Majani ya Mpera+Tangawizi,Tiba ya Kuzibua Mirija ya uzazi, Tiba ya UTI sugu na PID Kwa kina Mama😱🔥

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @KhamisSulemani
    @KhamisSulemani ปีที่แล้ว +3

    Naitwa khamis Niko Zanzibar napenda kufuatilia vipindi vyako vizuri Masha Allah

  • @FredinaFidilisi
    @FredinaFidilisi ปีที่แล้ว +6

    Mimi naitwa FREDINA ujauzito kwangu umekuwa mgumu sana nifanyeje ili nipate ujauzito mwingine nina mtoto mmoja tu

  • @PriscahLindi
    @PriscahLindi ปีที่แล้ว +5

    Samahani dada naomba unijibu je ninlazima nianze kunywa wakat nikiwa period tu ? Nikinywa kabla ya siku za.period kuna madhara ikiwa nia ni kutibu UTI ?

  • @agnessnzowa5670
    @agnessnzowa5670 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda xana dada angu kwa mafndisho mazur mungu aendelee kukubaliki imenisaidia xana hii dawa , ubalikiwe

  • @Mariam-l3x4o
    @Mariam-l3x4o 2 หลายเดือนก่อน

    Asante dada nitafanya ivo

  • @abubakardiwani5968
    @abubakardiwani5968 ปีที่แล้ว +4

    Helpful ❤

  • @mariamkamanda4502
    @mariamkamanda4502 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda kwaajili ya allah❤

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq ปีที่แล้ว

    Shukran sana dadaa❤❤❤

  • @IrankundaCynthia
    @IrankundaCynthia ปีที่แล้ว +2

    Kama hauitaji Kazaa unaweza kutumiya iyo

  • @juliethvalentine9414
    @juliethvalentine9414 ปีที่แล้ว

    Nashukulu Sana dada mm nasumbuk Sana na maumivu ya hedhi mungu akubalik kwa mafundisho yako mazur

  • @PaskaliBayyo-ge7ht
    @PaskaliBayyo-ge7ht 9 หลายเดือนก่อน +2

    Dad naomba nijibu. Mimi ninasumbuliwa na p I'd. Pamoj. Muwasho. Sehemu za Siri na. Pia. Natokwa. Na uchafu mwing Kam usah sielewi. Naomba ushauri wako plz

  • @johnkolomba9010
    @johnkolomba9010 ปีที่แล้ว +1

    Naomba no yako dada miye mdogo wako Nina shida

  • @MarioAugusto-y1l
    @MarioAugusto-y1l ปีที่แล้ว

    Hello,ni vizuri kutumia majani mabichi?

  • @AnganileSamila
    @AnganileSamila 23 วันที่ผ่านมา

    Nimetafuta mtoto Kwan miaka kumi bila mafanikio naomba nisaidie na mm niitwe mama

  • @HappinessUrasa
    @HappinessUrasa ปีที่แล้ว

    Kwa mjamzito inaruhusiwa??

  • @diwaninaaman4089
    @diwaninaaman4089 ปีที่แล้ว +2

    Good job dear❤

  • @jassinnshimirimana6844
    @jassinnshimirimana6844 ปีที่แล้ว

    Jee kwa wanaume wao inasaidiyaje

  • @jamilaahmed2544
    @jamilaahmed2544 ปีที่แล้ว +3

    👍👍👍👍👍

  • @Haika-r9n
    @Haika-r9n หลายเดือนก่อน

    Je ukikwaruza au ukitwanga vyote kwa pamoja inafaa na kwa siku unatumia mara ngap

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 ปีที่แล้ว +6

    Unakunya ya moto ama hadi ipoe?

  • @rukiahalid5807
    @rukiahalid5807 ปีที่แล้ว +3

    Naomba kujua unatumia nn usoni.
    Uso wako maa shaa ALLAH 👌

  • @aminaisuja6081
    @aminaisuja6081 11 หลายเดือนก่อน

    Me nilisaga tangawizi je itanisaidia kweli😢

  • @joycesemizigi5300
    @joycesemizigi5300 ปีที่แล้ว

    Je km umemaliza siku je unaweza tumia

  • @ashurakarim3994
    @ashurakarim3994 ปีที่แล้ว +3

    Je kama unatumia uzazi wa mpango na hauoni siku zako je inasaidia kuzibua

  • @fijila2321
    @fijila2321 ปีที่แล้ว

    Hi my dear please nisaidie n NAMBA zKo please 🙏🙏 nakuomba sana sana ubarikiwe

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 ปีที่แล้ว

    Hii inasaidia ukiwa mhanga wa dawa za uzazi wa mpango?
    I mean hupati mimba

  • @EusebiaTemba
    @EusebiaTemba 9 หลายเดือนก่อน

    Je utaweka sukari?

  • @KhamisSulemani
    @KhamisSulemani ปีที่แล้ว +1

    Assalamu aalaykum warahmatullah wabarakatuh

  • @zawadisichinga9786
    @zawadisichinga9786 ปีที่แล้ว

    Sawa

  • @hakizimanazuberi781
    @hakizimanazuberi781 ปีที่แล้ว +2

    Samahani ni kunywa vijiko,vikombe vingi?
    Kwa siku mara ngapi?

  • @PeterEmmauel
    @PeterEmmauel หลายเดือนก่อน

    Ikipoa unaipasha au

  • @annanalompa-mr3bn
    @annanalompa-mr3bn ปีที่แล้ว

    Je inatibu maumivu wakati wa tendo

  • @aminaisuja6081
    @aminaisuja6081 ปีที่แล้ว

    Naweza tumia majani yasiyo kauka

  • @luluhashim6644
    @luluhashim6644 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yaan majani ya mpera ni kiboko.. kwanza ukiwa ktk cku zako ukiwa unakunywa dam inatoka inataleza inaute mwingii pia wakat wa ovulation ute kama wote ahsante mamy

  • @PreciousjoyFrank
    @PreciousjoyFrank 8 หลายเดือนก่อน

    Je nikienda kwa mr uhakika wa kubeba ujauzito upo?

    • @RoseKimath
      @RoseKimath 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @fatmasaid6660
    @fatmasaid6660 ปีที่แล้ว +1

    Dada kuna dada ana ndevu kidevuni kama utakua unajua dawa plz anajisikia aibu

    • @UpendoMolela
      @UpendoMolela หลายเดือนก่อน

      Ndo tatizo langu kubwa mpk nanyoa km kunamtu anadawa atusaidie

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 ปีที่แล้ว +1

    Wanaume je hawawez tumia😂

  • @SalimaMauki
    @SalimaMauki ปีที่แล้ว +2

    New subscriber hapa,Ahsante kwa kutuelimisha,Allaah akulipe zaidi❤

    • @najlaskitchen1572
      @najlaskitchen1572  ปีที่แล้ว

      Karibu ❤❤

    • @SalimaMauki
      @SalimaMauki ปีที่แล้ว

      @@najlaskitchen1572 Asantee

    • @didaa5761
      @didaa5761 ปีที่แล้ว

      Asante dada je ii inaeza saidia kushika mimba?

    • @Salma-um7gv
      @Salma-um7gv ปีที่แล้ว

      @@najlaskitchen1572 hio dawa inasaidia kwa muhanga wa uzazi wa mpango? Na je naweza kutumia hio na ile ya bamia, karafuu na mdalasini kwa wakati mmoja?

  • @abdallajuma5297
    @abdallajuma5297 ปีที่แล้ว +1

    Aa❤❤

  • @QueenHusein
    @QueenHusein หลายเดือนก่อน

    Mm sijapata mimba Sina je

  • @UdithaLuvingo
    @UdithaLuvingo ปีที่แล้ว

    Samaha mamy inaweza saidia kwa wale amabao hawapevushi mayai (PCOS) kupevusha mayai na kubeba ujauzito?

    • @najlaskitchen1572
      @najlaskitchen1572  ปีที่แล้ว

      Yeah

    • @FrancisJulius-nl1ib
      @FrancisJulius-nl1ib 10 หลายเดือนก่อน

      Dada mim nna miez mingi sioni siku zangu pia natafuta mtoto sipati je itasaidia

  • @mzeejumamzee190
    @mzeejumamzee190 ปีที่แล้ว +1

    Je wanaume wanaweza kutumia hii dawa?

  • @officialevoddy
    @officialevoddy ปีที่แล้ว +1

    Dada mm nataka Kujua wewe unatumia nn kujipaka usoni 😂

  • @graceaston2602
    @graceaston2602 ปีที่แล้ว +1

    Maji hayo hyo unatumia siku 14 au kila siku mapya

    • @saudaali7983
      @saudaali7983 ปีที่แล้ว

      Unaweza ukatumia siku 14 majani hayo hayo?

  • @IssackKimani
    @IssackKimani ปีที่แล้ว

    Mbonaa hujajibu jee kwa wanaume inasaidiaa nin ??

    • @racheljob6601
      @racheljob6601 ปีที่แล้ว

      Sikiliza mbona kaelezea kila kitu

  • @PriscaMajani-t4e
    @PriscaMajani-t4e ปีที่แล้ว +1

    Naomba namba zako plz

  • @issayacharles9402
    @issayacharles9402 ปีที่แล้ว

    ABABARI AKICHANGANYA MAJANI YAMPERA KARAFUU NA MAJANI YA MPERA ???

  • @lucymuchiri9591
    @lucymuchiri9591 ปีที่แล้ว

    Je ukiwa umechelewa nasiku.zako na hauna mimba unaweza.tumia am mtu hufanya nini

  • @madamnatasha-ku8oy
    @madamnatasha-ku8oy 9 หลายเดือนก่อน

    Unakunyw sku ngapii yan wiki mbili au

  • @TariqAlhabsy-mu2fo
    @TariqAlhabsy-mu2fo 3 หลายเดือนก่อน

    Swali langu ni kwambaa je naweza kutumiaa TANGAWIZI YA UNGA AU MAJANI HAYO NIKIYAKAUSHA IKAWA YA UNGAA INARUHUSIWAA

  • @peacelinetv9436
    @peacelinetv9436 ปีที่แล้ว

    Ukikosa asari