUNGU azidi kukubariki
Barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏
Amen ujumbe mzito sana
Asante kwa maarifa haya
Asante kwa ujumbe nimebariwa!!
Be blessed man of God
Mtumishi nimekuelewa
Nakuja kugundua watu wa Mungu tuliomo makanisani hatujafikia uwezo wajuu wakumuelewa Mungu ndani ya neno lake,Paulo anawaambia corintho hata Sasa chakula kigumu hamkiwezi😢Yani Mungu atusaidie tumuelewe kwaupana Sana naumia niwamgapi wanapitwa na masomo Kama haya mazuri hivi ooohoo😢😢,Asante Yesu kwa kunijuza,mtunze mtumishi wako tengwa uzidi kumtumia atufungue macho ili tupone shetani asimuweze kamwe.
Kweli inatisha sana juu ya Kanisa la leo.
Ni ukueli kabiza 🙏🙏🙏
Na MUNGU ATUSAIDIE NA MADHAMBI YAMETUZINGA MNO TUNASALI MAKANISANI LAKINI HALI NI MBAYA MNO NA TUNAAMBIWA TU KEKI NA MAFUTA NA KUJIUNGAMANISHA NA MADAHABAU ZA KIHUNI DHAMBI INATESA DUNIANI NA JEHANAMU MILELE
Utukufu kwa BWANA MUNGU wetu 🙏 amen
Mm vyangu Ni vingi mno hapa
MUNGU azidi kuturehemu
Akina sugue na mwamposa,ndo hawafundishi Neno wao ni miujiza na upako tu,
Eeh Mola uturehemu sisi wenye dhambi, siku moja tukakuzalie matunda mema.
Mwakasege ni nani yako??
Yaani anahubiri kama mwakasege kabisa
Ameni, MUNGU anisaidie ,katika Jina la YESU KRISTO.,maana mimi NI mtupu tu.YESU KRISTO naomba unisaidie siwezi Mimi.,nipe nafasi Tena,narudi kwako YESU KRISTO naomba unisikie sahii.
MUNGU AKUBARIKI NA AKUONGEZE HONGERA KWA HUDUMA ILIYO NJEMA
Huduma zako zina confusion
Mmmh na MUNGU ATUSAIDIE SS ni WENYE dhambI TU MAANA dhambI Ni nyingi mno wamama wengi Sasa Ni mashindano ya KUJICHUBUA na mawigi