#ZaNdaaani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Za Ndaaani Kabisa is one of the best radio segments in the country aisee. Sijui kama jamaa alikusudia au alianza kwa bahati mbaya tu, ila it's a masterpiece.
babla muhunit
Nakipenda hiki kipengele cha zaaaa ndaaaani😀
Ni mwanamke anaejitambua na watamnunia sana mwaka huu na bado atasafisha uchafu wote pale simba
C.O ni mmoja tu Tanzania na ni babra wengine wanajitafuta
Kwahiyo alikuwa yupo sahihi kumfukuza Haji Manara 🤔🤔🤔 #sportsarena
Call a spade never called it abig spoon konk fire mzee wa zandaaaaani
Aisee wakudere mwshon umelimwaga live😂😂😂 puuu!!
Wizi siyo mziki yaani thuruma kila Kona , anaitwa super CEO ,Safi sana komesha hao vishoka..
Kwa njia hiyo ni hatari
Ndugu yangu mimi sio mchezaji 😆😆😆😆
Wa kudereee🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂
Wewe unafanya mchezo mpaka yule msukule kulia mshahala wake ulikuwa laki tano lakini siku zote hizo alikuwa amenyamaza tu alikuwa anasema simba ndiyo inaongoza kulipa pesa nzuli wachezaji kumbe alikuwa anajua malupu lupu yake baada yakufutwa hayo lililia kama litoto jinga linalizwa namwanamke
nakukubali sana
Kaboresha kwa kumleta Mzungu?
⏳
Mmmmh huyu jamaa
😂😂😂😂mwanamama
Nikweli wa kudele fichuwa bwanaa
Baada ya Moh kuchukua Timu utaratibu na usajili wote ulikuwa na ufanywe na yeye, hivyo si kweli anachosema pili Mikataba upitia na body kabla ya kusainiwa iweje leo ndio iwe tofauti? Wakati yeye ndio mtendaji mkuu na upitia mikataba yote kabla kusainia? Lakini ni nani haswa anapaswa kuthibitisha yote hayo? Jibu ni takukuru, ni kweli mambo haya yapo, lkn kwa mfano mimi nimesaini mktaba wa kulipwa Milioni 10 kwa mwezi na timu A, Je ni kipengele gani kwenye mikataba kitakuonyesha kuwa mimi kuna mtu nampa hela?. Kwa matatizo yanayoendelea kwenye Timu yangu Simba kuwa watu walipaswa kujiuzuru au kuwajibishwa.
Swali la msingi kujiuliza; ni nani aliyehusika na usajili wa huyu Dejan? Msemaji anasema ndio Mchezaji mwenye mkataba mrefu kuliko wote Simba, Je ni nani alipitisha mkataba huu na alitumia vigezo gani kukubaliana juu ya Mda wa mkataba?Mkataba umepitia kabla ya kusainia alafu waajiri hawataki kufuata mkataba kwanini? WATANZANIA tutaendelea kudanganywa mpaka lini na siasa za mpira?
Wakuderee😂😂😂
Ricardo momo bhana🤣🤣
Sasa mbona umetoa Siri momo mwanamama tena 😜😜😜😜😜🤣🤣🤣
Huyo jamaa nimshenzi tena chizi nanyie mnafurahiatu!😢 ,nimchochezi watukama hawa wanatakiwa kuchomwa moto!😢😢😢
Mchome wewe
@@bujashidaniel5537 hujielewii😃😃😃😃😃
Si humtaki kwasababu anaongea kweli
Kamshtak basi 😂😂😂😂😂
2Second to coment @ricardo momo
Mbona kachelewa mpaka mzungu anaamua kuvunja mkataba
Siku zote tatizo likitokea huvumbua yaliyojificha
Kuvunja mkataba ni jambo la kawaida kutokana na terms mlizojiwekea
Wakati wanasajiliwa alikuwa wapi?
Weeee chokooo kila siku zaaaaa ndaannniiiii ni Simba tuuu JINGA moja hivi ligi inavilabu 16 kila siku kumwongelea Simba hujielew jinga sn
Kaka Mbilinyi usishangeee. Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe (ndio unaopopolewa kwa sababu ya neema ulionao huo mti). Wa kuderee na apagawe tu. Vilabu vyengine huwa sio stori na ni shida kupata followers(Wafuasi/Washabiki )
Uliona wapi mshahara unaingi kwenye accounts mbili, huu ni uongo wadhahiri, mzee wa Kudere hapo amelishwa kasa.
Kumbe hujaona 😅😅😅
Hahaha hahaha
😂😂🙌🦁🦁
🤪🤪🤪🤪🦁🦁🦁