Zamarad nakupongeza kwa kumfanyia kitu bi Mwanahawa Ally anajua kuimba anasaut tamu na ya kipekee hakika nampenda sana huyo mama mungu azid kumjaalia umri mrefu
Kamekaa kipigajii eti asante mwanahawa si umpatie hela zko umeshamuona mh rais alivyompatia 10M unataka kupita na huo upepo ili upige hela pumbavu kabisa halafu kanajikuta CEO wakati hata akina baba levo wanaanzisha hivyo vimedia
Mashallah natural hair zinakupendeza Zamaradi sana. 👌👌❤️
Zamaradi u are the best ❤
Zamaradi nakupenda sana ❤
Zamarad nakupongeza kwa kumfanyia kitu bi Mwanahawa Ally anajua kuimba anasaut tamu na ya kipekee hakika nampenda sana huyo mama mungu azid kumjaalia umri mrefu
Hongera sana......binafsi napenda pia mziki wote🥰
Zamaradi anaongea vizuri mashaallah❤😂
Yani alafu ana akili sana
Tuna kushukuru sana zamaradi kwakumkumbuka uyo mama yetu tunampenda sana
Mashallah mashallah ❤
Your husband is blessed to have u Zama.❤❤
Very composed!
Mungu akubrki👏👏👏👏👏❤❤
Nakukubali sana Zamarad
Bright👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Nampenda huy dda❤❤❤❤
Mimi pia nampenda sana wifi yangu, mama shubira
Mmm wifi nakukibali
nampenda uyo zamaradi
❤❤
Yule atabaki kijana milele apige hatua 5 mbele. Kuropokwa tuu ooh kazeeka, fyokofyoko
Mwanamke na nusu
tunahitaji kweli
Zamaradi Ningependa Pia Ufanye Kitu Chengine kwa Bi Mwanahawa Usiku Wa Bi Mwanahawa Aimbe Nyimbo zake Zote Kama itawezekana
Huo mda wa kuomba nyimbo zote unatoja wapi?
Kardashian from tz
Kigoma hapatoki boyi
Zama hawezi fanya hii shughuli bila maslahi binafsi, hapo anamtumia Mwanahawa apige pesa.
Anaakili sana ni mwanamke kichwa , nawewe jaribu kubuni hata kukaanga mende uone kama utaweza kupiga hela
Kweli kabisa tunaish kwa kutegemeana mwanahawa anagain na zama pia ndivyo maisha yalivyo@@joycehaule9717
😂😂😂mende tena@@joycehaule9717
@@joycehaule9717apunguze kutumia watu
Akili mingi sasa unataka asitafute pesa mmanyema huyo hapatokagi boyi
Kila mtu tz nasema you understand 😅
Kweli zamaradi kazeeka uyu dada namkumbuka mwaka 2009 alikuwa binti mrembo
😂😂we nae asa 2009 mpk leo miaka mingapi imepita..mtu atabaki vilevile kweli!
@@nancyg8664 nakubali sana
We wa 2009 mpaka Sasa upo km ulivyokuwa
15 yrs later ..ww na wazaz wko mpo vilevile?. Mbn mnfny kuzeeka n kma dhambi?
@@halidhemed7524 watu wanamatatizo
Kamekaa kipigajii eti asante mwanahawa si umpatie hela zko umeshamuona mh rais alivyompatia 10M unataka kupita na huo upepo ili upige hela pumbavu kabisa halafu kanajikuta CEO wakati hata akina baba levo wanaanzisha hivyo vimedia
Tatizo roho mbaya
Hayo ni maamuzi ya Zama na ww fanya yako kwani Mwanahawa kasema hahitaji msaada wako?
Una roho ya kimaskin
Una roho ya kimaskin
kazeeka.sura imeshuka
Unayako binafsi na amezaa watoto 4 wewe unawangapi na bado uko young? 😢
Ulitaka awe mtoto kila asubuhi jmn
@@joycehaule9717wanaboa sana
Hujuwi kama kuzeeka ni baraka ?
wakati wako na we ukifika utazeek tu😅😅
𝐌𝐧𝐚 𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐚 𝐛𝐢𝐭𝐮 𝐛𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐛𝐢𝐤𝐨 𝐲𝐨𝐟𝐚𝐮𝐭𝐢 𝐧𝐚 𝐛𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐚𝐧𝐚𝐨𝐧𝐠𝐞𝐚 𝐦𝐧𝐚𝐳𝐚𝐧𝐢 𝐡𝐚𝐭𝐮𝐭𝐚𝐬𝐨𝐦𝐚 𝐡𝐚𝐦𝐚 𝐡𝐚𝐦𝐣𝐚 𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐚 𝐮𝐩𝐮𝐮𝐳𝐢 𝐡𝐚𝐦𝐣𝐢𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢