Local Cages - Dar es salaam || Ufugaji wa kuku 2000 Bunju. UFUGA KISASA KWENYE ENEO DOGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • #localcagesdar es salaam #broiler #layers #cage #kuku #kilimo #banda #ufugajiwakuku
    #ufugaji

ความคิดเห็น •

  • @erickododaokaka6667
    @erickododaokaka6667 6 หลายเดือนก่อน

    I am pleased and I have an interest. Naweza kukupata vipi

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  6 หลายเดือนก่อน

      Wasiliana nasi 0715626193

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  6 หลายเดือนก่อน +1

      Kalibu TU tukuhudumie

  • @buchujr2260
    @buchujr2260 27 วันที่ผ่านมา

    SAND IKO OVYOO HAINA UBORA.....TUMIA MIC NZURIII

  • @saidimossi365
    @saidimossi365 ปีที่แล้ว +2

    Banda la kuku 2000 linatakiwa urefu saizi ngapi na upana saizi ngapi?

  • @soothingrelaxationsounds7461
    @soothingrelaxationsounds7461 11 หลายเดือนก่อน +2

    Maelekezo ya office zenu dar es salaam tafadhali mko maeneo gani?

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  11 หลายเดือนก่อน

      tupigie tukuelekez

    • @soothingrelaxationsounds7461
      @soothingrelaxationsounds7461 11 หลายเดือนก่อน

      @@charityfarm1226natumaini hamtokuwa kama hzo kampun nyingine ktk simu customer service ni za hvuo had unajuta kupiga simu ndo maana wengi tunaombaga maelezo huku ya kufika kiwandani.

  • @ROSEMULEI
    @ROSEMULEI 4 หลายเดือนก่อน

    Hi mtu anaenza weka jongoo kwa kuku wa mayai yakawa fertile ka ya kienyeji

    • @ayuma4747
      @ayuma4747 3 หลายเดือนก่อน

      Kama sio wa kizungu. Cross breed inaweza

  • @johnkisimba8247
    @johnkisimba8247 ปีที่แล้ว

    Mimi ni john from DRC,nina itaji yakupata bei ya vifa vya incubator.majifunzo ya kutengeneza incubator.

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  ปีที่แล้ว +1

      karibu John from D.R.C... wasiliana nasi kwa WhatsApp no +255754015010

  • @JJ-hw8ob
    @JJ-hw8ob ปีที่แล้ว

    Cage mzuri sana. Chini pahali wanakanyanga ni wiremess ya aina gani plastic or chuma?

  • @iddialifa7290
    @iddialifa7290 ปีที่แล้ว

    Tunawapataje sasa sioni mawasiliano yenu

  • @mathayosanare2522
    @mathayosanare2522 ปีที่แล้ว +1

    Kazi making hii @charityfarm

  • @abdillahbakar9850
    @abdillahbakar9850 ปีที่แล้ว

    Kwa zanzibar munapatikana wapi

  • @kassimsuleiman733
    @kassimsuleiman733 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa kazi yenu. Jee banda kama hili munajenga kwa kiasi gani

  • @ReyRap-tv6yz
    @ReyRap-tv6yz ปีที่แล้ว

    Bei gani la kuku 2000