MSAMBATAVANGU AMFOKEA WAZIRI GWAJIMA HADHARANI, KIGWANGALA AJICHANGANYA "WANAINGIZWA KWENYE USHOGA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 273

  • @SomoKidawa
    @SomoKidawa 23 วันที่ผ่านมา +15

    Halafu wabunge wakiume mmekaa tuu huyu mama ameongea point sana

  • @nelsonluwiana10
    @nelsonluwiana10 23 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera Sanaa mama umeongea maneno ya ukweli kabisaa

  • @Anithawilielemi-uh3ww
    @Anithawilielemi-uh3ww 23 วันที่ผ่านมา +12

    You are perfect Mama,Mrs:Gwajima has been showing weaknesses all along

    • @amosibilingi4299
      @amosibilingi4299 22 วันที่ผ่านมา +1

      We hujui tu, mh. Gwajima ndo muumini mkubwa wa hayo anayosema jesca, ila sema anafuata maelekezo ya mh. Rais, ila moyo wake hauko huko kabisa, jaribu kufuatilia hotuba mbalimbali alizowahi kuongea utagundua hili.

    • @edwinbuganga3205
      @edwinbuganga3205 22 วันที่ผ่านมา

      Ngoja sasa aambiwe ukweli

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 22 วันที่ผ่านมา

      anamuogopa mama

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 22 วันที่ผ่านมา

      @@amosibilingi4299 uUko sahihi sana. hizi ofisimzina mambo mengi sana

    • @mussaananiasmyonga727
      @mussaananiasmyonga727 22 วันที่ผ่านมา

      Mmmmmmh!!!

  • @fadhiliibrahim9702
    @fadhiliibrahim9702 22 วันที่ผ่านมา +3

    Wabunge wa Iringa Mjini ni fire tulikua na Msigwa sasa Msambatavangu mwendo ni huu 🔥

  • @mgosimkome9242
    @mgosimkome9242 23 วันที่ผ่านมา +4

    Asante sana Mh mbunge Hawa ndo wabunge Sasa kwenye jamii, mbunge anaongea hadi unasikia hisia kweli mtu kaongea. Na kweli Tunakoelekea kutakuwa hakuna kuolewa au kuoa maana wanaume tumetekwa madaraka na wanawake, ni lazima tuweke usawa kwa jinsia zote mbili.

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 23 วันที่ผ่านมา +4

    Mama uko vizuri. Hao wapumbavu wamepewa hela na wazungu ndo wanapanga mambo ya upuuzi.

  • @nestorymanyama
    @nestorymanyama 23 วันที่ผ่านมา +5

    Safi sana Mama...na Mungu wa Mbinguni Akubarik

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 23 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu wa mbinguni akubariki kwa viwango vikubwa kwa msaada wako wa TAIFA

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wabunge kama hawa hata wasipofanya kampeni Warudisheni Bungeni mtakuja kunishukur💝💐💐💐🙏

  • @mariamarywenslaus2938
    @mariamarywenslaus2938 23 วันที่ผ่านมา +4

    Kwqhy wakamtunza nakumtunza pesa ameongea pointi sanaaa ni kweli❤❤❤😂😂😂😅

  • @aronlubango7934
    @aronlubango7934 23 วันที่ผ่านมา +12

    Safi sana Msambatwa siyo hiyo kenge kigwangala,huenda ni shoga

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 23 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera Msavanga

  • @wokovumwazembe3505
    @wokovumwazembe3505 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika iringa inapata watu sahihi Sana yaani huyu mama na Msingwa wako sawa kabisa hongera Sana Mama Mungu akubariki

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 23 วันที่ผ่านมา +4

    We mama unaakili nyingisana kuliko mama mkuu

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 23 วันที่ผ่านมา +3

    Msambtavangu,hongera sana! Una akili timamu hasaa !

  • @merygodfrey3709
    @merygodfrey3709 23 วันที่ผ่านมา +3

    Yaani mheshiiwa pokea mauwa yako.Watoto wa kiume wamekuwa na msongo wa mawazo Hawajielewi sana.Kwasababu wamenyanyapaliwa kila sehemu.Si kwenye Elimu si kwenye ajira.Wasichana wanajengewa mabweni ili wasibakwe,lakini wanaume !!!!!!😂😂😂Umenisemea Mungu akubariki maana mimi nina watoto wa kiume tuuuu jamani Pokea mauwa yako.

  • @lucaskelegwa1123
    @lucaskelegwa1123 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana

  • @DAUDIMAKARANGA
    @DAUDIMAKARANGA 23 วันที่ผ่านมา +7

    Mama nimekuelewa chkua maua mama,

  • @JoelMajura
    @JoelMajura 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mama jesca Toka nilipokuwa iringa ukawa unapiga kampeni nilikuona wamaana adi leo nkukubli mama wa iringa ongera kwa kupewa upeo kama uo unaongea vtu fact sana salute kwako

    • @JoelMajura
      @JoelMajura 23 วันที่ผ่านมา

      Mama msavatavangu ni kweli kbsa kwa sababu tunateswa sana na wanawake wanapewa kipaumbele Sana kuliko sisi ata ukipenda polisi ukiwa hauna kosa ila utagandamizwa na mwanamke kutetewa sana

  • @bahatishitindi
    @bahatishitindi 16 วันที่ผ่านมา

    Asante sana mama Mungu akubaliki sana

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 22 วันที่ผ่านมา

    Point 100%

  • @ezrayjesus
    @ezrayjesus 23 วันที่ผ่านมา +3

    Wemama mungu akuengeze siku za kuishi

  • @GThebaber
    @GThebaber 22 วันที่ผ่านมา +1

    Asante Sana we mama,,,,,hakika umesema jambo la maana sana

  • @flaviankiria8251
    @flaviankiria8251 19 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mamaaa umeongea jambo muhimusanaaa

  • @johnsonmichael945
    @johnsonmichael945 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mheshimiwa MUNGU akubarik san haki saw

  • @uswegemwakalobo6220
    @uswegemwakalobo6220 23 วันที่ผ่านมา +1

    Safi safi

  • @arthurmagwagu7689
    @arthurmagwagu7689 22 วันที่ผ่านมา

    Salute Sana Mhe Jesca, hii kigwangala itakuwa inatafunwa sio bure

  • @stephano263
    @stephano263 23 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana tunata wabunge kama hawa

  • @TejonnNdile
    @TejonnNdile 18 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mbunge makin
    Kwa hapo nakupa zote
    Tanzania tunapotea sana, ukiwaacha wanaume hakuna jamii hapo

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 23 วันที่ผ่านมา +2

    POINT KUBWA SANA MAMA

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 23 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani provider anaachwa kwenye mambo ya uchumii ... alafu watu wake wanakuzinguaa ukishindwa lea watoto unashikwaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 23 วันที่ผ่านมา +4

    Nakupenda sanaaaa wewe Mbunge unafanya kazi sana huko Bungeni na upate Ubunge kila wakati Jessica

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 22 วันที่ผ่านมา +1

    Aliyetoa taarifa ka senge hivi. Yaani mama anaongea point yeye anakuja na usimba na uyanga

  • @maulidmwegio5704
    @maulidmwegio5704 19 วันที่ผ่านมา

    Daaaah..!!! Huyuu MAMA, Mh M'bunge Ameongea Vizuri Sana.

  • @nizarmanji5343
    @nizarmanji5343 23 วันที่ผ่านมา +1

    My dear upo juu mno!mawinguni!!yaani kama kungekuwa na usajili mimi ningekusajili uwe mbunge wetu..yaani wewe ni mwakilishi wa watu na unamuogopa mungu..hizi sera za dunia za kishetani zinamtenga mwanaume kwa makusudi kumshoofisha mwanaume ambae ndie aliepewa mamlaka ktk dunia hii ...na ndio maana mambo ya hovyo yanazidi kusambaa ikiwemo ushoga na usagaji...lakini pia kutengeneza wanaume tegemezi kwa mijimama halafu tunalia lia

  • @RamaMbwambo-ru8ym
    @RamaMbwambo-ru8ym 23 วันที่ผ่านมา +1

    Well said... congratulations

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 23 วันที่ผ่านมา +2

    You are perfect hivi watoto wa kiume kwanini wametengwa
    Kuzaliwa mwanaume ndio utengwe mambo ya ajabu sanaa .

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 22 วันที่ผ่านมา

      Sana na ndo hapo shetani alipo tupiga bao tukakumbatia watoto wa kike,tukasahau wakiume matokeo yake ushoga umeshamiri kuliko maelezo.

  • @AswileChisunga
    @AswileChisunga 20 วันที่ผ่านมา

    Mama hongera kutambua umhim wa wanaume katikati jamii majanaume yametulia TU Wala haya semi chochote

  • @user-rp5jw8th5o
    @user-rp5jw8th5o 22 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sna maam

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 22 วันที่ผ่านมา

    Msambatangu we SuperWOMAN asante kwakuwatetea watoto wetu wa kiume

  • @frankmadida648
    @frankmadida648 23 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mama kaongea kwa uchungu🙌🙌 kiukweli ameongea uhalisia🎉🎉

  • @azorheradius8681
    @azorheradius8681 20 วันที่ผ่านมา

    Duuuh kumbe kuna wanawake wenye mawazomazuri kiasi hiki.
    Tatizo ni kwamba wako wachache sana.
    Hongera sana mama, wewe ni wa pekee, uelewa wako uko juu sana

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 23 วันที่ผ่านมา

    Hongera mama

  • @ibrayomapenzi7048
    @ibrayomapenzi7048 22 วันที่ผ่านมา +1

    JAMANI TUMCHANGIE BEI GANII HUYUUUU MADAM

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 20 วันที่ผ่านมา

    HIKI CHUMAAA NOMAAAAA❤❤❤

  • @GodfreyHaiki-gp6ry
    @GodfreyHaiki-gp6ry 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hoja bora sana

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 23 วันที่ผ่านมา +3

    Kigwangara pumba kabsa

  • @johnswale7001
    @johnswale7001 23 วันที่ผ่านมา +1

    Asante mama vizuri

  • @TooPerfect23
    @TooPerfect23 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mama kwanini asipewe wizara ya wanaume kabisa. Inaonekana ana vitu vizuri mno.

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 23 วันที่ผ่านมา +6

    Nimekupenda sana mama. Yaani sijui nikupe mau kiasi gani.

  • @amosshija9458
    @amosshija9458 23 วันที่ผ่านมา

    Mama hongera sana Roho wa Mungu amekutumia kwa viwango vya juu sana

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 22 วันที่ผ่านมา

    Big up mama Jesca strong statement delivery , shame on you Kigwangala

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama yuko sahihi kabisa kunamuda watu wanapaswa kufanya uchunguzi watakubaliana na maneno ya huyu mama Asante mama nyie ndio wabunge mnao stahili kwenye bunge letu

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 22 วันที่ผ่านมา

    Uko vizuri kabisa kwa Asilimia 100 %

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 23 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana mama

  • @Piscesblair
    @Piscesblair 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Mama kulizungumzia hili tatizo ambalo limeshika mizizi sasa katika kila sekta hapa nchini.

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 23 วันที่ผ่านมา +3

    Tangu umekuwa mbunge leo umeongea point❤

    • @alexkilyenyi5763
      @alexkilyenyi5763 23 วันที่ผ่านมา

      Ni mbunge wangu huyu ,,, hadi nimeshangaa katoa wapi point

  • @EmanuelBlassy-uz4gm
    @EmanuelBlassy-uz4gm 18 วันที่ผ่านมา

    Sawa mama

  • @steveedward3752
    @steveedward3752 19 วันที่ผ่านมา

    Yes nimekuelewa sana Mbunge wetu....

  • @mariamarywenslaus2938
    @mariamarywenslaus2938 23 วันที่ผ่านมา

    Big up mama loveeeeeeee moreeee

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 20 วันที่ผ่านมา

    Yess yes momy

  • @paulmtungalyambo2065
    @paulmtungalyambo2065 22 วันที่ผ่านมา

    Jembe sanaaa Msambatavangu

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 23 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana mbunge wetu utaishi hata baada ya kufa

  • @AbednegoMbela
    @AbednegoMbela 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hongela kiongoz uchumi kwa vijana nitatizo lakini pia selikali Ina changia kuto walinda vijana namambo yasitalehe haswa kamali ichi inateketea 🇹🇿😭😭😭

  • @JohnCharles-xk5bp
    @JohnCharles-xk5bp 15 วันที่ผ่านมา

    Mama Shikamoo

  • @geey7893
    @geey7893 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Mama hanaga kazi Chafu. Ni spana tuu, sio akina Babutale machawa

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki kwa kuongea ukweli wa kuliponya taifa

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 23 วันที่ผ่านมา +2

    Uposahihi kadisa

  • @justinesima2221
    @justinesima2221 22 วันที่ผ่านมา

    Vizuri sana Mbunge natamani upate mdamrefu zaidi wa kuwa bungeni

  • @jeremiahmalasusa3997
    @jeremiahmalasusa3997 23 วันที่ผ่านมา

    Hongera Mbunge

  • @geraldmanyogoto1358
    @geraldmanyogoto1358 22 วันที่ผ่านมา

    Nakuombea kwa Mungu uwe Waziri wa Wizara hiyo.

  • @emmanuelmwaipopo3039
    @emmanuelmwaipopo3039 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nashangaa taarifa imetoka kwa mwanaume alafu dakatari😂

  • @nellynathan-hf2by
    @nellynathan-hf2by 23 วันที่ผ่านมา

    Perfect

  • @lubumussa4474
    @lubumussa4474 21 วันที่ผ่านมา

    Kweli mama

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 23 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂 Afu Dr

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 21 วันที่ผ่านมา

    Kigwangala ni mpuuzi sana

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 22 วันที่ผ่านมา +1

    wasagaji ni wengi sna cku izi

  • @vincentvenance321
    @vincentvenance321 23 วันที่ผ่านมา +1

    Msambatavangu gooood

  • @milalifaustine6471
    @milalifaustine6471 23 วันที่ผ่านมา

    God bless you mama

  • @GwiyagoEmmanuely
    @GwiyagoEmmanuely 22 วันที่ผ่านมา

    💯

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki mama

  • @emmanuelelam555
    @emmanuelelam555 22 วันที่ผ่านมา

    Iringa mitano tena namaua Yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kingwangwala hapo umechemka

  • @mbarakaabdallah6526
    @mbarakaabdallah6526 22 วันที่ผ่านมา

    Daaah huyu dada anaakili sana aisee hii ni sababu kubwa ya ushoga na single mother

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu Mama ni mbunge wa wapiii!?? She is so smart❤

    • @eliyasanga9891
      @eliyasanga9891 20 วันที่ผ่านมา

      Mbunge wa iringa mjini...
      She replaced peter Msigwa.

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 22 วันที่ผ่านมา

    Siku zote Wana Iringa wanakuwa na ufahamu mkubwa.Hongera Sana Mbunge Msambatavangu Mimi niliwahi kuacha kupiga kura kwa sababu hii Ni Serikali ya Wanawake watoto na wasiojiweza wanaume hatumo yaani sisi wanaume hatuna haki katika manufaa ya raslimali za nchi yetu?!😢

  • @finiasmaengela2996
    @finiasmaengela2996 22 วันที่ผ่านมา

    Umeongea kwa hisia sana 🤝🤝

  • @williamkavavila608
    @williamkavavila608 23 วันที่ผ่านมา

    Mhe.Uko sahihi mno,Mungu akubariki! unaujua UKWELI,wewe ni mama halisi,wakati mibaba imekaa kimya eti!

  • @robertombewa5109
    @robertombewa5109 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mpeni mauwa yake

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 23 วันที่ผ่านมา +2

    Yani huyo mweshimiwa kaona mbari san selikali haijawahi kungundua hiloooo kabisa wanadili na wamama tu ajabu kabi. Wanaume walio kabizuwa dunia hawapo poreni wanaotaka 50,50 sheria ya magaribi wamerizi tz poren sana nawataka babunge wenye akili kama huyo mama wako wapi ?

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 21 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ndio unafa kua wazili raisi alone mungu akubaliki

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 22 วันที่ผ่านมา

    Confused

  • @FredrickKagusa-wt9bw
    @FredrickKagusa-wt9bw 23 วันที่ผ่านมา

    safi sana mama MUNGU akubariki

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 20 วันที่ผ่านมา

    ni kweli kabisa mama mtoto wa kiume anasaaulika sana

  • @DanieljobPeter
    @DanieljobPeter 19 วันที่ผ่านมา

    Nafikiri huyu mama anastahiri kuikalia nafasi ya huyo gwajima anastahiri😮😮😮

  • @user-fz4yq9mq7z
    @user-fz4yq9mq7z 22 วันที่ผ่านมา

    Nikuite nani hakika wewe ni mtetesi wetu, Asante Asante Asante hongera mp

  • @Clarencekwembe1
    @Clarencekwembe1 23 วันที่ผ่านมา

    Dr. Kigwangala umezingua sana yaani, think twice and deep.

  • @AliceChentesa
    @AliceChentesa 16 วันที่ผ่านมา

    N kweli

  • @TejonnNdile
    @TejonnNdile 18 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤