Jesca Msambatavangu: Mbegu ya Binadamu ipo kwa Mtoto wa Kiume I Mkulima Mzuri Anaitunza Mbegu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, alipochangia hotuba ya bajeti ya Wizara wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum iliyowasilishwa mapema ya leo Bungeni amesema wenye Afya nzuri ya akili wanatunza mbegu zao kuliko kitu chochote.
Pia Mbunge wa Iringa Mjini amesema hawezi kuwa mshabiki kwa Mwanaume akifanya kosa ahasiwe kwa sababu kutakosekana kwa mbegu.
Tembelea akaunti yetu ya TH-cam “Clouds Media” tumekuwekea mzigo wote.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
baraka ziwe juu yako mama! nimekuelewa
Upo sahihi mkuu
Congratulations
asante mamaangu
Uko sawa mama
Sis ni mbengu
Uko sawa mama waambie wa bunge hawajuwi
Jasica sema YOTE na Mimi sipendi Jambo hilo na Kama KUNA mtu anaunga mkono Jambo la kuoana wanaume kwa wanaume nawezs kutoa hukumu mbaya moyoni mwangu kwani kinapungua Nini jinsi tulivyo kwa sasa
Najuekewaga sana mama ....
Mama akutunze
Ushuuda wa nisaki
🤣🤣🤣🤣 izi hoja iz daah
Uko sawa mama
Uko sawa mama