Hongereni sana kwa kubeba ubingwa Jamhuri ya TANZANIA. Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani nakuuliza hiki kinachofanyika tungeomba na kwa timu zingine Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
Mafanikio gani wakati taarifa ya fedha inaonesha tumepata hasara zaidi ya Bilioni. Watu wanajineemesha uwanja hakuna miaka zaidi ya 80. Kuwa mabingwa Tanzania sio issu kikubwa ni uwekezaji mpya.
Alikua na maana gani Ali Kamwe alipodai kuwa anafikiria jina la uwanja utakaojengwa jangwani? Je ina maama jina la kihistoria la Kaunda litabadilishwa? This is absurd and egregious.
Kwani ulikuwa hujui, Yanga ina ukaribu mkubwa na CCM, Kwa taarifa yako miaka Ile ya 1980s, ushangiliaji wa Yanga walipokuwa wakifunga goli walikuwa wakiimba CCM, CCM, CCM,,,,, kwahiyo redioni tulikuwa tukisikia kelele za CCM, CCM, CCM,,,tunajua tayari Yanga ishaua mtu,,,,,, kwahiyo usishangae kaka!
Hongera Rais wetu na viongozi wetu Mungu awabariki
Salamu kwa wana Yanga wote duniani kote. Nawasalimu kutoka Sweden hongera timu kubwa ❤❤❤❤🇨🇩⚘️⚘️⚘️💯
1. Willy Martin
2. Willy Mtendamema
3.Athuman Chama
4. Steven Names
5. Ken Mkapa
6. Aly Mayayi
7.Thomas Kipese
Tukiendelea na mshikamano huu tutafika mbali katika mashindano ya kimataifa mungu atubariki Wana yanga wote
Dah,safi sn, hii miamba nisinge ifahamu na kuwaona kama siyo leo
Namuona Mama Fatma Karume Kafurahi, Safi sana 🎉🎉🎉❤😂
Safi sana Babu na Baba zetu..
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI
Nanipenda yanga sc daima mbele nyuma mwiko wananchiiiiiiiiiiiii🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🔰🔰🔰
Safi sana ila ningeomba sana tuendelee kuimarisha timu yetu isishuke katika viwango vya kimataifa.love u yanga.daima mbele nyuma kwetu mwiko.
😊
Amazing saana 💚💛💯💥🌟⭐💫
Attilio Kasuga.
Nasema Bravo wananchi, sasa wameanza kusema.
Sisi tutabaki kuwa sisi.
AMEN!
Hongereni sana kwa kubeba ubingwa Jamhuri ya TANZANIA.
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani nakuuliza hiki kinachofanyika tungeomba na kwa timu zingine Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
Daima mbele nyuma mwiko💛💚🖤💚💚💚🖤🖤💛💛💛
Injinia waangalie hao wachezaji walioichezea yanga. Watakusaidia sana. It is very nice.
Hii aidia ni mzr sn kuwakumbuka waasisi walioitumikia timu mpk walipostafuu ni heshima kubwa sn kwao na kujiona wanathamani kubwa ktk club
Mungu awalinde benchi lote la yanga kila mtu kwa sekta yake
Simuoni Willy Mtendamema. Najua yuko dar hapo
Aisee Yanga nimewakubaliii kuwaita Haw wachezaj wa Zaman Hongera saaaana
MUNGU AWALINDE VIONGOZI WETU WA YANGA PAMOJA NA BENCH LA UFUNDI NA WACHEZAJI WETU WOTE,🙏🙏🙏🙏
Saf salvator edward
Ila ally
Anwari Awardhi. Nakukumbuka niko primary ulipiga kona mechi kama mbili hivi zinaenda nyavuni moja kwa moja
Anwari Awarhdi faray kayto namba ya kened mkapa
Mbona sijamsikia sande manara😢😢😢😢
Hongereni sana Yanga lakini naomba muwakumbuke na wale wenzeti wagonjwa kama lila shomari
Huyo lunyamila alikuwa anacheza mpira hatali tunaomba michezo iwe ya amani
Amasha nakukubali nilibandika picha yako mlangoni kwa babu nikapigwa bakora.
Sander manara mbona hayupo
Hongereni nyie wote mpenda mamy samia rais wetu mzr canaa lakini mpenda aly kamwe
Edibil Jonas lunyamila👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏💯🙏🙏🙏🙏
Edibil Jonas Lunyamila hii mashine mtu hatari sana
Iunyamila wakijjn kwetu mkabogo
Yanga bingwa mpk mwisho utawala wa engineer
Kwel siku zinaenda hawa watu walikua hatar sna
lazima mtaizungumzia simba Tu
Wenzetu mandundu wanawaza kufukuza uongoz waoo ss tukikutana watajuta 😂😂😂😂
nimefurahishwa kumuona Anwar awadh
Yanga haina mfano hapa tz
Kinye wapi
❤❤😮
Mwenyewe nilishawahi kuwafunga makolo
Dah nilitaman kumuona ngasa na tegete eneo hili
Umesahau alichokisema ngasa baada ya kuacha kuichezea Yanga wewe.
Hersi kumbe nae ni Mheshimiwa?
Hata ww inategemea na ulpo.
Ndio ni mheshimiwa, anaongiza zaidi ya watu milioni 20, we unafikiri mchezo!!
duuuuuu mandundu, manyau nyau
ALI KAMWE ASAIVI UMEWIVA SAANA....
Safi🎉
Et wasifie viongozi bas jmn heshimwq haiombwi
Jamani Kenneth mkapa yuko wapi beki tatu wetu
Mandundu fc
Naomba tutumie kauli ya yangaaaaa tuitikie mbele daima nyuma mwiko hii ya hoyee wengine. Hatuielewi maana inatumika kwenye sias za bongo
Ally
Lunyamila 1993 uko n Kizota niliandika majina yenu kw nguo zangu
kumbe wajina ABDALLAH SELEMANI yupo hahahhaa nimefurah sana 😅😅😅😅😅
Mbona mchanaji nyavu hapo hayupo
Hahahaha nimecheka kwa nguli wasoka shabani katwila kuwaita jiuzuli fc manyau nyau fc
Event ni yenu ila midomoni mwenu kilichowajaa ni Simba.
Mafanikio gani wakati taarifa ya fedha inaonesha tumepata hasara zaidi ya Bilioni. Watu wanajineemesha uwanja hakuna miaka zaidi ya 80. Kuwa mabingwa Tanzania sio issu kikubwa ni uwekezaji mpya.
Ila Ali kamwe eti Kama alishawahi kuifunga simba😅😅😊
Kajina kapya kazuri (mandundu)
Alikua na maana gani Ali Kamwe alipodai kuwa anafikiria jina la uwanja utakaojengwa jangwani? Je ina maama jina la kihistoria la Kaunda litabadilishwa? This is absurd and egregious.
Hata min ziro angekuwepo ni yanga dam jamani
Kumbe wanaitwa Mandundwa sasa hivi na hata hamsemi
Yu wapi SUNDAY Manara ????#@??
Mgonjwa
Daaaah pole zangu nyingi, ikikumbushwa match ya nyamagana bila kumtaja SUNDAY tunakua hatujatenda haki
Hawa wazee hata wakicheza Leo na Simba ha2fungwi
Edibil jonas lunyamila alikuwaga mwaba huyo na muhame husen chinga
Yuko wapi Sunday Manara na Kitwana Manara
😅😅😅😅mandundu oyeee
Yanga ni hatari
Kwani lazima kusifia viongozi
Manara msaliti alifukuzwa
What ????@@,
sawa Muko kilele cha Mafanikio kilichobakia ni kushuka Tuu
Kama mlivyo shuka nyie
Ngassa!
Unaweza ukadhani ni kikao cha ccm
Kwani ulikuwa hujui, Yanga ina ukaribu mkubwa na CCM, Kwa taarifa yako miaka Ile ya 1980s, ushangiliaji wa Yanga walipokuwa wakifunga goli walikuwa wakiimba CCM, CCM, CCM,,,,, kwahiyo redioni tulikuwa tukisikia kelele za CCM, CCM, CCM,,,tunajua tayari Yanga ishaua mtu,,,,,, kwahiyo usishangae kaka!
Ally kamwe
Pp