Samahani dada naomba unijibu je ninlazima nianze kunywa wakat nikiwa period tu ? Nikinywa kabla ya siku za.period kuna madhara ikiwa nia ni kutibu UTI ?
Dad naomba nijibu. Mimi ninasumbuliwa na p I'd. Pamoj. Muwasho. Sehemu za Siri na. Pia. Natokwa. Na uchafu mwing Kam usah sielewi. Naomba ushauri wako plz
Yaan majani ya mpera ni kiboko.. kwanza ukiwa ktk cku zako ukiwa unakunywa dam inatoka inataleza inaute mwingii pia wakat wa ovulation ute kama wote ahsante mamy
@@najlaskitchen1572 hio dawa inasaidia kwa muhanga wa uzazi wa mpango? Na je naweza kutumia hio na ile ya bamia, karafuu na mdalasini kwa wakati mmoja?
Naitwa khamis Niko Zanzibar napenda kufuatilia vipindi vyako vizuri Masha Allah
Mimi naitwa FREDINA ujauzito kwangu umekuwa mgumu sana nifanyeje ili nipate ujauzito mwingine nina mtoto mmoja tu
Samahani dada naomba unijibu je ninlazima nianze kunywa wakat nikiwa period tu ? Nikinywa kabla ya siku za.period kuna madhara ikiwa nia ni kutibu UTI ?
Nakupenda xana dada angu kwa mafndisho mazur mungu aendelee kukubaliki imenisaidia xana hii dawa , ubalikiwe
Mamb
Asante dada nitafanya ivo
Helpful ❤
I'm glad!
Nakupenda kwaajili ya allah❤
Mi pia😢
Shukran sana dadaa❤❤❤
Kama hauitaji Kazaa unaweza kutumiya iyo
Nashukulu Sana dada mm nasumbuk Sana na maumivu ya hedhi mungu akubalik kwa mafundisho yako mazur
Dad naomba nijibu. Mimi ninasumbuliwa na p I'd. Pamoj. Muwasho. Sehemu za Siri na. Pia. Natokwa. Na uchafu mwing Kam usah sielewi. Naomba ushauri wako plz
Naomba no yako dada miye mdogo wako Nina shida
Hello,ni vizuri kutumia majani mabichi?
Nimetafuta mtoto Kwan miaka kumi bila mafanikio naomba nisaidie na mm niitwe mama
Kwa mjamzito inaruhusiwa??
Good job dear❤
Thank you 😊
Habar dad
Jee kwa wanaume wao inasaidiyaje
👍👍👍👍👍
Je ukikwaruza au ukitwanga vyote kwa pamoja inafaa na kwa siku unatumia mara ngap
Unakunya ya moto ama hadi ipoe?
Naomba kujua unatumia nn usoni.
Uso wako maa shaa ALLAH 👌
Shukran...Coco pulp
@@najlaskitchen1572dada unatumia makavu au mabichi
Me nilisaga tangawizi je itanisaidia kweli😢
Je km umemaliza siku je unaweza tumia
Je kama unatumia uzazi wa mpango na hauoni siku zako je inasaidia kuzibua
M
Hi my dear please nisaidie n NAMBA zKo please 🙏🙏 nakuomba sana sana ubarikiwe
Hii inasaidia ukiwa mhanga wa dawa za uzazi wa mpango?
I mean hupati mimba
Je utaweka sukari?
Assalamu aalaykum warahmatullah wabarakatuh
Sawa
Samahani ni kunywa vijiko,vikombe vingi?
Kwa siku mara ngapi?
Ikipoa unaipasha au
Je inatibu maumivu wakati wa tendo
Naweza tumia majani yasiyo kauka
Yaan majani ya mpera ni kiboko.. kwanza ukiwa ktk cku zako ukiwa unakunywa dam inatoka inataleza inaute mwingii pia wakat wa ovulation ute kama wote ahsante mamy
Je nikienda kwa mr uhakika wa kubeba ujauzito upo?
😂😂
Dada kuna dada ana ndevu kidevuni kama utakua unajua dawa plz anajisikia aibu
Ndo tatizo langu kubwa mpk nanyoa km kunamtu anadawa atusaidie
Wanaume je hawawez tumia😂
Yes
New subscriber hapa,Ahsante kwa kutuelimisha,Allaah akulipe zaidi❤
Karibu ❤❤
@@najlaskitchen1572 Asantee
Asante dada je ii inaeza saidia kushika mimba?
@@najlaskitchen1572 hio dawa inasaidia kwa muhanga wa uzazi wa mpango? Na je naweza kutumia hio na ile ya bamia, karafuu na mdalasini kwa wakati mmoja?
Aa❤❤
Mm sijapata mimba Sina je
Samaha mamy inaweza saidia kwa wale amabao hawapevushi mayai (PCOS) kupevusha mayai na kubeba ujauzito?
Yeah
Dada mim nna miez mingi sioni siku zangu pia natafuta mtoto sipati je itasaidia
Je wanaume wanaweza kutumia hii dawa?
Yeah
Dada mm nataka Kujua wewe unatumia nn kujipaka usoni 😂
Coco pulp
Maji hayo hyo unatumia siku 14 au kila siku mapya
Unaweza ukatumia siku 14 majani hayo hayo?
Mbonaa hujajibu jee kwa wanaume inasaidiaa nin ??
Sikiliza mbona kaelezea kila kitu
Naomba namba zako plz
ABABARI AKICHANGANYA MAJANI YAMPERA KARAFUU NA MAJANI YA MPERA ???
Je ukiwa umechelewa nasiku.zako na hauna mimba unaweza.tumia am mtu hufanya nini
Unakunyw sku ngapii yan wiki mbili au
Swali langu ni kwambaa je naweza kutumiaa TANGAWIZI YA UNGA AU MAJANI HAYO NIKIYAKAUSHA IKAWA YA UNGAA INARUHUSIWAA
Ukikosa asari